Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya Mwaka

Chapter 2


Tanzania

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya Mwaka

Sura ya 2

  • Ilianza tarehe 26 Aprili 1977
  • [Hili ni toleo la hati hii katika 31 Julai 2002.]
  • [Taarifa: Sheria hii imekaguliwa na kufanyiwa marekebisho kamili chini ya usimamizi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, kwa kuzingatia Sheria ya Ufanyaji Tathmini Na. 7 ya 1994, Sheria Zilizorekebishwa na Ukaguzi wa Kila Mwaka (Sura 356 (R.L.)), na Sheria ya Ufafanuzi wa Sheria na Vipengele vya Kawaida Na. 30 ya 1972. Toleo hili lina taarifa za hivi karibuni hadi tarehe 31 Julai 2002.]
[C.A. Acts Nos.; 1 of 1977; 2 of 1977; Sheria Na.; 14 ya 1979; 1 ya 1980; 28 ya 1980; 21 ya 1982; 15 ya 1984; 14 ya 1990; 16 ya 1990; 4 ya 1992; 20 ya 1992; 7 ya 1993; 34 ya 1994; 12 ya 1995; 3 ya 2000; T.S. Na. 133 la 20011]1T.S. Na. ina maana Tangazo la Serikali namba 133 la 2001.
KWA KUWA SISI Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayozingatia misingi ya uhuru, haki, udugu na amani: 22Sheria Na. 15 ya 1984 ib. 3NA KWA KUWA misingi hiyo yaweza tu kutekelezwa katika jamii yenye demokrasia ambayo Serikali yake husimamiwa na Bunge lenye wajumbe waliochaguliwa na linalowawakilisha wananchi, na pia yenye Mahakama huru zinazotekeleza wajibu wa kutoa haki bila woga wala upendeleo wowote, na hivyo kuhakikisha kwamba haki zote za binadamu zinadumishwa na kulindwa, na wajibu wa kila mtu unatekelezwa kwa uaminifu:KWA HIYO, BASI, KATIBA HII IMETUNGWA NA BUNGE MAALUM LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, kwa niaba ya Wananchi, kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na pia kwa ajili ya kuhakikisha kwamba Tanzania inaongozwa na Serikali yenye kufuata misingi ya demokrasia na ujamaa.

Sura ya Kwanza
Jamhuri ya Muungano, vyama vya siasa, watu na siasa ya ujamaa na kujitegemea (Ib. 1—32)

Sehemu ya Kwanza – Jamhuri ya Muungano na Watu (Ib. 1—5)

1. Kutangaza Jamhuri ya Muungano

Tanzania ni nchi moja na ni Jamhuri ya Muungano.

2. Eneo la Jamhuri ya Muungano

(1)Eneo la Jamhuri ya Muungano ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar, na ni pamoja na sehemu yake ya bahari ambayo Tanzania inapakana nayo.
(2)Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano au Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Rais aweza kuigawa Jamhuri ya Muungano katika mikoa, wilaya na maeneo mengineyo, kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge; isipokuwa kwamba Rais atashauriana kwanza na Rais wa Zanzibar kabla ya kuigawa Tanzania Zanzibar katika mikoa, wilaya au maeneo mengineyo.

3. Tangazo la nchi yenye mfumo wa Vyama Vingi

(1)Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaa, yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa.
(2)Mambo yote yahusuyo uandikishaji na uendeshaji wa vyama vya siasa nchini yatasimamiwa kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii na ya sheria iliyotungwa na Bunge kwa ajili hiyo.

4. Utekelezaji wa shughuli za Mamlaka ya Nchi

(1)Shughuli zote za Mamlaka ya Nchi katika Jamhuri ya Muungano zitatekelezwa na kudhibitiwa na vyombo viwili vyenye mamlaka ya utendaji, vyombo viwili vyenye mamlaka ya kutekeleza utoaji haki, na pia vyombo viwili vyenye mamlaka ya kutunga sheria na kusimamia utekelezaji wa shughuli za umma.
(2)Vyombo vyenye mamlaka ya utendaji vitakuwa ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar; vyombo vyenye mamlaka ya kutekeleza utoaji haki vitakuwa ni Idara ya Mahakama ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Idara ya Mahakama ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, na vyombo vyenye mamlaka ya kutunga sheria na kusimamia utekelezaji wa shughuli za umma vitakuwa ni Bunge na Baraza la Wawakilishi.
(3)Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za umma katika Jamhuri ya Muungano, na kwa ajili ya mgawanyo wa madaraka juu ya shughuli hizo baina ya vyombo vilivyotajwa katika ibara hii, kutakuwa na Mambo ya Muungano kama yalivyoorodheshwa katika Nyongeza ya Kwanza iliyoko mwishoni mwa Katiba hii, na pia kutakuwa na mambo yasiyo ya Muungano, ambayo ni mambo mengine yote yasiyo Mambo ya Muungano.
(4)Kila chombo kilichotajwa katika ibara hii kitaundwa na kutekeleza majukumu yake kwa kufuata masharti mengine yaliyomo katika Katiba hii.

5. Haki ya kupiga kura

(1)Kila raia wa Tanzania aliyetimiza umri wa miaka kumi na minane anayo haki ya kupiga kura katika uchaguzi unaofanywa Tanzania na wananchi. Na haki hii itatumiwa kwa kufuata masharti ya ibara ndogo ya (2) pamoja na masharti mengineyo ya Katiba hii na ya Sheria inayotumika nchini Tanzania kuhusu mambo ya uchaguzi.
(2)Bunge laweza kutunga sheria na kuweka masharti yanayoweza kuzuia raia asitumie haki ya kupiga kura kutokana na yoyote kati ya sababu zifuatazo, yaani raia huyo–
(a)kuwa na uraia wa nchi nyingine;
(b)kuwa na ugonjwa wa akili;
(c)kutiwa hatiani kwa makosa fulani ya jinai;
(d)kukosa au kushindwa kuthibitisha au kutoa kitambulisho cha umri, uraia au uandikishwaji kama mpiga kura,
mbali na sababu hizo hakuna sababu nyingine yoyote inayoweza kumzuia raia asitumie haki ya kupiga kura.
(3)Bunge litatunga Sheria ya Uchaguzi na kuweka masharti kuhusu mambo yafuatayo–
(a)kuanzisha Daftari la Kudumu la wapiga kura, na kuweka utaratibu wa kurekebisha yaliyomo katika Daftari hilo;
(b)kutaja sehemu na nyakati za kuandikisha wapiga kura na kupiga kura;
(c)utaratibu wa kumwezesha mpiga kura aliyejiandikisha sehemu moja kupiga kura sehemu nyingine na kutaja masharti ya utekelezaji wa utaratibu huo;
(d)kutaja kazi na shughuli za Tume ya Uchaguzi na utaratibu wa kila uchaguzi ambao utaendeshwa chini ya uongozi na usimamizi wa Tume ya Uchaguzi.

Sehemu ya Pili – Malengo muhimu na misingi ya mwelekeo wa shughuli za Serikali (Ib 6—11)

6. Tafsiri

Katika Sehemu hii ya Sura hii, isipokuwa kama maelezo yahitaji vinginevyo, neno "Serikali" maana yake ni pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, serikali za mitaa na pia mtu anayetekeleza madaraka au mamlaka yoyote kwa niaba ya Serikali yoyote.

7. Matumizi ya masharti ya Sehemu ya Pili

(1)Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (2), Serikali, vyombo vyake vyote na watu wote au mamlaka yoyote yenye kutekeleza madaraka ya utawala, madaraka ya kutunga sheria au madaraka ya utoaji haki, watakuwa na jukumu na wajibu wa kuzingatia, kutia maanani na kutekeleza masharti yote ya Sehemu hii ya Sura hii.
(2)Masharti ya Sehemu hii ya Sura hii hayatatiliwa nguvu ya kisheria na Mahakama yoyote. Mahakama yoyote nchini haitakuwa na uwezo wa kuamua juu ya suala kama kutenda au kukosa kutenda jambo kwa mtu au mahakama yoyote, au kama sheria, au hukumu yoyote, inaambatana na masharti ya Sehemu hii ya Sura hii.

8. Serikali na watu

(1)Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi inayofuata misingi ya demokrasia na haki ya kijamii, na kwa hiyo–
(a)wananchi ndio msingi wa mamlaka yote, na Serikali itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa wananchi kwa mujibu wa Katiba hii;
(b)lengo kuu la Serikali litakuwa ni ustawi wa wananchi;
(c)Serikali itawajibika kwa wananchi;
(d)wananchi watashiriki katika shughuli za Serikali yao kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.
(2)Muundo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, au wa chochote kati ya vyombo vyake na uendeshaji wa shughuli zake utatekelezwa kwa kuzingatia umoja wa Jamhuri ya Muungano na haja ya kukuza umoja wa kitaifa na kudumisha heshima ya Taifa.

9. Ujenzi wa Ujamaa na Kujitegemea

Lengo la Katiba hii ni kuwezesha ujenzi wa Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar au wa chochote kati ya vyombo vyake na udugu na amani kutokana na kufuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, ambayo inasisitiza utekelezaji wa misingi ya kijamaa kwa kuzingatia mazingira yaliyomo katika Jamhuri ya Muungano. Kwa hiyo Mamlaka ya Nchi na vyombo vyake vyote vinawajibika kuelekeza sera na shughuli zake zote katika lengo la kuhakikisha–
(a)kwamba utu na haki nyinginezo zote za binadamu zinaheshimiwa na kuthaminiwa;
(b)kwamba sheria za nchi zinalindwa na kutekelezwa;
(c)kwamba shughuli za Serikali zinatekelezwa kwa njia ambazo zitahakikisha kwamba utajiri wa Taifa unaendelezwa, unahifadhiwa na unatumiwa kwa manufaa ya wananchi wote kwa jumla na pia kuzuia mtu kumnyonya mtu mwingine;
(d)kwamba maendeleo ya uchumi wa Taifa yanakuzwa na kupangwa kwa ulinganifu na kwa pamoja;
(e)kwamba kila mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi anafanya kazi, na kazi maana yake ni shughuli yoyote ya halali inayompatia mtu riziki yake;
(f)kwamba heshima ya binadamu inahifadhiwa na kudumishwa kwa kufuata Kanuni za Tangazo la Dunia kuhusu Haki za Binadamu;
(g)kwamba Serikali na vyombo vyake vyote vya umma vinatoa nafasi zilizo sawa kwa raia wote, wake kwa waume, bila ya kujali rangi, kabila, dini au hali ya mtu;
(h)kwamba aina zote za dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo zinaondolewa nchini;
(i)kwamba matumizi ya utajiri wa Taifa yanatilia mkazo maendeleo ya wananchi na hasa zaidi yanaelekezwa kwenye jitihada ya kuondosha umaskini, ujinga na maradhi;
(j)kwamba shughuli za uchumi haziendeshwi kwa njia zinazoweza kusababisha ulimbikizaji wa mali au njia kuu za uchumi katika mamlaka ya watu wachache binafsi;
(k)kwamba nchi inatawaliwa kwa kufuata misingi ya demokrasia na ujamaa.

10. ***

[Imefutwa na Sheria Na. 4 ya 1992 ib. 10]

11. Haki ya kufanya kazi, kupata elimu na nyinginezo

(1)Mamlaka ya Nchi itaweka utaratibu unaofaa kwa ajili ya kufanikisha utekelezaji wa haki ya mtu kufanya kazi, haki ya kujipatia elimu na haki ya kupata msaada kutoka kwa jamii wakati wa uzee, maradhi au hali ya ulemavu, na katika hali nyinginezo za mtu kuwa hajiwezi. Na bila ya kuathiri haki hizo, Mamlaka ya Nchi itaweka utaratibu wa kuhakikisha kwamba kila mtu anaishi kwa jasho lake.
(2)Kila mtu anayo haki ya kujielimisha, na kila raia atakuwa huru kutafuta elimu katika fani anayopenda hadi kufikia upeo wowote kulingana na stahili na uwezo wake.
(3)Serikali itafanya jitihada kuhakikisha kwamba watu wote wanapata fursa sawa na za kutosha kuwawezesha kupata elimu na mafunzo ya ufundi katika ngazi zote za shule na vyuo vinginevyo vya mafunzo.

Sehemu ya Tatu – Haki na wajibu muhimu (Ib 12—32)

Haki ya Usawa (Ib 12—13)

12. Usawa wa binadamu

(1)Binadamu wote huzaliwa huru, na wote ni sawa.
(2)Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.

13. Usawa mbele ya sheria

(1)Watu wote ni sawa mbele ya sheria na wanayo haki, bila ya ubaguzi wowote, kulindwa na kupata haki sawa mbele ya sheria.
(2)Ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka yoyote katika Jamhuri ya Muungano kuweka sharti lolote ambalo ni la ubaguzi ama wa dhahiri au kwa taathira yake.
(3)Haki za raia, wajibu na maslahi ya kila mtu na jumuiya ya watu yatalindwa na kuamuliwa na Mahakama na vyombo vinginevyo vya Mamlaka ya Nchi vilivyowekwa na Sheria au kwa mujibu wa sheria.
(4)Ni marufuku kwa mtu yeyote kubaguliwa na mtu au mamlaka yoyote inayotekeleza madaraka yake chini ya sheria yoyote au katika utekelezaji wa kazi au shughuli yoyote ya Mamlaka ya Nchi.
(5)Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya ibara hii neno "kubagua" maana yake ni kutimiza haja, haki au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia utaifa wao, kabila, pahala walipotokea, maoni yao ya kisiasa, rangi, dini, jinsia au hali yao ya maisha kwa namna ambayo watu wa aina fulani wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni na kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti au wanapewa fursa au faida iliyoko nje ya masharti au sifa za lazima, isipokuwa kwamba neno "kubagua" halitafafanuliwa kwa namna ambayo itaizuia Serikali kuchukua hatua za makusudi zenye lengo la kurekebisha matatizo katika jamii.
(6)Kwa madhumuni ya kuhakikisha usawa mbele ya sheria, Mamlaka ya Nchi itaweka taratibu zinazofaa au zinazozingatia misingi kwamba–
(a)wakati haki na wajibu wa mtu yeyote vinahitaji kufanyiwa uamuzi wa mahakama au chombo kinginecho kinachohusika, basi mtu huyo atakuwa na haki ya kupewa fursa ya kusikilizwa kwa ukamilifu, na pia haki ya kukata rufaa au kupata nafuu nyingine ya kisheria kutokana na maamuzi ya mahakama au chombo hicho kinginecho kinachohusika;
(b)ni marufuku kwa mtu aliyeshtakiwa kwa kosa la jinai kutendewa kama mtu mwenye kosa hilo mpaka itakapothibitika kuwa anayo hatia ya kutenda kosa hilo;
(c)ni marufuku kwa mtu kuadhibiwa kwa sababu ya kitendo chochote ambacho alipokitenda hakikuwa ni kosa chini ya sheria, na pia kwamba ni marufuku kwa adhabu kutolewa ambayo ni kubwa kuliko adhabu iliyokuwapo wakati kosa linalohusika lilipotendwa;
(d)kwa ajili ya kuhifadhi haki ya usawa wa binadamu, heshima ya mtu itatunzwa katika shughuli zote zinazohusu upelelezi na uendeshaji wa mambo ya jinai na katika shughuli nyinginezo ambazo mtu anakuwa chini ya ulinzi bila uhuru, au katika kuhakikisha utekelezaji wa adhabu;
(e)ni marufuku kwa mtu kuteswa, kuadhibiwa kinyama au kupewa adhabu zinazomtweza au kumdhalilisha.

Haki ya Kuishi (Ib 14—17)

14. Haki ya kuwa hai

Kila mtu anayo haki ya kuishi na kupata kutoka kwa jamii hifadhi ya maisha yake, kwa mujibu wa sheria.

15. Haki ya Uhuru wa mtu binafsi

(1)Kila mtu anayo haki ya kuwa huru na kuishi kama mtu huru.
(2)Kwa madhumuni ya kuhifadhi haki ya mtu kuwa huru na kuishi kwa uhuru, itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kukamatwa, kufungwa, kufungiwa, kuwekwa kizuizini, kuhamishwa kwa nguvu au kunyang'anywa uhuru wake vinginevyo, isipokuwa tu–
(a)katika hali na kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria; au
(b)katika kutekeleza hukumu, amri au adhabu iliyotolewa na mahakama kutokana na shauri au na mtu kutiwa hatiani kwa kosa la jinai.

16. Haki ya faragha na ya usalama wa mtu

(1)Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na mawasiliano yake ya binafsi.
(2)Kwa madhumuni ya kuhifadhi haki ya mtu kwa mujibu wa ibara hii, Mamlaka ya Nchi itaweka utaratibu wa sheria kuhusu hali, namna na kiasi ambacho haki ya mtu ya faragha na ya usalama na nafsi yake, mali yake na maskani yake, yaweza kuingiliwa bila ya kuathiri ibara hii.

17. Uhuru wa mtu kwenda atakako

(1)Kila raia wa Jamhuri ya Muungano anayo haki ya kwenda kokote katika Jamhuri ya Muungano na kuishi katika sehemu yoyote, kutoka nje ya nchi na kuingia, na pia haki ya kutoshurutishwa kuhama au kufukuzwa kutoka katika Jamhuri ya Muungano.
(2)Kitendo chochote cha halali au sheria yoyote yenye madhumuni ya–
(a)kupunguza uhuru wa mtu kwenda atakako na kumweka chini ya ulinzi au kifungoni; au
(b)kuweka mipaka kwa matumizi ya uhuru wa mtu kwenda anakotaka ili–
(i)kutekeleza hukumu au amri ya mahakama; au
(ii)kumlazimisha mtu kutimiza kwanza wajibu wowote anaotakiwa na sheria nyingine kuutimiza; au
(iii)kulinda manufaa ya umma kwa jumla au kuhifadhi maslahi fulani mahususi au maslahi ya sehemu fulani ya umma, kitendo hicho hakitahesabiwa au sheria hiyo haitahesabiwa kuwa ni haramu au ni kinyume cha ibara hii.

Haki ya Uhuru wa Mawazo (Ib 18—21)

18. Uhuru wa Maoni

(1)Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa kutoingiliwa kati mawasiliano yake.
(2)Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii.

19. Uhuru wa mtu kuamini dini atakayo

(1)Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2)Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari la mtu binafsi; na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.
(3)Kila palipotajwa neno "dini" katika ibara hii ifahamike kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na maneno mengineyo yanayofanana au kuambatana na neno hilo nayo yatatafsiriwa kwa maana hiyo.

20. Uhuru wa mtu kushirikiana na wengine

(1)Kila mtu anastahili kuwa huru, bila kuathiri sheria za nchi, kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani, kuchanganyika na kushirikiana na watu wengine, kutoa mawazo hadharani, na hasa zaidi kuanzisha au kujiunga na vyama au mashirika yaliyoanzishwa kwa madhumuni ya kuhifadhi au kuendeleza imani au maslahi yake au maslahi mengineyo.
(2)Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) haitakuwa halali kwa chombo chochote cha siasa kuandikishwa ambacho kutokana na Katiba au sera yake–
(a)kinakusudia kukuza au kupigania maslahi ya–
(i)imani au kundi lolote la dini;
(ii)kundi lolote la kikabila pahala watu watokeapo, rangi au jinsia;
(iii)eneo fulani tu katika sehemu yoyote ya Jamhuri ya Muungano;
(b)kinapigania kuvunjwa kwa Jamhuri ya Muungano;
(c)kinakubali au kupigania matumizi ya nguvu au mapambano kama njia za kufikia malengo yake ya kisiasa;
(d)kinapigania au kukusudia kuendesha shughuli zake za kisiasa katika sehemu moja tu ya Jamhuri ya Muungano;
(e)hakiruhusu uongozi wake kuchaguliwa kwa vipindi na kwa njia za kidemokrasia.
(3)Bunge laweza kutunga sheria inayoweka masharti yatakayohakikisha kuwa vyama vya siasa vinazingatia mipaka na vigezo vilivyowekwa na masharti ya ibara ndogo ya (2) kuhusu uhuru na haki ya watu kushirikiana na kujumuika.
(4)Bila ya kuathiri sheria za nchi zinazohusika ni marufuku kwa mtu yeyote kulazimishwa kujiunga na chama chochote au shirika lolote, au kwa chama chochote au cha siasa kukataliwa kusajiliwa kwa sababu tu ya itikadi au falsafa yake.

21. Uhuru wa kushiriki shughuli za umma

(1)Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 5, ya 39 na ya 67 ya Katiba hii na ya sheria za nchi kuhusiana na masharti ya kuchagua na kuchaguliwa, au kuteua na kuteuliwa kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi, kila raia wa Jamhuri ya Muungano anayo haki ya kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi, ama moja kwa moja au kwa kupitia wawakilishi waliochaguliwa na wananchi kwa hiari yao, kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria.
(2)Kila raia anayo haki na uhuru wa kushiriki kwa ukamilifu katika kufikia uamuzi juu ya mambo yanayomhusu yeye, maisha yake au yanayolihusu Taifa.

Haki ya Kufanya Kazi (Ib. 22—24)

22. Haki ya kufanya kazi

(1)Kila mtu anayo haki ya kufanya kazi.
(2)Kila raia anastahili fursa na haki sawa, kwa masharti ya usawa, ya kushika nafasi yoyote ya kazi na shughuli yoyote iliyo chini ya Mamlaka ya Nchi.

23. Haki ya kupata ujira wa haki

(1)Kila mtu, bila ya kuwapo ubaguzi wa aina yoyote, anayo haki ya kupata ujira unaolingana na kazi yake, na watu wote wanaofanya kazi kulingana na uwezo wao watapata malipo kulingana na kiasi na sifa za kazi wanayoifanya.
(2)Kila mtu anayefanya kazi anastahili kupata malipo ya haki.

24. Haki ya kumiliki mali

(1)Bila ya kuathiri masharti ya sheria za nchi zinazohusika, kila mtu anayo haki ya kumiliki mali, na haki ya hifadhi kwa mali yake aliyonayo kwa mujibu wa sheria.
(2)Bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (1), ni marufuku kwa mtu yeyote kunyang'anywa mali yake kwa madhumuni ya kuitaifisha au madhumuni mengineyo bila ya idhini ya sheria ambayo inaweka masharti ya kutoa fidia inayostahili.

Wajibu wa Jamii (Ib 25—28)

25. Wajibu wa kushiriki kazini

(1)Kazi pekee ndiyo huzaa utajiri wa mali katika jamii, ndilo chimbuko la ustawi wa wananchi na kipimo cha utu. Kila mtu anao wajibu wa–
(a)kushiriki kwa kujituma na kwa uaminifu katika kazi halali na ya uzalishaji mali; na
(b)kutimiza nidhamu ya kazi na kujitahidi kufikia malengo ya uzalishaji ya binafsi na yale ya pamoja yanayotakiwa au yaliyowekwa na sheria.
(2)Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1), hakutakuwapo na kazi ya shuruti katika Jamhuri ya Muungano.
(3)Kwa madhumuni ya ibara hii, na katika Katiba hii kwa jumla, ifahamike kwamba kazi yoyote haita hesabiwa kuwa ni kazi ya shuruti au kazi ya kikatili au ya kutweza endapo kazi hiyo, kwa mujibu wa sheria ni–
(a)kazi inayobidi ifanywe kutokana na hukumu au amri ya mahakama;
(b)kazi inayobidi ifanywe na askari wa jeshi lolote katika kutekeleza majukumu yao;
(c)kazi ambayo mtu yeyote inabidi aifanye kutokana na kuwapo hali ya hatari au baa lolote linalotishia uhai wa ustawi wa jamii;
(d)kazi au huduma yoyote ambayo ni sehemu ya–
(i)majukumu ya kawaida ya kuhakikisha ustawi wa jamii;
(ii)ujenzi wa taifa wa lazima kwa mujibu wa sheria;
(iii)jitihada za taifa za kutumia uwezo wa kila mtu kufanya kazi kwa ajili ya kuimarisha jamii na uchumi wa taifa na kuhakikisha maendeleo na tija ya kitaifa.

26. Wajibu wa kutii sheria za nchi

(1)Kila mtu ana wajibu wa kufuata na kutii Katiba hii na sheria za Jamhuri ya Muungano.
(2)Kila mtu ana haki, kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria, kuchukua hatua za kisheria kuhakikisha hifadhi ya Katiba na sheria za nchi.

27. Kulinda mali ya Umma

(1)Kila mtu ana wajibu wa kulinda maliasilia ya Jamhuri ya Muungano, mali ya Mamlaka ya Nchi na mali yote inayomilikiwa kwa pamoja na wananchi, na pia kuiheshimu mali ya mtu mwingine.
(2)Watu wote watatakiwa na sheria kutunza vizuri mali ya Mamlaka ya Nchi na ya pamoja, kupiga vita aina zote za uharibifu na ubadhilifu, na kuendesha uchumi wa taifa kwa makini kama watu ambao ndio waamuzi wa hali ya baadaye ya taifa lao.

28. Ulinzi wa taifa

(1)Kila raia ana wajibu wa kulinda, kuhifadhi na kudumisha uhuru, mamlaka, ardhi na umoja wa taifa.
(2)Bunge laweza kutunga Sheria zinazofaa kwa ajili ya kuwawezesha wananchi kutumikia katika majeshi na katika ulinzi wa taifa.
(3)Mtu yeyote hatakuwa na haki ya kutia sahihi kwenye mkataba wa kukubali kushindwa vita na kulitoa taifa kwa mshindi, wala kuridhia au kutambua kitendo cha uvamizi au mgawanyiko wa Jamhuri ya Muungano au wa sehemu yoyote ya ardhi ya eneo la taifa na, bila ya kuathiri Katiba hii na sheria zilizowekwa, hakuna mtu atakayekuwa na haki ya kuwazuia raia wa Jamhuri ya Muungano kupigana vita dhidi ya adui yeyote anayeshambulia nchi.
(4)Uhaini kama unavyofafanuliwa na sheria utakuwa ni kosa la juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Muungano.

Masharti ya Jumla (Ib 29—30)

29. Haki na wajibu muhimu

(1)Kila mtu katika Jamhuri ya Muungano anayo haki ya kufaidi haki za msingi za binadamu, na matokeo ya kila mtu kutekeleza wajibu wake kwa jamii, kama zilivyofafanulia katika ibara ya 12 hadi ya 28 za Sehemu hii ya Sura hii ya Katiba.
(2)Kila mtu katika Jamhuri ya Muungano anayo haki ya kupata hifadhi sawa chini ya sheria za Jamhuri ya Muungano.
(3)Raia yeyote wa Jamhuri ya Muungano hatakuwa na haki, au cheo maalum kwa misingi ya nasaba, jadi au urithi wake.
(4)Ni marufuku kwa sheria yoyote kutoa haki, hadhi au cheo maalum kwa raia yeyote wa Jamhuri ya Muungano kwa msingi ya nasaba, jadi au urithi.
(5)Ili watu wote waweze kufaidi haki na uhuru vilivyotajwa na Katiba hii kila mtu ana wajibu wa kutenda na kuendesha shughuli zake kwa namna ambayo haitaingilia haki na uhuru wa watu wengine au maslahi ya umma.

30. Mipaka ya haki na Uhuru na hifadhi kwa haki na wajibu

(1)Haki na uhuru wa binadamu ambavyo misingi yake imeorodheshwa katika Katiba hii havitatumiwa na mtu mmoja kwa maana ambayo itasababisha kuingiliwa kati au kukatizwa kwa haki na uhuru wa watu wengine au maslahi ya umma.
(2)Ifahamike kwamba masharti yaliyomo katika sehemu hii ya Katiba hii, yanayofafanua misingi ya haki, uhuru na wajibu wa binadamu, hayaharamishi sheria yoyote iliyotungwa wala kuzuia sheria yoyote kutungwa au jambo lolote halali kufanywa kwa mujibu wa sheria hiyo, kwa ajili ya–
(a)kuhakikisha kwamba haki na uhuru wa watu wengine au maslahi ya umma haviathiriwi na matumizi mabaya ya uhuru na haki za watu binafsi;
(b)kuhakikisha ulinzi, usalama wa jamii, amani katika jamii, maadili ya jamii, afya ya jamii, mipango ya maendeleo ya miji na vijiji, ukuzaji na matumizi ya madini au ukuzaji na uendelezaji wa mali au maslahi mengineyo yoyote kwa nia ya kukuza manufaa ya umma;
(c)kuhakikisha utekelezaji wa hukumu au amri ya mahakama iliyotolewa katika shauri lolote la madai au la jinai;
(d)kulinda sifa, haki na uhuru wa watu wengine au maisha binafsi ya watu wanohusika katika mashauri mahakamani; kuzuia kutoa habari za siri; kutunza heshima, mamlaka na uhuru wa mahakama;
(e)kuweka vizuizi, kusimamia na kudhibiti uanzishaji, uendeshaji na shughuli za vyama na mashirika ya watu binafsi nchini; au
(f)kuwezesha jambo jingine lolote kufanyika ambalo linastawisha au kuhifadhi maslahi ya taifa kwa jumla.
(3)Mtu yeyote anayedai kuwa sharti lolote katika Sehemu hii ya Sura hii au katika sheria yoyote inayohusu haki yake au wajibu kwake, limevunjwa, linavunjwa au inaelekea litavunjwa na mtu yeyote popote katika Jamhuri ya Muungano, anaweza kufungua shauri katika Mahakama Kuu.
(4)Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika Katiba hii, Mahakama Kuu itakuwa na mamlaka ya kusikiliza kwa mara ya kwanza na kuamua shauri lolote lililoletwa mbele yake kwa kufuata ibara hii; na Mamlaka ya Nchi yaweza kuweka sheria kwa ajili ya–
(a)kusimamia utaratibu wa kufungua mashauri kwa mujibu wa ibara hii;
(b)kufafanua uwezo wa Mahakama Kuu katika kusikiliza mashauri yaliyofunguliwa chini ya ibara hii.
(c)kuhakikisha utekelezaji bora wa madaraka ya Mahakama Kuu, hifadhi na kutilia nguvu haki, uhuru na wajibu kwa mujibu wa Katiba hii;
(5)Endapo katika shauri lolote inadaiwa kwamba sheria yoyote iliyotungwa na hatua yoyote iliyochukuliwa na Serikali au mamlaka nyingine inafuta au inakatiza haki, uhuru na wajibu muhimu zitokanazo na ibara ya 12 hadi 29 za Katiba hii, na Mahakama Kuu inaridhika kwamba sheria au hatua inayohusika, kwa kiwango inachopingana na Katiba ni batili au kinyume cha Katiba basi Mahakama Kuu ikiona kuwa yafaa au hali au masilahi ya jamii yahitaji hivyo, badala ya kutamka kuwa sheria au hatua hiyo ni batili, itakuwa na uwezo wa kuamua kutoa fursa kwa ajili ya Serikali au mamlaka nyingine yoyote inayohusika kurekebisha hitilafu iliyopo katika sheria inayotuhumiwa au hatua inayohusika katika muda na kwa jinsi itakavyotajwa na Mahakama Kuu, na sheria hiyo au hatua inayohusika itaendelea kuhesabiwa kuwa ni halali hadi ama marekebisho yatakapofanywa au muda uliowekwa na Mahakama Kuu utakapokwisha, mradi muda mfupi zaidi ndio uzingatiwe.

Madaraka ya pekee ya Mamlaka ya Nchi (Ib. 31—32)

31. Ukiukaji wa haki na uhuru

(1)Mbali na masharti ya ibara ya 30(2), sheria yoyote iliyotungwa na Bunge haitakuwa haramu kwa sababu tu kwamba inawezesha hatua kuchukuliwa wakati wa hali ya hatari, au wakati wa hali ya kawaida kwa watu wanaoaminika kuwa wanafanya vitendo vinavyohatarisha au kudhuru usalama wa taifa, ambazo zinakiuka masharti ya ibara ya 14 na ya 15 za Katiba hii.
(2)Ni marufuku kwa hatua zilizotajwa katika ibara ndogo ya (1) ya ibara hii kuchukuliwa kwa mujibu wa sheria yoyote wakati wa hali ya hatari, au wakati wa hali ya kawaida kwa mtu yeyote, isipokuwa tu kwa kiasi ambacho ni lazima na halali kwa ajili ya kushughulikia hali iliyopo wakati wa hali ya hatari au wakati wa hali ya kawaida kushughulikia hali iliyosababishwa na mwenendo wa mtu anayehusika.
(3)Ifahamike kwamba masharti yaliyomo katika ibara hii hayataidhinisha mtu kunyang'anywa haki yake ya kuwa hai isipokuwa tu kwa kifo kama matokeo ya vitendo vya kivita.
(4)Kwa madhumuni ya ibara hii na ibara zifuatazo za Sehemu hii "wakati wa hali ya hatari" maana yake ni kipindi chochote ambapo Tangazo la Hali ya Hatari, lililotolewa na Rais kwa kutumia uwezo aliopewa katika ibara ya 32, linatumika.

32. Madaraka ya kutangaza hali ya hatari

(1)Bila ya kuathiri Katiba hii, au sheria iliyotungwa na Bunge kwa ajili hiyo, Rais aweza kutangaza hali ya hatari katika Jamhuri ya Muungano au katika sehemu yake yoyote.
(2)Rais aweza tu kutangaza kuwa kuna hali ya hatari iwapo–
(a)Jamhuri ya Muungano iko katika vita; au
(b)kuna hatari hasa kwamba Jamhuri ya Muungano inakaribia kuvamiwa au kuingia katika hali ya vita; au
(c)kuna hali halisi ya kuvurugika kwa amani ya jamii au kutoweka kwa usalama wa jamii katika Jamhuri ya Muungano au sehemu yake yoyote kiasi kwamba ni lazima kuchukua hatua za pekee ili kurejesha amani na usalama; au
(d)kuna hatari dhahiri na kubwa, kiasi kwamba amani ya jamii itavurugika na usalama wa raia kutoweka katika Jamhuri ya Muungano au sehemu yake yoyote ambayo haiwezi kuepukika isipokuwa kwa kutumia mamlaka ya pekee; au
(e)karibu kutatokea tukio la hatari au tukio la balaa au la baa ya kimazingira ambalo linatishia jamii au sehemu ya jamii katika Jamhuri ya Muungano; au
(f)kuna aina nyingineyo ya hatari ambayo kwa dhahiri ni tishio kwa nchi.
(3)Endapo inatangazwa kwamba kuna hali ya hatari katika Jamhuri ya Muungano nzima, au katika Tanzania Bara nzima au katika Tanzania Zanzibar nzima, Rais atatuma mara nakala ya tangazo hilo kwa Spika wa Bunge ambaye, baada ya kushauriana na Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni, ataitisha mkutano wa Bunge ndani ya siku zisizozidi kumi na nne, ili kuitafakari hali ya mambo na kuamua kupitisha au kutopitisha azimio, litakaloungwa mkono na kura za wajumbe wasiopungua theluthi mbili ya wajumbe wote, la kuunga mkono tangazo la hali ya hatari lililotolewa na Rais.
(4)Bunge laweza kutunga sheria inayoweka masharti kuhusu nyakati na utaratibu ambao utawawezesha watu fulani wenye kusimamia utekelezaji wa mamlaka ya Serikali katika sehemu mahususi za Jamhuri ya Muungano kumuomba Rais kutumia madaraka aliyopewa na ibara hii kuhusiana na yoyote kati ya sehemu hizi endapo katika sehemu hizi kunatokea yoyote kati ya hali zilizotajwa katika aya ya (c), (d) na (e) za ibara ndogo ya (2) na hali hiyo haivuki mipaka ya sehemu hizo; na pia kwa ajili ya kufafanua utekelezaji wa mamlaka ya Serikali wakati wa hali ya hatari.
(5)Tangazo la hali ya hatari lililotolewa na Rais kwa mujibu wa ibara hii litakoma kutumika–
(a)iwapo litafutwa na Rais;
(b)endapo zitapita siku kumi na nne tangu tangazo lilipotolewa kabla ya kupitishwa azimio lililotajwa katika ibara ndogo ya (3);
(c)baada ya kupita muda wa miezi sita tangu tangazo hilo lilipotolewa; isipokuwa kwamba kikao cha Bunge chaweza, kabla ya muda wa miezi sita kupita, kuongeza mara kwa mara muda wa tangazo hilo kutumika kwa vipindi vya miezi mingine sita kwa azimio litakaloungwa mkono na kura za wajumbe wa kikao hicho wasiopungua theluthi mbili ya wajumbe wote;
(d)wakati wowote ambapo mkutano wa Bunge utalitangua tangazo hilo kwa azimio litakaloungwa mkono na kura za wajumbe wasiopungua theluthi mbili ya wajumbe wote.
(6)Kwa madhumuni ya kuondoa mashaka juu ya ufafanuzi au utekelezaji wa masharti ya ibara hii, masharti ya sheria iliyotungwa na Bunge na ya sheria nyingine yoyote, inayohusu utangazaji wa hali ya hatari kama ilivyotajwa katika ibara hii, yatatumika tu katika sehemu ya Jamhuri ya Muungano ambapo hali hiyo ya hatari imetangazwa.

Sura ya Pili
Serikali ya Jamhuri ya Muungano (Ib. 33—61)

Sehemu ya Kwanza – Rais (Ib. 33—46B)

33. Rais wa Jamhuri ya Muungano

(1)Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano.
(2)Rais atakuwa Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.

34. Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Mamlaka yake

(1)Kutakuwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano ambayo itakuwa na mamlaka juu ya mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo mengine yote yahusuyo Tanzania Bara.
(2)Mamlaka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano yatahusu utekelezaji na hifadhi ya Katiba hii na pia mambo mengineyo yote ambayo Bunge lina mamlaka ya kuyatungia sheria.
(3)Mamlaka yote ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo mengineyo yote yahusuyo Tanzania Bara, yatakuwa mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
(4)Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, madaraka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano yatatekelezwa ama na Rais mwenyewe moja kwa moja au kwa kukasimu madaraka hayo kwa watu wengine wenye madaraka katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
(5)Ifahamike kwamba masharti yaliyomo katika ibara hii hayatahesabiwa kwamba–
(a)yanahamishia kwa Rais madaraka yoyote ya kisheria yaliyowekwa na sheria mikononi mwa mtu au mamlaka yoyote ambayo si Rais; au
(b)yanalizuia Bunge kukabidhi madaraka yoyote ya kisheria mikononi mwa mtu au watu au mamlaka yoyote ambayo si Rais.

35. Utekelezaji wa shughuli za Serikali

(1)Shughuli zote za utendaji za Serikali ya Jamhuri ya Muungano zitatekelezwa na watumishi wa Serikali kwa niaba ya Rais.
(2)Amri na maagizo mengine yanayotolewa kwa madhumuni ya ibara hii yatathibitishwa kwa namna itakavyoelezwa katika kanuni zilizowekwa na Rais, kwa kuzingatia masharti ya Katiba hii.

36. Mamlaka ya kuanzisha na kuwateua watu wa kushika nafasi za madaraka

(1)Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika Katiba hii na ya sheria nyingine yoyote, Rais atakuwa na mamlaka ya kuanzisha na kufuta nafasi za madaraka ya namna mbalimbali katika utumishi wa Umma wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
(2)Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushika nafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera za idara na taasisi za Umma na watendaji wakuu wanaowajibika kusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katika utumishi wa Umma wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazo zimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbali zilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuzi unaofanywa na Rais.
(3)Bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (2), masharti mengineyo yaliyomo katika Katiba hii na ya sheria yoyote inayohusika, mamlaka ya kuwateua watu wengine wote wasiokuwa viongozi wala watendaji wakuu, kushika nafasi za madaraka katika utumishi wa Umma wa Serikali ya Muungano, na pia mamlaka ya kuwapandisha vyeo watu hao, kuwaondoa katika madaraka, kuwafukuza kazi na mamlaka ya kudhibiti nidhamu ya watu waliokabidhiwa madaraka, yatakuwa mikononi mwa Tume za Utumishi na mamlaka mengineyo yaliyotajwa na kupewa madaraka kuhusu nafasi za madaraka kwa mujibu wa Katiba hii au kwa mujibu wa sheria yoyote inayohusika.
(4)Masharti ya ibara ndogo ya (2) na ya (3) hayatahesabiwa kuwa yanamzuia Rais kuchukua hatua za kudhibiti nidhamu ya watumishi na utumishi wa umma katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

37. Utekelezaji wa kazi na shughuli za Rais, n.k.3

3T. S. Na. ina maana Tangazo la Serikali namba 133 la 2001.
(1)Mbali na kuzingatia masharti yaliyomo katika Katiba hii na katika sheria za Jamhuri ya Muungano katika utendaji wa kazi na shughuli zake, Rais atakuwa huru na hatalazimika kufuata ushauri atakaopewa na mtu yeyote, isipokuwa tu pale anapotakiwa na Katiba hii au na sheria nyingine yoyote kufanya jambo lolote kulingana na ushauri anaopewa na mtu au mamlaka yoyote.
(2)Endapo Baraza la Mawaziri litaona kuwa Rais hawezi kumudu kazi zake kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili, laweza kuwasilisha kwa Jaji Mkuu azimio la kumwomba Jaji Mkuu athibitishe kwamba Rais, kwa sababu ya maradhi ya mwili au akili, hawezi kumudu kazi zake. Baada ya kupokea azimio kama hilo, Jaji Mkuu atateua Bodi ya utabibu ya watu wasiopungua watatu atakaowateua kutoka miongoni mwa mabingwa wanaotambuliwa na sheria ya matabibu ya Tanzania, na Bodi hiyo itachunguza suala hilo na kumshauri Jaji Mkuu ipasavyo, naye aweza, baada ya kutafakari ushahidi wa kitabibu kuwasilisha kwa Spika hati ya kuthibitisha kwamba Rais, kutokana na maradhi ya mwili au ya akili, hamudu kazi zake; na iwapo Jaji Mkuu hatabatilisha tamko hilo ndani ya siku saba kutokana na Rais kupata nafuu na kurejea kazini, basi itahesabiwa kwamba kiti cha Rais ki wazi, na masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (3) yatatumika.
(3)Ikitokea kwamba kiti cha Rais ki wazi kutokana na masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2), endapo kiti cha Rais ki wazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na shughuli za Rais zitatekelezwa na mmojawapo wa wafuatao, kwa kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani–
(a)Makamu wa Rais au kama nafasi yake i wazi au kama naye hayupo au ni mgonjwa; basi
(b)Spika wa Bunge au, kama nafasi yake i wazi au kama naye hayupo au ni mgonjwa; basi
(c)Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano.
(4)Endapo yeyote kati ya watu waliotajwa katika aya ya (b) na (c) za ibara ndogo ya (3) atatekeleza kazi na shughuli za Rais kutokana na sababu kwamba mtu mwingine anayemtangulia katika orodha hiyo hayupo, basi mtu huyo ataacha kutekeleza kazi na shughuli hizo mara tu mtu huyo mwingine anayemtangulia atakaporejea na akashika na kuanza kutekeleza kazi na shughuli za Rais.
(5)Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya 40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka Rais atapendekeza jina la mtu atakayekuwa Makamu wa Rais na uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua asilimia hamsini ya Wabunge wote.
(6)Ifahamike kwamba kiti cha Rais hakitakuwa ki wazi na Rais hatahesabiwa kwamba hayuko katika Jamhuri ya Muungano endapo–
(a)atakuwa hayupo katika mji ambao ndio makao makuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano;
(b)atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano kwa kipindi cha muda wa saa ishirini na nne; au
(c)atakuwa ni mgonjwa lakini anatumaini kuwa atapata nafuu baada ya muda si mrefu.
(7)Iwapo kutatokea lolote kati ya mambo yaliyotajwa katika ibara ndogo ya (6) na Rais akiona kuwa inafaa kuwakilisha madaraka yake kwa muda wa jambo hilo, basi aweza kutoa maagizo kwa maandishi ya kumteua yeyote kati ya watu waliotajwa katika aya ya (a) au ya (b) za ibara ndogo ya (3) ya ibara hii kwa ajili ya kutekeleza madaraka ya Rais wakati yeye hayupo au ni mgonjwa, na mtu huyo atakayeteuliwa atatekeleza madaraka hayo ya Rais kwa kufuata masharti yoyote yatakayowekwa na Rais; isipokuwa kwamba masharti yaliyomo katika ibara hii ndogo yafahamike kuwa hayapunguzi wala kuathiri uwezo wa Rais alionao kwa mujibu wa sheria nyingine yoyote wa kuwakilisha madaraka yake kwa mtu mwingine yeyote.
(8)Rais aweza, akiona inafaa kufanya hivyo, kumwagiza kwa maandishi Waziri yeyote kutekeleza kazi na shughuli zozote za Rais ambazo Rais atazitaja katika maagizo yake na Waziri aliyeagizwa hivyo kwa mujibu wa masharti ya ibara hii ndogo, atakuwa na mamlaka ya kutekeleza kazi na shughuli hizo kwa kufuata masharti yoyote yaliyowekwa na Rais, lakini bila ya kujali masharti ya sheria nyingine yoyote; isipokuwa kwamba–
(a)Rais hatakuwa na mamlaka ya kuwakilisha kwa Waziri kwa mujibu wa masharti ya ibara hii ndogo kazi yoyote ya Rais aliyokabidhiwa na sheria yoyote inayotokana na masharti ya mkataba wowote uliotiwa sahihi na Jamhuri ya Muungano iwapo kisheria Rais haruhusiwi kuwakilisha kazi hiyo kwa mtu mwingine yeyote;
(b)ifahamike kwamba maagizo yanayotolewa na Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara hii ndogo, ya kumwagiza Waziri yeyote kutekeleza kazi yoyote ya Rais, hayatahesabiwa kwamba yanamzuia Rais kutekeleza kazi hiyo yeye mwenyewe.
(9)Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya ibara hii–
(a)Mkutano wa Baraza la Mawaziri uliofanywa kwa ajili ya kuwasilisha kwa Jaji Mkuu azimio kuhusu hali ya afya ya Rais utahesabiwa kuwa ni mkutano halali hata kama mjumbe yeyote wa Baraza hilo hayupo au kiti chake ki wazi, na itahesabiwa kuwa Baraza limepitisha azimio hilo ikiwa litaungwa mkono kwa kauli ya wajumbe walio wengi waliohudhuria mkutano na kupiga kura;
(b)Rais hatahesabiwa kuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano kwa sababu tu ya kupitia nje ya Tanzania wakati yuko safarini kutoka sehemu moja ya Tanzania kwenda sehemu nyingine, au kwa sababu kwamba ametoa maagizo kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (7) na maagizo hayo bado hayajabatilishwa.
(10)Bila ya kujali masharti yaliyoelezwa hapo awali katika ibara hii, mtu atakayetekeleza kazi na shughuli za Rais kwa mujibu wa ibara hii hatakuwa na mamlaka ya kulivunja Bunge, kumwondoa yeyote kati ya Mawaziri katika madaraka yake, au kufuta uteuzi wowote uliofanywa na Rais.
(11)Mtu yeyote atakayetekeleza kazi na shughuli za Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara hii kama ni Mbunge hatapoteza kiti chake katika Bunge wala hatapoteza sifa zake za kuchaguliwa kuwa Mbunge kwa sababu tu ya kutekeleza kazi na shughuli za Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.

38. Uchaguzi wa Rais

(1)Rais atachaguliwa na wananchi kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii na kwa mujibu wa Sheria itakayoweka masharti kuhusu uchaguzi wa Rais ambayo itatungwa na Bunge kwa kufuata masharti ya Katiba hii.
(2)Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, kiti cha Rais kitakuwa ki wazi na uchaguzi wa Rais utafanyika au nafasi hiyo itajazwa vinginevyo kwa mujibu wa Katiba hii, kadri itakavyokuwa, kila mara litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo–
(a)baada ya Bunge kuvunjwa;
(b)baada ya Rais kujiuzulu bila ya kuvunja Bunge kwanza;
(c)baada ya Rais kupoteza sifa za kushika nafasi ya madaraka ya kuchaguliwa;
(d)baada ya Rais kushtakiwa Bungeni kwa mujibu wa Katiba hii, na kuondolewa katika madaraka;
(e)baada ya kuthibitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37 ya Katiba hii kwamba Rais hawezi kumudu kazi na shughuli zake;
(f)baada ya Rais kufariki.
(3)Kiti cha Rais hakitahesabiwa kuwa ki wazi kwa sababu tu ya Bunge kupitisha hoja ya kutokuwa na imani kwa Waziri Mkuu.

39. Sifa za mtu kuchaguliwa kuwa Rais

(1)Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama–
(a)ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa mujibu wa Sheria ya Uraia;
(b)ametimiza umri wa miaka arobaini;
(c)ni mwanachama, na mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa;
(d)anazo sifa za kumwezesha kuwa Mbunge au Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi;
(e)katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya Uchaguzi Mkuu hajawahi kutiwa hatiani katika Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa kodi yoyote ya Serikali.
(2)Bila ya kuingilia haki na uhuru wa mtu kuwa na maoni yake, kuamini dini atakayo, kushirikiana na wengine na kushiriki shughuli za umma kwa mujibu wa sheria za nchi, mtu yeyote hatakuwa na sifa za kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano kama si mwanachama na mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa.

40. Haki ya kuchaguliwa tena

(1)Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena kushika kiti hicho.
(2)Hakuna mtu atakayechaguliwa zaidi ya mara mbili kushika kiti cha Rais.
(3)Mtu aliyewahi kuwa Rais wa Zanzibar hatapoteza sifa za kuweza kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa sababu tu kwamba aliwahi kushika madaraka ya Rais wa Zanzibar.
(4)Endapo Makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama akishika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara moja tu.

41. Utaratibu wa uchaguzi wa Rais

(1)Baada ya Bunge kuvunjwa au kukitokea jambo jingine lolote lililotajwa katika ibara ndogo ya (2) ya ibara ya 38 na inalazimu uchaguzi wa Rais kufanyika, kila chama cha siasa kinachopenda kushiriki katika uchaguzi wa Rais kitawasilisha kwa Tume ya Uchaguzi, kwa mujibu wa sheria, jina la mwanachama wake mmoja kinayetaka asimame kama mgombea katika uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, na jina la mwanachama wake mwingine kinayempendekeza kwa nafasi ya Makamu wa Rais.
(2)Mapendekezo ya majina ya wagombea katika uchaguzi wa Rais yatawasilishwa kwa Tume ya Uchaguzi katika siku na saa itakayotajwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge, na mtu hatakuwa amependekezwa kwa halali isipokuwa tu kama kupendekezwa kwake kunaungwa mkono na wananchi wapiga kura kwa idadi na kwa namna itakayotajwa na sheria iliyotungwa na Bunge.
(3)Endapo inapofika saa na siku iliyotajwa kwa ajili ya kuwasilisha mapendekezo ya majina ya wagombea, ni mgombea mmoja tu ambaye anapendekezwa kwa halali, Tume itawasilisha jina lake kwa wananchi, nao watapiga kura ya kumkubali au kumkataa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii na ya sheria iliyotungwa na Bunge.
(4)Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano utafanywa siku itakayoteuliwa na Tume ya Uchaguzi kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.
(5)Mambo mengine yote yahusuyo utaratibu wa uchaguzi wa Rais yatakuwa kama itakavyofafanuliwa katika sheria iliyotungwa na Bunge kwa ajili hiyo.
(6)Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote.
(7)Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake.

42. Wakati na muda wa kushika madaraka ya Rais

(1)Rais mteule atashika madaraka ya Rais mapema iwezekanavyo baada ya kutangazwa kwamba amechaguliwa kuwa Rais, lakini kwa hali yoyote itabidi ashike madaraka kabla ya kupita siku saba.
(2)Isipokuwa kama atajiuzulu au atafariki mapema zaidi mtu aliyechaguliwa kuwa Rais, bila ya kuathiri masharti yaliyo katika ibara ndogo ya (3), atashika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitano tangu siku alipochaguliwa kuwa Rais.
(3)Mtu aliyechaguliwa kuwa Rais atashika kiti cha Rais hadi–
(a)siku ambapo mtu atakayemfuatia katika kushika kiti hicho atakula kiapo cha Rais; au
(b)siku ambapo atafariki dunia akiwa katika madaraka; au
(c)siku atakapojiuzulu; au
(d)atakapoacha kushika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.
(4)Iwapo Jamhuri ya Muungano inapigana vita dhidi ya adui na Rais anaona kuwa haiwezekani kufanya uchaguzi, Bunge laweza mara kwa mara kupitisha azimio la kuongeza muda wa miaka mitano uliotajwa katika ibara ndogo ya (2) ya ibara hii isipokuwa kwamba muda wowote utakaoongezwa kila mara hautazidi miezi sita.
(5)Kila Rais mteule na kila mtu atakayeshikilia kiti cha Rais, kabla ya kushika madaraka ya Rais, ataapa mbele ya Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano kiapo cha uaminifu na kiapo kingine chochote kinachohusika na utendaji wa kazi yake kitakachowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.

43. Masharti ya kazi ya Rais

(1)Rais atalipwa mshahara na malipo mengineyo, na atakapostaafu atapokea malipo ya uzeeni, kiinua mgongo au posho, kadri itakavyoamuliwa na Bunge, na mshahara, malipo hayo mengineyo, malipo ya uzeeni na kiinua mgongo hicho, vyote vitatokana na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vitatolewa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2)Mshahara na malipo mengineyo yote ya Rais havitapunguzwa wakati Rais atakapokuwa bado ameshika madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.

44. Madaraka ya kutangaza vita

(1)Bila ya kuathiri Katiba hii, au sheria yoyote iliyotungwa na Bunge kwa ajili hiyo, Rais aweza kutangaza kuwapo kwa hali ya vita kati ya Jamhuri ya Muungano na nchi yoyote.
(2)Baada ya kutoa tangazo, Rais atapeleka nakala ya tangazo hilo kwa Spika wa Bunge ambaye, baada ya kushauriana na Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni, ndani ya siku kumi na nne kuanzia tarehe ya tangazo, ataitisha mkutano wa Bunge ili kuitafakari hali ya mambo na kufikiria kupitisha au kutopitisha azimio la kuunga mkono tangazo la vita lililotolewa na Rais.

45. Uwezo wa kutoa msamaha

(1)Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika ibara hii, Rais anaweza kutenda lolote kati ya mambo yafuatayo–
(a)kutoa msamaha kwa mtu yeyote aliyepatikana na hatia mbele ya mahakama kwa kosa lolote, na aweza kutoa msamaha huo ama bila ya masharti au kwa masharti, kwa mujibu wa sheria;
(b)kumwachilia kabisa au kwa muda maalum mtu yeyote aliyehukumiwa kuadhibiwa kwa ajili ya kosa lolote ili mtu huyo asitimize kabisa adhabu hiyo au asitimize adhabu hiyo wakati wa muda huo maalum;
(c)kuibadilisha adhabu yoyote aliyopewa mtu yeyote kwa kosa lolote iwe adhabu tahafifu;
(d)kufuta adhabu yote au sehemu ya adhabu yoyote aliyopewa mtu yeyote kwa ajili ya kosa lolote au kufuta adhabu yote au sehemu ya adhabu ya kutoza, au kuhozi (au kuchukua) kitu cha mtu mwenye hatia ambacho vinginevyo kingechukuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
(2)Bunge laweza kutunga sheria kwa ajili ya kuweka utaratibu utakaofuatwa na Rais katika utekelezaji wa madaraka yake kwa mujibu wa ibara hii.
(3)Masharti ya ibara hii yatatumika kwa watu waliohukumiwa na kuadhibiwa Tanzania Zanzibar na kwa adhabu zilizotolewa Tanzania Zanzibar kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge inayotumika Tanzania Zanzibar, hali kadhalika, masharti hayo yatatumika kwa watu waliohukumiwa na kuadhibiwa Tanzania Bara kwa mujibu wa sheria.

46. Kinga dhidi ya mashtaka na madai

(1)Wakati wote Rais atakapokuwa bado ameshika madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii, itakuwa ni marufuku kumshtaki au kuendesha mashtaka ya aina yoyote juu yake mahakamani kwa ajili ya kosa lolote la jinai.
(2)Wakati wote Rais atakapokuwa bado ameshika madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii, haitaruhusiwa kufungua mahakamani shauri kuhusu jambo lolote alilolitenda au alilokosa kulitenda yeye binafsi kama raia wa kawaida ama kabla au baada ya kushika madaraka ya Rais, ila tu kama angalau siku thelathini kabla ya shauri kufunguliwa mahakamani, Rais atapewa au ametumiwa kwamba taarifa ya madai kwa maandishi kwa kufuata utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge, na taarifa hiyo ikiwa inatoa maelezo kuhusu chanzo cha shauri hilo, kiini cha madai yenyewe, jina lake na anwani ya mahali anapoishi huyo mdai na jambo hasa analodai.
(3)Isipokuwa kama ataacha kushika madaraka ya Rais kutokana na masharti ya ibara ya 46A(10), itakuwa ni marufuku kumshtaki au kufungua mahakamani shauri lolote la jinai au la kumdai mtu aliyekuwa anashika madaraka ya Rais baada ya kuacha madaraka hayo kutokana na jambo lolote alilofanya yeye kama Rais wakati alipokuwa bado anashika madaraka ya Rais kwa mujibu wa Katiba hii.

46A. Bunge laweza kumshtaki Rais

(1)Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii, Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa Rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshtaki Rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2)Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, hoja yoyote ya kumshtaki Rais haitatolewa isipokuwa tu kama inadaiwa kwamba Rais–
(a)ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au sheria ya maadili ya Viongozi wa Umma;
(b)ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba; au
(c)amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano, na haitatolewa hoja ya namna hiyo ndani ya miezi kumi na miwili tangu hoja kama hiyo ilipotolewa na ikakataliwa na Bunge.
(3)Bunge halitapitisha hoja ya kumshtaki Rais isipokuwa tu kama–
(a)taarifa ya maandishi, iliyotiwa sahihi na kuungwa mkono na Wabunge wasiopungua asilimia ishirini ya Wabunge wote itawasilishwa kwa Spika siku thelathini kabla ya kikao ambapo hoja hiyo inakusudiwa kutolewa Bungeni, ikifafanua makosa aliyoyatenda Rais, na ikipendekeza kuwa Kamati Maalum ya Uchunguzi iundwe ili ichunguze mashtaka yaliyowasilishwa dhidi ya Rais;
(b)wakati wowote baada ya Spika kupokea taarifa iliyotiwa sahihi na Wabunge na kujiridhisha kuwa masharti ya Katiba kwa ajili ya kuleta hoja yametimizwa, Spika atamruhusu mtoa hoja kuiwasilisha hoja hiyo, na kisha Spika atalitaka Bunge, bila ya kufanya majadiliano, lipige kura juu ya hoja ya kuunda Kamati Maalum ya Uchunguzi na kama ikiungwa mkono na Wabunge wasiopungua theluthi mbili ya Wabunge wote, atatangaza majina ya wajumbe wa Kamati Maalum ya Uchunguzi.
(4)Kamati Maalum ya Uchunguzi, kwa madhumuni ya ibara hii, itakuwa na wajumbe wafuatao, yaani–
(a)Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, ambaye atakuwa ndiye Mwenyekiti wa Kamati;
(b)Jaji Mkuu wa Tanzania Zanzibar; na
(c)Wabunge saba walioteuliwa na Spika kwa mujibu wa Kanuni za Bunge na kwa kuzingatia uwiano wa uwakilishi baina ya vyama vya siasa vinavyowakilishwa Bungeni.
(5)Endapo Bunge litapitisha hoja ya kuunda Kamati Maalum ya Uchunguzi, Rais atahesabiwa kuwa hayupo kazini, kisha kazi na madaraka ya Rais yatatekelezwa kwa mujibu wa masharti ya ibara 37(3) ya Katiba hii hadi Spika atakapomfahamisha Rais juu ya azimio la Bunge kuhusiana na mashtaka yaliyotolewa dhidi yake.
(6)Ndani ya siku saba baada ya Kamati Maalum ya Uchunguzi kuundwa, itakaa, ichunguze na kuchambua mashtaka dhidi ya Rais, pamoja na kumpatia Rais fursa ya kujieleza, kwa kufuata utaratibu uliowekwa na Kanuni za Bunge.
(7)Mapema iwezekanavyo, na kwa vyovyote vile katika muda usiozidi siku tisini, Kamati Maalum ya Uchunguzi itatoa taarifa yake kwa Spika.
(8)Baada ya Spika kupokea taarifa ya Kamati Maalum ya Uchunguzi, taarifa hiyo itawasilishwa Bungeni kwa kufuata utaratibu uliowekwa na Kanuni za Bunge.
(9)Baada ya taarifa ya Kamati Maalum ya Uchunguzi kuwasilishwa kwa mujibu wa ibara ndogo ya (8), Bunge litaijadili taarifa hiyo na litampa Rais fursa ya kujieleza, na kisha, kwa kura za Wabunge wasiopungua theluthi mbili ya Wabunge wote, Bunge litapitisha azimio ama kuwa mashtaka dhidi ya Rais yamethibitika, na kwamba hastahili kuendelea kushika kiti cha Rais, au kuwa mashtaka hayo hayakuthibitika.
(10)Endapo Bunge litapitisha azimio kuwa mashtaka dhidi ya Rais yamethibitika na kwamba hastahili kuendelea kushika kiti cha Rais, Spika atawafahamisha Rais na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi juu ya azimio la Bunge, na hapo Rais atawajibika kujiuzulu kabla ya kuisha kwa siku ya tatu tangu Bunge lilipopitisha azimio hilo.
(11)Endapo Rais ataacha kushika kiti cha Rais kutokana na mashtaka dhidi yake kuthibitika, hatakuwa na haki ya kupata malipo yoyote ya pensheni wala kupata haki au nafuu nyinginezo alizo nazo kwa mujibu wa Katiba au Sheria yoyote iliyotungwa na Bunge.

46B. Wajibu wa viongozi Wakuu wa vyombo vya Mamlaka ya Utendaji kudumisha Muungano

(1)Bila ya kuathiri wajibu wa kila raia uliotajwa katika ibara ya 28 ya Katiba hii, viongozi wakuu wa vyombo vyenye mamlaka ya utendaji katika Jamhuri ya Muungano vilivyotajwa katika ibara ya 4 ya Katiba hii, watawajibika, kila mmoja wao katika kutekeleza madaraka aliyopewa kwa mujibu wa Katiba hii au Katiba ya Zanzibar, 1984, kuhakikisha kuwa analinda, kuimarisha na kudumisha umoja wa Jamhuri ya Muungano.
(2)Kwa madhumuni ya masharti ya ibara ndogo ya (1), kila mmojawapo wa viongozi wakuu wa vyombo vyenye mamlaka ya utendaji katika Jamhuri ya Muungano kabla ya kushika madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii ataapa kuitetea na kudumisha umoja wa Jamhuri ya Muungano kwa mujibu wa Katiba hii.
(3)Viongozi wakuu wanaohusika na masharti ya ibara hii–
(a)Rais wa Jamhuri ya Muungano;
(b)Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano;
(c)Rais wa Zanzibar; na
(d)Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano.

Sehemu ya Pili – Makamu wa Rais (Ib 47—50)

47. Makamu mmoja wa Rais, kazi na mamlaka yake

(1)Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye ndiye msaidizi mkuu wa Rais kuhusu mambo ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla, na hususan–
(a)atamsaidia Rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku hata siku wa Mambo ya Muungano;
(b)atafanya kazi zote atakazoagizwa na Rais;
(c)atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayupo kazini au yuko nje ya nchi.
(2)Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 37(5), Makamu wa Rais atapatikana kwa kuchaguliwa katika uchaguzi ule ule kwa pamoja na Rais, baada ya kupendekezwa na chama chake wakati ule ule anapopendekezwa mgombea kiti cha Rais na watapigiwa kura kwa pamoja. Mgombea kiti cha Rais akichaguliwa basi na Makamu wa Rais atakuwa amechaguliwa.
(3)Mtu atateuliwa kugombea kiti cha Makamu wa Rais kwa kufuata kanuni kwamba endapo Rais wa Jamhuri ya Muungano atatoka sehemu moja ya Muungano, basi Makamu wa Rais atakuwa ni mtu anayetoka sehemu ya pili ya Muungano.
(4)Mtu hatateuliwa kugombea au kushika kiti cha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama–
(a)ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa mujibu wa sheria ya Uraia;
(b)ametimiza umri wa miaka arobaini;
(c)ni mwanachama na mgombea aliyependekezwa na Chama cha Siasa;
(d)anazo sifa za kumwezesha kuwa Mbunge au Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi;
(e)katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe uchaguzi hajawahi kutiwa hatiani katika Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa kodi yoyote ya Serikali.
(5)Chama chochote hakitazuiwa kumpendekeza mtu yeyote kuwa mgombea kiti cha Makamu wa Rais kwa sababu tu kwamba mtu huyo kwa wakati huo ameshika kiti cha Rais wa Zanzibar au kiti cha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano.
(6)Makamu wa Rais hatakuwa kwa wakati huo huo Mbunge, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wala Rais wa Zanzibar.
(7)Endapo mtu ambaye ni Waziri Mkuu, au Rais wa Zanzibar atateuliwa au kuchaguliwa kuwa Makamu wa Rais ataacha kiti cha Waziri Mkuu, au cha Rais wa Zanzibar, kadri itakavyokuwa.
(8)Makamu wa Rais atatekeleza madaraka yake chini ya uongozi na usimamizi wa Rais, na ataongoza na kuwajibika kwa Rais kuhusu mambo au shughuli zozote atakazokabidhiwa na Rais.

48. Wakati wa Makamu wa Rais kushika madaraka

(1)Makamu wa Rais atashika madaraka ya Makamu wa Rais siku hiyo hiyo Rais anaposhika madaraka.
(2)Makamu wa Rais aliyeteuliwa kwa mujibu wa Ibara ya 50(3) ataapa na kushika madaraka yake baada ya uteuzi wake kuthibitishwa na Bunge.

49. Kiapo cha Makamu wa Rais

Makamu wa Rais, kabla ya kushika madaraka yake ataapishwa mbele ya Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, kiapo cha uaminifu na pia kiapo kingine chochote kinachohusika na utendaji wa kazi yake kitakachowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.

50. Muda wa Makamu wa Rais kushika Madaraka

(1)Isipokuwa kama atajiuzulu atafariki mapema zaidi, mtu aliyechaguliwa, au kuteuliwa kwa mujibu wa ibara ya 37(5), kuwa Makamu wa Rais, bila ya kuathiri masharti mengine ya ibara hii, atashika kiti cha Makamu wa Rais kwa muda wa miaka mitano tangu alipochaguliwa kuwa Makamu wa Rais.
(2)Makamu wa Rais atashika kiti hicho hadi–
(a)muda wake utakapokwisha;
(b)akifariki dunia akiwa katika madaraka;
(c)atakapojiuzulu;
(d)atakapoapishwa kuwa Rais baada ya kiti cha Rais kuwa wazi;
(e)atakapotiwa hatiani kwa kosa la jinai linaloonyesha utovu wake wa uaminifu;
(f)atakapoapishwa Rais mwingine kushika nafasi ya Rais pamoja na Makamu wake;
(g)atakapoondolewa madarakani baada ya kushtakiwa Bungeni kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (3) ya Ibara hii;
(h)atakapoacha kushika kiti cha Makamu wa Rais vinginevyo kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.
(3)Bunge litakuwa na madaraka ya kumuondoa Makamu wa Rais madarakani kama yale liliyonayo kuhusiana na Rais, isipokuwa kwamba hoja yoyote ya kumshtaki Makamu wa Rais itatolewa tu kama inadaiwa kwamba–
(a)Rais amewasilisha hati kwa Spika inayoeleza kwamba Makamu wa Rais ameacha au ameshindwa kutekeleza kazi za Makamu wa Rais;
(b)ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(c)ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba;
(d)amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano au kiti cha Makamu wa Rais, na haitatolewa hoja ya namna hiyo ndani ya miezi kumi na miwili tangu hoja hiyo ilipotolewa na ikakataliwa na Bunge.
(4)Ikitokea kwamba kiti cha Makamu wa Rais ki wazi kutokana na masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya 50(3), kwa kutokana na kifo au kujiuzulu, basi mapema iwezekanavyo na kwa vyovyote ndani ya siku zisizozidi kumi na nne baada ya kiticha Makamu wa Rais kuwa wazi, Rais atamteua mtu atakayekuwa Makamu wa Rais kushika madaraka yake na uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura za Wabunge walio wengi.
(5)Masharti mengine yote ya ibara ya 46A ya Katiba yatatumika pia kuhusiana na Makamu wa Rais isipokuwa tu kwamba Makamu wa Rais aliyeondolewa tena madarakani chini ya ibara ndogo ya (3) hatakuwa na sifa za kushika nafasi ya Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu wala Rais wa Zanzibar.

Sehemu ya Tatu – Waziri Mkuu, Baraza la Mawaziri na Serikali (Ib 51—61)

Waziri Mkuu (Ib 51—53A)

51. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano

(1)Kutakuwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano atakayeteuliwa na Rais kwa kufuata masharti ya ibara hii na ambaye kabla ya kushika madaraka yake, ataapa mbele ya Rais kwa kiapo kinachohusika na kiti cha Waziri Mkuu kitakachowekwa na Bunge.
(2)Mapema iwezekanavyo, na kwa vyovyote vile ndani ya siku kumi na nne, baada ya kushika madaraka yake, Rais atamteua Mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika jimbo la uchaguzi anayetokana na chama cha siasa chenye Wabunge wengi zaidi Bungeni au, kama hakuna chama cha siasa chenye Wabunge wengi zaidi, anayeelekea kuungwa mkono na Wabunge walio wengi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, naye hatashika madaraka hayo mpaka kwanza uteuzi wake uwe umethibitishwa na Bunge kwa azimio litakaloungwa mkono na kura za Wabunge walio wengi.
(3)Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, Waziri Mkuu atashika kiti cha Waziri Mkuu hadi–
(a)siku ambapo Rais mteule ataapa kushika kiti chake; au
(b)siku ambapo atafariki dunia akiwa katika madaraka; au
(c)siku atakapojiuzulu; au
(d)siku Rais atakapomteua Mbunge mwingine kuwa Waziri Mkuu; au
(e)atakapoacha kushika kiti cha Waziri Mkuu kwa mujibu wa masharti mengineyo ya Katiba hii.

52. Kazi na mamlaka ya Waziri Mkuu

(1)Waziri Mkuu atakuwa na madaraka juu ya udhibiti, usimamiaji, utekelezaji wa siku hata siku wa kazi na shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
(2)Waziri Mkuu atakuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni.
(3)Katika utekelezaji wa madaraka yake, Waziri Mkuu atatekeleza au kusababisha utekelezaji wa jambo lolote au mambo yoyote ambayo Rais ataagiza kwamba yatekelezwe.

53. Uwajibikaji wa Serikali

(1)Bila ya kuathiri masharti ya Katiba hii, Waziri Mkuu atawajibika kwa Rais kuhusu utekelezaji wa madaraka yake.
(2)Serikali ya Jamhuri ya Muungano, chini ya mamlaka ya Rais, ndiyo itakuwa na uwezo wa kufanya maamuzi juu ya sera ya Serikali kwa jumla; na Mawaziri, chini ya uongozi wa Waziri Mkuu, watawajibika kwa pamoja Bungeni kuhusu utekelezaji wa shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

53A. Kura ya kutokuwa na imani

(1)Bila ya kujali masharti ya ibara ya 51 ya Katiba hii, Bunge linaweza kupitisha azimio la kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu endapo itatolewa hoja kupendekeza hivyo na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2)Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, hoja yoyote ya kutaka kupitisha kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu haitatolewa Bungeni endapo–
(a)haina uhusiano na utekelezaji wa majukumu ya Waziri Mkuu kwa mujibu wa ibara ya 52 ya Katiba hii, wala hakuna madai kwamba Waziri Mkuu amevunja sheria ya Maadili ya viongozi wa Umma;
(b)haijapita miezi sita tangu alipoteuliwa;
(c)haijapita miezi tisa tangu hoja ya namna hiyo ilipotolewa Bungeni na Bunge likakataa kuipitisha.
(3)Hoja ya kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu haitapitishwa na Bunge isipokuwa tu kama–
(a)taarifa ya maandishi, iliyotiwa sahihi na kuungwa mkono na Wabunge wasiopungua asilimia ishirini ya Wabunge wote itatolewa kwa Spika, siku angalau kumi na nne kabla ya siku inapokusudiwa kuwasilishwa Bungeni;
(b)Spika atajiridhisha kuwa masharti ya Katiba kwa ajili ya kuleta hoja yametimizwa.
(4)Hoja iliyotimiza masharti ya ibara hii itawasilishwa Bungeni mapema iwezekanavyo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge.
(5)Hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu itapitishwa tu iwapo inaungwa mkono na Wabunge walio wengi.
(6)Endapo hoja ya kura ya kutokuwa na imani kwa Waziri Mkuu itaungwa mkono na Wabunge wengi, Spika atawasilisha azimio hilo kwa Rais, na mapema iwezekanavyo, na kwa vyovyote vile ndani ya siku mbili tangu Bunge lilipopitisha azimio la hoja ya kura ya kutokuwa na imani kwa Waziri Mkuu, Waziri Mkuu atatakiwa ajiuzulu, na Rais atamteua Mbunge mwingine kuwa Waziri Mkuu.

Baraza la Mawaziri na Serikali (Ib 54—61)

54. Baraza la Mawaziri

(1)Kutakuwa na Baraza la Mawaziri ambalo wajumbe wake watakuwa ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Rais wa Zanzibar na Mawaziri wote.
(2)Rais atahudhuria mikutano ya Baraza la Mawaziri na ndiye atakayeongoza mikutano hiyo. Na endapo Rais hayupo basi mikutano itaongozwa na Makamu wa Rais na kama wote wawili Rais na Makamu wa Rais hawapo, Waziri Mkuu ndiye ataongoza mikutano hiyo.
(3)Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika ibara ya 37(1) ya Katiba hii, Baraza la Mawaziri litakuwa ndicho chombo kikuu cha kumshauri Rais juu ya mambo yote yanayohusika na utekelezaji wa madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii, na litamsaidia na kumshauri Rais juu ya jambo lolote litakalowasilishwa kwenye Baraza hilo kwa mujibu wa maagizo maalum au maagizo ya jumla yatakayotolewa na Rais.
(4)Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahudhuria mikutano yote ya Baraza la Mawaziri na atakuwa na haki zote za mjumbe wa mikutano hiyo isipokuwa hatakuwa na haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo.
(5)Suala kama ushauri wowote, na ni ushauri gani uliotolewa na Baraza la Mawaziri kwa Rais, halitachunguzwa katika mahakama yoyote.

55. Uteuzi wa Mawaziri

(1)Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la Mawaziri kwa mujibu wa ibara ya 58 watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri Mkuu.
(2)Pamoja na Mawaziri waliotajwa katika ibara ndogo ya (1), Rais aweza, baada ya kushauriana na Waziri Mkuu, kuwateua Naibu Mawaziri. Naibu Mawaziri wote hawatakuwa wajumbe wa Baraza la Mawaziri.
(3)Rais aweza kuteua idadi yoyote ya Naibu Mawaziri ambao watawasaidia Mawaziri katika utekelezaji wa kazi na shughuli zao.
(4)Mawaziri na Naibu Mawaziri wote watateuliwa kutoka miongoni mwa Wabunge.
(5)Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) ikitokea kwamba Rais anahitajiwa kumteua Waziri au Naibu Waziri baada ya Bunge kuvunjwa, basi aweza kumteua mtu yeyote ambaye alikuwa Mbunge kabla ya Bunge kuvunjwa.

56. Kiapo cha Mawaziri na Naibu Mawaziri

Waziri au Naibu Waziri hatashika madaraka yake ila mpaka awe ameapa kwanza mbele ya Rais kiapo cha uaminifu na pia kiapo kingine chochote kinachohusika na utendaji wa kazi yake kitakachowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.

57. Wakati wa muda wa Mawaziri kushika madaraka

(1)Muda wa kushika madaraka ya Waziri na Naibu Waziri utaanza tarehe atakapoteuliwa kushika madaraka hayo.
(2)Kiti cha Waziri au Naibu Waziri kitakuwa wazi litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo–
(a)endapo mwenye madaraka atajiuzulu au kufariki dunia;
(b)ikiwa mwenye madaraka hayo atakoma kuwa Mbunge kwa sababu yoyote isiyohusika na kuvunjwa kwa Bunge;
(c)ikiwa Rais atafuta uteuzi na kumwondoa kazini mwenye madaraka hayo;
(d)iwapo atachaguliwa kuwa Spika;
(e)iwapo Waziri Mkuu atajiuzulu au kiti chake kikiwa wazi kwa sababu nyingine yoyote;
(f)ukiwadia wakati wa Rais mteule kushika madaraka ya Rais basi mara tu kabla Rais mteule hajashika madaraka hayo;
(g)iwapo Baraza la Maadili linatoa uamuzi unaothibitisha kwamba amevunja sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

58. Masharti ya kazi ya Mawaziri

Mawaziri na Naibu Mawaziri watashika madaraka yao kwa ridhaa ya Rais, na watalipwa mshahara, posho na malipo mengineyo kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.

59. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano

(1)Kutakuwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano ambaye katika ibara zifuatazo za Katiba hii atatajwa tu kwa kifupi kama "Mwanasheria Mkuu" ambaye atateuliwa na Rais.
(2)Mtu yeyote hatastahili kuteuliwa kushika au kutekeleza madaraka ya Mwanasheria Mkuu isipokuwa tu kama kwa mujibu wa Katiba hii ana sifa maalum, kama ilivyofafanuliwa katika ibara ya 109(8) zinazomwezesha kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano au Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, na amekuwa na mojawapo ya hizo sifa maalum kwa muda usiopungua miaka mitano.
(3)Mwanasheria Mkuu atakuwa ndiye mshauri mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya mambo ya sheria na, kwa ajili hiyo, atawajibika kutoa ushauri kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano kuhusu mambo yote ya kisheria, na kutekeleza shughuli nyinginezo zozote zenye asili ya au kuhusiana na sheria zitakazopelekwa kwake au atakazoagizwa na Rais kuzitekeleza, na pia kutekeleza kazi au shughuli nyinginezo zilizokabidhiwa kwake na Katiba hii au na sheria yoyote.
(4)Katika kutekeleza kazi na shughuli zake kwa mujibu wa ibara hii, Mwanasheria Mkuu atakuwa na haki ya kuhudhuria na kusikilizwa katika mahakama zote katika Jamhuri ya Muungano.
(5)Mwanasheria Mkuu atakuwa Mbunge kutokana na wadhifa wake, na atashika madaraka yake mpaka–
(a)uteuzi wake utakapofutwa na Rais; au
(b)mara tu kabla ya Rais mteule kushika madaraka ya Rais,
na atalipwa mshahara, posho na malipo mengine kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.

60. Katibu wa Baraza la Mawaziri

Kutakuwa na Katibu wa Baraza la Mawaziri ambaye atakuwa ndiye mtendaji mkuu katika Ofisi ya Baraza la Mawaziri, na atatekeleza shughuli zifuatazo kwa kufuata maagizo ya jumla au maalum atakayopewa na Rais, yaani–
(a)kuanda ratiba ya mikutano ya Baraza na kutayarisha orodha ya shughuli za kila mkutano;
(b)kuandika na kuweka kumbukumbu za mikutano ya Baraza;
(c)kutoa taarifa na maelezo ya maamuzi ya Baraza kwa kila mtu au chombo cha umma kinachohusika na uamuzi wowote; na
(d)kutekeleza kazi na shughuli nyingine zozote atakazoagizwa mara kwa mara na Rais.

61. Wakuu wa Mikoa

(1)Kutakuwa na Mkuu wa Mkoa kwa kila Mkoa katika Jamhuri ya Muungano ambaye, bila ya kuathiri ibara ndogo ya (3), atakuwa ni kiongozi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
(2)Wakuu wa Mikoa katika Tanzania Bara watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri Mkuu.
(3)Wakuu wa Mikoa katika Tanzania Zanzibar watateuliwa na Rais wa Zanzibar baada ya kushauriana na Rais.
(4)Bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (5), kila Mkuu wa Mkoa, atakuwa na wajibu wa kusimamia utekelezaji wa kazi na shughuli zote za Serikali ya Jamhuri ya Muungano katika Mkoa aliokabidhiwa; na kwa ajili hiyo, atatekeleza kazi na shughuli zote zilizotajwa na sheria, au kwa mujibu wa sheria kama ni kazi au shughuli za Mkuu wa Mkoa na atakuwa na madaraka yote yatakayotajwa na Sheria yoyote iliyotungwa na Bunge.
(5)Pamoja na wajibu na madaraka yake yaliyotajwa kwenye masharti yaliyotangulia ya ibara hii, Mkuu wa Mkoa kwa Mkoa wowote katika Tanzania Zanzibar atatekeleza kazi na shughuli za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar atakazokabidhiwa na Rais wa Zanzibar, na kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar 1984 au sheria yoyote iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

Sura ya Tatu
Bunge la Jamhuri ya Muungano (Ib. 62—101)

Sehemu ya Kwanza – Bunge (Ib. 62—65)

62. Bunge

(1)Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili, yaani Rais na Wabunge.
(2)Bunge litakuwa na Wajumbe wa aina zote zilizotajwa katika ibara ya 66 ya Katiba hii ambao wote wataitwa Wabunge.
(3)Iwapo jambo lolote lahitaji kuamuliwa au kutekelezwa na sehemu zote mbili za Bunge kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii au masharti ya sheria nyingine yoyote, basi jambo hilo halitahesabiwa kuwa limeamuliwa au limetekelezwa ipasavyo ila mpaka liwe limeamuliwa au limetekelezwa na Wabunge na vile vile na Rais, kwa mujibu wa madaraka yao kuhusu jambo hilo.

63. Madaraka ya Bunge

(1)Rais kama sehemu moja ya Bunge atatekeleza madaraka yote aliyokabidhiwa na Katiba hii kwa ajili hiyo.
(2)Sehemu ya pili ya Bunge itakuwa ndicho chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kitakuwa na madaraka, kwa niaba ya wananchi, kuisimamia na kuishauri Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wa majukumu yake kwa mujibu wa Katiba hii.
(3)Kwa madhumuni ya utekelezaji wa madaraka yake Bunge laweza–
(a)kumuuliza Waziri yeyote swali lolote kuhusu mambo ya umma katika Jamhuri ya Muungano ambayo yako katika wajibu wake;
(b)kujadili utekelezaji wa kila Wizara wakati wa Mkutano wa Bunge wa kila mwaka wa bajeti;
(c)kujadili na kuidhinisha mpango wowote wa muda mrefu au wa muda mfupi unaokusudiwa kutekelezwa katika Jamhuri ya Muungano, na kutunga sheria ya kusimamia utekelezaji wa mpango huo;
(d)kutunga sheria pale ambapo utekelezaji unahitaji kuwapo sheria;
(e)kujadili na kuridhia mikataba yote inayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa.

64. Madaraka ya kutunga Sheria

(1)Mamlaka yote ya kutunga sheria juu ya mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo mengine yote yahusuyo Tanzania Bara, yatakuwa mikononi mwa Bunge.
(2)Mamlaka yote ya kutunga Sheria katika Tanzania Zanzibar juu ya mambo yote yasiyo Mambo ya Muungano yatakuwa mikononi mwa Baraza la Wawakilishi.
(3)Endapo sheria yoyote iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi inahusu jambo lolote katika Tanzania Zanzibar ambalo liko chini ya mamlaka ya Bunge, sheria hiyo itakuwa batili na itatanguka na pia endapo sheria yoyote iliyotungwa na Bunge inahusu jambo lolote ambalo liko chini ya mamlaka ya Baraza la Wawakilishi, sheria hiyo itakuwa batili na itatanguka.
(4)Sheria yoyote iliyotungwa na Bunge kuhusu jambo lolote haitatumika Tanzania Zanzibar ila kwa mujibu wa masharti yafuatayo–
(a)Sheria hiyo iwe imetamka wazi kwamba itatumika Tanzania Bara na vile vile Tanzania Zanzibar au iwe inabadilisha, kurekebisha au kufuta sheria inayotumika Tanzania Zanzibar; au
(b)Sheria hiyo iwe inabadilisha au kurekebisha au kufuta sheria iliyokuwa inatumika tangu zamani Tanzania Bara ambayo ilikuwa inatumika pia Tanzania Zanzibar kwa mujibu wa Mapatano ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ya mwaka 1964, au kwa mujibu wa sheria yoyote ambayo ilitamka wazi kwamba itatumika Tanzania Bara na vile vile Tanzania Zanzibar; au
(c)Sheria hiyo iwe inahusu Mambo ya Muungano, na kila inapotajwa Tanzania katika sheria yoyote ifahamike kuwa sheria hiyo itatumika katika Jamhuri ya Muungano kwa mujibu wa ufafanuzi uliotolewa na masharti ya ibara hii.
(5)Bila ya kuathiri kutumika kwa Katiba ya Zanzibar kwa mujibu wa Katiba hii kuhusu mambo yote ya Tanzania Zanzibar yasiyo Mambo ya Muungano, Katiba hii itakuwa na nguvu ya sheria katika Jamhuri nzima ya Muungano na endapo sheria nyingine yoyote itakiuka masharti yaliyomo katika Katiba hii, Katiba ndiyo itakuwa na nguvu, na sheria hiyo nyingine, kwa kiasi inachokiuka Katiba, itakuwa batili.

65. Muda wa Bunge

(1)Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, maisha ya kila Bunge yatakuwa ni muda wa miaka mitano.
(2)Kwa madhumuni ya Katiba hii maneno "maisha ya Bunge" maana yake ni ule muda wote unaoanzia tarehe ambapo Bunge jipya limeitishwa kukutana kwa mara ya kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu na kuishia tarehe ya kuvunjwa kwa Bunge kwa ajili ya kuwezesha Uchaguzi Mkuu mwingine wa kawaida kufanyika.

Sehemu ya Pili – Wabunge, wilaya za uchaguzi na uchaguzi wa wabunge (Ib 66—83)

Wajumbe wa Bunge (Ib 66—73)

66. Wabunge

(1)Bila ya kuathiri masharti mengine ya ibara hii, kutakuwa na aina zifuatazo za Wabunge, yaani–
(a)Wabunge waliochaguliwa kuwakilisha majimbo ya uchaguzi;
(b)Wabunge wanawake wa idadi inayoongezeka, kuanzia asilimia ishirini ya Wabunge waliotajwa katika aya ya (a), (c) na (d), itakayotajwa mara kwa mara na Tume ya Uchaguzi kwa taarifa itakayochapishwa katika Gazeti la Serikali baada ya kupata kibali cha Rais, watakaochaguliwa na vyama vya siasa vinavyowakilishwa Bungeni, kwa mujibu wa ibara ya 78, na kwa kuzingatia masharti ya uwiano wa uwakilishi baina ya vyama hivyo;
(c)Wabunge watano waliochaguliwa na Baraza la Wawakilishi kutoka miongoni mwa wajumbe wake;
(d)Mwanasheria Mkuu;
(e)Wabunge wasiozidi kumi walioteuliwa na Rais kutoka miongoni mwa watu wenye sifa kwa mujibu wa ibara ya 67, isipokuwa sifa iliyotajwa katika ibara ya 67(1)(b).
(2)Rais, Makamu wa Rais na Rais wa Zanzibar, kila mmojawao hatakuwa Mbunge.
(3)Endapo Mkuu wa Mkoa atachaguliwa kuwa Mbunge anayewakilisha wilaya ya uchaguzi au endapo Mbunge anayewakilisha wilaya ya uchaguzi atateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa, Bunge litahesabiwa kuwa lina idadi ya Wabunge inayohitajika na shughuli zake zitakuwa halali ingawaje idadi ya jumla ya kawaida ya Wabunge kwa mujibu wa masharti ya ibara hii, itakuwa imepungua kutokana na uchaguzi huo wa Mkuu wa Mkoa au uteuzi huo wa Mbunge anayewakilisha wilaya ya uchaguzi.

67. Sifa za mtu kuwa Mbunge

(1)Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote atakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge endapo–
(a)ni raia wa Jamhuri ya Muungano aliyetimiza umri wa miaka ishirini na moja, na ambaye anajua kusoma na kuandika katika Kiswahili au Kiingereza;
(b)ni mwanachama na ni mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa;
(c)katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya uchaguzi hakuwahi kutiwa hatiani katika Mahakama yoyote kwa kosa la kukwepa kulipa kodi yoyote ya Serikali.
(2)Mtu hatakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge–
(a)ikiwa mtu huyo anao au kwa hiari yake amejipatia uraia wa nchi nyingine yoyote; au
(b)ikiwa kwa mujibu wa Sheria inayotumika katika Jamhuri ya Muungano imethibitishwa rasmi kwamba mtu huyo ana ugonjwa wa akili; au
(c)ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na utovu wa uaminifu; au
(d)ikiwa katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya Uchaguzi Mkuu amepata kuhukumiwa na kupewa adhabu ya kifungo kwa kosa linaloambatana na utovu wa uaminifu au kwa kuvunja Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(e)bila ya kuingilia haki na uhuru wa mtu kuwa na maoni yake, kuamini dini atakayo, kushirikiana na wengine na kushiriki shughuli za umma kwa mujibu wa sheria za nchi, ikiwa mtu huyo si mwanachama na mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa;
(f)ikiwa mtu huyo ana masilahi yoyote katika mkataba wa Serikali wa aina yoyote aliyowekewa miiko maalum kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge, na iwapo amekiuka miiko hiyo;
(g)ikiwa mtu huyo ameshika madaraka ya afisa mwandamizi katika utumishi wa Umma wa Jamhuri ya Muungano isipokuwa madaraka ambayo Rais aweza au anatakiwa kukabidhi kwa Mbunge kwa mujibu wa Katiba hii au sheria iliyotungwa na Bunge;
(h)ikiwa kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge inayoshughulikia makosa yanayohusika na uchaguzi wa aina yoyote mtu huyo amezuiliwa kujiandikisha kama mpiga kura au kupiga kura katika uchaguzi wa Wabunge.
(3)Mtu hataweza kugombea uchaguzi kuwa Mbunge wa kuwakilisha jimbo la uchaguzi katika Uchaguzi Mkuu wowote ikiwa wakati huo yeye amesimama katika uchaguzi kugombea kiti cha Rais, wala hataweza kugombea uchaguzi kuwa Mbunge katika uchaguzi mdogo wowote ikiwa yeye ni Rais.
(4)Bunge laweza kutunga Sheria kwa ajili ya kuweka masharti yatakayomzuia mtu asichaguliwe kuwa Mbunge wa kuwakilisha jimbo la uchaguzi ikiwa mtu huyo ni mwenye madaraka yanayohusika na shughuli za kuongoza au kusimamia uchaguzi wa Wabunge au shughuli za uandikishaji wa wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Wabunge; isipokuwa kwamba sheria kama hiyo haiwezi kuweka masharti yatakayomzuia Spika wa Bunge asichaguliwe kuwa Mbunge wa kuwakilisha wilaya ya uchaguzi, wala masharti yatakayosababisha mtu aliyechaguliwa kuwa Spika kupoteza kiti cha Spika au kiti chake cha kawaida katika Bunge.
(5)Bunge laweza kutunga Sheria kwa ajili ya kuweka masharti yatakayomzuia mtu asichaguliwe kuwa Mbunge wa kuwakilisha wilaya ya uchaguzi kwa muda wowote utakaotajwa na Bunge (ilimradi muda huo usizidi miaka mitano) ikiwa mtu huyo atapatikana na hatia mbele ya mahakama kwa ajili ya aina yoyote ya makosa yatakayotajwa katika Sheria hiyo yanayohusika na uchaguzi wa Wabunge.
(6)Kwa madhumuni ya kutoa fursa ya kukata rufaa kwa mujibu wa Sheria kwa mtu yeyote aliyethibitishwa rasmi kisheria kuwa ana ugonjwa wa akili au aliyehukumiwa na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani au aliyepatikana na hatia ya kosa lolote lililotajwa katika Sheria kwa mujibu wa ibara ndogo ya (5) ya ibara hii, Bunge laweza kutunga Sheria kwa ajili ya kuweka masharti yatakayoeleza kwamba hiyo hukumu inayopingwa na mtu huyo haitakuwa na nguvu kwa ajili ya utekelezaji wa masharti ya ibara ndogo ya (2) au ya (5) ya ibara hii mpaka upite kwanza muda utakaotajwa katika sheria hiyo.
(7)Kanuni zifuatazo zitatumika kwa ajili ya ufafanuzi wa aya ya (c), ya (d) na ya (e) za ibara ndogo ya (2) ya ibara hii, yaani–
(a)ikiwa mtu amepewa adhabu mbili au zaidi za kufungwa gerezani na ameamriwa afungwe kwa muda wa mfululizo, basi adhabu hizo zitahesabiwa kama ni adhabu mbali mbali iwapo muda uliotajwa katika kila moja ya adhabu hizo hauzidi miezi sita; lakini iwapo muda uliotajwa katika adhabu yoyote kati ya adhabu hizo unazidi miezi sita basi adhabu hizo zote zitahesabiwa kama ni adhabu moja;
(b)ikiwa mtu atapewa adhabu ya kufungwa gerezani ikifahamika kuwa adhabu hiyo ya kifungo imetolewa badala ya adhabu ya kutozwa faini au imetolewa kwa sababu mtu huyo ameshindwa kulipa faini aliyoamriwa kulipa, basi muda wa kifungo cha namna hiyo hautahesabiwa.
(8)Katika aya ya (f) ya ibara ndogo ya (2) ya ibara hii "mkataba wa Serikali" maana yake ni mapatano yoyote ya mkataba ambayo mmojawapo wa walioshiriki ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano au Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar au Idara yoyote ya Serikali au mtumishi yeyote wa Umma aliyeshiriki kwa niaba ya Serikali.
(9)[Ibara ndogo ya (9) imefutwa na Sheria Na. 4 ya 1992 ib. 19(d)]
(10)[Ibara ndogo ya (10) imefutwa na Sheria Na. 4 ya 1992 ib. 19(d)]
(11)[Ibara ndogo ya (11) imefutwa na Sheria Na. 4 ya 1992 ib. 19(d)]
(12)[Ibara ndogo ya (12) imefutwa na Sheria Na. 4 ya 1992 ib. 19(d)]
(13)Kwa ajili ya ufafanuzi wa maelezo kuhusu sifa za uchaguzi yaliyomo katika ibara zifuatazo, kila itakapotajwa katika Katiba hii kwamba utekelezaji wa jambo lolote wahitaji mtu mwenye sifa au uchaguzi au mtu ambaye hakupoteza sifa za uchaguzi, basi, isipokuwa kama maelezo yahitajia vinginevyo, ifahamike kuwa sifa zinazohusika ni zile zinazomwezesha mtu kuchaguliwa kuwa Mbunge wa kuwakilisha jimbo la uchaguzi kama ilivyoelezwa katika ibara ndogo ya (1) ya ibara hii.

68. Kiapo cha Wabunge

Kila Mbunge atatakiwa kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za Bunge; lakini Mbunge aweza kushiriki katika uchaguzi wa Spika hata kabla hajaapishwa.

69. Tamko rasmi la Wabunge kuhusu maadili ya Viongozi

(1)Kila Mbunge atatakiwa, kabla ya kumalizika siku thelathini tangu aapishwe kushika madaraka yake kama Mbunge kuwasilisha kwa Spika nakala mbili za tamko rasmi kwamba hajapoteza sifa za uchaguzi kwa mujibu wa masharti ya aya ya (d) ya ibara ndogo ya (2) ya ibara ya 67.
(2)Tamko rasmi linalotakiwa kuwasilishwa kwa Spika kwa mujibu wa masharti ya ibara hii litatolewa kwa kutumia fomu maalum itakayowekwa kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge.
(3)Spika atawasilisha kwa Kamishna wa Maadili nakala moja ya kila tamko rasmi lililowasilishwa kwake kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(4)Katika ibara hii na katika ibara ya 70 na ya 84 "Kamishna wa Maadili" maana yake ni Kamishna aliyeteuliwa kuwa kiongozi wa Sekretarieti ya Maadili iliyotajwa katika ibara ya 132 ya Katiba hii.

70. Wabunge kutoa taarifa ya mali

(1)Kila Mbunge atatakiwa kuwasilisha kwa Spika nakala mbili za taarifa rasmi ya maelezo ya mali yake na kadri itakavyokuwa, mali ya mke au mume wake. Taarifa itatolewa kwa kutumia fomu maalum itakayowekwa kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge na itatolewa mara kwa mara kama itakavyoagizwa na Sheria hiyo.
(2)Spika atawasilisha kwa Kamishna wa Maadili nakala moja ya kila taarifa rasmi iliyowasilishwa kwake kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(3)Bunge laweza kutunga Sheria kwa ajili ya kuweka masharti kwa makusudi ya kusimamia hifadhi ya taarifa ya mali iliyowasilishwa na Mbunge kwa mujibu wa masharti ya ibara hii, na kuhakikisha kwamba watu wasioruhusiwa au wasiohusika hawapati nafasi ya kuona taarifa ya mali wala kujua yaliyomo katika taarifa ya mali.

71. Muda wa Wabunge kushika madaraka kama Wabunge

(1)Mbunge atakoma kuwa Mbunge na ataacha kiti chake katika Bunge litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo–
(a)ikiwa litatokea jambo lolote ambalo, kama asingekuwa Mbunge lingemfanya asiwe na sifa za uchaguzi au apoteze sifa za uchaguzi au asiweze kuchaguliwa au kuteuliwa kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;
(b)ikiwa Mbunge huyo atachaguliwa kuwa Rais;
(c)ikiwa Mbunge atakosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge mitatu mfululizo bila ya ruhusa ya Spika;
(d)ikiwa itathibitishwa kwamba amevunja masharti ya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(e)ikiwa Mbunge ataacha kuwa mwanachama wa chama alichokuwamo wakati alipochaguliwa au alipoteuliwa kuwa Mbunge;
(f)iwapo Mbunge anachaguliwa au anateuliwa kuwa Makamu wa Rais;
(g)kwa Mbunge ambaye anatakiwa kutoa taarifa rasmi ya mali kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 70, ikiwa atashindwa kutoa hilo tamko rasmi kwa mujibu wa masharti ya hiyo ibara ya 70 katika muda uliowekwa mahususi kwa ajili hiyo kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge, lakini iwapo Mbunge hatakoma kuwa Mbunge kwa mujibu wa jambo lolote kati ya mambo hayo yaliyotajwa na kama hatajiuzulu au kufariki mapema zaidi, basi Mbunge ataendelea kushika madaraka yake kama Mbunge mpaka wakati Bunge litakapovunjwa kwa mujibu wa ibara ya 90, bila ya kuathiri haki na stahili zinazotokana na ubunge wake.
(2)Bunge laweza kutunga Sheria kwa ajili ya kuweka masharti yatakayomwezesha Mbunge kukata rufaa, kwa mujibu wa Sheria kupinga hukumu ya kuthibitishwa kwake kuwa ni mtu mwenye ugonjwa wa akili au kupinga kukumu ya kifo au ya kufungwa gerezani, au kupinga kupatikana kwake na hatia kwa kosa la aina iliyotajwa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (5) ya ibara ya 67 ya Katiba hii; na Sheria hiyo yaweza kueleza kwamba hiyo hukumu iliyopingwa na huyo Mbunge haitatiliwa nguvu kisheria mpaka umalizike kwanza muda utakaotajwa katika Sheria hiyo.

72. Watu wenye madaraka Serikalini kukoma utumishi wanapochaguliwa

Iwapo mtu yeyote mwenye madaraka katika utumishi wa Umma, madaraka ya aina iliyotajwa katika ibara ya 67(2)(g) ataamua–
(a)kuwa mgombea uchaguzi wa Rais au wa nafasi nyingine yoyote chini ya Katiba hii, au
(b)kugombea uongozi wa ngazi yoyote katika chama cha siasa kinyume na masharti ya ajira,
mtu huyo atahesabiwa kuwa utumishi wake umekoma tangu tarehe yake ya kuwa mgombea uchaguzi au ya kugombea uongozi katika chama cha siasa.

73. Masharti ya kazi ya Wabunge

Wabunge wote wa aina zote watashika madaraka yao kwa mujibu wa Katiba hii, na watalipwa mshahara, posho na malipo mengine kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.

Tume ya Uchaguzi (Ib. 74)

74. Tume ya Uchaguzi

(1)Kutakuwa na Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao watakaoteuliwa na Rais–
(a)Jaji wa Mahakama Kuu au Jaji wa Mahakama ya Rufani, ambaye atakuwa mwenyekiti;
(b)Makamu Mwenyekiti ambaye atakuwa ni mtu anayeshika, aliyewahi kushika au anayestahili kuteuliwa kushika madaraka ya Jaji wa Mahakama Kuu au Jaji wa Mahakama ya Rufani;
(c)Wajumbe wengine watakaotajwa na sheria iliyotungwa na Bunge.
(2)Rais atamteua Makamu wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi kwa kufuata kanuni kwamba endapo Mwenyekiti ni mtu anayetoka sehemu moja ya Muungano, Makamu wake atakuwa ni mtu anayetoka sehemu ya pili ya Muungano.
(3)Watu wafuatao hawataweza kuteuliwa kuwa wajumbe wa Tume ya Uchaguzi yaani–
(a)Waziri au Naibu Waziri;
(b)mtu mwenye madaraka ya aina yoyote iliyotajwa mahususi na sheria iliyotungwa na Bunge kwamba ni mwiko kwa mtu mwenye madaraka hayo kuwa mjumbe wa Tume ya Uchaguzi;
(c)Mbunge, Diwani au mtu mwingine mwenye madaraka ya aina yaliyotajwa na sheria iliyotungwa na Bunge kwa mujibu wa masharti ya aya ya (g) ya ibara ndogo ya (2) ya ibara ya 67 ya Katiba hii;
(d)Kiongozi wa chama chochote cha siasa.
(4)Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi atakoma kuwa Mjumbe litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo–
(a)ukimalizika muda wa miaka mitano tangu alipoteuliwa; au
(b)ikiwa litatokea jambo lolote ambalo, kama asingekuwa Mjumbe wa Tume, lingemfanya asiweze kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi.
(5)Rais aweza tu kumwondoa katika madaraka Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi kwa sababu ya kushindwa kutekeleza kazi zake, ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote, au kwa sababu ya tabia mbaya au kupoteza sifa za kuwa mjumbe.
(6)Majukumu ya Tume ya Uchaguzi yatakuwa ni–
(a)kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi wa Rais na Wabunge katika Jamhuri ya Muungano;
(b)kusimamia na kuratibu uendeshaji wa uchaguzi wa Rais na Wabunge;
(c)kuchunguza mipaka na kuigawa Jamhuri ya Muungano katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya uchaguzi wa Wabunge;
(d)kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura na uendeshaji wa uchaguzi wa madiwani; na
(e)kutekeleza majukumu mengine yoyote kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.
(7)Kwa madhumuni ya utekelezaji bora wa majukumu yake yaliyoainishwa katika ibara hii, Tume ya Uchaguzi itakuwa ni idara huru inayojitegemea, itafanya maamuzi yake rasmi kuhusu utekelezaji wa majukumu yake kwa vikao, na mtendaji mkuu wake atakuwa ni Mkurugenzi wa Uchaguzi ambaye atateuliwa na kufanya kazi kwa mujibu wa masharti ya sheria iliyotungwa na Bunge.
(8)Bunge laweza kutunga sheria kwa ajili ya kuweka masharti ya kuweka utaratibu wa kusimamia uchaguzi wa Wabunge wanaowakilisha majimbo ya uchaguzi.
(9)Tume ya Uchaguzi yaweza kutekeleza shughuli zake bila ya kujali kwamba kuna nafasi miongoni mwa viti vya wajumbe au kwamba mjumbe mmojawapo hayupo, lakini kila uamuzi wa Tume ya Uchaguzi ni lazima uungwe mkono na wajumbe walio wengi kati ya wajumbe wote wa Tume ya Uchaguzi.
(10)Bunge laweza kutunga sheria kwa ajili ya kuweka masharti ya kuweka utaratibu wa kuwateua Wajumbe wa kusimamia uchaguzi wa Wabunge wanaowakilisha majimbo ya uchaguzi na, bila ya kuathiri masharti ya Sheria kama hiyo au maagizo ya Tume ya Uchaguzi, madaraka ya Tume ya Uchaguzi ya kusimamia uchaguzi yaweza kutekelezwa na wajumbe hao.
(11)Katika kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii, Tume ya Uchaguzi haitalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote au idara yoyote ya Serikali, au maoni ya chama chochote cha siasa.
(12)Hakuna mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza jambo lolote lililotendwa na Tume ya Uchaguzi katika kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.
(13)Katika utekelezaji wa madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii, Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano itashauriana mara kwa mara na Tume ya Uchaguzi ya Tanzania Zanzibar.
(14)Itakuwa ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chochote cha siasa, isipokuwa tu kwamba kila mmoja wao atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.
(15)Kwa madhumuni ya ibara ndogo ya (14) watu wanaohusika na uchaguzi ni–
(a)Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi;
(b)Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi;
(c)Wajumbe wote wa Tume ya Uchaguzi;
(d)Mkurugenzi wa Uchaguzi pamoja na watumishi wote wa Tume ya Uchaguzi;
(e)Wasimamizi wote wa Uchaguzi katika miji na wilaya zote.

Majimbo ya Uchaguzi (Ib 75)

75. Majimbo ya uchaguzi

(1)Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyo katika ibara hii, Jamhuri ya Muungano itagawanywa katika majimbo ya uchaguzi kwa idadi na kwa namna itakavyoamuliwa na Tume ya Uchaguzi baada ya kupata kibali cha Rais.
(2)Bila ya kuathiri sheria yoyote inayotumika kuhusu mambo hayo, Tume ya Uchaguzi, baada ya kupata kibali cha Rais itakuwa na mamlaka ya kuweka mipaka ya majimbo ya uchaguzi.
(3)Katika kuweka mipaka ya majimbo ya uchaguzi, Tume ya Uchaguzi itazingatia ipasavyo upatikanaji wa njia za mawasiliano, na pia hali ya kijiografia ya eneo linalokusudiwa kugawanywa katika majimbo ya uchaguzi.
(4)Bila ya kuathiri masharti ya Katiba hii na ya Sheria yoyote inayohusika na mgawanyo wa nchi katika majimbo ya uchaguzi, Tume ya Uchaguzi yaweza mara kwa mara, na angalao kila baada ya miaka kumi, kuchunguza mgawanyo wa Jamhuri ya Muungano katika majimbo ya uchaguzi, na yaweza kubadilisha majimbo ya uchaguzi kama matokeo ya uchunguzi huo au kutokana na matokeo ya hesabu ya watu wote katika Jamhuri ya Muungano.
(5)Endapo baada ya uchunguzi kufanywa kuhusu mgawanyo wa Jamhuri ya Muungano katika majimbo ya uchaguzi kunafanyika mabadiliko katika majimbo ya uchaguzi, au katika idadi ya Wabunge wanaowakilisha majimbo ya uchaguzi au mabadiliko kwa idadi ya majimbo ya uchaguzi au idadi ya Wabunge, basi mabadiliko yatakayotokea katika idadi ya Wabunge wanaowakilisha majimbo ya uchaguzi yataanza kutumika wakati Bunge litakapovunjwa tena baada ya kutokea mabadiliko hayo ya idadi ya majimbo au idadi ya Wabunge katika majimbo ya uchaguzi.
(6)Bila ya kujali masharti mengineyo ya ibara hii, hakuna mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza jambo lolote lililotendwa na Tume katika utekelezaji wake wa kugawa Jamhuri ya Muungano katika majimbo ya uchaguzi.

Uchaguzi na uteuzi wa Wabunge (Ib 76—83)

76. Uchaguzi katika Majimbo ya Uchaguzi

(1)Kila mara baada ya Bunge kuvunjwa, kutakuwa na uchaguzi wa Wabunge katika majimbo yote ya uchaguzi.
(2)Hali kadhalika, kutakuwa na uchaguzi wa Mbunge katika jimbo la uchaguzi, ikiwa kiti cha Mbunge yeyote aliyechaguliwa kuwakilisha jimbo hilo kitakuwa wazi kwa sababu nyingine yoyote isiyohusika na kuvunjwa kwa Bunge.
(3)Bila ya kujali masharti ya ibara hii yaliyotangulia, ifahamike kwamba ikiwa tarehe ya kuvunjwa Bunge imetangazwa au inafahamika kutokana na matukio yaliyoelezwa katika ibara ndogo ya (3) ya ibara ya 90, basi uchaguzi wa namna hiyo hautafanywa katika kipindi chote cha miezi kumi na miwili ya nyuma ikihesabiwa tangu tarehe hiyo.

77. Utaratibu wa Uchaguzi wa Wabunge wa Majimbo ya Uchaguzi

(1)Wabunge wanaowakilisha majimbo ya uchaguzi watachaguliwa na wananchi kwa kufuata masharti ya Katiba hii na vile vile masharti ya Sheria iliyotungwa na Bunge kwa mujibu wa Katiba hii inayoweka masharti kuhusu uchaguzi wa Wabunge wanaowakilisha majimbo ya uchaguzi.
(2)Isipokuwa pale ambapo Tume ya Uchaguzi, kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii au Sheria iliyotungwa na Bunge kwa ajili hiyo, itaagiza vinginevyo, kutachaguliwa Mbunge mmoja tu katika jimbo la uchaguzi.
(3)Wagombea uchaguzi katika jimbo la uchaguzi watatakiwa watimize masharti yafuatayo–
(a)wawe wamependekezwa mmoja mmoja, na chama cha siasa kinachoshiriki uchaguzi katika jimbo hilo;
(b)wamewasilisha majina yao kwa Tume ya Uchaguzi kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa na Sheria iliyotungwa na Bunge au uliofafanuliwa na Tume ya Uchaguzi kwa mujibu wa sheria.

78. Utaratibu wa Uchaguzi wa Wabunge Wanawake wa kuchaguliwa na Bunge

(1)Kwa madhumuni ya uchaguzi wa Wabunge Wanawake waliotajwa katika ibara ya 66 (1) (b), vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi, kwa kufuata utaratibu uliowekwa, vitapendekeza kwa Tume ya Uchaguzi majina ya wanawake kwa kuzingatia masharti ya uwiano wa uwakilishi baina ya vyama vilivyoshinda uchaguzi katika majimbo na kupata viti Bungeni. Tume ya Uchaguzi ikiridhika kuwa mtu yeyote aliyependekezwa anazo sifa za kuwa Mbunge itamtangaza kuwa amechaguliwa kuwa Mbunge, na masharti ya ibara ya 67 ya Katiba hii yatatumika kuhusu kuchaguliwa kwa mtu huyo kuwa Mbunge.
(2)Mtu yeyote hataweza kupendekezwa na chama chochote cha siasa kwa ajili ya uchaguzi kwa mujibu wa ibara hii ila tu iwapo anazo sifa za kustahili kuchaguliwa zilizotajwa na masharti ya ibara ya 67 ya Katiba hii.
(3)Majina ya watu waliopendekezwa kwa mujibu wa ibara ndogo ya (1) na Tume ya Uchaguzi yatatangazwa kama matokeo ya uchaguzi baada ya Tume ya Uchaguzi kuridhika kwamba masharti ya Katiba na Sheria yanayohusika yamezingatiwa.
(4)Orodha ya majina ya wagombea wanawake iliyowasililshwa kwa Tume ya Uchaguzi na kila chama kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ndiyo itakayotumiwa na Tume ya Uchaguzi baada ya kushauriana na chama kinachohusika, kwa madhumuni ya kujaza nafasi yoyote ya Mbunge wa aina hii inapotokea wakati wowote katika maisha ya Bunge.

79. Utaratibu wa Uchaguzi wa Wabunge wa kuchaguliwa na Baraza la Wawakilishi

Baraza la Wawakilishi litaweka utaratibu litakaoufuata kwa ajili ya kufanya uchaguzi wa Wabunge waliotajwa katika ibara ya 66(1)(c) ya Katiba hii.

80. ***

[Imefutwa na Sheria Na. 4 ya 1992 ib. 27.]

81. Utaratibu wa kupendekeza majina ya Wagombea uchaguzi wa Wabunge Wanawake

Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, Tume ya Uchaguzi yaweza kuweka masharti yanayofafanua utaratibu utakaotumiwa na vyama vya siasa kwa ajili ya kuchagua na kupendekeza majina ya Wabunge wa aina iliyotajwa katika ibara ya 66(1)(b).

82. ***

[Imefutwa na Sheria Na. 4 ya 1992 ibara ya 29]

83. Uamuzi wa suala kama mtu ni Mbunge au sivyo

(1)Kila shauri kwa ajili ya kupata uamuzi juu ya suala–
(a)kama uchaguzi au uteuzi wa mtu yeyote kuwa Mbunge ulikuwa halali au sivyo;
(b)kama Mbunge amekoma kuwa Mbunge na kiti chake katika Bunge ki wazi au hapana,
litafunguliwa na kusikilizwa kwanza katika Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (2) ya ibara hii.
(2)Lwapo Tume ya Uchaguzi katika kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 41(3) ya Katiba hii imemtangaza Mbunge yeyote kwamba amechaguliwa kuwa Rais basi hakuna mahakama wala chombo chochote kingine kitakachochunguza zaidi suala lolote linalohusu kiti cha Mbunge huyo kuwa wazi.
(3)Bunge laweza kutunga Sheria kwa ajili ya kuweka masharti kuhusu mambo yafuatayo–
(a)watu wanaoweza kufungua shauri katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kupata uamuzi juu ya suala lolote kwa mujibu wa masharti ya ibara hii;
(b)sababu na nyakati za kufungua shauri la namna hiyo, utaratibu wa kufungua shauri na masharti yanayotakiwa yatimizwe kwa kila shauri kama hilo; na
(c)kutaja mamlaka ya Mahakama Kuu juu ya shauri kama hilo na kueleza utaratibu wa kusikiliza shauri lenyewe.
(4)Kutakuwa na haki ya kukata rufaa mbele ya Mahakama ya Rufani ya Tanzania kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu juu ya shauri lolote lililosikilizwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.

Sehemu ya Tatu – Utaratibu, madaraka na haki za bunge (Ib 84—101)

Spika na Naibu wa Spika (Ib 84—86)

84. Spika na mamlaka yake

(1)Kutakuwa na Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na Wabunge kutoka miongoni mwa watu ambao ni Wabunge au wenye sifa za kuwa Wabunge; atakuwa ndiye kiongozi wa Bunge na atawakilisha Bunge katika vyombo na vikao vingine vyote nje ya Bunge.
(2)Waziri, Naibu Waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya ibara hii, hataweza kuchaguliwa kuwa Spika.
(3)Mtu yeyote atakayechaguliwa kuwa Spika atatakiwa, kabla ya kumaliza siku kumi na tano tangu kuchaguliwa kwake, kuwasilisha kwa Rais tamko rasmi kwamba hajapoteza sifa za uchaguzi kwa mujibu wa masharti ya aya ya (d) ya ibara ndogo ya (2) ya ibara ya 67. Tamko hilo litatolewa kwa kutumia fomu maalum itakayowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.
(4)Rais atawasilisha kwa Kamishna wa Maadili nakala moja ya kila tamko rasmi lililowasilishwa kwake kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (3) ya ibara hii.
(5)Spika atatakiwa kuwasilisha kwa Rais nakala mbili za taarifa rasmi ya maelezo ya mali ya huyo Spika na, kadri itakavyokuwa mali ya mke au mume wake. Spika atatoa taarifa hiyo kwa kutumia fomu maalum iliyowekwa kwa ajili hiyo kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge na atatoa taarifa ya namna hiyo mara kwa mara kadri itakavyoagiza Sheria hiyo.
(6)Masharti ya ibara ndogo ya (2) na ya (3) ya ibara ya 70 yatatumika pia, kwa kadri itakavyowezekana, kwa taarifa ya mali yoyote itakayotolewa na Spika, kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(7)Spika atakoma kuwa Spika na ataacha kiti cha Spika litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo–
(a)iwapo mtu huyo alichaguliwa kutoka miongoni mwa Wabunge, basi ikiwa atakoma kuwa Mbunge kwa sababu yoyote ambayo haihusiki na kuvunjwa Bunge; au
(b)ikiwa kutatokea jambo lolote ambalo, kama asingekuwa Spika lingemfanya mtu huyo asiwe na sifa za uchaguzi au apoteze sifa za uchaguzi wa Spika; au
(c)Bunge litakapokutana kwa mara ya kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanywa baada ya Bunge kuvunjwa, lakini masharti ya aya hii yatatumika bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (4) ya ibara ya 90 ya Katiba hii; au
(d)ikiwa mtu huyo ataondolewa kwenye madaraka ya Spika kwa azimio la Bunge lilioungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote; au
(e)ikiwa mtu huyo atashindwa kuwasilisha kwa Rais tamko rasmi kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (3) ya ibara hii; au
(f)ikiwa mtu huyo atapatikana na hatia kwa kosa la kutoa habari za uongo, kwa kiapo kinyume cha sheria ya Kanuni ya Jinai, kuhusu tamko rasmi lolote lililotolewa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (3) ya ibara hii; au
(g)ikiwa mtu huyo huyo atashindwa kuwasilisha kwa Rais taarifa ya mali kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (5) ya ibara hii kabla ya kumalizika muda uliowekwa kwa ajili hiyo kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge;
(h)ikiwa itathibitika kuwa mtu huyo amevunja masharti ya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
(8)Hakuna shughuli yoyote itakayotekelezwa katika Bunge (isipokuwa uchaguzi wa Spika) wakati wowote ambao kiti cha Spika kitakuwa ki wazi.
(9)Mtu yeyote ambaye si Mbunge atakayechaguliwa kuwa Spika, atatakiwa, kabla ya kuanza kutekeleza madaraka yake, kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu.

85. Naibu wa Spika

(1)Kutakuwa na Naibu wa Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na Wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge.
(2)Waziri, Naibu Waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya ibara hii, hataweza kuchaguliwa kuwa Naibu wa Spika.
(3)Wabunge watamchagua Naibu Spika, nyakati zifuatazo–
(a)Bunge litakapokutana kwa mara ya kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu au mapema iwezekanavyo baada ya wakati huo; na
(b)katika kikao cha kwanza cha Bunge baada ya kiti cha Naibu wa Spika kuwa wazi kwa sababu yoyote isiyohusika na Bunge kuvunjwa au mapema iwezekanavyo baada ya kikao hicho.
(4)Naibu wa Spika, atakoma kuwa Naibu wa Spika na ataacha kiti cha Naibu wa Spika, litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo–
(a)ikiwa mtu huyo atakoma kuwa Mbunge; au
(b)ikiwa kutatokea jambo lolote ambalo kama asingekuwa Naibu wa Spika, lingemfanya mtu huyo asiwe na sifa za uchaguzi au apoteze sifa za uchaguzi wa Naibu Spika; au
(c)ikiwa mtu huyo ataondolewa kwenye madaraka ya Naibu wa Spika kwa azimio la Bunge.

86. Utaratibu wa kumchagua Spika na Naibu wa Spika

(1)Kutakuwa na uchaguzi wa Spika katika kikao cha kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya, na katika kikao cha kwanza chochote mara baada ya kutokea nafasi katika kiti cha Spika.
(2)Kutakuwa na uchaguzi wa Naibu wa Spika wakati wowote katika Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya utakaoteuliwa na Bunge na vile vile katika kikao cha kwanza cha Bunge mara baada ya kutokea nafasi katika kiti cha Naibu wa Spika.
(3)Uchaguzi wa Spika, na vile vile uchaguzi wa Naibu wa Spika, utafanywa kwa kura ya siri, na utaendeshwa kwa kufuata utaratibu uliowekwa na Kanuni za Bunge.

Ofisi ya Bunge (Ib 87—88)

87. Katibu wa Bunge

(1)Kutakuwa na Katibu wa Bunge ambaye atateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa watu wenye madaraka ya juu katika utumishi wa Umma wa Jamhuri ya Muungano.
(2)Katibu wa Bunge atakuwa ndiye mtendaji mkuu katika Ofisi ya Bunge na atawajibika kwa utendaji bora wa shughuli za Bunge kwa kuzingatia masharti ya Katiba hii na ya sheria inayohusika.

88. Sekretarieti ya Bunge

(1)Kutakuwa na Sekretarieti ya Bunge itakayokuwa na nafasi za madaraka katika utumishi wa Umma kwa idadi atakayoagiza Rais.
(2)Sekretarieti ya Bunge itakuwa na watumishi kwa idadi na ngazi za utumishi itakavyoamuliwa mara kwa mara na Tume ya Utumishi inayohusika baada ya kushauriana na Katibu wa Bunge.
(3)Sekretarieti ya Bunge chini ya uongozi wa Katibu wa Bunge itaendeleza kazi na shughuli zote zilizowekwa au zitakazokuwa ni muhimu kwa ajili ya kuhakikisha utekelezaji bora wa Bunge na wa Wabunge wa madaraka ya Bunge chini ya Katiba hii.

Utaratibu wa shughuli Bungeni (Ib. 89—96)

89. Kanuni za Kudumu za Bunge

(1)Bila ya kuathiri masharti ya Katiba hii Bunge laweza kutunga Kanuni za Kudumu kwa ajili ya kuweka utaratibu wa kutekeleza shughuli zake.
(2)Kanuni za Kudumu zilizotungwa kwa mujibu wa ibara hii zaweza kuweka utaratibu wa kusimamia utekelezaji wa shughuli za Sekretarieti ya Bunge na pia utekelezaji wa shughuli za Bunge ndani ya Bunge na zile za kamati na kamati ndogo za Bunge.

90. Kuitishwa kwa Mikutano ya Bunge na kuvunjwa kwa Bunge

(1)Baada ya Uchaguzi Mkuu Rais ataitisha Mkutano wa Bunge Jipya ufanyike kabla ya kupita siku saba tangu kutangazwa matokeo ya huo Uchaguzi Mkuu katika majimbo ya uchaguzi yote isipokuwa katika majimbo yale ambako uchaguzi umefutwa na kufanywa upya.
(2)Rais hatakuwa na uwezo wa kulivunja Bunge wakati wowote, isipokuwa tu–
(a)kama Bunge limemaliza muda wa uhai wake kwa mujibu wa ibara ya 65 ya Katiba; au wakati wowote katika miezi kumi na miwili ya mwisho ya uhai wa Bunge, isipokuwa tu kama Spika amepokea taarifa rasmi inayopendekeza kuundwa kwa Kamati Maalum ya Uchunguzi kwa madhumuni ya kumuondoa Rais madarakani kwa mujibu wa ibara ya 46A ya Katiba hii;
(b)kama Bunge limekataa kupitisha Bajeti iliyopendekezwa na Serikali;
(c)kama Bunge limekataa kupitisha Muswada wa Sheria kwa mujibu wa ibara ya 97(4) ya Katiba;
(d)kama Bunge limekataa kupitisha hoja ambayo ni ya msingi katika sera za Serikali, na Rais anaona kwamba njia ya kuendelea kutoka hapo si kumteua Waziri Mkuu mwingine bali ni kuitisha Uchaguzi Mkuu;
(e)endapo, kutokana na uwiano wa uwakilishi wa Vyama vya Siasa katika Bunge, Rais anaona kwamba hakuna uhalali kwa Serikali iliyopo kuendelea kuwapo, na wala haiwezekani kuunda Serikali mpya.
(3)Muda wa maisha ya Bunge ukimalizika Bunge litahesabiwa kuwa limevunjwa; isipokuwa kwamba muda huo ukiisha wakati wowote ambapo Jamhuri ya Muungnao iko katika vita Bunge laweza mara kwa mara kuongeza muda huo uliotajwa katika ibara ya 65 ya Katiba hii kwa muda usiozidi miezi kumi na miwili mara kwa mara lakini maisha ya Bunge hayawezi kuongezwa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo hii kwa muda unaozidi miaka mitano.
(4)Kukitokea hali ya hatari au kama kuna hali ya hatari ambayo Rais anaona inasababisha kuitisha Mkutano wa Bunge na iwapo wakati huo Bunge limevunjwa na matokeo ya kura zilizo nyingi za Uchaguzi Mkuu hayajatangazwa basi Rais aweza kutoa Taarifa Maalum ya kuitisha Mkutano wa Bunge na kuagiza kwamba Spika na watu wote waliokuwa Wabunge mara tu kabla Bunge halijavunjwa wahudhurie Mkutano huo wa Bunge na watu hao pamoja na huyo Spika, watahesabiwa kuwa ndio Wajumbe wa Bunge kwa madhumuni ya Mkutano huo na watahesabiwa hivyo mpaka usiku wa manane wa siku yatakapotangazwa matokeo ya kura zilizo nyingi za Uchaguzi Mkuu.

91. Rais aweza kulihutubia Bunge

(1)Rais atalihutubia Bunge Jipya katika Mkutano wake wa Kwanza na kulifungua rasmi Bunge hilo.
(2)Bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (1), Rais aweza wakati wowote kulihutubia Bunge au kupeleka kwenye Bunge taarifa ambayo itasomwa na Waziri.

92. Mikutano ya Bunge

(1)Bunge litafanya Mikutano yake mahali ambapo ni desturi kufanya Mikutano hiyo au mahali pengine popote katika Jamhuri ya Muungano patakapotajwa na Rais kwa ajili hiyo.
(2)Mkutano wa kwanza wa Bunge katika Maisha ya Bunge utaanza siku ile ambayo Bunge limeitwa kukutana, na kila Mkutano ufuatao utaanza siku yoyote itakayopangwa na Bunge lenyewe au siku yoyote itakayopangwa kwa mujibu wa Kanuni za Bunge.
(3)Rais aweza kuitisha Mkutano wa Bunge wakati wowote.

93. Uongozi wa vikao vya Bunge

Kila kikao cha Bunge kitaongozwa na mmojawapo wa watu wafuatao, yaani–
(a)Spika; au
(b)ikiwa Spika hayupo, Naibu wa Spika; au
(c)ikiwa Spika na Naibu wa Spika wote hawapo, Mbunge yeyote aliyechaguliwa na Bunge kwa ajili hiyo, lakini Waziri, au Naibu Waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yaliyotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya ibara hii hataweza kuchaguliwa kwa mujibu wa masharti ya aya hii.

94. Kiwango cha vikao vya Bunge

(1)Kiwango cha kila kikao cha Bunge ni nusu ya Wabunge wote.
(2)Isipokuwa kama imeelezwa vingine katika Katiba hii, kila swali litakalotolewa kwa ajili ya kupata uamuzi wa Bunge litaamuliwa kwa kufuata wingi wa kura za Wabunge waliohudhuria na kupiga kura.
(3)Spika, Naibu wa Spika au mtu mwingine atakayeongoza kikao cha Bunge, hatakuwa na kura ya kawaida bali atakuwa na kura ya uamuzi kukitokea usawa wa kura.
(4)Kanuni za Bunge zaweza kuweka masharti kwamba Mbunge yeyote atakayepiga kura juu ya jambo lolote ambalo yeye binafsi ana masilahi nalo atahesabiwa kuwa hakupiga kura.

95. Viti vilivyo wazi katika Bunge

Bunge laweza kutekeleza shughuli wakati wa vikao vyake bila ya kujali kwamba kuna kiti kilicho wazi miongoni mwa viti vya Wabunge (iwe kiti hicho kimekuwa wazi tangu Bunge lilipokutana kwa mara ya kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu au kimekuwa wazi baada ya Mkutano huo wa kwanza) na iwapo katika shughuli hizo atashiriki mtu yeyote ambaye hana haki ya kushiriki au kama wakati wa shughuli hizo atakuwapo mtu yeyote ambaye hana haki ya kuwapo, basi kushiriki kwa mtu huyo au kuwapo kwake hakutabatilisha shughuli hizo.

96. Kamati za Kuduma za Bunge

(1)Bunge laweza kuunda Kamati za Bunge za namna mbalimbali kadri litakavyoona inafaa kwa ajili ya utekelezaji bora wa madaraka yake.
(2)Kanuni za Bunge zaweza kufafanua muundo na shughuli za Kamati za Bunge zitakazoundwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.

Utaratibu wa kutunga sheria (Ib. 97—99)

97. Namna ya kutumia madaraka ya kutunga sheria

(1)Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika Katiba hii, Bunge litatumia madaraka yake ya kutunga sheria kwa kufuata utaratibu wa kujadili na kupitisha Miswada ya Sheria ambayo hatimaye itabidi ipate kibali cha Rais, na Muswada hautakuwa Sheria mpaka uwe umepitishwa na Bunge na kukubaliwa na Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2)Baada ya Muswada kuwasilishwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake, Rais aweza kuukubali au kukataa kuukubali, na iwapo Rais atakataa kuukubali Muswada basi ataurudisha kwa Bunge pamoja na maelezo ya sababu zake za kukataa kuukubali Muswada huo.
(3)Baada ya Muswada kurudishwa kwa Bunge kwa mujibu wa masharti ya ibara hii, hauwezi kupelekwa tena kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake kabla kumalizika muda wa miezi sita tangu uliporudishwa, isipokuwa kama katika hatua yake ya mwisho kwenye Bunge kabla haujapelekwa tena kwa Rais Muswada huo umeungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote.
(4)Iwapo Muswada umerudishwa kwa Bunge na Rais, halafu ukaungwa mkono kwenye Bunge na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote kama ilivyoelezwa katika ibara ndogo ya (3) na kupelekwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake kwa mara ya pili kabla haujamalizika muda wa miezi sita tangu uliporudishwa, basi Rais atatakiwa kuukubali Muswada huo kabla ya kumalizika muda wa siku ishirini na moja tangu Muswada huo ulipowasilishwa kwake la sivyo basi itabidi alivunje Bunge.
(5)Masharti yaliyomo katika ibara hii au katika ibara ya 64 ya Katiba hii hayatalizuia Bunge kutunga Sheria na kuweka masharti ambayo yaweza kukabidhi kwa mtu yeyote au kwa idara yoyote ya Serikali madaraka ya kuweka Kanuni za nguvu ya kisheria au kuzipa nguvu ya kisheria Kanuni zozote zilizowekwa na mtu yeyote au idara yoyote ya Serikali.

98. Utaratibu wa kubadilisha Katiba hii na baadhi ya Sheria

(1)Bunge laweza kutunga Sheria kwa ajili ya kubadilisha masharti yoyote ya Katiba hii kwa kufuata Kanuni zifuatazo–
(a)Muswada wa Sheria kwa ajili ya kubadilisha masharti yoyote ya Katiba hii (isipokuwa yale yanayohusika na aya ya (b) ya ibara hii ndogo) au masharti yoyote ya sheria yoyote iliyotajwa katika Orodha ya Kwanza kwenye Nyongeza ya Pili utaungwa mkono kwa kura za Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote;
(b)Muswada wa Sheria kwa ajili ya kubadilisha masharti yoyote ya Katiba hii au masharti yoyote ya Sheria yoyote yanayohusika na jambo lolote kati ya mambo yaliyotajwa katika Orodha ya Pili kwenye Nyongeza ya Pili iliyoko mwishoni mwa Katiba hii, utapitishwa tu iwapo utaungwa mkono kwa kura za Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote kutoka Tanzania Bara na theluthi mbili ya Wabunge wote kutoka Tanzania Zanzibar.
(2)Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya ibara ndogo ya (1), kubadilisha masharti ya Katiba hii au masharti ya sheria maana yake ifahamike kuwa ni pamoja na kurekebisha au kusahihisha masharti hayo au kufuta na kuweka masharti mengine badala yake au kusisitiza au kubadilisha matumizi ya masharti hayo.

99. Utaratibu wa kutunga Sheria kuhusu mambo ya fedha

(1)Bunge halitashughulikia jambo lolote kati ya mambo yanayohusika na ibara hii isipokuwa kama Rais amependekeza kwamba jambo hilo lishughulikiwe na Bunge na pendekezo hilo la Rais liwe limewasilishwa kwenye Bunge na Waziri.
(2)Mambo yanayohusika na ibara hii ni haya yafuatayo:
(a)Muswada wa Sheria kwa ajili ya lolote kati ya mambo yafuatayo–
(i)kutoza kodi au kubadilisha kodi kwa namna nyingine yoyote isipokuwa kupunguza;
(ii)kuagiza kwamba malipo au matumizi ya fedha yafanywe kutokana na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali au mfuko wa Serikali mwingine wowote au kubadilisha kiwango hicho kwa namna nyingine yoyote isipokuwa kupunguza;
(iii)kuagiza kwamba malipo au matumizi ya fedha yafanywe kutokana na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali au mfuko wa Serikali mwingine wowote wakati ikifahamika kwamba fedha iliyomo katika mifuko hiyo haikupangiwa itolewe kwa ajili ya malipo au matumizi hayo, au kuagiza kwamba malipo au matumizi yanayofanywa kutokana na mifuko hiyo yaongezwe;
(iv)kufuta au kusamehe deni lolote linalotakiwa lilipwe kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano;
(b)hoja au mabadiliko yoyote ya Hoja kwa ajili ya lolote kati ya mambo yaliyoelezwa katika aya ya (a) ya ibara hii ndogo.
(3)Masharti ya ibara hii hayatatumika kwa muswada wowote uliowasilishwa kwenye Bunge au Hoja yoyote iliyotolewa katika Bunge na Waziri au Naibu Waziri.

Madaraka na Haki za Bunge (Ib. 100—101)

100. Uhuru wa majadiliano na utaratibu wa shughuli

(1)Kutakuwa na uhuru wa mawazo, majadiliano na utaratibu katika Bunge, na uhuru huo hautavunjwa wala kuhojiwa na chombo chochote katika Jamhuri ya Muungano, au katika mahakama au mahali penginepo nje ya Bunge.
(2)Bila ya kuathiri Katiba hii au masharti ya sheria nyingine yoyote inayohusika, Mbunge yeyote hatashtakiwa au kufunguliwa shauri la madai mahakamani kutokana na jambo lolote alilolisema au kulifanyw ndani ya Bunge au alilolileta Bungeni kwa njia ya maombi, muswada, hoja au vinginevyo.

101. Kuhifadhi na kutilia nguvu uhuru wa majadiliano na wa shughuli

Bunge laweza kutunga sheria kwa ajili ya kuweka masharti ya kuwezesha mahakama na sheria kuhifadhi na kutilia nguvu uhuru wa mawazo, majadiliano na utaratibu wa shughuli katika Bunge ambao kwa mujibu wa ibara ya 100 umedhaminiwa na Katiba hii.

Sura ya Nne
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Baraza la Mapinduzi la Zanzibar na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar (Ib. 102—107)

Sehemu ya Kwanza – Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Rais wa Zanzibar (Ib. 102—104)

102. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mamlaka yake

(1)Kutakuwa na Serikali ya Zanzibar itakayojulikana kama "Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar", ambayo itakuwa na mamlaka katika Zanzibar juu ya mambo yote yasiyo mambo ya Muungano kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.
(2)Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika ibara hii na katika ibara zifuatazo katika Sura hii ya Katiba hii, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaundwa na itatekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii na Katiba ya Zanzibar 1984.

103. Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na madaraka yake

(1)Kutakuwa na Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambaye ndiye atakuwa Rais wa Zanzibar na Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na vile vile Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi la Zanzibar.
(2)Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kabla ya kushika madaraka yake ataapa mbele ya Jaji Mkuu wa Zanzibar kiapo cha kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano, na kiapo kingine chochote kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar kinachohusika na utendaji wa kazi yake, kisha atashika na kutekeleza madaraka hayo kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii na Katiba ya Zanzibar, 1984.
(3)Pamoja na madaraka yake mengine kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ndiye atakayewateua na kuwakabidhi madaraka Mawaziri na Naibu Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

104. Uchaguzi wa Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

(1)Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar atachaguliwa na wananchi katika Tanzania Zanzibar kwa mujibu wa masharti ya Katiba ya Zanzibar na kwa kufuata utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar inayohusu uchaguzi kwa ujumla au uchaguzi wa Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
(2)Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, kiti cha Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kitakuwa ki wazi, na uchaguzi wa Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar utafanyika ili kujaza nafasi hiyo kila mara litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo:
(a)baada ya Baraza la Wawakilishi kuvunjwa;
(b)baada ya Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kujiuzulu bila ya kulivunja Baraza la Wawakilishi kwanza;
(c)baada ya Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupoteza sifa za kushika nafasi ya madaraka ya kuchaguliwa;
(d)baada ya Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kushtakiwa katika Baraza la Wawakilishi kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar 1984 na kuondolewa katika madaraka;
(e)baada ya kuthibitishwa kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar 1984 kwamba Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hawezi kumudu kazi na shughuli zake;
(f)baada ya Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufariki.

Sehemu ya Pili – Baraza la Mapinduzi la Zanzibar (Ib. 105)

105. Baraza la Mapinduzi la Zanzibar na kazi zake

(1)Kutakuwa na Baraza la Mapinduzi la Zanzibar litakalokuwa na wajumbe wafuatao:
(a)Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi;
(b)Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar;
(c)Mawaziri wote wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar;
(d)Wajumbe wengine watakaoteuliwa na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa mujibu wa masharti ya Katiba ya Zanzibar.
(2)Bila ya kuyaingilia madaraka ya Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kama Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Baraza la Mapinduzi litakuwa ndicho chombo kikuu cha kumshauri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar juu ya mambo yote yanayohusika na utekelezaji wa madaraka yake ya uongozi na usimamizi wa shughuli za Serikali ya Zanzibar na pia utekelezaji wa madaraka yake juu ya shughuli zote za Serikali kuhusu mambo yote yasiyo Mambo ya Muungano, kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii na yale ya Katiba ya Zanzibar.

Sehemu ya Tatu – Baraza la Wawakilishi la Zanzibar (Ib. 106—107)

106. Baraza la Wawakilishi la Zanzibar na madaraka ya kutunga Sheria za Zanzibar

(1)Kutakuwa na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar. Baraza la Wawakilishi litakuwa na sehemu mbili; sehemu moja itakuwa ni ya Wajumbe wa Baraza hilo waliochaguliwa na kuteuliwa kwa namna itakavyoelezwa na masharti ya Katiba ya Zanzibar, ya mwaka 1984, na ambao watajulikana kama Wajumbe Wawakilishi; sehemu nyingine ya Baraza la wawakilishi itakuwa ni Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika utekelezaji wa madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii na masharti ya Katiba ya Zanzibar, ya mwaka 1984.
(2)Iwapo kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii, masharti ya Katiba ya Zanzibar, ya mwaka 1984, au masharti ya Sheria yoyote iliyowekwa na inayotumika Zanzibar, jambo lolote lahitaji kuamuliwa au kutekelezwa na sehemu zote mbili za Baraza la Wawakilishi, basi jambo hilo halitahesabiwa kuwa limeamuliwa au limetekelezwa ipasavyo ila mpaka liwe limeamuliwa au limetekelezwa na Wajumbe Wawakilishi na vile vile Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwa mujibu wa madaraka yao kuhusu jambo hilo.
(3)Madaraka yote ya kutunga Sheria katika Zanzibar juu ya mambo yote yasiyo Mambo ya Muungano yatakuwa mikononi mwa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.

107. Madaraka ya Baraza la Wawakilishi

(1)Rais wa Zanzibar kama sehemu moja ya Baraza la Wawakilishi atatekeleza madaraka yote aliyokabidhiwa na Katiba hii na pia Katiba ya Zanzibar kwa ajili hiyo.
(2)Wajumbe Wawakilishi kama Baraza la Wawakilishi watakuwa ndicho chombo Kikuu cha Tanzania Zanzibar ambacho kitakuwa na madaraka kwa niaba ya wananchi wa Tanzania Zanzibar, kuisimamia na kuishauri Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wa majukumu yake kwa mujibu wa Katiba hii na Katiba ya Zanzibar.
(3)Kwa madhumuni ya utekelezaji wa madaraka yake, Baraza la Wawakilishi laweza–
(a)kumuuliza Waziri yeyote wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar swali lolote kuhusu mambo ya umma katika Tanzania Zanzibar yaliyomo katika wajibu wake;
(b)kujadili utekelezaji wa kila Wizara ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakati wa Mkutano wa Baraza la Wawakilishi wa kila mwaka wa bajeti;
(c)kujadili na kuidhinisha mpango wowote wa muda mrefu au wa muda mfupi unaokusudiwa kutekelezwa Tanzania Zanzibar, na kutunga sheria ya kusimamia utekelezaji wa mpango huo;
(d)kutunga sheria pale ambapo utekelezaji unahitaji kuwapo sheria; na
(e)kutayarisha au kuagiza itayarishwe na kuwasilisha kwenye Chama chochote cha siasa taarifa kuhusu jambo lolote ambalo liko chini ya mamlaka ya Bunge.

Sura ya Tano
Utoaji Haki katika Jamhuri ya Muungano, Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano, Tume ya Kuajiri ya Mahakama ya Tanzania Bara, Mahakama Kuu ya Zanzibar, Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano na Mahakama Maalum ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano (Ib. 107A—128)

Sehemu ya Kwanza – Utoaji ahki katika Jamhuri ya Muungano (Ib. 107A—107B)

107A. Mamlaka ya utoaji haki

(1)Mamlaka ya utoaji haki katika Jamhuri ya Muungano itakuwa mikononi mwa Idara ya Mahakama na Idara ya Mahakama ya Zanzibar, na kwa hiyo hakuna chombo cha Serikali wala cha Bunge au Baraza la Wawakilishi la Zanzibar kitakachokuwa na kauli ya mwisho katika utoaji haki.
(2)Katika kutoa uamuzi wa mashauri ya madai na jinai kwa kuzingatia sheria, Mahakama zitafuata kanuni zifuatazo, yaani–
(a)kutenda haki kwa wote bila ya kujali hali ya mtu kijamii au kiuchumi;
(b)kutochelewesha haki bila sababu ya kimsingi;
(c)kutoa fidia ipasayo kwa watu wanaoathirika kutokana na makosa ya watu wengine, na kwa mujibu wa sheria mahususi iliyotungwa na Bunge;
(d)kukuza na kuendeleza usuluhishi baina ya wanaohusika katika migogoro.

107B. Uhuru wa Mahakama

Katika kutekeleza mamlaka ya utoaji haki, Mahakama zote zitakuwa huru na zitalazimika kuzingatia tu masharti ya Katiba na yale ya sheria za nchi.

Sehemu ya Pili – Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano (Ib. 108-111)

108. Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano na Mamlaka yake

(1)Kutakuwa na Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano (itakayojulikana kwa kifupi kama "Mahakama Kuu") ambayo mamlaka yake yatakuwa kama ilivyoelezwa katika Katiba hii au katika Sheria nyingine yoyote.
(2)Iwapo Katiba hii au Sheria nyingine yoyote haikutamka wazi kwamba shauri la aina iliyotajwa mahsusi litasikilizwa kwanza katika Mahakama ya ngazi iliyotajwa mahsusi kwa ajili hiyo, basi Mahakama Kuu itakuwa na mamlaka ya kusikiliza kila shauri la aina hiyo. Hali kadhalika, Mahakama Kuu itakuwa na uwezo wa kutekeleza shughuli yoyote ambayo kwa mujibu wa mila za kisheria zinazotumika Tanzania, shughuli ya aina hiyo kwa kawaida hutekelezwa na Mahakama Kuu.
Isipokuwa kwamba masharti ya ibara hii ndogo yatatumika bila ya kuathiri mamlaka ya Mahakama ya Rufani ya Tanzania kama ilivyoelezwa katika Katiba hii au katika sheria nyingine yoyote.

109. Majaji wa Mahakama Kuu na uteuzi wao

(1)Kutakuwa na Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu (ambaye katika ibara zifuatazo kwenye Katiba hii atatajwa tu kwa kifupi kama "Jaji Kiongozi") na Majaji wengine wa Mahakama Kuu wasiopungua kumi na watano.
(2)Jaji Kiongozi na Majaji wengineo wa Mahakama Kuu watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Tume ya Kuajiri ya Mahakama.
(3)Bila ya kuathiri masharti ya Katiba hii au sheria nyingine yoyote kuhusu madaraka ya Jaji Mkuu aliyetajwa katika ibara ya 118, Jaji Kiongozi atakuwa ndiye msaidizi maalum wa Jaji Mkuu katika utendaji wa kazi katika Mahakama Kuu na Mahakama nyinginezo zote za ngazi ya chini yake, na katika madaraka hayo Jaji Kiongozi atatekeleza kazi na shughuli atakazoagizwa au kuelekezwa mara kwa mara na Jaji Mkuu, na kwa madhumuni ya ibara hii, Jaji Kiongozi atajulikana pia kama Mkuu wa Mahakama Kuu.
(4)Mbali ya madaraka yake ya kawaida ya Jaji wa Mahakama Kuu kama Majaji wengine wote wa Mahakama Kuu, Jaji Kiongozi atakuwa pia na mamlaka ya kutekeleza kazi na shughuli zote zinazoambatana na mamlaka ya Mahakama Kuu ambazo kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii au ya sheria nyingine yoyote au kufuatana na mila za kisheria zinazotumika hutakiwa zitekelezwe na Mkuu wa Mahakama Kuu:Isipokuwa kwamba masharti ya ibara hii ndogo hayatatumika kwa ajili ya utekelezaji wa kazi au shughuli ambazo kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii au ya Sheria nyingine yoyote au kufuatana na mila za kisheria zinazotumika Tanzania zimetajwa mahsusi au zinafahamika kuwa ni kazi au shughuli zinazotakiwa kutekelezwa tu na Jaji Mkuu.
(5)Kwa madhumuni ya kuondoa mashaka juu ya ufafanuzi au utekelezaji wa masharti ya ibara ndogo ya (3) na ya (4) ya ibara hii, inatamkwa rasmi hapa kwamba isipokuwa kama masharti ya Katiba hii au ya sheria nyingine yoyote yameagiza vingine, Jaji Mkuu atakuwa na uwezo wa kutoa kwa Jaji Kiongozi mara kwa mara maagizo au maelekezo kuhusu utendaji wa kazi na shughuli zake kama Mkuu wa Mahakama Kuu; vile vile, Jaji Mkuu atakuwa na uwezo wa kuwakilisha kwa Jaji Kiongozi baadhi ya madaraka yake ya uongozi na usimamizi juu ya utekelezaji wa kazi katika Mahakama Kuu na Mahakama nyinginezo zote za ngazi ya chini yake, na kila inapohitajika, Jaji Mkuu anaweza kutekeleza yeye mwenyewe moja kwa moja madaraka yake yoyote aliyowakilisha kwa Jaji Kiongozi.
(6)Nafasi ya Jaji wa Mahakama Kuu haitafutwa wakati yupo mtu aliyeshika madaraka ya kiti cha Jaji.
(7)Bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (9) ya ibara hii, mtu aweza tu kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ikiwa ana sifa maalum, kama ilivyofafanuliwa katika ibara ndogo ya (8) ya ibara hii, na awe mtu ambaye amekuwa na mojawapo ya sifa maalum kwa muda usiopungua miaka mitano.
(8)Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa ibara ndogo ya (7), ya (9) na ya (11) ya ibara hii, "sifa maalum" maana yake ni sifa zilizotajwa katika Sheria ya Mawakili 4 (au Sheria nyingine yoyote inayobadilisha hiyo sheria ya Mawakili au inayotumika badala yake) ambazo ni lazima mtu awe nayo mojawapo ya sifa hizo ili aweze kukubaliwa kuandikishwa kama Wakili Tanzania Bara.4Sura ya 341
(9)Iwapo Rais atatosheka kwamba ijapokuwa mtu mwenye sifa mojawapo ya hizo sifa maalum hakuwa nayo sifa hiyo kwa muda usiopungua miaka mitano, lakini mtu huyo ana uwezo, ujuzi na kwa kila hali anafaa kukabidhiwa madaraka ya Jaji wa Mahakama Kuu na kuna sababu za kumfanya mtu huyo astahili kukabidhiwa madaraka hayo, basi Rais aweza kutangua lile sharti la kuwa na sifa maalum kwa muda usiopungua miaka mitano, na baada ya kushauriana na Tume ya Kuajiri ya Mahakama, Rais aweza kumteua mtu huyo kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
(10)Ikitokea kwamba kiti cha Jaji Kiongozi kinakuwa wazi au kwamba Jaji Kiongozi anashindwa kutekeleza kazi zake kwa sababu yoyote, basi kazi hizo zitatekelezwa na Jaji mmojawapo atakayeteuliwa na Rais kwa ajili hiyo, na Jaji huyo atatekeleza kazi hizo mpaka atakapoteuliwa Jaji Kiongozi mwingine na kushika madaraka ya kiti cha Jaji Kiongozi au mpaka Jaji Kiongozi mwenyewe ambaye alikuwa hamudu kazi zake atakaporejea kazini.
(11)Ikitokea kwamba kiti cha Jaji yeyote kitakuwa wazi au ikiwa Jaji yeyote atateuliwa kuwa Kaimu Jaji Kiongozi au kama atashindwa kutekeleza kazi zake kwa sababu yoyote, au kama Jaji Mkuu atamshauri Rais kuwa kazi za Mahakama Kuu zilivyo wakati huo zahitaji ateuliwe Kaimu Jaji, basi Rais aweza, baada ya kushauriana na Jaji Mkuu kama kawaida, kumteua Kaimu Jaji kutoka miongoni mwa watu wenye sifa maalum:Isipokuwa kwamba–
(a)mtu hatahesabiwa kuwa hastahili kuteuliwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii ndogo kwa sababu tu kwamba ametimiza umri uliotajwa katika ibara ndogo ya (1) ya ibara ya 110 ya Katiba hii;
(b)kwa madhumuni ya kumteua Kaimu Jaji kwa mujibu wa masharti ya ibara hii ndogo, Rais aweza kutangua lile sharti la kuwa na sifa maalum kwa muda usiopungua miaka mitano kwa sababu kama zile zilizotajwa katika ibara ndogo ya (9) ya ibara hii.
(12)Mtu yeyote atakayeteuliwa kuwa Kaimu Jaji kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (11) ya ibara hii, ataendelea kufanya kazi kama Kaimu Jaji kwa muda wowote utakaotajwa wakati wa kuteuliwa kwake au, kama muda haukutajwa, mpaka uteuzi wake utakapofutwa na Rais, lakini bila ya kujali kwamba muda wake wa kazi umemalizika au kwamba uteuzi wake umefutwa, mtu huyo aweza kuendelea kufanya kazi kama Kaimu Jaji mpaka amalize kutayarisha na kutoa hukumu au mpaka akamilishe shughuli nyingine yoyote inayohusika na mashauri ambayo alikwisha anza kuyasikiliza kabla muda wake wa kazi haujamalizika au kabla ya uteuzi wake haujafutwa.

110. Muda wa Majaji wa Mahakama Kuu kushika madaraka

(1)Kila Jaji wa Mahakama Kuu atalazimika kuacha kazi yake atakapotimiza umri wa miaka sitini, lakini masharti ya ibara hii ndogo yatatumika bila ya kuathiri masharti yafuatayo katika ibara hii.
(2)Jaji yeyote wa Mahakama Kuu aweza kujiuzulu kazi katika utumishi wa Umma wa Jamhuri ya Muungano wakati wowote baada ya kutimiza umri wa miaka hamsini na tano, isipokuwa kama Rais ataagiza kwamba asijiuzulu na iwapo Rais ataagiza hivyo, basi huyo Jaji atakayehusika na maagizo hayo ya Rais hatakuwa na haki ya kujiuzulu mpaka upite kwanza muda wowote utakaotajwa na Rais kwa ajili hiyo.
(3)Iwapo Rais ataona kuwa kwa ajili ya manufaa ya Umma inafaa Jaji aliyetimiza umri wa miaka sitini aendelee kufanya kazi, na huyo Jaji mwenyewe anakubali kwa maandishi kuendelea kufanya kazi, basi Rais aweza kuagiza kuwa Jaji huyo aendelee kufanya kazi kwa muda wowote utakaotajwa na Rais.
(4)Bila ya kujali kwamba Jaji ametimiza umri ambao analazimika kuacha kazi kwa mujibu wa masharti ya ibara hii, mtu anayefanya kazi ya Jaji wa Mahakama Kuu aweza kuendelea kufanya kazi baada ya kutimiza umri huo mpaka amalize kutayarisha na kutoa hukumu au mpaka akamilishe shughuli nyingine yoyote inayohusika na mashauri ambayo alikwisha anza kuyasikiliza kabla hajatimiza umri huo wa kuacha kazi.
(5)Jaji wa Mahakama Kuu aweza tu kuondolewa katika madaraka ya kazi ya Jaji kwa sababu ya kushindwa kutekeleza kazi zake (ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote) au kwa sababu ya tabia mbaya inayoathiri Maadili ya Kazi ya Jaji au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma; na hataweza kuondolewa kazini ila kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (7) ya ibara hii.
(6)Iwapo Rais anaona kuwa suala la kumwondoa Jaji kazini lahitaji kuchunguzwa, basi katika hali hiyo mambo yatakuwa ifuatavyo–
(a)Rais atateua Tume ambayo itakuwa na Mwenyekiti na Wajumbe wengine wasiopungua wawili. Na huyo Mwenyekiti na angalau nusu ya Wajumbe wengine wa Tume hiyo itabidi wawe watu ambao ni Majaji wa Mahakama Kuu au Mahakama ya Rufani katika nchi yoyote iliyomo kwenye Jumuiya ya Madola;
(b)Tume hiyo itachunguza shauri lote halafu itatoa taarifa kwa Rais kuhusu maelezo ya shauri hilo lote na itamshauri Rais kama huyo Jaji anayehusika aondolewe kazini kwa mujibu wa masharti ya ibara hii kwa sababu ya kushindwa kufanya kazi kutokana na maradhi na sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya.
(7)Ikiwa Tume iliyoteuliwa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (6) itamshauri Rais kwamba Jaji ambaye habari zake zimechunguzwa na hiyo Tume aondolewe kazini kwa sababu ya kushindwa kufanya kazi kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya, basi Rais atamwondoa kazini Jaji huyo anayehusika.
(8)Ikiwa suala la kumwondoa Jaji kazini limepelekwa kwenye Tume kwa ajili ya uchunguzi kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (6) ya ibara hii, Rais aweza kumsimamisha kazi Jaji huyo anayehusika, na Rais aweza wakati wowote kufuta uamuzi huo wa kumsimamisha kazi Jaji huyo, na kwa hali yoyote uamuzi huo utabatilika ikiwa Tume itamshauri Rais kwamba Jaji huyo asiondolewe kazini.
(9)Masharti ya ibara hii yatatumika bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (12) ya ibara ya 109 ya Katiba hii.

111. Kiapo cha Majaji

Jaji wa Mahakama Kuu hatashika madaraka yake ila mpaka awe ameapishwa kwanza kiapo cha uaminifu na pia kiapo kingine chochote kinachohusika na utendaji wa kazi kitakachowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.

Sehemu ya Tatu – Madaraka ya Kuajiri Mahakimu na watumishi wengine wa Mahakama za Tanzania Bara na Tume ya Kuajiri ya Mahakama (Ib. 112—113A)

112. Tume ya Kuajiri ya Mahakama

(1)Kutakuwa na Tume ya Kuajiri kwa ajili ya Mahakimu na Watumishi wengineo wa Mahakama za Tanzania Bara. Wajumbe wa Tume hiyo watakuwa hawa wafuatao–
(a)Jaji Mkuu ambaye atakuwa Mwenyekiti;
(b)Mwanasheria Mkuu;
(c)Jaji mmoja wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania ambaye atateuliwa kwa ajili hiyo na Rais baada ya kushauriana na Jaji Mkuu;
(d)Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu;
(e)Wajumbe wawili ambao watateuliwa na Rais.
(2)Mtu hataweza kuteuliwa kuwa mjumbe wa Tume kwa mujibu wa masharti ya aya ya (d) ya ibara ndogo ya (1) ya ibara hii ikiwa mtu huyo ni Mbunge au ni mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote iliyotajwa kwa ajili hiyo na sheria iliyotungwa na Bunge.

113. Madaraka ya kuajiri Mahakimu na watumishi wengine wa Mahakama

(1)Bila ya kuathiri masharti ya Sheria yoyote iliyotungwa na Bunge inayohusika na suala la kuajiri Mahakimu na Watumishi wengineo wa Mahakama mgawanyo wa madaraka kwa ajili ya suala hilo utakuwa ifuatavyo–
(a)madaraka ya kuwaajiri watu wa kushika madaraka ya aina zilizotajwa katika ibara ndogo ya (2) ya ibara hii (pamoja na madaraka ya kuwathibitisha watu hao kazini na kuwapandisha vyeo) yatakuwa mikononi mwa Rais;
(b)madaraka ya kudhibiti nidhamu ya watu hao na madaraka ya kuwaondoa kazini yatakuwa mikononi mwa Tume ya Kuajiri iliyotajwa katika ibara ya 112 ya Katiba hii.
(2)Madaraka yanayohusika na masharti ya ibara hii ni madaraka ya Msajili wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania na Naibu wa Msajili huyo wa daraja lolote, madaraka ya Msajili wa Mahakama Kuu na Naibu wa Msajili huyo wa daraja lolote, madaraka ya Hakimu Mkazi na Hakimu wa aina nyingine yoyote, na madaraka ya aina nyingine yoyote yanayohusika na Mahakama yoyote (isipokuwa Mahakama ya Kijeshi) itakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.

113A. Uanachama katika vyama vya siasa

Itakuwa ni marufuku kwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji wa Mahakama Kuu, Hakimu wa ngazi yoyote kujiunga na chama chochote cha siasa, isipokuwa tu kwamba atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.

Sehemu ya Nne – Mahakama Kuu ya Zanzibar (Ib. 114—115)

114. Mahakama Kuu ya Zanzibar

Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa Sura hii ya Katiba hii, ifahamike kwamba masharti yaliyomo katika Sura hii hayazuii kuendelea kuwapo au kuanzishwa, kwa mujibu wa Sheria zinazotumika Zanzibar, kwa Mahakama Kuu ya Zanzibar au mahakama zilizo chini ya Mahakama Kuu ya Zanzibar.

115. Mamlaka ya Mahakama Kuu ya Zanzibar

(1)Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 83 na 116 ya Katiba hii, mamlaka ya Mahakama Kuu ya Zanzibar yatakuwa kama itakavyoelezwa katika Sheria zinazotumika Zanzibar.
(2)Bila ya kuathiri masharti ya Katiba hii au sheria nyingine yoyote iliyotungwa na Bunge, iwapo sheria yoyote iliyotungwa na Bunge inayotumika Tanzania Bara na vile vile Tanzania Zanzibar imekabidhi madaraka yoyote kwa Mahakama Kuu, basi Mahakama Kuu ya Zanzibar yaweza kutekeleza madaraka hayo kwa kiasi kile kile inavyoweza kutekeleza Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano.

Sehemu ya Tano – Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano (Ib. 116—123)

116. Ufafanuzi

(1)Katika Sehemu hii ya Tano ya Sura hii ya Tano ya Katiba hii na katika sehemu nyingine za Katiba hii, ila iwapo maelezo yahitaji vinginevyo–"Idara ya Mahakama" maana yake ni Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano iliyotajwa katika ibara ya 117 ya Katiba hii (au kwa kifupi "Mahakama ya Rufani"), Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano iliyotajwa katika ibara ya 108 ya Katiba hii (ambayo itajulikana kwa kifupi kama "Mahakama Kuu") pamoja na Mahakama nyingine zozote za ngazi zilizo chini ya Mahakama Kuu;"Jaji Mkuu" maana yake ni Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani na ni pamoja na Kaimu Jaji Mkuu au Jaji wa Rufani anayeshikilia au kutekeleza madaraka ya Jaji Mkuu;"Jaji wa Rufani" maana yake ni Jaji yoyote wa Mahakama ya Rufani.
(2)Bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (3), Jaji Mkuu hatakuwa na madaraka juu ya jambo lolote linalohusu muundo na uendeshaji wa shughuli za siku hadi siku za Mahakama zilizoundwa kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar au sheria yoyote ya Tanzania Zanzibar.
(3)Jaji Mkuu atashauriana mara kwa mara na Jaji Mkuu wa Zanzibar kuhusu uendeshaji wa shughuli za Mahakama ya Rufani kwa jumla, na pia kuhusu uteuzi wa Majaji wa Rufani.

117. Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano na Mamlaka yake

(1)Kutakuwa na Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano (itakayojulikana kwa kifupi kama "Mahakama ya Rufani") ambayo mamlaka yake yatakuwa kama ilivyoelezwa katika Katiba hii au katika Sheria nyingine yoyote.
(2)Mahakama ya Rufani haitakuwa na mamlaka yoyote kuhusu usuluhishi wa suala lolote litakaloshughulikiwa kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 126 ya Katiba hii ambayo inahusu ubishi kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
(3)Kazi ya Mahakama ya Rufani itakuwa ni kusikiliza na kutoa uamuzi juu ya kila rufaa inayoletwa mbele ya Mahakama ya Rufani kutokana na hukumu au uamuzi wa namna nyingine yoyote wa Mahakama Kuu au Mahakama ya yoyote ya chini iliyopewa Mamlaka maalum ya Mahakama Kuu.
(4)Sheria iliyotungwa kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii na Bunge au na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar yaweza kuweka masharti yatakayoeleza utaratibu wa kupeleka rufaa mbele ya Mahakama ya Rufani, nyakati na sababu za kukata rufaa na namna ya kushughulikia rufaa hizo.

118. Majaji wa Mahakama ya Rufani na uteuzi wao

(1)Kutakuwa na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani (ambaye katika ibara zifuatazo kwenye Katiba hii atatajwa tu kwa kifupi kama "Jaji Mkuu") na Majaji wengine wa Mahakama ya Rufani wasiopungua wawili, isipokuwa kwamba kikao maalum cha Mahakama nzima kitakuwa kamili kukiwa na Majaji Rufani wasiopungua watano.
(2)Jaji Mkuu atateuliwa na Rais na atakuwa ndiye Kiongozi wa Mahakama ya Rufani na pia Mkuu wa Idara ya Mahakama kama ilivyofafanuliwa katika ibara ya 116 ya Katiba hii.
(3)Majaji wengineo wa Mahakama ya Rufani watateuliwa na Rais, baada ya kushauriana na Jaji Mkuu, kutoka miongoni mwa watu ambao wanaweza kuteuliwa kuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano kama ilivyoelezwa katika ibara ya 109 ya Katiba hii au kutoka miongoni mwa watu wanaoweza kuteuliwa kuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar kwa mujibu wa Sheria zinazotumika Zanzibar.
(4)Iwapo itatokea kwamba–
(a)kiti cha Jaji Mkuu kitakuwa wazi; au
(b)Jaji Mkuu hayupo Tanzania; au
(c)Jaji Mkuu atashindwa kutekeleza kazi yake kwa sababu yoyote, na Rais akiona kuwa kwa muda wa tukio lolote kati ya hayo matatu inafaa kumteua Kaimu Jaji Mkuu, basi Rais aweza kumteua Kaimu Jaji Mkuu kutoka miongoni mwa watu wenye sifa za kustahili kuteuliwa kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani, na huyo Kaimu Jaji Mkuu atatekeleza kazi za Jaji Mkuu au mpaka atakapoteuliwa Jaji Mkuu au mpaka Jaji Mkuu mwingine ambaye alikuwa hayupo Tanzania au alikuwa hamudu kazi zake atakaporejea kazini.
(5)Ikitokea kwamba kiti cha Jaji yeyote wa Mahakama ya Rufani kitakuwa wazi au ikiwa Jaji yeyote wa Mahakama ya Rufani atateuliwa kuwa Kaimu Jaji Mkuu au kama atashindwa kutekeleza kazi zake kwa sababu yoyote, au kama Jaji Mkuu atamshauri Rais kuwa kazi za Mahakama ya Rufani ilivyo wakati huo zahitaji ateuliwe Kaimu Jaji wa Mahakama ya Rufani, basi Rais aweza, baada ya kushauriana na Jaji Mkuu kama kawaida, kumteua Kaimu Jaji wa Mahakama ya Rufani kutoka miongoni mwa watu wanaoweza kuteuliwa kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (3) ya ibara hii.
(6)Mtu yeyote atakayeteuliwa kuwa Kaimu Jaji wa Mahakama ya Rufani kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (5) ya ibara hii, ataendelea kufanya kazi kama Kaimu Jaji wa Mahakama ya Rufani kwa muda wowote utakaotajwa wakati wa kuteuliwa kwake, au kama muda haukutajwa, mpaka uteuzi wake utakapofutwa na Rais, lakini bila ya kujali kwamba muda wake wa kazi umemalizika au kwamba uteuzi wake umefutwa, mtu huyo aweza kuendelea kufanya kazi kama Kaimu Jaji wa Mahakama ya Rufani mpaka amalize kutayarisha na kutoa hukumu au mpaka akamilishe shughuli nyingine yoyote inayohusika na rufaa au mashauri mengine yoyote ambayo alikwisha anza kuyasikiliza kabla muda wake wa kazi haujamalizika au kabla ya uteuzi wake haujafutwa.
(7)Kwa madhumuni ya kuondoa mashaka juu ya ufafanuzi wa masharti ya ibara ndogo ya (1) ya ibara ya 118 ya Katiba hii (inayotaja idadi ya Majaji wa kudumu wa Mahakama ya Rufani) na masharti ya ibara ya 119 ya Katiba hii (inayoeleza mamlaka ya Majaji wa Mahakama ya Rufani), inatamkwa rasmi hapa kwamba Kaimu Jaji wa Mahakama ya Rufani aliyeteuliwa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (5) ya ibara hii atakuwa na mamlaka kamili ya Jaji wa Mahakama ya Rufani na kwamba atatekeleza kazi zake kama Kaimu Jaji wa Mahakama ya Rufani bila ya kujali kuwa kuteuliwa kwake kutakiuka idadi ya Majaji wa kudumu wa Mahakama ya Rufani iliyotajwa katika ibara ndogo ya (1) ya ibara ya 118 ya Katiba hii, lakini masharti ya ibara hii ndogo yatatumika bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 122 ya Katiba hii kuhusu kiwango cha vikao vya Mahakama ya Rufani.
(8)Nafasi ya Jaji wa Mahakama ya Rufani haitafutwa wakati yupo mtu aliyeshika madaraka ya kiti cha Jaji wa Mahakama ya Rufani.

119. Mamlaka ya Majaji wa Mahakama ya Rufani

Jaji yeyote wa Mahakama ya Rufani hatakuwa na mamlaka ya kusikiliza shauri lolote katika Mahakama Kuu au katika Mahakama ya Hakimu ya ngazi yoyote:Isipokuwa kwamba iwapo Jaji yeyote wa Mahakama Kuu atateuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, basi hata baada ya kuteuliwa kwake kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji huyo aweza kuendelea kufanya kazi zake katika Mahakama Kuu mpaka amalize kutayarisha na kutoa hukumu au mpaka akamilishe shughuli nyingine yoyote inayohusika na mashauri ambayo alikwisha anza kuyasikiliza kabla hajateuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, na kwa ajili hiyo itakuwa halali kwake kutoa hukumu au uamuzi mwingine wowote unaohusika kwa kutumia na kutaja madaraka aliyoshika kabla ya kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, lakini endapo hatimaye hukumu hiyo au uamuzi huo mwingine utapingwa kwa njia ya rufaa itakayofikishwa mbele ya Mahakama ya Rufani, basi katika hali hiyo Jaji huyo wa Mahakama ya Rufani, hatakuwa na mamlaka ya kusikiliza rufaa hiyo.

120. Muda wa Majaji wa Mahakama ya Rufani kushika madaraka

(1)Kila Jaji wa Mahakama ya Rufani atalazimika kuacha kazi yake atakapotimiza umri wa miaka sitini na tano, lakini masharti ya ibara hii ndogo yatatumika bila kuathiri masharti yafuatayo katika ibara hii.
(2)Jaji yeyote wa Mahakama ya Rufani aweza kujiuzulu kazi katika utumishi wa Umma wa Jamhuri ya Muungano wakati wowote baada ya kutimiza umri wa miaka sitini, isipokuwa kama Rais ataagiza kwamba asijiuzulu, na iwapo Rais ataagiza hivyo, basi huyo Jaji wa Mahakama ya Rufani atakayehusika na maagizo hayo ya Rais hatakuwa na haki ya kujiuzulu mpaka upite kwanza muda wowote utakaotajwa na Rais kwa ajili hiyo.
(3)Iwapo Rais ataona kuwa kwa ajili ya manufaa ya Umma inafaa Jaji wa Mahakama ya Rufani aliyetimiza umri wa miaka sitini na tano aendelee kufanya kazi, na huyo Jaji mwenyewe wa Mahakama ya Rufani anakubali kwa maandishi kuendelea kufanya kazi; basi Rais aweza kuagiza kuwa Jaji huyo wa Mahakama ya Rufani aendelee kufanya kazi kwa muda wowote utakaotajwa na Rais.
(4)Bila ya kujali kwamba Jaji wa Mahakama ya Rufani ametimiza umri ambao analazimika kuacha kazi kwa mujibu wa masharti ya ibara hii, mtu anayefanya kazi ya Jaji wa Mahakama ya Rufani aweza kuendelea kufanya kazi baada ya kutimiza umri huo mpaka amalize kutayarisha na kutoa hukumu au mpaka akamilishe shughuli nyingine yoyote inayohusika na mashauri ambayo alikwisha anza kuyasikiliza kabla hajatimiza umri huo wa kuacha kazi.
(5)Jaji wa Mahakama ya Rufani aweza tu kuondolewa katika madaraka ya kazi ya Jaji wa Mahakama ya Rufani kwa sababu ya kushindwa kutekeleza kazi zake (ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote) au kwa sababu ya tabia mbaya, na hataweza kuondolewa kazini ila kwa mujibu wa masharti ya utaratibu unaofanana na ule uliowekwa kwa ajili ya kumwondoa kazini Jaji wa Mahakama Kuu kama ilivyoelezwa katika ibara ndogo ya (6) na ya (7) ya ibara ya 110 ya Katiba hii, na kwa ajili hiyo masharti ya ibara ndogo ya (8) ya ibara hiyo ya 110 yatatumika kwa Jaji wa Mahakama ya Rufani kwa namna ile ile yanavyotumika kwa Jaji wa Mahakama Kuu.
(6)Masharti ya ibara hii yatatumika bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (5) ya ibara ya 118 ya Katiba hii.

121. Kiapo cha Majaji wa Mahakama ya Rufani

Jaji wa Mahakama ya Rufani hatashika madaraka yake ila mpaka awe ameapishwa kiapo cha uaminifu na kiapo kingine chochote kinachohusika na utendaji wa kazi kitakachowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.

122. Kiwango cha vikao vya Mahakama ya Rufani

(1)Kiwango cha kila kikao cha Mahakama ya Rufani ni Majaji wa Mahakama ya Rufani wasiopungua watatu.
(2)Katika kila rufaa suala linalohitaji uamuzi wa Mahakama ya Rufani litaamuliwa kwa kufuata kauli ya walio wengi kati ya Majaji wa Mahakama ya Rufani waliosikiliza rufaa.

123. Mashauri yanayoweza kuamuliwa na Jaji mmoja wa Mahakama ya Rufani

Jaji mmoja wa Mahakama ya Rufani aweza kutekeleza madaraka yoyote ya Mahakama ya Rufani ambayo hayahusiki na kutoa uamuzi juu ya rufaa:Isipokuwa kwamba–
(a)Katika mashauri ya jinai, iwapo Jaji wa Mahakama ya Rufani aliyeombwa kutekeleza madaraka hayo atatoa uamuzi ambao mwombaji haridhiki nao, basi mwombaji atakuwa na haki kutaka maombi yake yaamuliwe na Mahakama ya Rufani;
(b)katika mashauri ya madai, Mahakama ya Rufani yaweza kubatilisha au kubadilisha amri, agizo au uamuzi wa namna nyingine wowote uliotolewa na Jaji mmoja wa Mahakama ya Rufani kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.

Sehemu ya Sita – Utaratibu wa kupeleka hati za kutekeleza maagizo yaliyomo katika hati zilizotolewa na Mahakama (Ib. 124)

124. Utekelezaji wa maagizo ya Mahakama utafanywa nchini Tanzania kote

(1)Hati zenye maagizo yaliyotolewa na Mahakama za Tanzania Bara na Mahakama za Tanzania Zanzibar katika mashauri ya madai ya aina zote na mashauri ya jinai ya aina zote (pamoja na hati za kuamuru kukamatwa watu) zaweza kupelekwa mahali popote nchini Tanzania na maagizo hayo yaweza kutekelezwa mahali popote nchini Tanzania kwa kufuata masharti yafuatayo–
(a)iwapo Mahakama imetoa hati zenye maagizo yatakayotekelezwa mahali ambako mahakama hiyo haina mamlaka, basi hati hiyo itapelekwa huko na maagizo yaliyomo katika hati hiyo yatatekelezwa kwa mujibu wa utaratibu unaotumika huko kwa ajili ya kupeleka hati au kutekeleza maagizo yaliyomo katika hati iliyotolewa na Mahakama yenye mamlaka huko ilikopelekwa hati; na
(b)iwapo Sheria inayotumika huko ilikopelekwa hati imeweka masharti kwamba hati zilizotolewa na Mahakama ya mahali pengine ni lazima ithibitishwe kwanza na Mahakama yenye mamlaka mahali hapo inapotumika sheria hiyo, basi kila hati iliyotolewa na Mahakama ya mahali pengine itabidi ithibitishwe kwanza kwa mujibu wa sheria hiyo kabla maagizo yaliyomo katika hati hiyo hayajatekelezwa.
(2)Iwapo mtu amekamatwa mahali popote nchini Tanzania kwa mujibu wa hati ya kuamuru kukamatwa kwake iliyotolewa na Mahakama ambayo haina mamlaka mahali hapo alipokamatwa mtu huyo, basi mtu huyo atahesabiwa kuwa yuko chini ya ulinzi halali na aweza kufikishwa mbele ya Mahakama iliyotoa hati hiyo, lakini masharti haya yaliyomo katika ibara hii ndogo itabidi yatumiwe bila kuathiri masharti ya sheria inayotumika hapo mahali alipokamatwa mtu huyo.
(3)Masharti yaliyomo katika ibara hii hayatazuia sheria kuweka utaratibu kwa ajili ya kupeleka nje ya Tanzania hati zilizotolewa na Mahakama za Tanzania Bara au Mahakama za Tanzania Zanzibar.

Sehemu ya Saba – Mahakama Maalum ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano (Ib. 125—128)

125. Mahakama Maalum ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano

Kutakuwa na Mahakama Maalum ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ambayo mamlaka yake, muundo wake na utaratibu wa shughuli zake ni kama ilivyoelezwa katika ibara ya 126, 127 na 128 ya Katiba hii.

126. Mamlaka ya Mahakama Maalum ya Katiba

(1)Kazi pekee ya Mahakama Maalum ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ni kusikiliza shauri lililotolewa mbele yake, kutoa uamuzi wa usuluhishi, juu ya suala lolote linalohusika na tafsiri ya Katiba hii iwapo tafsiri hiyo au utekelezaji wake unabishaniwa kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
(2)Katika kutekeleza kazi yake kwa mujibu wa masharti ya ibara hii, Mahakama Maalum ya Katiba haitakuwa na mamlaka ya kuchunguza au kubadilisha uamuzi wa Mahakama Kuu au uamuzi wa Mahakama ya Rufani uliotolewa kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 83 ya Katiba hii au uamuzi wa Mahakama ya Rufani uliotolewa kwa mujibu wa ibara ya 117 ya Katiba hii.
(3)Kila uamuzi wa usuluhishi utakaotolewa na Mahakama Maalum ya Katiba kwa mujibu wa ibara hii utakuwa ndio wa mwisho; hakutakuwa na haki ya kukata rufaa popote.

127. Muundo wa Mahakama Maalum ya Katiba

(1)Mahakama Maalum ya Katiba itakuwa na wajumbe ambao nusu ya jumla ya wajumbe wote watateuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano na nusu nyingine ya jumla hiyo watateuliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
(2)Mtu anayeweza kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Mahakama Maalum ya Katiba ni yule tu ambaye ni Jaji au aliyepata kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji wa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano au wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, au mtu mwenye uwezo na ujuzi wa kazi ya Jaji na anayestahili kuteuliwa kuwa Jaji au Kaimu Jaji kwa mujibu wa sheria inayotumika Tanzania Bara na sheria inayotumika Tanzania Zanzibar, kadri hali itakavyokuwa.
(3)Mtu aweza kuteuliwa kuwa mjumbe wa Mahakama Maalum ya Katiba ama kwa ajili ya kusikiliza shauri moja tu au mashauri mawili au zaidi kama yatatokea. Mjumbe ataendelea kutekeleza madaraka ya kazi yake kama Mjumbe wa Mahakama Maalum ya Katiba mpaka shauri analohusika nalo litakapokwisha au mpaka uteuzi wake utakapofutwa au mpaka atakaposhindwa kutekeleza kazi yake kama Mjumbe kwa sababu ya maradhi au sababu nyingine yoyote.

128. Utaratibu katika vikao vya Mahakama Maalum ya Katiba

(1)Mahakama Maalum ya Katiba itafanya vikao vyake wakati ule tu kunapokuwa na shauri la kusikiliza, na itafanya vikao vyake mahali popote patakapoamuliwa kwa utaratibu utakaotumika kwa ajili ya mashauri yatakayosikilizwa na Mahakama Maalum ya Katiba.
(2)Kiwango cha kila kikao cha Mahakama Maalum ya Katiba ni wajumbe wote, na iwapo mjumbe yeyote atakuwa hayupo au ikiwa kiti cha mjumbe yeyote kitakuwa wazi basi Serikali iliyomteua mjumbe huyo ambaye hayupo au ambaye kiti chake ki wazi itamteua mjumbe mwingine wa kushika mahali pake. Mjumbe wa muda aliyeteuliwa kwa mujibu wa ibara hii ndogo ataendelea kutekeleza kazi katika Mahakama Maalum ya Katiba mpaka mjumbe wa kawaida atakaporejea kazini au mpaka mtu atakapoteuliwa kujaza nafasi iliyo wazi au mpaka shauri litakapokwisha, kutegemea ni lipi kati ya mambo hayo litakalotokea mapema zaidi.
(3)Kila suala linalohitaji uamuzi wa Mahakama Maalum ya Katiba litaamuliwa kwa kufuata kauli ya theluthi mbili ya wajumbe kutoka Tanzania Bara na theluthi mbili ya wajumbe kutoka Tanzania Zanzibar.
(4)Bunge laweza kutunga sheria kwa ajili ya kuweka masharti kuhusu utaratibu wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mahakama Maalum ya Katiba, utaratibu wa kupeleka shauri mbele ya Mahakama hiyo, utaratibu wa kuendesha shauri katika Mahakama na utaratibu wa kuwasilisha Serikalini uamuzi wa Mahakama Maalum ya Katiba:
Isipokuwa kwamba iwapo shauri lolote litafikishwa mbele ya Mahakama Maalum ya Katiba wakati hakuna sheria yoyote ya aina iliyoelezwa katika ibara hii ndogo, basi shauri litasikilizwa na kuamuliwa kwa kufuata utaratibu utakaowekwa na Mahakama yenyewe kabla ya kuanza kusikiliza shauri, au iwapo Wajumbe wa Mahakama watashindwa kukubaliana juu ya utaratibu huo, basi shauri litasikilizwa na kuamuliwa kwa kufuata utaratibu utakaoamuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Sura ya Sita
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma (Ib. 129—132)

Sehemu ya Kwanza – Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (Ib. 129—131)

129. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora

(1)Kutakuwa na Tume itakayoitwa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, ambayo majukumu yake yatakuwa kama ilivyoelezwa katika ibara ya 130 ya Katiba hii.
(2)Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora itakuwa na Makamishna wafuatao:
(a)Mwenyekiti, ambaye atakuwa ni mtu mwenye sifa ya kuweza kuteuliwa kuwa Jaji;
(b)Makamu Mwenyekiti, ambaye atateuliwa kwa kuzingatia kanuni kwamba endapo Mwenyekiti ni mtu anayetoka upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano, yeye atakuwa ni mtu wa kutoka upande mwingine wa Jamhuri ya Muungano;
(c)Makamishna wengine wasiozidi watano watakaoteuliwa kutoka miongoni mwa watu wenye ujuzi, uzoefu na upeo mkubwa katika mambo ya haki za binadamu, sheria, utawala, siasa au mambo ya jamii;
(d)Makamishna Wasaidizi.
(3)Makamishna na Makamishna Wasaidizi wote watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Kamati ya Uteuzi.
(4)Kutakuwa na Kamati ya Uteuzi kwa madhumuni ya ibara hii ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao:
(a)Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani;
(b)Spika wa Bunge;
(c)Jaji Mkuu wa Zanzibar;
(d)Spika wa Baraza la Wawakilishi; na
(e)Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, ambaye atakuwa ndiye Katibu wa Kamati hii.
(5)Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Makamishna wengine wote kila mmoja atashika madaraka yake kwa kipindi cha miaka mitatu na anaweza kuteuliwa tena kwa kipindi kingine kimoja tu cha miaka mitatu.
(6)Kwa madhumuni ya kuwakinga Makamishna kutokana na migongano ya kimasilahi, mtu yeyote akiteuliwa kuwa Kamishna wa Tume atalazimika kuacha mara moja madaraka yoyote katika chama chochote cha siasa au madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa kwa ajili hiyo na sheria iliyotungwa na Bunge.
(7)Kamishna au Kamishna Msaidizi wa Tume aweza tu kuondolewa katika madaraka ya kazi yake katika Tume kwa sababu ya kushindwa kutekeleza kazi yake, ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote, au kwa sababu ya tabia mbaya inayoathiri maadili ya kazi ya Kamishna.
(8)Tume yaweza kutekeleza shughuli zake bila ya kujali kwamba kuna nafasi iliyo wazi miongoni mwa viti vya wajumbe au kwamba mjumbe mmojawapo hayupo.

130. Majukumu ya Tume na taratibu za utekelezaji

(1)Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora itatekeleza majukumu yafuatayo:
(a)kuhamasisha nchini hifadhi ya haki za binadamu na wajibu kwa jamii kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi;
(b)kufanya shughuli za kupokea malalamiko ya uvunjaji wa haki za binadamu kwa jumla;
(c)kufanya uchunguzi juu ya mambo yanayohusu uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya Utawala Bora;
(d)kufanya utafiti, kutoa na kueneza nchini elimu kwa umma kuhusu haki za binadamu na Utawala Bora;
(e)kama ikibidi, kufungua mashauri mahakamani ili kuzuia vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu au kurekebisha haki inayotokana na uvunjwaji huo wa haki za binadamu, au ukiukwaji wa misingi ya Utawala Bora;
(f)kuchunguza mwenendo wa mtu yeyote anayehusika au taasisi yoyote inayohusika na masharti ya ibara hii katika utekelezaji wa kawaida wa madaraka ya kazi au majukumu yake au utekelezaji unaokiuka madaraka hayo;
(g)kutoa ushauri kwa Serikali na vyombo vingine vya umma na vya sekta ya binafsi kuhusu haki za binadamu na Utawala Bora;
(h)kuchukua hatua zipasazo kwa ajili ya kukuza na kuendeleza usuluhishi na suluhu miongoni mwa watu na taasisi mbalimbali wanaofika au kufikishwa mbele ya Tume.
(2)Tume itakuwa ni idara inayojitegemea, na bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, katika kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii, Tume haitalazimika kufuata maagizo au amri ya mtu yeyote au idara yoyote ya Serikali au maoni ya chama chochote cha siasa au ya taasisi nyingine yoyote ya umma au ya sekta binafsi.
(3)Masharti ya ibara ndogo ya (2) yasihesabiwe kuwa yanamzuia Rais kutoa maagizo au amri kwa Tume, wala hayatoi haki kwa Tume kutofuata maagizo au amri, endapo Rais ataona kuwa, kuhusiana na jambo lolote au hali yoyote, masilahi ya taifa yahitajia hivyo.
(4)Tume itafanya uchunguzi kwa kufuata masharti ya ibara hii na masharti ya sheria iliyotungwa na Bunge kwa ajili hiyo, na itafanya uchunguzi juu ya mtu yeyote anayehusika au taasisi yoyote inayohusika kila itakapoagizwa na Rais kufanya uchunguzi, vilevile, isipokuwa kama Rais ameagiza Tume isifanye uchunguzi, Tume yaweza kufanya uchunguzi wakati wowote inapoona inafaa kuchunguza mwenendo wa mtu yeyote anayehusika, au taasisi yoyote inayohusika, na masharti ya ibara hii anayetuhumiwa au inayotuhumiwa kwa kukiuka madaraka ya kazi yake, kutumia vibaya madaraka ya kazi yake au majukumu ya taasisi hiyo au kwa uvunjaji wa haki za binadamu au misingi ya Utawala Bora.
(5)Tume haitakuwa na mamlaka yoyote, ama kwa mujibu wa masharti ya ibara hii au masharti ya sheria yoyote iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Sura hii ya Katiba hii ya kuchunguza uamuzi wa Jaji yeyote, Hakimu yeyote au wa Mahakama iwapo uamuzi huo ameutoa katika kutekeleza madaraka ya kazi yake; vile vile Tume haitakuwa na mamlaka ya kuchunguza uamuzi wowote uliotolewa na chombo chochote chenye asili ya Mahakama kilichoanzishwa kwa mujibu wa sheria iwapo uamuzi huo umetolewa katika kutekeleza mamlaka yake.
(6)Masharti ya ibara hii yatatumika kwa watumishi wa Umma wa Jamhuri ya Muungano na wale wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, watumishi na viongozi wa vyama vya siasa wanaoshughulikia mambo ya umma, wajumbe na watumishi wa Tume zote za Serikali ya Jamhuri ya Muungano na za Serikali hizo, mashirika ya umma na vyombo vingine vya binafsi, kama ni kampuni, jumuiya, ushirika, wadhamini au muundo mwingine wowote, kadri itakavyoelezwa katika sheria iliyotungwa na Bunge; lakini masharti haya hayatatumika kwa Rais wala kwa Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar isipokuwa tu kwa kuzingatia masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii au ibara ya 36 ya Katiba ya Zanzibar, ya 1984.

131. Mamlaka ya Tume na utaratibu wa shughuli zake

(1)Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, Bunge laweza kutunga sheria kwa mujibu wa masharti ya Sura hii ya Katiba hii kwa ajili ya kuweka masharti kuhusu mamlaka ya Tume, utaratibu wa kuendesha shughuli zake na kuhusu kinga za kisheria watakazokuwa nazo Makamishna na watumishi wa Tume kwa makusudi ya kuwawezesha kutekeleza kazi zao bila ya matatizo ya kisheria.
(2)Tume haitachunguza mambo yafuatayo, kwa madhumuni ya kutekeleza majukumu yake, yaani–
(a)jambo lolote ambalo liko mbele ya Mahakama au chombo kinginecho cha kimahakama;
(b)jambo lolote linalohusu uhusiano au mashirikiano kati ya Serikali na Serikali ya nchi yoyote ya nje au shirika la kimataifa;
(c)jambo linalohusu madaraka ya Rais kutoa msamaha;
(d)jambo jingine lolote lililotajwa na sheria yoyote.
(3)Kila mwaka wa fedha Tume itatayarisha na kuwasilisha kwa Waziri anayesimamia haki za binadamu taarifa kuhusu–
(a)shughuli za Tume katika mwaka uliotangulia;
(b)hali ya utekelezaji wa hifadhi ya haki za binadamu katika Jamhuri ya Muungano,
na Waziri atawasilisha mbele ya Bunge kila taarifa iliyowasilishwa kwake na Tume mapema iwezekanavyo baada ya kuipokea.
(4)Masharti ya ibara ndogo ya (3) hayatahesabiwa kuwa yanaizuia Tume kuwasilisha taarifa nyingine yoyote kwa mtu mwingine au mamlaka nyingine yoyote.

Sehemu ya Pili – Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma (Ib. 132)

132. Sekretarieti ya Maadili

(1)Kutakuwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ambayo itakuwa na mamlaka ya kuchunguza tabia na mwenendo wa kiongozi wa umma yeyote kwa madhumuni ya kuhakikisha kwamba masharti ya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma yanazingatiwa ipasavyo.
(2)Kwa madhumuni ya ibara hii, maana ya kiongozi wa umma na masharti ya maadili ya viongozi wa umma itabidi ifahamike kwa mujibu wa masharti ya sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma au masharti ya sheria nyingine yoyote iliyotungwa na Bunge kwa kadri masharti hayo yanavyohusika na suala la uongozi na ufafanuzi wake.
(3)Sekretarieti ya Maadili itakuwa na Kamishna wa Maadili na wafanyakazi wengine ambao idadi yao itatajwa na sheria iliyotungwa na Bunge.
(4)Bunge litatunga Sheria itakayoainisha misingi ya Maadili ya Viongozi wa Umma itakayozingatiwa na watu wote wanaoshika nafasi za madaraka zitakazotajwa na Bunge.
(5)Misingi ya Maadili ya Viongozi wa Umma–
(a)itafafanua nafasi za madaraka ambazo watu wenye kushika nafasi hizo watahusika nayo;
(b)itawataka watu wanaoshika nafasi fulani za madaraka kutoa mara kwa mara maelezo rasmi kuhusu mapato, rasilimali na madeni yao;
(c)itapiga marufuku mienendo na tabia inayopelekea kiongozi kuonekana hana uaminifu, anapendelea au si muadilifu au inaelekea kukuza au kuchochea rushwa katika shughuli za umma au anahatarisha maslahi au ustawi wa jamii;
(d)itafafanua adhabu zinazoweza kutolewa kwa kuvunja misingi ya maadili;
(e)itaelekeza taratibu, madaraka na desturi zitakazofuatwa ili kuhakikisha utekelezaji wa maadili;
(f)itaweka masharti mengine yoyote yanayofaa na ambayo ni muhimu kwa madhumuni ya kukuza na kudumisha uaminifu, uwazi, kutopendelea na uadilifu katika shughuli za umma na kwa ajili ya kulinda fedha na mali nyinginezo za umma.
(6)Bunge laweza kwa sheria kuweka masharti ya mtu kufukuzwa au kuondolewa kazini kutokana na kuvunja maadili ya viongozi, bila ya kujali kama kazi hiyo ni ya kuchaguliwa au kuteuliwa.

Sura ya Saba
Masharti kuhusu Mchango wa Serikali na mambo mengineyo ya fedha zinazoingia katika Hazina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano (Ib. 133—144)

Sehemu ya Kwanza – Mchango na Mgawanyo wa Mapato ya Jamhuri ya Muungano (Ib. 133—134)

133. Akaunti ya Fedha ya Pamoja

Serikali ya Jamhuri ya Muungano itatunza akaunti maalum itakayoitwa "Akaunti ya Fedha ya Pamoja", na ambayo itakuwa ni sehemu ya Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano, ambamo kutawekwa fedha yote itakayochangwa na Serikali mbili kwa kiasi kitakachoamuliwa na Tume ya Pamoja ya Fedha kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge, kwa madhumuni ya shughuli za Jamhuri ya Muungano kwa Mambo ya Muungano.

134. Tume ya Fedha ya Pamoja

(1)Kutakuwa na Tume ya Pamoja ya Fedha yenye wajumbe wasiozidi saba ambao watateuliwa na Rais kwa mujibu wa ibara hii na masharti ya sheria iliyotungwa na Bunge.
(2)Majukumu ya Tume yatakuwa ni–
(a)kuchambua mapato na matumizi yanayotokana na, au yanayohusu utekelezaji wa Mambo ya Muungano, na kutoa mapendekezo kwa Serikali mbili kuhusu mchango na mgawo wa kila mojawapo ya Serikali hizo;
(b)kuchunguza kwa wakati wote mfumo wa shughuli za fedha wa Jamhuri ya Muungano na pia uhusiano katika mambo ya kifedha kati ya Serikali mbili;
(c)kutekeleza majukumu mengine ambayo Rais ataipatia Tume au kama Rais atakavyoagiza, na kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.

Sehemu ya Pili – Mfuko Mkuu wa Hazina na Fedha za Jamhuri ya Muungano (Ib. 135—144)

135. Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano

(1)Fedha zote zitakazopatikana kwa njia mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano, isipokuwa fedha za aina iliyotajwa katika ibara ndogo ya (2) ya ibara hii, zitawekwa katika mfuko mmoja maalum ambao utaitwa Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali.
(2)Fedha ambazo hazitawekwa kwenye Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ni zile zote ambazo zimetajwa na Sheria kwamba zitumike kwa shughuli maalum au ziwekwe katika mfuko mwingine kwa ajili ya matumizi maalum.

136. Masharti ya kutoa fedha za matumizi kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali

(1)Fedha hazitatolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali kwa ajili ya matumizi ila kwa mujibu wa masharti yafuatayo–
(a)fedha hizo ziwe kwa ajili ya matumizi ambayo yameidhinishwa yatokane na fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali na idhini hiyo iwe imetolewa na Katiba hii au sheria yingine yoyote;
(b)fedha hizo ziwe kwa ajili ya matumizi ambayo yameidhinishwa ama na sheria ya Matumizi ya Serikali iliyotungwa mahususi na Bunge au sheria iliyotungwa kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 140 ya Katiba hii.
(2)Fedha zilizomo katika mfuko maalum wowote wa Serikali, ukiachilia mbali Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali, hazitatolewa kutoka mfuko huo kwa ajili ya matumizi ila mpaka matumizi hayo yawe yameidhinishwa na sheria.
(3)Fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali hazitatolewa kutoka Mfuko huo kwa ajili ya matumizi ila mpaka matumizi hayo yawe yameidhinishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na pia kwa sharti kwamba fedha hizo ziwe zimetolewa kwa kufuata utaratibu uliowekwa kwa ajili hiyo kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.

137. Utaratibu wa kuidhinisha matumizi ya fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali

(1)Rais atatoa maagizo kwa watu wanaohusika kwamba watengeneze na kuwasilisha kwenye Bunge katika kila mwaka wa fedha wa Serikali, Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa ajili ya kipindi cha mwaka wa fedha unaofuata.
(2)Baada ya Bunge kuyakubali Makadirio ya Matumizi (mbali na matumizi ambayo yameidhinishwa ama na Katiba hii au sheria nyingine yoyote kuwa yatokane na fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali) kutawasilishwa kwenye Bunge Muswada ambao utaitwa Muswada wa sheria ya Matumizi ya Fedha za Serikali, kwa ajili ya kuidhinisha matumizi ya fedha kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali, na fedha hizo zitatolewa kulipa gharama za shughuli mbalimbali za Serikali zinazohusika na Makadirio hayo.
(3)Ikiwa katika mwaka wa fedha wowote inaonekana kwamba–
(a)fedha za matumizi zilizoidhinishwa na sheria ya Matumizi ya Fedha za Serikali kwa ajili ya shughuli fulani hazitoshi au kwamba imekuwa lazima kulipa gharama za shughuli ambayo haikupangiwa fedha za matumizi kwa mujibu wa sheria; au
(b)kuna fedha ambazo zimetumiwa kwa ajili ya shughuli fulani kwa kiasi kinachozidi kiwango cha matumizi yaliyoidhinishwa na sheria ya Matumizi ya Fedha za Serikali kuhusu shughuli hiyo au kwamba fedha zimetumiwa kulipia gharama za shughuli ambayo haikupangiwa fedha za matumizi kwa mujibu wa Sheria, kutawasilishwa kwenye Bunge Makadirio ya Matumizi ya Nyongeza au, kadri itakavyokuwa, Maelezo ya Matumizi ya Ziada, na baada ya Bunge kuyakubali hayo Makadirio ya Matumizi ya Nyongeza au Maelezo ya Matumizi ya Ziada, kutawasilishwa kwenye Bunge Muswada wa Sheria ya Matumizi ya Fedha za Serikali kwa ajili ya kuidhinisha matumizi ya fedha kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali, na fedha hizo zitatumiwa kulipia gharama za shughuli zinazohusika na hayo Makadirio au Maelezo.

138. Masharti ya kutoza kodi

(1)Hakuna Kodi ya aina yoyote itakayotozwa isipokuwa kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge au kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa kisheria na uliotiliwa nguvu ya kisheria na sheria iliyotungwa na Bunge.
(2)Masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (1) ya ibara hii hayatalizuia Baraza la Mapinduzi la Zanzibar kutumia mamlaka yake ya kutoza kodi ya aina yoyote kwa mujibu wa madaraka ya Baraza hilo.

139. Utaratibu wa kuidhinisha matumizi ya fedha kabla ya Sheria za Matumizi kuanza kutumika

(1)Bunge laweza kutunga sheria kwa ajili ya kuweka masharti ya kuidhinisha matumizi ya fedha kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali kwa kufuata utaratibu ulioelezwa katika ibara ndogo ya (2) ya ibara hii.
(2)Iwapo mwaka wa fedha wa Serikali umeanza na Sheria ya Matumizi ya Fedha za Serikali inayohusika na mwaka huo haijaanza kutumika, basi Rais aweza kuidhinisha fedha itolewe kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali kwa ajili ya kulipia gharama za lazima za shughuli za Serikali, na fedha hizo zitatumiwa mpaka ipite miezi minne tangu mwanzo wa mwaka wa fedha au mpaka Sheria ya Matumizi ya Fedha za Serikali itakapoanza kutumika, kutegemea ni lipi kati ya mambo hayo litakalotokea mapema zaidi.

140. Mfuko wa Matumizi ya dharura

(1)Bunge laweza kutunga Sheria kwa ajili ya kuweka masharti kuhusu mambo yafuatayo–
(a)kuanzisha Mfuko wa Matumizi ya Dharura na kumwezesha Rais au Waziri aliyeteuliwa na Rais kwa ajili hiyo kuazima fedha kutoka mfuko huo kulipia gharama za jambo la haraka na la dharura ambalo halikutazamiwa kutokea na ambalo halikupangiwa fedha zozote za matumizi; na
(b)kumwezesha Rais au Waziri aliyeteuliwa na Rais kwa ajili hiyo kutumia fedha zilizotengwa mahsusi kwa ajili ya shughuli fulani kulipia gharama za jambo la haraka na la dharura kama ilivyoelezwa katika aya ya (a) ya ibara hii ndogo.
(2)Iwapo fedha zimeazimwa kutoka Mfuko wa Matumizi ya Dharura au fedha zilitengwa mahsusi kwa ajili ya shughuli fulani zimetumiwa kulipia gharama za jambo la haraka na la dharura, basi kutawasilishwa kwenye Bunge Makadirio ya Matumizi ya Nyongeza, na baada ya Bunge kuyakubali Makadirio hayo Muswada wa Sheria ya Matumizi ya Fedha za Serikali utakaowasilishwa kwenye Bunge kwa ajili ya kuidhinisha Matumizi hayo ya nyongeza utahakikisha kwamba fedha zozote zilizoazimwa kutoka Mfuko wa Matumizi ya Dharura zitarudishwa kwenye Mfuko huo kutokana na fedha za matumizi yatakayoidhinishwa na Muswada huo.

141. Deni la Taifa

(1)Deni la Taifa litadhaminiwa na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
(2)Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa ibara hii deni la Taifa maana yake ni deni lenyewe na pia faida inayolipwa juu ya deni hilo, fedha zinazowekwa akiba kwa ajili ya kulipa deni pole pole na gharama zote zinazoambatana na usimamizi wa deni hilo.

142. Mishahara ya watumishi fulani wa Umma kudhaminiwa na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali

(1)Watumishi wa Umma wanaohusika na masharti ya ibara hii watalipwa mishahara na posho kama itakavyoelezwa na Sheria iliyotungwa na Bunge.
(2)Fedha za malipo ya mishahara na posho za watumishi wa Umma wanaohusika na masharti ya ibara hii pamoja na fedha za malipo ya uzeeni na kiinua mgongo kwa wale wanaostahili malipo hayo miongoni mwa watumishi hao zitatolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali.
(3)Mshahara anaolipwa mtumishi wa Umma anayehusika na masharti ya ibara hii pamoja na masharti yake ya kazi havitabadilishwa, baada ya mtumishi huyo kuteuliwa, kwa jinsi ambayo itapunguza masilahi ya mtumishi huyo, lakini maelezo haya hayahusiki na posho anayolipwa mtumishi huyo.
(4)Iwapo mtumishi wa Umma anayehusika na masharti ya ibara hii ana hiari ya kuchagua kima cha mshahara au aina ya masharti ya kazi, basi kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya ibara ndogo ya (3) ya ibara hii, mshahara wa kima hicho atakachochagua na aina hiyo ya masharti ya kazi atakayochagua vitahesabiwa kuwa vina masilahi zaidi kwake kuliko kima cha mshahara kingine chochote angalichoweza kuchagua au aina ya masharti ya kazi nyingine yoyote angaliyoweza kuchagua.
(5)Masharti ya ibara hii yatatumika kwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji wa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano, Mwenyekiti na kila Mjumbe wa Haki za Binadamu na Utawala Bora na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano.

143. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Jamhuri ya Muungano

(1)Kutakuwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano.
(2)Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu atakuwa na jukumu juu ya mambo yafuatayo:
(a)kuhakikisha kwamba fedha zozote zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali matumizi yake yameidhinishwa na kwamba zitatolewa kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 136 ya Katiba hii, na iwapo atatosheka kwamba masharti hayo yatatekelezwa ipasavyo, basi ataidhinisha fedha hizo zitolewe;
(b)kuhakikisha kwamba fedha zote ambazo matumizi yake yameidhinishwa yatokane na fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali au fedha ambazo matumizi yake yameidhinishwa na Sheria iliyotungwa na Bunge, na ambazo zimetumika, zimetumiwa kwa ajili ya shughuli zilizohusika na matumizi ya fedha hizo na kwamba matumizi hayo yamefanywa kwa kufuata idhini iliyotolewa kuhusu matumizi hayo; na
(c)angalau mara moja kila mwaka kufanya ukaguzi na kutoa taarifa juu ya ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Jamhuri ya Muungano, hesabu zinazosimamiwa na watumishi wote wa Umma wa Jamhuri ya Muungano na hesabu za Mahakama zote za Jamhuri ya Muungano na hesabu zinazosimamiwa na Katibu wa Bunge.
(3)Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu na kila mtumishi wa Umma aliyeruhusiwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu atakuwa na haki ya kuchunguza vitabu, kumbukumbu, hati nyinginezo zote zinazohusika na hesabu za aina yoyote iliyotajwa katika ibara ndogo ya (2) ya ibara hii.
(4)Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu atawasilisha kwa Rais kila taarifa atakayotoa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (2) ya ibara hii. Baada ya kupokea taarifa hiyo Rais atawaagiza watu wanaohusika wawasilishe taarifa hiyo kwenye kikao cha kwanza cha Bunge kitakachofanyika baada ya Rais kupokea taarifa hiyo na itabidi iwasilishwe katika kikao hicho kabla ya kupita siku saba tangu siku ile kilipoanza kikao hicho. Iwapo Rais hatachukua hatua za kuwasilisha taarifa hiyo kwa Spika wa Bunge (au Naibu wa Spika ikiwa kiti cha Spika ki wazi wakati huo au ikiwa kwa sababu yoyote Spika hawezi kutekeleza shughuli za kazi yake) ambaye atawasilisha taarifa hiyo kwenye Bunge.
(5)Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu atakuwa pia na jukumu la kutekeleza kazi na shughuli nyingine, na atakuwa na madaraka mengine ya namna mbalimbali, kama itakavyoelezwa na Sheria, kuhusu hesabu za Serikali ya Jamhuri ya Muungano au hesabu za vyombo vya Umma au hesabu za mashirika.
(6)Katika kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (2), (3) na (4) ya ibara hii, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu hatalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu mwingine yeyote au idara yoyote ya Serikali, lakini maelezo hayo ya ibara hii ndogo hayataizuia Mahakama nayo kutumia madaraka yake kwa ajili ya kuchunguza kama Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu ametekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii au sivyo.

144. Kumwondoa kazini Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

(1)Bila ya kuathiri masharti mengine yaliyomo katika ibara hii, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Jamhuri ya Muungano atalazimika kuacha kazi yake atakapotimiza umri wa miaka sitini au umri mwingine wowote utakaotajwa na sheria iliyotungwa na Bunge.
(2)Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu aweza tu kuondolewa katika madaraka ya kazi yake kwa sababu ya kushindwa kutekeleza kazi zake (ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote) au kwa sababu ya tabia mbaya, au kwa kuvunja masharti ya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, na hataweza kuondolewa kazini ila kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (4) ya ibara hii.
(3)Iwapo Rais anaona kwamba suala la kumwondoa kazini Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu kwa mujibu wa masharti ya ibara hii lahitaji kuchunguzwa, basi katika hali hiyo mambo yatakuwa ifuatavyo:
(a)Rais atateua Tume Maalum ambayo itakuwa na Mwenyekiti na Wajumbe wengine wasiopungua wawili. Huyo Mwenyekiti na angalau nusu ya wajumbe wengine wa Tume hiyo itabidi wawe watu ambao ni Majaji au watu waliopata kuwa Majaji wa Mahakama Kuu au Mahakama ya Rufani katika nchi yoyote iliyomo kwenye Jumuiya ya Madola;
(b)Tume hiyo itachunguza shauri lote halafu itatoa taarifa kwa Rais kuhusu maelezo ya shauri lote na itamshauri Rais kama huyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu aondolewe kazini kwa mujibu wa masharti ya ibara hii kwa sababu ya kushindwa kufanya kazi kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya.
(4)Ikiwa Tume iliyoteuliwa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (3) itamshauri Rais kwamba huyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu aondolewe kazini kwa sababu ya kushindwa kufanya kazi kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya, basi Rais atamwondoa kazini.
(5)Ikiwa suala la kumwondoa kazini Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu limepelekwa kwenye Tume kwa ajili ya uchunguzi kwa mujibu wa masharti ya ibara hii, Rais aweza kumsimamisha kazi huyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu, na Rais aweza wakati wowote kufuta uamuzi huo wa kumsimamisha kazi, na kwa hali yoyote uamuzi huo utabatilika ikiwa Tume itamshauri Rais kwamba huyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu asiondolewe kazini.
(6)Mtu ambaye ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu au aliyepata kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu hawezi kuteuliwa kushika au kushikilia madaraka ya kazi nyingine yoyote katika utumishi wa Umma wa Jamhuri ya Muungano.
(7)Masharti ya ibara hii hayatatumika kwa mtu yeyote aliyeteuliwa kuwa Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu.

Sura ya Nane
Madaraka ya Umma (Ib. 145—146)

145. Serikali za Mitaa

(1)Kutakuwa na vyombo vya Serikali za Mitaa katika kila mkoa, wilaya, mji na kijiji, katika Jamhuri ya Muungano, ambavyo vitakuwa vya aina na majina yatakayowekwa na sheria iliyotungwa na Bunge au na Baraza la Wawakilishi.
(2)Bunge au Baraza la Wawakilishi, kadri itakavyokuwa, litatunga sheria itakayofafanua utaratibu wa kuanzisha vyombo vya Serikali za Mitaa, miundo na wajumbe wake, njia za mapato na utaratibu wa utekelezaji wa shughuli za vyombo hivyo.

146. Kazi za Serikali za Mitaa

(1)Madhumuni ya kuwapo Serikali za Mitaa ni kupeleka madaraka kwa wananchi. Vyombo vya Serikali za Mitaa vitakuwa na haki na mamlaka ya kushiriki na kuwashirikisha wananchi katika mipango na shughuli za utekelezaji wa maendeleo katika sehemu zao na nchini kote kwa jumla.
(2)Bila ya kuathiri maelezo ya jumla yaliyomo katika ibara ndogo ya (1) ya ibara hii, kila chombo cha Serikali za Mitaa, kwa kuzingatia masharti ya sheria iliyokianzisha, kitahusika na shughuli zifuatazo–
(a)kutekeleza kazi za Serikali za Mitaa katika eneo lake;
(b)kuhakikisha utekelezaji wa sheria na ulinzi wa wananchi; na
(c)kuimarisha demokrasia katika eneo lake na kuitumia demokrasia kuharakisha maendeleo ya wananchi.

Sura ya Tisa
Majeshi ya ulinzi (Ib. 147—148)

147. Marufuku kuunda majeshi ya ulinzi yasiyo majeshi ya Ulinzi ya Umma

(1)Ni marufuku kwa mtu yeyote au shirika lolote au kikundi chochote cha watu, isipokuwa Serikali, kuunda au kuweka Tanzania Jeshi la aina yoyote.
(2)Serikali ya Jamhuri ya Muungano yaweza, kwa mujibu wa Sheria, kuunda au kuweka Tanzania majeshi ya aina mbalimbali kwa ajili ya ulinzi na usalama wa nchi na wananchi wa Tanzania.
(3)Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chochote cha siasa, isipokuwa tu kwamba atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.
(4)Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.

148. Madaraka ya Amiri Jeshi Mkuu

(1)Bila ya kuathiri masharti yatakayowekwa na Sheria yoyote iliyotungwa na Bunge, miongoni mwa madaraka ya Rais akiwa kama Amiri Jeshi Mkuu ni kuyaamuru majeshi ya nchi yatende mambo yanayohusika na vita vya ulinzi wa Jamhuri ya Muungano, mambo ya kuokoa maisha na mali ya watu katika hali ya hatari na mambo mengineyo ambayo Amiri Jeshi Mkuu ataona yahitajika, na kwa ajili hiyo Amiri Jeshi Mkuu aweza kuyaamuru hayo majeshi yatende mambo hayo ama ndani au nje ya Tanzania.
(2)Bila ya kuathiri masharti yatakayowekwa na Sheria iliyotungwa na Bunge, madaraka juu ya mambo yafuatayo yatakuwa mikononi mwa Amiri Jeshi Mkuu, yaani–
(a)madaraka ya kuwateua viongozi katika Majeshi ya Ulinzi ya Jamhuri ya Muungano;
(b)madaraka ya kuwateua watu watakaojiunga na Majeshi ya Ulinzi na madaraka ya kuwaondoa jeshini wanajeshi;
(c)madaraka ya kuwateua wanajeshi watakaoongoza vikosi mbalimbali vya Majeshi ya Ulinzi; na
(d)madaraka ya kumwamuru mwanajeshi yeyote asitumie madaraka yoyote aliyokabidhiwa na ambayo yanaambatana na kuwa kwake mwanajeshi.
(3)Jambo lolote atakalotenda mwanajeshi yeyote kinyume cha amri iliyotolewa na Amiri Jeshi Mkuu kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (1) na (2) ya ibara hii litakuwa batilifu.

Sura ya Kumi
Mengineyo (Ib. 149—152)

149. Maelezo ya mambo yanayohusika na madaraka ya kazi mbalimbali zilizoanzishwa na Katiba hii

(1)Mtu yeyote mwenye dhamana ya kazi yoyote iliyoanzishwa na Katiba hii (pamoja na kazi ya Waziri, Naibu Waziri au Mbunge, isipokuwa Mbunge ambaye ni Mbunge kwa mujibu wa madaraka ya kazi yake), aweza kujiuzulu kwa kutoa taarifa iliyoandikwa na kutiliwa sahihi kwa mkono wake, kwa kufuata masharti yafuatayo:
(a)iwapo mtu huyo aliteuliwa au alichaguliwa na mtu mmoja, basi taarifa hiyo ya kujiuzulu atawasilisha kwa mtu huyo aliyemteua au kumchagua, au iwapo aliteuliwa au alichaguliwa na kikao cha watu, basi taarifa hiyo ya kujiuzulu ataiwasilisha kwenye kikao hicho;
(b)iwapo mtu huyo ni Rais, basi taarifa hiyo ya kujiuzulu ataiwasilisha kwa Spika;
(c)iwapo mtu huyo ni Spika au Naibu Spika wa Bunge, basi taarifa hiyo ya kujiuzulu ataiwasilisha kwenye Bunge; na
(d)iwapo mtu huyo ni Mbunge, basi taarifa hiyo ya kujiuzulu ataiwasilisha kwa Spika.
(2)Mtu aliyetoa taarifa ya kujiuzulu kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (1) ya ibara hii, atahesabiwa kuwa amejiuzulu tangu siku ile ambayo taarifa yake ya kujiuzulu itakapopokelewa na mtu anayehusika au kikao kinachohusika au itakapopokelewa na mtu yeyote aliyeruhusiwa kuipokea taarifa hiyo na mtu anayehusika au kikao kinachohusika, lakini kama taarifa hiyo ya kujiuzulu imeeleza kwamba mtu huyo atajiuzulu tangu siku nyingine baada ya taarifa hiyo kupokelewa na mtu anayehusika au kikao kinachohusika, basi mtu huyo atahesabiwa kuwa amejiuzulu tangu siku hiyo nyingine ya baadaye.
(3)Iwapo mtu yeyote mwenye dhamana ya kazi yoyote iliyoanzishwa na Katiba hii (pamoja na kazi ya Waziri, Naibu Waziri au Mbunge, isipokuwa Mbunge ambaye ni Mbunge kwa mujibu wa madaraka ya kazi yake) amejiuzulu, basi ikiwa anazo sifa zote zinazohitajika na kwa kila hali anastahili, aweza kuteuliwa au kuchaguliwa tena kushika madaraka ya kazi hiyo kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.
(4)Masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (3) ya ibara hii hayatamzuia mtu ambaye ni Rais kuchaguliwa tena kuwa Rais wakati bado ameshika madaraka ya kazi ya Rais.

150. Maelezo kuhusu utaratibu wa kukabidhi madaraka ya kazi katika Utumishi wa Umma

(1)Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya Katiba hii kuhusu utaratibu wa kukabidhi madaraka ya kazi katika utumishi wa Umma wa Jamhuri ya Muungano, ifahamike kuwa mtu yeyote mwenye mamlaka, kwa mujibu wa Katiba hii, ya kumteua au kumchagua mtu mwingine kushika madaraka ya kazi fulani anao pia uwezo wa kumteua au kumchagua Kaimu au mtu ambaye atashikilia kwa muda na kutekeleza madaraka ya kazi hiyo:Isipokuwa kwamba maelezo hayo hayatatumika kwa madaraka ya kazi ya Waziri, Naibu Waziri, Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji wa Mahakama Kuu, Mjumbe wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora au Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi.
(2)Kanuni zifuatazo zitatumika pia kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya Katiba hii kuhusu utaratibu wa kukabidhiana madaraka ya kazi katika utumishi wa Umma wa Jamhuri ya Muungano, yaani–
(a)iwapo kuna mtu mwenye madaraka ya kazi fulani aliyokabidhiwa kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii na mtu huyo yupo likizoni na wakati huo huo anangojea kuacha kazi hiyo, basi anaweza kuteuliwa mtu mwingine na kukabidhiwa madaraka ya kazi hiyo, bila ya kujali kuwapo kwa yule mtu anayengojea kuacha kazi hiyo;
(b)iwapo kuna watu wawili au zaidi ambao kwa wakati mmoja wote wanashika madaraka ya kazi fulani kutokana na uteuzi wao uliofanywa kwa mujibu wa Kanuni iliyoelezwa katika aya ya (a) ya ibara hii ndogo, basi katika hali hiyo kukitokea haja ya kutekeleza shughuli yoyote inayohusika na madaraka ya kazi hiyo yule mtu wa mwisho kuteuliwa ndiye atakayehesabiwa kuwa mtu pekee mwenye dhamana ya kazi hiyo;
(c)iwapo mtu ameteuliwa, kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii, kuwa Kaimu au kushikilia madaraka ya kazi fulani wakati mtu maalum aliyeteuliwa kushika madaraka ya kazi hiyo anashindwa kutekeleza shughuli zinazohusika na kazi hiyo, basi haitaruhusiwa kufanya uchunguzi wowote au kutoa hoja yoyote juu ya uteuzi wa huyo Kaimu eti kwa sababu kwamba huyo mtu maalum aliyeteuliwa kushika madaraka ya kazi hiyo anashindwa kutekeleza shughuli zinazohusika na kazi hiyo.

151. Ufafanuzi

(1)Katika Katiba hii, ila iwapo maelezo yahitaji vinginevyo–"amri ya jeshi" maana yake ni sheria au amri iliyotolewa kwa mujibu wa sheria, ya kusimamia nidhamu katika jeshi;"askari" likitumika kuhusiana na jeshi lolote maana yake ni pamoja na askari yeyote ambaye kwa mujibu wa amri ya jeshi hilo ni mtu anayewajibika kinidhamu;"Baraza la Wawakilishi" maana yake ni Baraza la Wawakilishi la Zanzibar lililotajwa katika ibara ya 106 ya Katiba hii na linalotekeleza madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii na Katiba ya Zanzibar, 1984;"Bunge" maana yake ni Bunge la Jamhuri ya Muungano lililotajwa katika ibara ya 62 ya Katiba hii;"Chama cha Siasa" maana yake ni chama cha siasa kilichoandikishwa kikamilifu kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 1992; 55Sura ya 258"Idara ya Mahakama" maana yake ni kama ilivyofafanuliwa katika ibara ndogo ya (1) ya ibara ya 116 ya Katiba hii;"Idara ya Mahakama ya Zanzibar" maana yake ni Idara ya Mahakama inayojumlisha mahakama zote ambazo ziko katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar;"Jaji Mkuu" maana yake ni Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani aliyetajwa katika ibara ndogo ya (1) ya ibara ya 118 ya Katiba hii ambaye ameteuliwa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (2) ya ibara hiyo ya 118 au iwapo Jaji Mkuu hayupo au anashindwa kutekeleza kazi zake kwa sababu yoyote, Kaimu Jaji Mkuu aliyeteuliwa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (4) ya ibara hiyo ya 118 ya Katiba hii, na kama Kaimu Jaji Mkuu naye hayupo au anashindwa kutekeleza kazi za Jaji Mkuu, Jaji wa Mahakama ya Rufani aliyepo kazini kwa wakati huo na ambaye yuko kwenye daraja la juu zaidi la madaraka kupita Majaji wote wa Rufani waliopo;"Jaji Mkuu wa Zanzibar" maana yake ni Jaji Mkuu wa Mahakama Kuu ya Zanzibar ambaye, kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar 1984, ndiye Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Zanzibar;"Jeshi" maana yake ni jeshi lolote kati ya majeshi ya ulinzi na ni pamoja na jeshi lolote jingine lilioundwa na Katiba hii au kwa mujibu wa sheria na linalotawaliwa kwa amri ya jeshi;"Jumuiya ya Madola" maana yake ni jumuiya ambayo wanachama wake ni Jamhuri ya Muungano, Uingereza na kila nchi ambayo iliwahi kutawaliwa na Uingereza;"kiapo" maana yake itabidi ifahamike kwa maana ya kawaida ya neno hilo na ni pamoja na tamko rasmi la namna yoyote linaloruhusiwa kisheria kutumiwa badala ya kiapo;"kiapo cha uaminifu" maana yake ni kiapo cha kuwa mwaminifu kwa Nchi na kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano;"Maadili ya Kazi ya Jaji" maana yake ni masharti ya kimaadili yanayoongoza mwenendo wa watu wafanyao kazi ya Jaji au ya Hakimu;"madaraka ya kazi katika utumishi wa Umma Jamhuri ya Muungano" maana yake itabidi ifahamike kwa mujibu wa maana ya kawaida na maneno hayo na ni pamoja na utumishi katika Majeshi ya Ulinzi ya Jamhuri ya Muungano na katika Jeshi la Polisi au jeshi linginelo lilioundwa kwa mujibu wa Sheria;"mahakama" maana yake ni mahakama yoyote yenye mamlaka katika Jamhuri ya Muungano isipokuwa mahakama iliyoundwa kwa amri ya jeshi; lakini kwa ajili ya ibara ya 13, ya 14 na ya 15 za Katiba hii, itakuwa ni pamoja na mahakama iliyoundwa kwa amri ya jeshi;"Mahakama Kuu" maana yake ni Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano au Mahakama Kuu ya Zanzibar;"Mambo ya Muungano" maana yake ni mambo yote ya umma ambayo yametajwa na ibara ya 4 ya Katiba hii kuwa ni Mambo ya Muungano;"Mamlaka ya Nchi" ni pamoja na Serikali na Bunge la Jamhuri ya Muungano, pamoja na Serikali na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar;"Mwanasheria Mkuu" maana yake ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano aliyetajwa katika ibara ya 59;"Serikali" maana yake ni pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar au Halmashauri ya Wilaya au ya Mji, na pia mtu yeyote anayetekeleza madaraka au mamlaka yoyote kwa niaba ya Serikali au Halmashauri;"Serikali za Mitaa" maana yake ni vyombo vya kiserikali vilivyoundwa kwa mujibu wa ibara ya 145 ya Katiba hii kwa madhumuni ya kutekeleza madaraka ya umma;"Tanzania Bara" maana yake ni eneo lote la Jamhuri ya Muungnao ambalo zamani lilikuwa eneo la Jamhuri ya Tanganyika;"Tanzania Zanzibar" maana yake ni eneo lote la Jamhuri ya Muungano ambalo zamani lilikuwa eneo la Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na ambalo kabla ya Sheria hii kutungwa liliitwa Tanzania Visiwani;"Uchaguzi Mkuu" au "uchaguzi unaofanywa na wananchi" maana yake ni uchaguzi wa Rais na uchaguzi wa Wabunge wanaowakilisha wilaya za uchaguzi unaofanywa baada ya Bunge kuvunjwa;"Ujamaa" au "Ujamaa na Kujitegemea" maana yake ni misingi ya maisha ya jamii ya kujenga Taifa linalozingatia demokrasia, kujitegemea, uhuru, haki, usawa, udugu na umoja wa wananchi wa Jamhuri ya Muungano;"Waziri" maana yake ni Mbunge aliyekabidhiwa madaraka ya kazi ya Waziri, isipokuwa Naibu Waziri, na maana hiyo itatumika pia kwa Makamu wote wa Rais;"Zanzibar" maana yake ni sawa na maana ya Tanzania Zanzibar.
(2)Kanuni zifuatazo zitatumika kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya Katiba, yaani–
(a)kila yanapotajwa madaraka ya Rais, ifahamike kuwa madaraka yanayohusika ni pamoja na mamlaka ya kutekeleza shughuli na kazi mbalimbali na vile vile wajibu wa kutekeleza shughuli na kazi mbali mbali kama Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, na pia mamlaka mengine kama hayo au wajibu mwingine kama huo ikiwa imeelezwa katika Katiba hii au katika sheria nyingine yoyote kwamba mamlaka hayo mengine ni ya Rais au kwamba wajibu huo mwingine ni wa Rais;
(b)kila yanapotajwa madaraka ya kazi katika utumishi wa Umma, ifahamike kuwa kazi inayohusika ni kazi katika utumishi wa Umma wa Jamhuri ya Muungano isipokuwa kama imeelezwa vingine, na kila inapotajwa idara ya Serikali ifahamike kuwa idara inayohusika ni idara ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano, isipokuwa kama imeelezwa vingine;
(c)iwapo kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii kuna jambo lolote linalotakiwa litekelezwe au lishughulikiwe na chama chochote cha siasa, basi, jambo hilo litatekelezwa au litashughulikiwa na chama hicho kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa na chama hicho kwa ajili hiyo, na pia kwa kuzingatia masharti ya Katiba hii au sheria yoyote iliyotungwa na Bunge kwa ajili hiyo;
(d)kwa madhumuni ya Katiba hii, mtu hatahesabiwa kuwa ana madaraka ya kazi katika utumishi wa Umma wa Jamhuri ya Muungano kwa sababu tu kwamba anapokea malipo ya uzeeni au malipo mengine ya aina hiyo kwa ajili ya utumishi wake wa zamani katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano au katika Serikali yoyote ya zamani ya Tanzania Bara au katika Jeshi la Ulinzi au la Polisi la Serikali ya Jamhuri ya Muungano au Serikali ya zamani ya Tanzania Bara au ya Tanzania Zanzibar;
(e)katika Katiba hii, ila iwapo maelezo yahitaji vingine, kila anapotajwa mtu mwenye dhamana ya kazi fulani kwa kutaja madaraka ya kazi yake, ifahamike kuwa mtu anayehusika ni pamoja na mtu yeyote ambaye ni Kaimu au aliyeteuliwa kwa njia ya halali kushikilia dhamana ya kazi hiyo;
(f)katika Katiba hii, kila yalipotajwa mamlaka ya kumwondoa mtu katika madaraka ya kazi katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, ifahamike kuwa mamlaka yanayohusika ni pamoja na mamlaka yaliyotolewa kwa mujibu wa masharti ya Sheria yoyote yanayomtaka mtu huyo au yanayomruhusu mtu huyo kustaafu:Isipokuwa kwamba maelezo ya Kanuni hii yasifahamike kuwa yanampa mtu yeyote mamlaka ya kumtaka Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji wa Mahakama Kuu au Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu astaafu;
(g)katika Katiba hii, kila ilipotajwa sheria ambayo inabadilisha au kufuta sheria nyingine, ifahamike kuwa sheria inayohusika ni pamoja na sheria ambayo inarekebisha sheria hiyo nyingine au ambayo inaendeleza kutumika kwa hiyo sheria nyingine, ama bila mabadiliko au baada ya kubadilishwa au kurekebishwa, au sheria ambayo inaweka masharti mapya katika sheria nyingine.

152. Jina Kamili la Katiba, tarehe ya kuanza kutumika na matumizi ya Katiba hii

(1)Jina kamili la Katiba hii ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977.
(2)[Imefutwa na Sura ya 4.]
(3)Katiba hii itatumika Tanzania Bara na vile vile Tanzania Zanzibar.

Nyongeza ya Kwanza (Imetajwa katika ibara ya 4)

Mambo ya Muungano

1.Katiba ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
2.Mambo ya Nchi za Nje.
3.Ulinzi na Usalama.
4.Polisi.
5.Mamlaka juu ya mambo yanayohusika na hali ya hatari.
6.Uraia.
7.Uhamiaji.
8.Mikopo na Biashara ya Nchi za Nje.
9.Utumishi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
10.Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na mashirika, ushuru wa forodha na ushuru wa bidhaa zinazotengenezwa nchini Tanzania unaosimamiwa na Idara ya Forodha.
11.Bandari, mambo yanayohusika na usafiri wa anga, posta na simu.
12.Mambo yote yanayohusika na sarafu na fedha kwa ajili ya malipo yote halali (pamoja na noti); mabenki (pamoja na mabenki ya kuweka akiba) na shughuli zote za mabenki; fedha za kigeni na usimamizi juu ya mambo yanayohusika na fedha za kigeni.
13.Leseni ya viwanda na takwimu.
14.Elimu ya juu.
15.Maliasili ya mafuta, pamoja na mafuta yasiyochujwa ya motokaa na mafuta ya aina ya petroli na aina nyinginezo za mafuta au bidhaa, na gesi asilia.
16.Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania na mambo yote yanayohusika na kazi za Baraza hilo.
17.Usafiri na usafirishaji wa anga.
18.Utafiti.
19.Utafiti wa Hali ya Hewa.
20.Takwimu.
21.Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano.
22.Uandikishaji wa vyama vya siasa na mambo mengine yanayohusiana navyo.

Nyongeza ya Pili (Sheria ambazo mabadiliko yake yahitaji kuungwa mkono na theluthi mbili ya Wabunge wote)

Orodha ya Kwanza (Imetajwa katika ibara 98(1)(a))

Sura ya 500, R.L. Sheria ya Kultiibitisha TanganyikaKuwa Jamhuri ya Mwaka 1962
Sura ya 298, Sheria ya Utumishi SerikaliniIbara ya 22, 23 na 24.
Sura ya 237, Sheria ya Utumishi katika Idara ya MahakamaIbara ya 22, 23 na 24
Sura ya 357, Sheria ya UraiaSheria yote.
Kiambatisho B kwa Sura ya 2;
Sheria ya Kuthibitisha Mapatano ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ya mwaka 1964Sheria yoyote.

Orodha ya Pili (Imetajwa katika ibara 98(1)(b))

Mambo ambayo mabadiliko yake yahitaji kuungwa mkono na theluthi mbili ya Wabunge wote kutoka Tanzania Bara na theluthi mbili ya Wabunge wote kutoka Tanzania Visiwani.
1.Kuwapo kwa Jamhuri ya Muungano.
2.Kuwapo kwa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano.
3.Madaraka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
4.Kuwapo kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
5.Madaraka ya Serikali ya Zanzibar.
6.Mahakama Kuu ya Zanzibar.
7.Orodha ya Mambo ya Muungano.
8.Idadi ya Wabunge kutoka Zanzibar.
▲ To the top

History of this document

31 July 2002 this version
Consolidation
26 April 1977
Commenced

Cited documents 0

Documents citing this one 2228

Judgment 2197
1. Tubone Mwambeta vs Mbeya City Council (Civil Appeal 287 of 2017) [2018] TZCA 392 (3 December 2018) 215 citations
2. Attorney General vs Tanzania Ports Authority & Another (Civil Application 87 of 2016) [2016] TZCA 897 (12 October 2016) 113 citations
3. Godfrey Kimbe vs Peter Ngonyani (Civil Appeal 41 of 2014) [2017] TZCA 1 (21 July 2017) 98 citations
4. Galus Kitaya vs Republic (Criminal Appeal 196 of 2015) [2016] TZCA 301 (15 April 2016) 65 citations
5. National Bank of Commerce Ltd vs National Chicks Corporation Ltd & Others (Civil Appeal 129 of 2015) [2019] TZCA 345 (23 September 2019) 52 citations
6. Salim O. Kabora vs TANESCO Ltd & Others (Civil Appeal No. 55 of 2014) [2020] TZCA 1812 (7 October 2020) 38 citations
7. Vodacom Tanzania Public Ltd vs Planetel Communications Ltd (Civil Appeal No. 43 of 2018) [2019] TZCA 686 (26 June 2019) 38 citations
8. Murtaza Ally Mangungu vs Returning Officer for Kilwa North & Others (Civil Application No 80 of 2016) [2016] TZCA 2056 (6 June 2016) 37 citations
9. Anthony Kinanila & Another vs Republic (Criminal Appeal 83 of 2021) [2022] TZCA 356 (16 June 2022) 35 citations
10. Chrizant John vs Republic (Criminal Appeal 313 of 2015) [2016] TZCA 654 (24 February 2016) 33 citations
11. Nestory Simchimba vs Republic (Criminal Appeal 454 of 2017) [2020] TZCA 155 (1 April 2020) 29 citations
12. Commissioner General Tanzania Revenue Authority vs Jsc AtomredmeTZoloto (armz) (Consolidated Civil Appeals 78 of 2018) [2020] TZCA 306 (9 June 2020) 27 citations
13. Attorney General vs Emmanuel Marangakisi (Civil Application No. 138 of 2019) [2023] TZCA 63 (24 February 2023) 25 citations
14. Danny Shasha vs Samson Masoro & Others (Civil Appeal No. 298 of 2020) [2021] TZCA 653 (5 November 2021) 25 citations
15. Director of Public Prosecutions vs Doreen John Mlemba (Criminal Appeal 359 of 2019) [2021] TZCA 482 (14 September 2021) 25 citations
16. Ex-d.8656 Cpl Senga s/o Idd Nyembo & Others vs Republic (Criminal Appeal 16 of 2018) [2020] TZCA 381 (7 August 2020) 24 citations
17. Scova Engineering S.P.A & Another vs Mtibwa Estates Ltd & Others (Civil Appeal No. 133 of 2017) [2021] TZCA 74 (12 March 2021) 24 citations
18. Ahmed Mbaraka vs Mwananchi Engineering & Contracting Co. Ltd (Civil Application 229 of 2014) [2016] TZCA 747 (15 February 2016) 23 citations
19. Attorney General vs Dickson Paulo Sanga (Civil Appeal 175 of 2020) [2020] TZCA 371 (5 August 2020) 22 citations
20. Christian Makondoro vs Inspector of General Police & Another (Civil Appeal No. 40 of 2019) [2021] TZCA 30 (22 February 2021) 22 citations
21. Millicom Tanzania Nv vs James Alan Russels Bell & Others (Civil Revision 3 of 2017) [2018] TZCA 355 (26 July 2018) 22 citations
22. Sunshine Furniture Co. Ltd vs Maersk China Shipping Co. Ltd & Another (Civil Appeal 98 of 2016) [2020] TZCA 1934 (23 January 2020) 21 citations
23. Mantra Tanzania Ltd vs Joaquim Bonaventure (Civil Appeal 145 of 2018) [2020] TZCA 356 (17 July 2020) 20 citations
24. P.9219 Abdon Edward Rwegasira vs The Judge Advocate General (Criminal Application 5 of 2011) [2016] TZCA 969 (2 December 2016) 20 citations
25. Patrobert D. Ishengoma vs Kahama Mining Corporation Ltd Barrick Tanzania Bulnhulu & Others (Civil Application 172 of 2016) [2018] TZCA 227 (20 October 2018) 20 citations
26. Fakhria Shamji vs The Registered Trustees of The Khoja Shia Ithnasheria (mza) Jamaat (Civil Appeal No. 143 of 2019) [2022] TZCA 77 (25 February 2022) 19 citations
27. Pride Tanzania Limited vs Mwanzani Kasatu Kasamia (Misc. Commercial Cause No. 230 of 2015) [2016] TZHC 2235 (30 June 2016) 19 citations
28. Commissioner General Tanzania Revenue Authority & Another vs Milambo Limited (Civil Appeal 62 of 2022) [2022] TZCA 348 (14 June 2022) 18 citations
29. Elia Kasalile & Others vs The Institute of Social Work (Civil Appeal 145 of 2016) [2018] TZCA 364 (4 April 2018) 18 citations
30. Ado Shaibu vs Honourable John Pombe Magufuli (President of the United Republic of Tanzania) & Others (Misc. Civil Cause 29 of 2018) [2019] TZHC 3 (20 September 2019) 17 citations
31. Gideon Wasonga & Others vs The Attorney General & Others (Civil Appeal 37 of 2018) [2021] TZCA 3534 (23 December 2021) 17 citations
32. Jayantkumar Chandubhai Patel @ Jeetu Patel & Others vs The Attorney General & Others (Civil Application No.160 of 2016) [2019] TZCA 571 (28 May 2019) 17 citations
33. Joshua Samwel Nassari vs The Speaker of the National Assembly of the United Republic of Tanzania & Another (Misc. Civil Cause 22 of 2019) [2019] TZHC 15782 (29 March 2019) 17 citations
34. Paschal Bandiho vs Arusha Urban Water Supply & Sewerage Authority (AUWSA) (Civil Appeal No. 4 of 2020) [2022] TZCA 42 (21 February 2022) 17 citations
35. Raphael Mhando vs Republic (Criminal Appeal No. 54 of 2017) [2019] TZCA 19 (1 March 2019) 17 citations
36. Tccia Investment Company Limited vs Dr. Gedion H. Kaunda (Civil Appeal 310 of 2019) [2022] TZCA 599 (5 October 2022) 17 citations
37. Attorney General vs Jeremia Mtobesya (Civil Appeal 65 of 2016) [2018] TZCA 347 (2 February 2018) 16 citations
38. Ayubu Mfaume Kiboko & Another vs Republic (Criminal Appeal No. 694 of 2020) [2022] TZCA 121 (17 March 2022) 16 citations
39. Mussa Chande Jape vs Moza Mohammed Salim (Civil Appeal No. 141 of 2018) [2019] TZCA 490 (12 December 2019) 16 citations
40. Atlas Copco Tanzania Ltd vs Commissioner General, Tanzania Revenue Authority (Civil Appeal No. 167 of 2019) [2020] TZCA 317 (17 June 2020) 15 citations
41. Claude Roman Shikonyi vs Estomy A. Baraka & Others (Civil Revision No. 4 of 2012) [2019] TZCA 217 (18 July 2019) 15 citations
42. David Mushi vs Abdallah Msham Kitwanga (Civil Appeal 286 of 2016) [2022] TZCA 535 (2 August 2022) 15 citations
43. Morogoro Hunting Safaris Limited vs Halima Mohamed Mamuya (Civil Appeal 117 of 2011) [2017] TZCA 227 (8 June 2017) 15 citations
44. Samwel Japhet Kahaya vs Republic (Criminal Appeal 40 of 2017) [2020] TZCA 171 (2 April 2020) 15 citations
45. Sarbjit Singh Bharya & Another vs Nic Bank Tanzania Ltd & Another (Civil Appeal 94 of 2017) [2021] TZCA 212 (25 May 2021) 15 citations
46. Chavda & Company Advocates vs Arunaben Chaggan Chhita Mistry & Others (Civil Application 25 of 2013) [2017] TZCA 154 (22 May 2017) 14 citations
47. Daniel Severine & Others vs Republic (Criminal Appeal No. 431 of 2018) [2019] TZCA 498 (12 December 2019) 14 citations
48. Emmanuel Simforian Massawe vs Republic (Criminal Appeal No. 252 of 2016) [2018] TZCA 376 (23 February 2018) 14 citations
49. Ally Rashid & Others vs Permanent Secretary, Ministry of Industry & Trade & Another (Civil Appeal 71 of 2018) [2021] TZCA 460 (6 September 2021) 13 citations
50. Dangote Cement Ltd vs Nsk Oil and Gas Ltd (Misc. Commercial Application 8 of 2020) [2020] TZHCComD 2052 (5 October 2020) 13 citations
51. Hadija Ally vs George Masunga Msingi (Civil Appeal 384 of 2019) [2023] TZCA 17270 (22 May 2023) 13 citations
52. Semeni Mgonela Chiwanza vs Republic (Criminal Appeal 49 of 2019) [2019] TZCA 329 (24 September 2019) 13 citations
53. Director of Public Prosecutions vs Freeman Aikael Mbowe & Another (Criminal Appeal No. 420 of 2018) [2019] TZCA 1 (1 March 2019) 12 citations
54. Fadhil Yussuf Hamid vs Director of Public Prosecution (Criminal Appeal No 129 of 2016) [2016] TZCA 2033 (6 December 2016) 12 citations
55. Francis Petro vs Republic (Criminal Appeal 534 of 2016) [2019] TZCA 304 (27 August 2019) 12 citations
56. Hamis Said Mkuki vs Fatuma Ally (Civil Appeal 147 of 2017) [2018] TZCA 341 (9 October 2018) 12 citations
57. Joseph Wasonga Otieno vs Assumpter Nshunju Mshama (Civil Appeal 97 of 2016) [2017] TZCA 179 (19 October 2017) 12 citations
58. Mary Mchome Mbwambo & Amos Mbwambo vs Mbeya Cement Company Ltd (Civil Appeal No. 161 of 2019) [2022] TZCA 179 (4 April 2022) 12 citations
59. Mic Tanzania Ltd vs Hamisi Mwinyijuma & Others (Civil Appeal 64 of 2016) [2017] TZHC 2024 (21 July 2017) 11 citations
60. Paul Dioniz vs Republic (Criminal Appeal 171 of 2018) [2020] TZCA 1840 (2 November 2020) 11 citations
61. Anna Moises Chissano vs Republic (Criminal Appeal 273 of 2019) [2021] TZCA 468 (14 September 2021) 10 citations
62. Athanas Sebastian Kapunga & Others vs Republic (Misc. Economic Cause 7 of 2017) [2017] TZHCCED 1 (11 October 2017) 10 citations
63. Cm-cgm Tanzania Ltd vs Justine Baruti (Civil Appeal No.23 of 2020) [2021] TZCA 256 (15 June 2021) 10 citations
64. Director of Public Prosecutions vs Said Saleh Ali (Criminal Appeal 476 of 2017) [2018] TZCA 328 (12 December 2018) 10 citations
65. Nuta Press Limited vs Mac Holdings & Another (Civil Appeal No. 80 of 2016) [2021] TZCA 665 (3 November 2021) 10 citations
66. Oysterbay Villas Limited vs Kinondoni Municipal Council & Another (Civil Appeal 110 of 2019) [2021] TZCA 190 (7 May 2021) 10 citations
67. Alex Situmbura vs Mohamed Nawayi (Review Application 13 of 2021) [2021] TZHC 9195 (21 December 2021) 9 citations
68. DPP vs Bookeem Mohamed @ Ally & Others (Criminal Appeal 217 of 2019) [2021] TZCA 188 (7 May 2021) 9 citations
69. Director of Public Prosecutions vs Yassin Hassan @ Mrope (Criminal Appeal 202 of 2019) [2020] TZCA 1733 (19 August 2020) 9 citations
70. John Marco vs Seif Joshua Malimbe (Misc. Land Application 66 of 2019) [2020] TZHC 865 (26 May 2020) 9 citations
71. Johnson Amir Garuma vs The Attorney bGeneral & Others (Civil Appeal No. 206 of 2018) [2023] TZCA 116 (15 March 2023) 9 citations
72. May Mgaya vs Salimu Saidi (administrator of The Estate of The Late Saidi Salehe) & Another (Civil Appeal No. 264 of 2017) [2019] TZCA 12 (27 February 2019) 9 citations
73. Oxley Limited vs Nyarugusu Mine Co. Ltd & another (Commercial Case 14 of 2022) [2022] TZHCComD 172 (17 June 2022) 9 citations
74. Yohana Paulo vs Republic (Criminal Appeal No. 281 of 2012) [2019] TZCA 566 (17 May 2019) 9 citations
75. Ahmed Teja t/a Almas Autoparts Limited vs Commissioner General TRA (Civil Appeal 283 of 2021) [2022] TZCA 724 (22 November 2022) 8 citations
76. Charles Mushatshi vs Nyamiyaga Village Council and Another (Land Case 8 of 2016) [2020] TZHC 4156 (9 November 2020) 8 citations
77. Elieza Zacharia Mtemi & Others vs Attorney General & Others (Civil Appeal No. 177 of 2018) [2021] TZCA 34 (25 February 2021) 8 citations
78. Emmanuel Bakundukize and 9 Others vs Aloysius Benedictor Rutaihwa (Land Case Appeal 26 of 2020) [2021] TZHC 2634 (6 April 2021) 8 citations
79. Isidore Leka Shirima & Another vs The Public Service Social Security Fund & Others (Civil Application No. 151 of 2016) [2021] TZCA 761 (18 October 2021) 8 citations
80. James Burchard Rugemalira vs Republic (Criminal Appeal No. 391 of 2017) [2019] TZCA 188 (28 June 2019) 8 citations
81. Juma Mganga Lukobora and Others vs Tanzania Medicine and Medical Devices Authority (tmda) and Others (Misc. Civil Application 642 of 2020) [2021] TZHC 5890 (3 September 2021) 8 citations
82. MANTRAC Tanzania Limited vs Goodwill Ceramics Tanzania Limited (Civil Appeal No.269 of 2020) [2023] TZCA 17506 (21 August 2023) 8 citations
83. Magoiga Magutu @ Wansima vs Republic (Criminal Appeal 65 of 2015) [2016] TZCA 608 (25 May 2016) 8 citations
84. Mustapha Lyapanga Msovela vs Tanzania Electric Supply Co. Ltd Iringa Regional Manager & Another (Civil Appeal 16 of 2020) [2022] TZHC 11142 (4 August 2022) 8 citations
85. Mwajuma Bakari vs Julita Semgeni &b Another (Civil Appeal 71 of 2022) [2022] TZCA 266 (12 May 2022) 8 citations
86. Oscar Justinian Burugu vs Republic (Criminal Appeal 33 of 2017) [2020] TZCA 1873 (25 November 2020) 8 citations
87. Suleiman Masoud Suleiman and Another vs Republic (Misc. Criminal Application 10 of 2020) [2020] TZHC 989 (15 May 2020) 8 citations
88. Union of Tanzania Press Clubs & Another vs Attorney General of The United Republic of Tanzania (Civil Appeal NHo. 89 of 2018) [2021] TZCA 44 (24 February 2021) 8 citations
89. Zein Mohamed Bahroon vs Reli Assets Holdings Co Ltd (rahco) (Misc. Land Application 307 of 2017) [2018] TZHCLandD 518 (24 August 2018) 8 citations
90. Agast Green Mwamanda vs Jena Martin (Misc. Land Appeal 40 of 2019) [2020] TZHC 2478 (27 August 2020) 7 citations
91. Bahati Matimba vs Jagro Enterprises Limited (Misc. Civil Application 5 of 2022) [2022] TZHC 13496 (6 October 2022) 7 citations
92. Francis Davis Mchacky and 10 Others vs Republic (Criminal Application 14 of 2022) [2022] TZHC 391 (4 March 2022) 7 citations
93. Fred John vs Republic (Criminal Appeal 17 of 2018) [2020] TZCA 364 (28 July 2020) 7 citations
94. Freeman Aikael Mbowe vs the Director of Public Prosecutions and Others (Misc. Civil Cause 21 of 2021) [2021] TZHC 6312 (23 September 2021) 7 citations
95. Judicate Rumishael Shoo & Others vs The Guardian Limited (Civil Application 43 of 2016) [2016] TZCA 2023 (13 October 2016) 7 citations
96. Khamis Muhidin Musa vs Mohamed Thani Mattar (Civil Appeal 237 of 2020) [2021] TZCA 735 (3 December 2021) 7 citations
97. Managing Director, Kenya Commercial Bank (T) Limited & Another vs Shadrack J. Ndege (Civil Appeal 232 of 2017) [2020] TZCA 389 (11 May 2020) 7 citations
98. National Microfinance Bank Ltd vs Neema Akeyo (NMB) (Civil Appeal No.511 of 2020) [2022] TZCA 44 (21 February 2022) 7 citations
99. R.S.A. Limited vs Hanspaul Automechs Limited & Another (Civil Appeal No. 179 of 2016) [2021] TZCA 96 (6 April 2021) 7 citations
100. Registered Trustees of Pentecoste Church In Tanzania vs Magreth Mukama (Civil Appeal 45 of 2015) [2016] TZHC 2 (15 December 2016) 7 citations
101. Rwanganilo Village and 21 Others vs Joseph Rwakashenyi (Land Case Appeal 74 of 2018) [2020] TZHC 4272 (13 November 2020) 7 citations
102. Salkaiya Seif Khamis vs Jmd Travel Services (satguru) (Revision No. 658 of 2018) [2020] TZHCLD 1792 (14 August 2020) 7 citations
103. Zahara Mingi vs Athumani Mangapi (Civil Appeal 279 of 2020) [2023] TZCA 212 (2 May 2023) 7 citations
104. Abubakar Ali Himid vs Edward Nyelusye (Civil Appeal 70 of 2010) [2017] TZCA 139 (28 July 2017) 6 citations
105. Charles Kalungu & Another vs Republic (Criminal Appeal 96 of 2015) [2016] TZCA 287 (12 April 2016) 6 citations
106. Director of Public Prosecutions vs Faridi Hadi Ahmed & 36 Others (Criminal Appeal 205 of 2021) [2021] TZCA 203 (19 May 2021) 6 citations
107. Ezekiah T. Olouch vs Permanent Secretary, President's Office, Public Service Management & Others (Civil Appeal No. 140 of 2018) [2020] TZCA 2 (6 January 2020) 6 citations
108. Gurmit Singh vs Meet Singh & Another (Civil Appeal 256 of 2018) [2022] TZCA 612 (5 October 2022) 6 citations
109. Halima James Mdee & Others vs Registered Trustees of Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo (CHADEMA) & Others (Misc. Cause 27 of 2022) [2022] TZHC 10475 (8 July 2022) 6 citations
110. Hamisi Mahona vs Republic (Criminal Appeal 141 of 2017) [2021] TZCA 160 (30 April 2021) 6 citations
111. Jeremia Mtobesya vs Attorney General (Misc. Civil Cause 29 of 2015) [2015] TZHC 2126 (22 December 2015) 6 citations
112. John Dongo & Others vs Lepasi Mbokoso (Civil Application 14 of 2018) [2019] TZCA 165 (9 April 2019) 6 citations
113. Juma Kambi Kong'wa & Another vs Republic (Misc. Economic Cause 16 of 2017) [2017] TZHCCED 7 (5 July 2017) 6 citations
114. Kalebu Kiboja Mjinja vs Shadrack Daniel Tembe (Civil Appeal 24 of 2020) [2021] TZHC 2048 (28 January 2021) 6 citations
115. Luhumbo Invstment Limited vs National Bank of Commerce Lited & Others (Civil Appeal 503 of 2020) [2022] TZCA 738 (23 November 2022) 6 citations
116. Manyonyi Weswa vs Malibha Njoya (Land Appeal 34 of 2022) [2022] TZHC 14729 (22 November 2022) 6 citations
117. Mashaka Abdallah and Another vs Bariadi Town Council and 2 Others (Land Case 3 of 2020) [2021] TZHC 6534 (10 September 2021) 6 citations
118. Mlenga Kalunde Mirobo vs The Trustees of The Tanzania National Parks & Another (Labour Revision Application 6 of 2021) [2021] TZHC 9097 (30 December 2021) 6 citations
119. Onesmo Olengurumwa vs Attorney General (Misc. Civil Cause 36 of 2019) [2020] TZHC 3664 (21 October 2020) 6 citations
120. Puma Energy Tanzania Ltd vs Ruby Roadways Tanzania Ltd (Civil Appeal 35 of 2018) [2020] TZCA 186 (15 April 2020) 6 citations
121. Rashid Kazimoto & Another vs Republic (Criminal Appeal No 458 of 2016) [2019] TZCA 616 (6 December 2019) 6 citations
122. STANBIC Bank T. Limited vs Iddi Halfani (Civil Appeal No.139 of 2021) [2023] TZCA 17496 (11 August 2023) 6 citations
123. Sano Sadiki & Another vs Republic (Criminal Appeal No.623 of 2021) [2023] TZCA 17476 (9 August 2023) 6 citations
124. Siaba s/o Mswaki vs Republic (Criminal Appeal No. 401 of 2021) [2021] TZCA 562 (4 October 2021) 6 citations
125. The Republic vs John Mbatira @Mtuke & 3 Others (Criminal Sessions Case 181 of 2022) [2023] TZHC 21825 (10 October 2023) 6 citations
126. Yakobo John Masanja vs Mic Tanzania Limited (Revision Application No. 385 of 2022) [2023] TZHCLD 1130 (28 February 2023) 6 citations
127. Attorney General vs Rebeca Z. Gyumi (Civil Appeal 204 of 2017) [2019] TZCA 348 (23 October 2019) 5 citations
128. Babito Limited vs Freight Africa NV-Belgium & Others (Civil Appeal No.355 of 2020) [2023] TZCA 17586 (1 September 2023) 5 citations
129. Boniface Anyisile Mwabukusi vs Atupele Fredy Mwakibete & Others (Civil Appeal 46 of 2021) [2021] TZCA 459 (6 September 2021) 5 citations
130. Freeman Aikael Mbowe and Others vs Republic (Criminal Appeal 76 of 2020) [2021] TZHC 3705 (25 June 2021) 5 citations
131. Hyasintha Kokwijuka Felix Kamugisha vs Deusdedith Kamugisha (Probate Appeal 4 of 2018) [2020] TZHC 954 (22 May 2020) 5 citations
132. Joshua Mgaya vs Republic (Criminal Appeal No. 205 of 2018) [2020] TZCA 231 (13 May 2020) 5 citations
133. Judith Patrick Kyamba vs Tunsumbe and Others (Probate and Administration Cause 50 of 2016) [2020] TZHC 1364 (28 May 2020) 5 citations
134. Katavi and Kapufi Limited & Another vs Emmanuel Dotto Ibrahim and 8 Others (Labour Revision No. 4 of 2020) [2020] TZHCLD 3 (24 August 2020) 5 citations
135. M/s Olam (T) Ltd vs Leonard Magesa and 2 Others (Misc. Civil Cause 6 of 2019) [2020] TZHC 2497 (15 July 2020) 5 citations
136. Maruna Papai vs Republic (Criminal Appeal 104 of 2011) [2021] TZCA 180 (30 April 2021) 5 citations
137. Mathayo Wilfred & Others vs Republic (Criminal Appeal 294 of 2016) [2018] TZCA 203 (9 October 2018) 5 citations
138. Mic Tanzania Ltd vs Mayunga Saduka and Others (Civil Appeal 145 of 2020) [2023] TZCA 180 (11 April 2023) 5 citations
139. Mtumwa Silima @ Bonge vs Republic (Criminal Appeal 11 of 2019) [2021] TZCA 123 (22 April 2021) 5 citations
140. Ng'waja Joseph Serengeta @ Matako Meupe vs Republic (Criminal Appeal 417 of 2018) [2021] TZCA 341 (2 August 2021) 5 citations
141. Onesmo Nangole vs Dr. Stephen Lemomo Kiruswa & Others (Civil Appeal 117 of 2017) [2017] TZCA 137 (31 August 2017) 5 citations
142. Patrick Magologozi Mongella vs The Board of Trustees of The Public Service Sorcial Security Fund (Civil Application No.342 of 2019) [2022] TZCA 216 (22 April 2022) 5 citations
143. Paul Revocatus Kaunda vs the Speaker of National Assembly and Others (Misc. Civil Cause 10 of 2020) [2020] TZHC 4758 (3 June 2020) 5 citations
144. Peter Jacob Weroma & Others vs AKO Group Limited (Civil Appeal No.172 of 2021) [2023] TZCA 17295 (1 June 2023) 5 citations
145. Rashid Salimu (on Behalf of Dr. Pilli) vs Sabina Sumari (Misc. Land Case Application 51 of 2019) [2021] TZHCLandD 404 (26 August 2021) 5 citations
146. Registered Trustees Archidiocese of Dar Es Salaam vs Adelmarsi Kamili Mosha (Misc. Land Application 32 of 2019) [2020] TZHC 73 (20 March 2020) 5 citations
147. Rwanganilo Village Council vs Joseph Rwakashenyi (Land Case Appeal 74 of 2018) [2020] TZHC 4210 (13 November 2020) 5 citations
148. Salim O. Kabora vs Kinondoni Municipal Council and 3 Others (Land Case 10 of 2020) [2021] TZHCLandD 574 (6 August 2021) 5 citations
149. Shule ys Sekondari Mwilamvya vs Kaemba Katumbu (Civil Appeal No.323 of 2021) [2023] TZCA 17316 (9 June 2023) 5 citations
150. Tanzania Epilepsy Organisation vs Attorney General (Misc. Civil Cause 5 of 2022) [2022] TZHC 10423 (23 June 2022) 5 citations
151. Yazidi Khassim Mbakileki vs CRDB 1996 Ltd & Another (Civil Reference No. 14 of 2018) [2019] TZCA 117 (16 May 2019) 5 citations
152. Abdulkhakim Abdul Makbel vs Zubeda Jan Mohamed and Another (Land Appeal 28 of 2018) [2021] TZHC 3488 (21 May 2021) 4 citations
153. African Barrick Gold Mine Plc vs Commissioner Genral (TRA) (Civil Appeal 77 of 2016) [2016] TZCA 875 (20 September 2016) 4 citations
154. Ali Shaibu Khamis vs Sher-mohamed Bahdour (Legal Representantive of Hajra Bibi Mohamed Hussein) (Land Case 117 of 2021) [2022] TZHCLandD 87 (18 February 2022) 4 citations
155. Audacity Intercon (T) Limited vs Bukombe District Council & Another (Civil Case 28 of 2021) [2022] TZHC 9662 (27 May 2022) 4 citations
156. Benitho Thadei Chengula vs Abdulahi Mohamed Ismail (Civil Appeal No.183 of 2020) [2023] TZCA 17519 (23 August 2023) 4 citations
157. Benson Ndaro Makulile & Another vs Rose Makenge Ruge (Land Revision 8 of 2023) [2023] TZHC 19139 (21 July 2023) 4 citations
158. CRDB Bank PLC vs The Registered Trustees of Kagera Farmers Trust Fund & Others (Civil Appeal No. 496 of 2021) [2024] TZCA 94 (23 February 2024) 4 citations
159. CRDB Plc vs Finn W. Petersen & Others (Civil Application 367 of 2017) [2018] TZCA 282 (3 August 2018) 4 citations
160. Camel Concrete (T) Ltd vs Tanzania National Roads Agency (TANROADS) & Another (Misc. Civil Application 675 of 2020) [2022] TZHC 214 (25 February 2022) 4 citations
161. Damiano Qadwe vs Republic (Criminal Appeal No. 317 of 2016) [2019] TZCA 37 (12 April 2019) 4 citations
162. Deogras John Marando vs Managing Director, Tanzania Beijing Huayuan Security Guard Service Co. Ltd (Civil Appeal 110 of 2018) [2020] TZHC 1992 (27 March 2020) 4 citations
163. Director of Public Prosecutions vs Abdi Sharif Hassan @ Msomali and Another (Misc. Criminal Application 19 of 2020) [2020] TZHC 930 (19 May 2020) 4 citations
164. Emmanuel Richard @ Humbe vs Republic (Criminal Appeal 369 of 2018) [2021] TZCA 111 (14 April 2021) 4 citations
165. Executive Director Golden Sands Hotel Ltd Zanzibar vs Attorney General of Zanzibar & Another (Civil Appeal No. 4 of 2016) [2019] TZCA 492 (12 December 2019) 4 citations
166. Fredrick Rwemanyira vs Joseph Rwegoshora (Land Case Appeal 13 of 2021) [2022] TZHC 2962 (12 April 2022) 4 citations
167. Godgives Transport & Another vs Commercial Bank of Africa (Misc. Commercial Case 135 of 2018) [2019] TZHCComD 8 (17 January 2019) 4 citations
168. Gwabo Mwansasu and Others vs Tanzania National Roads Agency and Another (Land Case 8 of 2020) [2021] TZHC 4289 (27 July 2021) 4 citations
169. Halima James Mdee & Others vs Board of Trustee of Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo (CHADEMA) & Others (Misc. Cause 16 of 2022) [2022] TZHC 10206 (22 June 2022) 4 citations
170. Jebra Kambole vs The Attoney General (Civil Appeal 236 of 2019) [2022] TZCA 377 (15 June 2022) 4 citations
171. Jebra Kambore vs The Attorney General (Misc. Civil Cause 27 of 2017) [2019] TZHC 2145 (16 August 2019) 4 citations
172. Kassim Salum Mnyukwa vs Republic (Criminal Appeal No.405 of 2019) [2022] TZCA 93 (4 March 2022) 4 citations
173. Kibuna Makuri @ Kimwi vs Republic (Criminal Appeal 404 of 2017) [2021] TZCA 131 (23 April 2021) 4 citations
174. Magreth Method Mapunda vs Natioal Museums of Tanzania (Civil Appeal 251 of 2019) [2022] TZCA 698 (9 November 2022) 4 citations
175. Mayongera Mayunga @ Mayongera vs Republic (Criminal Appeal 134 of 2021) [2022] TZHC 9616 (20 May 2022) 4 citations
176. Michael Ashley vs Anthony Pius Njau Ltd (Civil Appeal 68 of 2017) [2018] TZHC 68 (6 April 2018) 4 citations
177. Mwanaidi Nyahori and Kichere Wambura Nyahori vs Republic (Criminal Application 2 of 2022) [2022] TZHC 124 (4 February 2022) 4 citations
178. Nic Bank Tanzania Ltd vs Princess Shabaha Co. Ltd & Others (Civil Appeal No. 248 of 2017) [2020] TZCA 219 (13 May 2020) 4 citations
179. PENDO M. IRANGA vs Kitama Elias (PC Civil Appeal Case No. 44 of 2022) [2023] TZHC 16024 (8 March 2023) 4 citations
180. Ramadhani Athumani Mohamed vs Republic (Criminal Appeal 456 of 2015) [2016] TZCA 722 (29 June 2016) 4 citations
181. Republic vs Mokiri Wambura @ Makuru (Criminal Session Case 70 of 2022) [2022] TZHC 14147 (12 October 2022) 4 citations
182. Ruvu Gemstone Mining CO. Limited vs Reliance Insurance Company (T) Ltd (Misc. Commercial Cause 21 of 2016) [2016] TZHCComD 2047 (1 October 2016) 4 citations
183. Salehe Said Nahdi vs National Microfinance Bank PLC and Another (Commercial Case 1 of 2015) [2017] TZHCComD 22 (21 February 2017) 4 citations
184. Salhina Mfaume & Others vs Tanzania Breweries Co. Limited (Civil Appeal 111 of 2017) [2021] TZCA 209 (19 May 2021) 4 citations
185. Simon Kiles Samwel @ K and Two Others vs Republic (Criminal Session Case 50 of 2022) [2022] TZHC 11003 (3 August 2022) 4 citations
186. Sprianus Angelo & Others vs Republic (Criminal Appeal 481 of 2019) [2021] TZCA 462 (24 August 2021) 4 citations
187. Suba Agro-Trading & Engineering Company Ltd & Another vs Seedco Tanzania Limited (Civil Appeal No.184 of 2020) [2023] TZCA 17517 (22 August 2023) 4 citations
188. Sylvester S. Mboje vs CRDB Bank PLC (Labour Review No. 07 of 2023) [2023] TZHCLD 1302 (2 June 2023) 4 citations
189. Tanzania Electric Supply Company Limited vs Mrisho Abdallah and 4 Others (Labour Revision 27 of 2020) [2021] TZHC 4194 (16 July 2021) 4 citations
190. Victor Robert Mkwavi vs Juma Omary (Civil Appeal 222 of 2019) [2022] TZCA 756 (30 November 2022) 4 citations
191. Yahaya Selemani Mralya vs Stepahno Sijia & Others (Civil Appeal 316 of 2017) [2018] TZCA 37 (13 July 2018) 4 citations
192. Zella Adam Abraham & Others vs The Hon. Attorney General & Others (Consolidated Civil Revision 1 of 2016) [2016] TZCA 971 (5 May 2016) 4 citations
193. Zitto Zuberi Kabwe vs President of the United Republic of Tanzania and Others (Misc. Civil Cause 1 of 2020) [2020] TZHC 1961 (18 March 2020) 4 citations
194. Abraham Israel Shumo Muro vs. National Institute For Medical Research & Another (Civil Appeal No. 52 of 2017) [2017] TZHC 2297 (8 December 2017) 3 citations
195. Alistides A. Kashasira vs Anna Kajumulo Tibaijuka & Others (Misc. Civil Application 44 of 2015) [2015] TZHC 2019 (15 December 2015) 3 citations
196. Aman S. Shavunza and 3 Others vs Lamson Sikazwe and 7 Others (Criminal Appeal 156 of 2020) [2021] TZHC 9478 (19 November 2021) 3 citations
197. Anyelwisye M. Melele & 43 Others vs Southern Sun Hotel Ltd & 29 Others (Revision No. 258 of 2021) [2022] TZHCLD 727 (4 August 2022) 3 citations
198. Arusha Soko Kuu Limited vs Wilbard Urio (Civil Appeal 6 of 2019) [2020] TZHC 3931 (27 November 2020) 3 citations
199. Attorney General & Others vs Bob Chacha Wangwe (Civil Appeal No. 138 of 2019) [2019] TZCA 346 (16 October 2019) 3 citations
200. Attorney General vs Tanzania Ports Authority & Another (Civil Application 467 of 2016) [2020] TZCA 380 (7 August 2020) 3 citations
201. Attorney General vs Trustees of the Tanzania National Parks & Others (Civil Revision 1 of 2021) [2021] TZHC 2042 (11 January 2021) 3 citations
202. Attorney General, Zanzibar vs Alghubra Marine Services Ltd (Civil Appeal 175 of 2017) [2017] TZCA 147 (11 December 2017) 3 citations
203. Augustino Elias Sokomo @ Ubwabwa Ubwabwa & 2 Others vs Bilala Seleman (Land Appeal 252 of 2020) [2022] TZHCLandD 33 (31 January 2022) 3 citations
204. Bageni Okeya Elijah & Others vs Judicial Service Commission & Others (Misc. Civil Cause 14 of 2018) [2018] TZHC 120 (20 July 2018) 3 citations
205. Baven Hamis & Others vs Republic (Criminal Appeal 99 of 2014) [2016] TZCA 312 (31 May 2016) 3 citations
206. Benjamin Lazaro Isseme vs Yapi Merkezi Insaat Ve Sanayi Anonim Sirket (Rev. Appl 26 of 2023) [2023] TZHCLD 1225 (31 March 2023) 3 citations
207. Board of Trustees of Good Neighbors Tanzania vs Dominic Augustine Dominic t/a Dawaso's Water Point Drilling (Commercial Case 69 of 2019) [2020] TZHCComD 25 (27 March 2020) 3 citations
208. CI Group Marketing Solution vs Sijaona Koba (Civil Appeal No.18 of 2021) [2023] TZCA 17626 (8 September 2023) 3 citations
209. Chenge Magwega Chenge vs Specioza Mochubi (Land Appeal 13 of 2023) [2023] TZHC 22230 (31 October 2023) 3 citations
210. Christopher Bagen vs Attorney General (Misc. Civil Cause 1 of 2021) [2021] TZHC 5535 (13 July 2021) 3 citations
211. Director of Public Prosecutions vs Muharami Mohamed Abdallah @ Chonji & Another (Criminal Appeal No. 284 of 2017) [2021] TZCA 82 (12 March 2021) 3 citations
212. Director of Public Prosecutions vs Philipo Joseph Ntonda (Criminal Appeal 217 of 2020) [2021] TZCA 707 (1 December 2021) 3 citations
213. Dr.Muzzammil Mussa Kalokola vs The Minister of Justicice and Constitution Affairs & Others (Civil Application No. 183 of 2014) [2019] TZCA 72 (25 February 2019) 3 citations
214. Elisha Ezron Misigaro vs Mukalehe Village Council (Misc. Land Case Application 17 of 2019) [2021] TZHC 2385 (8 March 2021) 3 citations
215. Emilian Johanes Mlowe & Others vs Republic (Misc. Economic Cause 46 of 2017) [2017] TZHCCED 3 (7 December 2017) 3 citations
216. Emmanuel Jackson Kamwela vs Republic (Criminal Appeal 482 of 2015) [2016] TZCA 682 (29 July 2016) 3 citations
217. Emmanuel Mwakibinga vs Kelvin Mwampasi and Another (Land Appeal 9 of 2019) [2021] TZHC 4174 (12 July 2021) 3 citations
218. Emmanuel Simforian Massawe vs The Attorney General (Civil Appeal 216 of 2019) [2022] TZCA 390 (17 June 2022) 3 citations
219. Evans .G. Minja and 6 Others vs Bodi Ya Wadhamini Shirika Ya Taifa (tanapa) La Hifadhi (Labour Revision 37 of 2020) [2021] TZHC 2561 (18 March 2021) 3 citations
220. Exim Bank Tanzania Limited vs. Norbert Deogratias Missana (Revision Application No. 223 of 2023) [2023] TZHCLD 1480 (9 November 2023) 3 citations
221. Feruzi Mustafa and Another vs Ngibwa Farmers Association (nfa) (Misc. Land Application 16 of 2020) [2021] TZHCLandD 475 (10 August 2021) 3 citations
222. Ginai Bangiri vs. Kisibiri Warioba & Another (Land Appeal 63 of 2022) [2023] TZHC 17667 (1 June 2023) 3 citations
223. Gisela Godfrey Mosha vs M/s Sidai Select Safari and Others (Land Appeal 38 of 2021) [2022] TZHC 12456 (9 August 2022) 3 citations
224. Godfery Nzowa vs Seleman Kova (Civil Appeal No 3 of 2015) [2016] TZCA 2072 (26 February 2016) 3 citations
225. Henry Mtei & Others vs Waziri Maneno Choka (PC Civil Appeal 86 of 2018) [2019] TZHC 145 (15 October 2019) 3 citations
226. Indo-african Estate Ltd vs District Commissioner for Lindi District & Others (Civil Application No. 12 of 2022) [2022] TZCA 135 (24 March 2022) 3 citations
227. James Francis Mbatia vs Job Yustino Ndugai and Others (Misc. Civil Cause 2 of 2022) [2022] TZHC 15 (28 January 2022) 3 citations
228. Jeremiah Madar Kerenge & Another vs Republic (Misc. Economic Cause 1 of 2016) [2016] TZHCCED 3 (14 November 2016) 3 citations
229. Jitesh Jayantilal Ladwa & Another vs Dhirajilal Walji Ladwa & Others (Civil Appeal 435 of 2020) [2022] TZCA 526 (31 August 2022) 3 citations
230. Joanita Joel Mutalemwa vs Christina Kamugisha Tushemeleirwa (PC Criminal Appeal 3 of 2022) [2022] TZHC 9866 (30 May 2022) 3 citations
231. Joseph Kasawa Benson vs Mary Charles Thomas (Misc. Criminal Application No. 60 of 2022) [2023] TZHC 16159 (20 March 2023) 3 citations
232. Kilombero Sugar Company Limited vs Commissioner General, Tanzania Revenue Authority (Civil Appeal 218 of 2019) [2021] TZCA 213 (25 May 2021) 3 citations
233. Legal and Human Rights Center and the Minister for Finance and Planning and Others (Misc. Cause 11 of 2021) [2021] TZHC 6310 (8 September 2021) 3 citations
234. Lucas Mkolomi vs Holliday Inn Hotel (Revision No. 562 of 2019) [2021] TZHCLD 186 (1 July 2021) 3 citations
235. Lulu Victor Kayombo and Another vs Republic (Misc. Economic Application 140 of 2021) [2021] TZHC 6059 (3 August 2021) 3 citations
236. Maheshkumar Raojibhai Patel vs Karim Shamshuddin Suleman (Commercial Case 80 of 2015) [2016] TZHCComD 15 (18 February 2016) 3 citations
237. Mairo Marwa Wansuka vs Simon Kiles Samwel (Civil Appeal 37 of 2020) [2020] TZHC 4023 (4 December 2020) 3 citations
238. Malaika B. Kamugisha (Labour Revision No. 591 of 2019) [2020] TZHCLD 414 (2 October 2020) 3 citations
239. Mantra Tanzania Ltd vs The Commissioner General, Tanzania Revenue Authority (Civil Appeal No. 430 of 2020) [2021] TZCA 657 (5 November 2021) 3 citations
240. Martha A. Mwakinyali and Another vs Hamis Mitogwa (Misc. Land Appeal 13 of 2013) [2020] TZHC 2477 (27 August 2020) 3 citations
241. Maryam Nassoro vs Abla Estate Developers and 3 Others (Land Case 140 of 2020) [2021] TZHCLandD 797 (9 November 2021) 3 citations
242. Mazher Limited vs Wajidali Ramzanali Jiwa Hirji (Civil Appeal 64 of 2010) [2017] TZCA 220 (21 February 2017) 3 citations
243. Mirambo Limited vs Commissioner General,Tanzania Revenue Authority and Another (Misc. Civil Application 57 of 2020) [2021] TZHC 3047 (30 April 2021) 3 citations
244. Mt. 59505 Sgt. Aziz Athuaman Yusuf vs Republic (Criminal Appeal 324 of 2019) [2022] TZCA 718 (14 November 2022) 3 citations
245. Muca Trading Company vs Jacquline Michael Baruti and 4 Others (Civil Appeal 158 of 2022) [2023] TZHC 17279 (25 April 2023) 3 citations
246. Mwanachi Communications Ltd & Others vs Joshua K. Kajula & Others (Civil Appeal No. 126 of 2016) [2020] TZCA 1824 (22 October 2020) 3 citations
247. Nassoro Mbaruku Nassoro(The Administrator of the estate of the late Kurwa Abdallah Salum) vs Makubi Hamisi Mwinyihija & 2 Others (Land Case No. 340 of 2022) [2023] TZHCLandD 16981 (5 October 2023) 3 citations
248. National Microfinance Bank PLC vs Elizabeth Alfred Khairo (Civil Appeal No.398 of 2020) [2023] TZCA 17490 (10 August 2023) 3 citations
249. Odero Charles Odero vs Director of Public Prosecutions & Attorney General (Misc. Civil Cause 20 of 2021) [2022] TZHC 15331 (19 December 2022) 3 citations
250. Onesmo Olengurumwa vs Attorney General (Misc. Civil Cause 15 of 2019) [2020] TZHC 4600 (17 December 2020) 3 citations
251. Philip Samson Chigulu T/a Philip Samson Chigulu Agent vs Judge of the High Court of Tanzania and Others. (Misc. Civil Cause 23 of 2021) [2021] TZHC 6648 (19 October 2021) 3 citations
252. Rebeca Z. Gyumi vs Attorney General (Misc. Civil Cause 5 of 2016) [2016] TZHC 2023 (3 March 2016) 3 citations
253. Said Kahana Rwaki vs Nsanda Mabhari Sarigre and Kisoku Mabhari Sagire (Misc. Appeal 3 of 2022) [2022] TZHC 9675 (25 May 2022) 3 citations
254. Samwel Gitau Saitoti @ Saimoo @ Jose & Others vs The Director of Public Prosecutions (Criminal Application 73 of 2020) [2021] TZCA 554 (1 October 2021) 3 citations
255. Singida Trading Store (EA) Limited vs Commissioner General Tanzania Revenue Authority (Civil Appeal 57 of 2020) [2021] TZCA 179 (6 May 2021) 3 citations
256. Spencon Services (T) Ltd vs Gradiators Investment Company Ltd and Another (Civil Appeal 21 of 2018) [2020] TZHC 1522 (2 July 2020) 3 citations
257. Stanphod Pondi vs Mkondo Pazi & 3 Others (Application 148 of 2022) [2022] TZHCLandD 12614 (7 November 2022) 3 citations
258. Sudi Abdi Athumani vs National Microfinance Bank Plc Bukoba Branch (Land Appeal 47 of 2018) [2020] TZHC 3294 (27 October 2020) 3 citations
259. Sweetbert Ndebea vs Nestory Tigwera (Civil Application 3 of 2019) [2020] TZHC 4153 (27 November 2020) 3 citations
260. Tanga Cement Public Company Ltd vs Fair Competition Commission (Civil Application 10 of 2018) [2021] TZCA 98 (9 April 2021) 3 citations
261. Tanzania Cigarette Company Limited vs Lucy Mandara (Civil Appeal No. 187 of 2021) [2024] TZCA 128 (26 February 2024) 3 citations
262. Tanzania Distillers Limited vs Bennetson Mishosho (Civil Appeal 382 of 2019) [2022] TZCA 838 (23 November 2022) 3 citations
263. The Copy Cat (T) Ltd vs Mariam Chamba (Labour Revision No. 421 of 2019) [2020] TZHCLD 19 (4 September 2020) 3 citations
264. Ugumba Igembe & Another vs Trustees of Tanzania National Parks & Another (Misc. Civil Application 1 of 2021) [2021] TZHC 2043 (18 January 2021) 3 citations
265. Venceslaus Malasi Kimario vs Akilimali Abdallah Kambangwa (Mics. Land Case Appl. 199 of 2021) [2022] TZHCLandD 279 (4 March 2022) 3 citations
266. Victor Nzagi vs Josephina Magwala (Misc. Appeal 29 of 2022) [2022] TZHC 11765 (17 August 2022) 3 citations
267. Waziri Hussein Isore vs Sokoine Mseti & 2 Others (Misc. Land Appeal 38 of 2022) [2022] TZHC 14753 (24 November 2022) 3 citations
268. Wilfred John vs Paulo Kazungu (Misc. Civil Application 152 of 2019) [2020] TZHC 2493 (6 July 2020) 3 citations
269. Zebadia Wanchara Chacha & 21 Others vs North Mara Gold Mine Limited (Land Case 27 of 2022) [2023] TZHC 20308 (22 August 2023) 3 citations
270. Abdallah Yusuf Ndongwe and Another v. Ikungi District Council (Misc. Land Application No. 95 of 2022) [2023] TZHC 18603 (5 June 2023) 2 citations
271. Afriscan Construction Company Ltd and Another vs Afriscan Group (T) Ltd and 2 Others (Misc. Commercial 182 of 2020) [2021] TZHCComD 3311 (16 August 2021) 2 citations
272. Alexander J. Barunguza vs Law School of Tanzania (Misc. Cause 11 of 2022) [2022] TZHC 14012 (24 October 2022) 2 citations
273. Alli Saidi Kurungu & Others vs Administrator General the Registered Trustees of Masjid Mabox - Mtoni Sokoni & Others (Civil Appeal No. 148 of 2019) [2023] TZCA 17279 (29 May 2023) 2 citations
274. Ally Buruani Macho vs Republic (Misc. Criminal Application 191 of 2020) [2020] TZHC 3666 (16 October 2020) 2 citations
275. Amina Mohamed @ Fani Mohamed vs Gulam Hussein Dewji Remtullah @ Gulam (DC Civil Appeal Case 5 of 2020) [2022] TZHC 14417 (30 September 2022) 2 citations
276. Anna Mbakile vs Ded Geita (Labour Revision 113 of 2019) [2020] TZHC 1632 (30 July 2020) 2 citations
277. Atuwonekye vs Hezron Manguta (Misc. Land Aplication 5 of 2020) [2022] TZHC 525 (22 March 2022) 2 citations
278. Bhupesh Aima vs Kirtesh Babubhai Ladwa & Another (Civil Case 192 of 2015) [2018] TZHC 1985 (6 April 2018) 2 citations
279. Bright Technical System General Supplies Limited vs Brave Engineering and Constraction Company Limited & Another (Misc. Commercial Application 132 of 2020) [2022] TZHCComD 219 (13 May 2022) 2 citations
280. Damian Jankowski Krzysztof and Another vs Republic (Criminal Appeal 47 of 2021) [2022] TZHC 381 (11 February 2022) 2 citations
281. Daud John vs Israeli John (Land Appeal 44 of 2019) [2020] TZHC 2224 (28 August 2020) 2 citations
282. David S/o Richard Kiputa vs Republic (Criminal Appeal 388 of 2016) [2018] TZHC 2748 (30 April 2018) 2 citations
283. Dhirajlal Walji Ladwa and Others vs Jitesh Jayantilal Ladwa and Others (Commercial Case 2 of 2020) [2020] TZHCComD 1986 (28 August 2020) 2 citations
284. Dickson Paulo Sanga vs the Attorney General (Misc. Civil Cause 29 of 2019) [2020] TZHC 653 (20 May 2020) 2 citations
285. Director of Public Prosecutions vs Yahya Twahiru Mpemba and 15 Others (Misc. Criminal Application 88 of 2021) [2021] TZHC 7403 (1 December 2021) 2 citations
286. EX. MT 66807 SGT George Kwisema & Others vs Republic (Criminal Appeal No. 127 of 2020) [2023] TZCA 95 (9 March 2023) 2 citations
287. Edo Mwamalala vs Tazara (Labour Revision No. 249 of 2021) [2022] TZHCLD 768 (24 August 2022) 2 citations
288. Edward Mrugusi vs Enos Hangi Masalu (PC Civil Appeal 50 of 2021) [2021] TZHC 7647 (10 December 2021) 2 citations
289. Emmanuel Nguka @ Anditi vs Republic (Misc. Criminal Application 25 of 2023) [2023] TZHC 21943 (20 October 2023) 2 citations
290. Erasto Kamala Mwambuse vs Jubilee Insurance Co. Tz. Ltd and Another (Civil Appeal 13 of 2020) [2020] TZHC 4408 (14 December 2020) 2 citations
291. F.3329 CPL Buberwa Leonard Magayane & Another vs Minister for Home Affairs & Others (Civil Appeal No.119 of 2020) [2023] TZCA 17399 (10 July 2023) 2 citations
292. Festo Japhet Mkilana vs National Bank of Commerce Limited (Civil Appeal 324 of 2019) [2022] TZCA 729 (21 November 2022) 2 citations
293. Fikiri Katunge vs Republic (Criminal Appeal No. 552 of 2016) [2020] TZCA 229 (14 May 2020) 2 citations
294. Florentina Philbert vs Verdiana Protace Mujwahuzi (Misc. Land Application 75 of 2020) [2021] TZHC 4034 (6 July 2021) 2 citations
295. Frank Anastas Lui vs Minister For Constitutional & Legal Affairs & Another (Criminal Revision 6 of 2019) [2019] TZHC 150 (7 October 2019) 2 citations
296. Frank Misingia & 14 Others vs Tanganyika Wilderness Camps Ltd (Revision 49 of 2021) [2022] TZHC 10259 (23 June 2022) 2 citations
297. Fred Habibu Katawa & Another vs Registrar of Titles and 3 Others (Land Appeal No. 03 of 2021) [2023] TZHC 18950 (8 May 2023) 2 citations
298. Haji Mradi vs Linda Sadiki Rupia (Civil Appeal 24 of 2016) [2019] TZCA 263 (28 August 2019) 2 citations
299. Halima James Mdee & Others vs Registered Trustees of Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo (CHADEMA) & Others (Misc. Cause 27 of 2022) [2022] TZHC 10476 (8 July 2022) 2 citations
300. Harel Mallac T. Ltd vs Junaco T. Ltd & Another (Misc. Commercial Application 144 of 2016) [2019] TZHCComD 157 (2 September 2019) 2 citations
301. Hassan Amiri Hemedi & Others vs Lake Oil Limited (T) & Another (Land Case 84 of 2020) [2022] TZHCLandD 12564 (2 November 2022) 2 citations
302. Henan Afro Asia Geo Engineering Co. Ltd vs John Mihayo Jandika and Others (Labour Revision 30 of 2020) [2021] TZHC 3695 (22 June 2021) 2 citations
303. Hussein Malulu @ Elias Hussein & Others vs Republic (Criminal Appeal No. 263 of 2021) [2023] TZCA 17939 (13 December 2023) 2 citations
304. International Tax Consultants Limited vs. Macdonald Justus Rweyemamu (Labour Revision No. 199 of 2023) [2023] TZHCLD 1482 (10 November 2023) 2 citations
305. Isaack Wilfred Kassanga vs Standard Chartered Bank Tanzania Limited (Civil Application No. 453 of 2019) [2022] TZCA 222 (22 April 2022) 2 citations
306. Isaya Loserian vs Republic (Criminal Appeal No. 426 of 2020) [2024] TZCA 138 (23 February 2024) 2 citations
307. JV Electrical & Electronics Co. Limited & Shanghai Electric Power T & D Engineering vs Rural Energy Agency & Others (Civil Application 162 of 2019) [2022] TZCA 385 (17 June 2022) 2 citations
308. Jebra Kambole vs Attorney General of the United Republic of Tanzania (Misc. Civil Cause 22 of 2018) [2019] TZHC 6 (18 July 2019) 2 citations
309. John Raphael Boko vs Princess Leisure (T) Ltd (Civil Case No.118 of 2022) [2023] TZHC 20770 (31 August 2023) 2 citations
310. Joran Lwehabura Bashange vs Minister for Constitutional & Legal Affairs & Another (Misc. Civil Cause No. 12 of 2023) [2024] TZHC 774 (13 March 2024) 2 citations
311. Joseph Balami @ Panga vs Republic (Criminal Appeal No. 237 of 2016) [2019] TZCA 97 (13 May 2019) 2 citations
312. Joseph Steven Gwaza vs Attorney General & Another (Misc. Civil Cause 27 of 2018) [2019] TZHC 277 (22 October 2019) 2 citations
313. Josiah Zephania Warioba vs Bouygues Energies and Services (Labour Revision 16 of 2022) [2023] TZHC 17157 (4 May 2023) 2 citations
314. Justus Mazengo & 41 Others vs Tanzania Portland Cement Plc (Misc. Application No. 2 of 2022) [2022] TZHCLD 53 (25 February 2022) 2 citations
315. Kenedy Makuza vs Monalia Microfinance Ltd (PC Civil Appeal 1 of 2021) [2022] TZHC 10970 (16 May 2022) 2 citations
316. Lazaro Bajuta and 18 Others vs Daniel Awet Tewa (Misc. Land Aplication 94 of 2022) [2023] TZHC 16778 (20 April 2023) 2 citations
317. Leonidas Karani Kitambi vs Gregory Mushaijaki (Misc. Land Case Application 38 of 2021) [2021] TZHC 7279 (25 October 2021) 2 citations
318. Lilia Sifael vs Cocacola Kwanza Limited (Labour Revision 8 of 2019) [2020] TZHC 1878 (29 July 2020) 2 citations
319. Mroni Garden Construction Ltd vs Ether Nicholas Matiko (Civil Appeal No. 9 of 2022) [2023] TZHC 15870 (3 March 2023) 2 citations
320. Mussa Makota vs Republic (Misc. Criminal Application 214 of 2019) [2019] TZHC 192 (20 December 2019) 2 citations
321. Muzzammil Mussa Kalokola vs The Minister of Justice & Constitutional Affairs & Others (Civil Application 255 of 2019) [2022] TZCA 486 (2 August 2022) 2 citations
322. Mwalimu Amina Hamisi vs National Examination Council of Tanzania & 4 Others (Civil Application No. 20 of 2015) [2019] TZCA 248 (24 June 2019) 2 citations
323. Mwalimu Amina Hamisi vs National Examination Council of Tanzania & Others (Civil Appeal No 20 of 2015) [2019] TZCA 634 (24 June 2019) 2 citations
324. Mwanasheria Mkuu Wa Serikali vs Alice Celestine Ndyali & Another (Misc. Application No. 466 of 2022) [2023] TZHCLD 1182 (23 March 2023) 2 citations
325. Mwita Juma @ Machango vs Republic (Misc. Application 31 of 2022) [2022] TZHC 10678 (15 July 2022) 2 citations
326. Mzee Omar Mzee vs Mwanamvua Rashid Kilindi (Civil Appeal 301 of 2021) [2022] TZCA 369 (16 June 2022) 2 citations
327. Nasib Mmbagga and 2 Others vs Republic (Misc. Criminal Application 187 of 2021) [2021] TZHC 6072 (27 August 2021) 2 citations
328. Nasreen Hassanali vs Aghakan Health Services Tanzania (Revision Appl. No. 84 of 2021) [2021] TZHCLD 2026 (14 December 2021) 2 citations
329. National Bank of Commerce Limited vs Millo Construction Company Limited & others (Misc. Commercial Application No. 102 of 2015) [2016] TZHC 2234 (16 December 2016) 2 citations
330. National Institute of Transport vs Twambilile Mwakaje (Revision No. 906 of 2019) [2020] TZHCLD 165 (24 July 2020) 2 citations
331. National Microfinance Bank PLC & Another vs Bwire Nyamwero & 5 Others (Misc. Land Application 96 of 2023) [2024] TZHC 1268 (4 April 2024) 2 citations
332. Ndalamia Partareto Taiwap & 4 Others vs. The Minister of Natural Resources and Tourism & Another (Misc. Civil Cause) [2023] TZHC 21407 (19 September 2023) 2 citations
333. Ngesela Keya Joseph @ Ismail & Others vs Republic (Criminal Appeal 116 of 2021) [2022] TZCA 449 (19 July 2022) 2 citations
334. Nile Healthcare Limited t/a Uhuru vs Filbert John Mpogoro (Labour Revision 7 of 2022) [2022] TZHC 14593 (11 November 2022) 2 citations
335. North Mara Gold Mine Limited vs Commissioner General (TRA) (Civil Appeal 78 of 2015) [2016] TZCA 781 (1 March 2016) 2 citations
336. Ntuta Loid vs Magreth Paul (Misc. Land Appeal 15 of 2021) [2021] TZHC 9410 (17 December 2021) 2 citations
337. Oliva Kabakobwa vs Akiba Commercial Bank (T) Ltd and Another (Land Appeal 12 of 2021) [2021] TZHC 6871 (29 October 2021) 2 citations
338. Omary Shaban Nyambu Vs. Chief of Defence Force & 2Others (Misc. Application No. 35 of 2023) [2024] TZHC 472 (21 February 2024) 2 citations
339. Omary Shabani Nyambu vs Permanent Secretary Ministry of Deffence & Others (Civil Appeal No. 105 of 2015) [2018] TZCA 575 (23 February 2018) 2 citations
340. Onesmo Olengurumwa vs Attorney General (Misc. Civil Cause 15 of 2019) [2020] TZHC 4555 (17 December 2020) 2 citations
341. Oscar Karsan Kanji vs Abdallah Hassan (Civil Appeal No. 9 of 2020) [2024] TZCA 161 (6 March 2024) 2 citations
342. Penina Mhere Wangwe & 31 Others vs North Mara Gold Mine Limited (Land Case 19 of 2022) [2023] TZHC 20674 (4 September 2023) 2 citations
343. Prime Catch (Exports) Limited & Others vs Dimond Trust Bank Tanzania Limited (Civil Appeal 273 of 2019) [2022] TZCA 613 (4 October 2022) 2 citations
344. Pyrethrum Company of Tanzania vs Rehema Chioko (Labour Revision 6 of 2019) [2022] TZHC 11137 (16 May 2022) 2 citations
345. Rashid Awami Njowoka vs Fatuma Mustapha (Misc. Civil Application 136 of 2021) [2022] TZHC 15069 (21 February 2022) 2 citations
346. Raymond Paul Kanegene and Another vs Attorney General (Consolidated Misc. Civil Cause 15 of 2019) [2020] TZHC 4032 (26 November 2020) 2 citations
347. Registered Trustees of Evangelistic assemblies of God Tanzania & 4 Others vs Peter Charles Kaswiza (vice Bishop) Tabora South Province Eagt Church (Civil Appeal 17 of 2020) [2022] TZHC 729 (25 March 2022) 2 citations
348. Republic vs Anzigar Herman Diones and Another (Criminal Session Case 2 of 2019) [2020] TZHC 456 (30 March 2020) 2 citations
349. Republic vs Farid Hadi Ahmed & Others (Criminal Session Case 121 of 2020) [2021] TZCA 141 (23 April 2021) 2 citations
350. Republic vs Khalid Almas Mwinyi @ Banyata & Others (Criminal Session Case 13 of 2021) [2022] TZHC 828 (2 December 2022) 2 citations
351. Rev. Petter Makalla and Others vs Rev. Jacob Mameo Ole Paulo and Others (Civil Case 195 of 2019) [2020] TZHC 2526 (25 August 2020) 2 citations
352. Robert s/o Nyengela vs Republic (Criminal Application 42 of 2019) [2021] TZCA 166 (3 May 2021) 2 citations
353. Said Kihedu Irira & Another vs Republic (Criminal Appeal 19 of 2022) [2022] TZHC 13982 (12 October 2022) 2 citations
354. Said Nassor Zahor & Others vs Nassor Zahor Abdulla El Nabahany & Another (Civil Application 169 of 2017) [2017] TZCA 237 (24 July 2017) 2 citations
355. Shabibu Badi Mruma vs Mzumbe University & Another (Misc. Cause 20 of 2018) [2019] TZHC 15783 (14 March 2019) 2 citations
356. Simon Kamoga vs Shanta Mining Co. Ltd (Labour Revision 18 of 2019) [2020] TZHC 1186 (20 May 2020) 2 citations
357. Sino Truck International vs Tsn Logistics Limited (Misc. Application Cause 13 of 2021) [2021] TZHCComD 3344 (24 September 2021) 2 citations
358. Sirasi Wambura Chacha Mtoki vs. Julius Wambura Nyigesa & Another (Land Revision 3 of 2023) [2023] TZHC 17639 (2 June 2023) 2 citations
359. Star Media Tanzania Limited vs Tanzania Revenue Uthority (Civil Appeal 211 of 2019) [2021] TZCA 191 (7 May 2021) 2 citations
360. Steven Ngoloka vs Ponsian Nkwama (Misc. Land Application 8 of 2019) [2020] TZHC 65 (27 February 2020) 2 citations
361. Tanzania Commercial Bank Plc vs Rehema Alatunyamadza & Others (Civil Appeal 155 of 2021) [2022] TZCA 666 (1 November 2022) 2 citations
362. Tanzania Tobacco Processors Limited vs The Commissioner General (TRA) (Civil Appeal 174 of 2019) [2021] TZCA 206 (18 May 2021) 2 citations
363. The Registered Trustees of Noor Masjid Dodoma vs Jafary Manyemba & 11 Others (Civil Appeal 20 of 2020) [2021] TZHC 9453 (8 November 2021) 2 citations
364. The Republic vs Josephat Kawawa @Athman & 2 Others (Criminal Sessions Case 13 of 2023) [2023] TZHC 21959 (18 October 2023) 2 citations
365. Thomas D. Kirumbuyo & Another vs Tanzania Telecommunications Co. Ltd (Civil Reference No. 1 of 2015) [2019] TZCA 195 (4 July 2019) 2 citations
366. Timothy Meja (thenos Meja) vs Jc Gear Group (t) Limited (Civil Revision No. 2 of 2023) [2023] TZHC 15749 (17 February 2023) 2 citations
367. Trustees of the Tanzania National Parks vs Ernatus I. Aron (Labour Rev. Application 19 of 2021) [2022] TZHC 292 (24 February 2022) 2 citations
368. Ulilo Hassan vs Republic (Criminal Appeal No.196 of 2018) [2020] TZCA 1792 (30 September 2020) 2 citations
369. Valerian Chrispin Mlay vs Kagera Tea Company Ltd (Misc. Labour Application 10 of 2019) [2020] TZHC 3285 (19 October 2020) 2 citations
370. Vodacom Tanzania Public Ltd. Co. vs the Commissioner General (tra) and Another (Misc. Civil Cause 33 of 2020) [2020] TZHC 4593 (10 December 2020) 2 citations
371. Zepherine Galeba vs The Attorney General (Misc. Civil Application 21 of 2013) [2016] TZHC 2019 (2 June 2016) 2 citations
372. Zitto Zuberi Kabwe vs the President of the United Republic of Tanzania and Others (Misc. Civil Cause 1 of 2020) [2020] TZHC 72 (18 March 2020) 2 citations
373. Abbas Kondo Gede vs Republic (Criminal Application No.75 of 2020) [2022] TZCA 16 (1 February 2022) 1 citation
374. Abdallah Mohamed Malenga vs Regional Crime Officer & Others (Criminal Appeal 143 of 2019) [2021] TZCA 411 (24 August 2021) 1 citation
375. Adelaida Chrisant vs Laurent Alexanda (Land Case Appeal 8 of 2019) [2021] TZHC 2387 (5 March 2021) 1 citation
376. Adella Stanslaus Assey t/a Mount Kibo Phamarcy 2012 vs VODACOM Tanzania Public Ltd Company and Another (Civil Case No. 8 of 2023) [2023] TZHC 22054 (20 October 2023) 1 citation
377. African Banking Corporation T. Ltd vs George Williamson Limited (Civil Application No. 67 of 2017) [2018] TZCA 425 (13 June 2018) 1 citation
378. Ag vs Mary Otaru and 2 Others (Misc. Civil Application 32 of 2020) [2021] TZHC 2868 (26 April 2021) 1 citation
379. Aidan Frederick Lwanga Eyakuze vs Commissioner General of Tanzania Immigration Service Department & Others (Civil Appeal No. 13 of 2020) [2020] TZCA 1884 (4 December 2020) 1 citation
380. Alaf Limited vs Asulwisye Mwalupani (Revision No. 282 of 2014) [2016] TZHC 2300 (29 July 2016) 1 citation
381. Alexander J. Barunguza vs Law School of Tanzania (Misc. Civil Cause 11 of 2022) [2022] TZHC 14079 (24 October 2022) 1 citation
382. Alexander J. Barunguza vs The Honourable Attorney General & Another (Misc. Cause No. 22 of 2023) [2023] TZHC 17764 (9 June 2023) 1 citation
383. Alexander Mashauri vs Dionizi Nyaoro (Misc. Land Appeal 65 of 2020) [2020] TZHC 3776 (30 October 2020) 1 citation
384. Alieth Aloyce vs Tanzania Posts Corporation (Labor Revision 21 of 2021) [2022] TZHC 397 (10 February 2022) 1 citation
385. Ally Mohamed Singagae vs Republic (Criminal Appeal 105 of 2020) [2020] TZHC 2085 (27 November 2020) 1 citation
386. Alphonce Lusako & 3 Others vs Attorney General & 3 Others (Misc. Civil Cause 5 of 2023) [2023] TZHC 19947 (10 August 2023) 1 citation
387. Amos Jeremiah Kusaja & 8 Others vs Republic (Misc. Criminal Application 29 of 2023) [2023] TZHC 21962 (23 October 2023) 1 citation
388. Anna Itagata & Another vs Geofrey Kajigili (Probate Appeal 9 of 2020) [2021] TZHC 2595 (4 March 2021) 1 citation
389. Anna Moses Chisano vs Republic (Criminal Application No. 42/01 of 2021) [2024] TZCA 167 (6 March 2024) 1 citation
390. Annath Athuman Maseko vs Lilian Kirundwa Rajabu (Civil Revision 1 of 2021) [2021] TZHC 9102 (18 November 2021) 1 citation
391. Atanas Balabungwa Mondo (Administrator of the Estaes of the Late KOBALI MLONDO) vs Elinathan Kobali Mlondo @ KOBALI MLONDO & 2 others (Misc. Land Application No. 18 of 2023) [2023] TZHC 20711 (25 August 2023) 1 citation
392. Athuiman Koisenge and 9 Others vs M/s Ranger Safaris (Misc. Labour Application 45 of 2018) [2020] TZHC 3882 (22 October 2020) 1 citation
393. Attorney General vs Raksha Gadhvi & Others (Civil Application No. 147/01 of 2022) [2024] TZCA 10 (30 January 2024) 1 citation
394. Attorney General vs Fatuma Amani Karume (Application No. 29 of 2019) [2020] TZHCLD 1819 (23 September 2020) 1 citation
395. Attorney General vs National Housing Corporation & Others (Civil Application No. 432 of 2017) [2019] TZCA 415 (14 November 2019) 1 citation
396. Attorney General vs Stela Rutaguza & Another (Land Revision 40 of 2022) [2023] TZHCLandD 51 (16 February 2023) 1 citation
397. Ayubu Simkoko vs Zela Robert (Misc. Criminal Appl. 77 of 2020) [2021] TZHC 2591 (16 March 2021) 1 citation
398. Baddi Twaha Ally vs Crdb Bank Plc & Another (LAND CASE NO. 175 OF 2023) [2023] TZHCLandD 17011 (25 September 2023) 1 citation
399. Bageni Okeya Elijah & Others vs Judicial Service Commission & Others (Misc. Civil Cause 15 of 2018) [2019] TZHC 245 (7 January 2019) 1 citation
400. Barbanas M. Mpangala vs Tanesco (Misc. Labour Application No. 448 of 2019) [2020] TZHCLD 1800 (14 August 2020) 1 citation
401. Barclays Bank Tanzania Limited vs Adam Mhagama and 4 Others (Labor Revision 18 of 2020) [2022] TZHC 11966 (24 August 2022) 1 citation
402. Barclays Bank Tanzania vs Pendo Mbinda (Labour Revision No. 804 of 2018) [2021] TZHCLD 123 (27 May 2021) 1 citation
403. Barton Mwambola vs Stevene Mwaikasu (Misc. Land Appeal 16 of 2020) [2021] TZHC 3373 (25 May 2021) 1 citation
404. Bashiru Badru Mbeo vs Sincro Site Watch Limited (Civil Case 171 of 2018) [2021] TZHC 9234 (18 October 2021) 1 citation
405. Basil Boay Surumbu vs Republic (Criminal Appeal 82 of 2017) [2020] TZHC 1984 (3 November 2020) 1 citation
406. Blue Rock Limited & Another vs Unyangala Auction Mart Ltd Court Broker (Civil pplication No. 69/2 of 2023) [2024] TZCA 8 (19 January 2024) 1 citation
407. Board of Trustees of St. Thadeus Primary School vs Board of Trustees of Thadeus Secondary and Another (Land Case 26 of 2020) [2022] TZHC 10255 (24 June 2022) 1 citation
408. Board of Trustees of The National Social Security Fund (NSSF) vs Grace Lumelezi (Civil Appeal 38 of 2015) [2016] TZCA 258 (21 October 2016) 1 citation
409. Board of Trustees of the Free Pentecostal Church of TZ vs Asha Seleman Chambanda and Another (Land Appeal 19 of 2019) [2020] TZHC 4637 (27 November 2020) 1 citation
410. Bob Chacha Wangwe vs Attorney General & Others (Misc. Civil Cause 6 of 2018) [2018] TZHC 113 (4 July 2018) 1 citation
411. Boniface Vicent Muhoro and Others vs the Attorney General (Misc. Civil Cause 3 of 2019) [2020] TZHC 363 (19 March 2020) 1 citation
412. Boniphace John Mbeshere vs North Mara Gold Mine Limited (Consolidated Labour Revision 14 of 2020) [2021] TZHC 2046 (29 January 2021) 1 citation
413. Bright Technical System & General Suppliers Ltd vs Brave Engineering and Construction Co. Ltd & Another (Misc. Application 132 of 2020) [2022] TZHCComD 115 (13 May 2022) 1 citation
414. CRSG Tanzania Trading Company Limited vs Ullaya Shomari Mohamed t/a Ushomo Enterprise & Others (Civil Case 37 of 2022) [2023] TZHC 17345 (12 May 2023) 1 citation
415. Center for Strategies Litigation Ltd and Another vs the Attorney General and Others (Misc. Civil Application 31 of 2019) [2020] TZHC 258 (10 February 2020) 1 citation
416. Chacha Mago vs Dr James Kilaza (Misc. Appeal 57 of 2021) [2022] TZHC 191 (22 February 2022) 1 citation
417. Chacha Marwa @ Samwel vs Republic (Criminal Appeal 34 of 2020) [2020] TZHC 2480 (8 July 2020) 1 citation
418. Chairperson Patanumbe Village Council vs Enock Kitoi (Misc. Land Appeal 27 of 2020) [2021] TZHC 7135 (12 November 2021) 1 citation
419. Chalinze Cement Company LTD & Another vs Registrar of Companies & Another (Misc. Cause No. 30 of 2023) [2023] TZHC 20991 (15 September 2023) 1 citation
420. Charles Chirato @ Charles Maunya vs Republic (Misc. Criminal Application 28 of 2021) [2021] TZHC 3236 (25 May 2021) 1 citation
421. Charles Okong'o vs Angisa Obonyo (PC Civil Appeal 36 of 2020) [2020] TZHC 4066 (4 November 2020) 1 citation
422. Charles Sugwa vs Daniel Lucas (Commercial Case 10 of 2015) [2016] TZHCComD 5 (21 April 2016) 1 citation
423. Commercial Bank of Africa T.Ltd vs Patroba Adeli Ademba (Commercial Case 2 of 2018) [2018] TZHCComD 71 (6 June 2018) 1 citation
424. Commissioner General (TRA) vs Pan African Energy (T) Limited (Civil Application No. 277/20 of 2017) [2018] TZCA 457 (5 February 2018) 1 citation
425. Cosmas Halodi Mlungu vs Chama Cha Madereva Wa Bajaji Victoria (Chamabavi) (PC Civil Appeal 47 of 2021) [2021] TZHC 7633 (8 November 2021) 1 citation
426. Dar Es Salam Institute of Technology vs Deusdedit Mugasha (Civil Application No. 233 of 2019) [2020] TZCA 332 (23 June 2020) 1 citation
427. David Gerald Mhanga vs Republic (DC Criminal Appeal 22 of 2022) [2022] TZHC 14501 (7 November 2022) 1 citation
428. Dema Makolo and 8 Others vs Sulla Timla Makolo (Land Appeal 23 of 2018) [2020] TZHC 1594 (10 July 2020) 1 citation
429. Deodatus Rutagwerela vs Deograsia Ramadhani Mtego (Matrimonial Appeal 2 of 2020) [2020] TZHC 3372 (21 April 2020) 1 citation
430. Deonis Kitoga vs East Africa Fruits Co. Limited (Revision Application No. 396 of 2022) [2023] TZHCLD 1177 (8 March 2023) 1 citation
431. Dickson Chacha @Manyori & Another vs The Republic (Misc. Criminal Application 17 of 2023) [2023] TZHC 19793 (3 August 2023) 1 citation
432. Didacus Wilson Chacha vs Republic (Misc. Criminal Application 168 of 2021) [2021] TZHC 7209 (8 September 2021) 1 citation
433. Dinna Pantaleo Moshi Versus Republic (Misc. Criminal Application 11 of 2022) [2022] TZHC 13077 (15 July 2022) 1 citation
434. Director of Public Prosecution vs Seleman Juma Nyigo @ Mwanyigo (Criminal Appeal No. 363 of 2022) [2024] TZCA 232 (22 March 2024) 1 citation
435. Director of Public Prosecutions vs Mussa Lyamhelo @ Seba Akujiwe & Another (Criminal Appeal 156 of 2015) [2016] TZCA 240 (8 April 2016) 1 citation
436. Dyana Mwanangwa vs Mandela Samson and 2 Others (Misc. Land Application 44 of 2020) [2021] TZHC 2242 (18 February 2021) 1 citation
437. East Africa Development Bank vs Naura Spring Hotel Limited & 4 others (Misc. Commercial Application No. 33 of 2023) [2023] TZHCComD 145 (2 June 2023) 1 citation
438. East Africa Development Bank vs Naura Springs Limited and 2 Others (Commercial Case No. 70 of 2021) [2022] TZHCComD 3 (13 January 2022) 1 citation
439. Editha Benya Sigar vs Alex Myovela and Another (Civil Appeal 10 of 2020) [2020] TZHC 3544 (8 October 2020) 1 citation
440. Editha Nababi vs Kemebos English Medium Boarding Primary School (Misc. Labour Application 8 of 2020) [2021] TZHC 4033 (5 July 2021) 1 citation
441. Edward Epimark Lasway, t/a Lasway Truck and Others vs National Bank of Commerce (Commercial Application 156 of 2019) [2020] TZHCComD 2110 (18 December 2020) 1 citation
442. Elias Kashagama vs theobard Bonephace Tibihikaho (Land Case Appeal 71 of 2019) [2021] TZHC 4158 (6 July 2021) 1 citation
443. Eliminata Masinda and Another vs Maswet Masinda and Another (PC Civil Appeal 47 of 2020) [2021] TZHC 3553 (8 June 2021) 1 citation
444. Elizaberth Balali vs Deodata Elias (Misc. Land Case Application 167 of 2020) [2021] TZHCLandD 380 (26 August 2021) 1 citation
445. Emmanuel Lyabonga & Another vs Republic (Misc. Economic Cause 3 of 2017) [2017] TZHCCED 5 (10 August 2017) 1 citation
446. Erastus Vicent Mtui vs COCA COLA Kwanza Limited (Consolidated Civil Appeal No. 619 of 2022 & 13 of 2023) [2024] TZCA 122 (23 February 2024) 1 citation
447. Eusther Eustace vs Restuta Bashasha (Land Case Appeal 54 of 2021) [2021] TZHC 7289 (8 October 2021) 1 citation
448. Evarist Magoti vs Omari Rwechungura Kakwekwe (Misc. Land Appeal 6 of 2021) [2021] TZHC 7367 (25 November 2021) 1 citation
449. Evodius Pero Majura Vvictor Gervas (Probate and Administration Appeal 10 of 2018) [2020] TZHC 953 (22 May 2020) 1 citation
450. Fadhili Adam Selemani vs Said Adam Selemani and Another (Misc. Civil Application 11 of 2021) [2021] TZHC 7565 (11 November 2021) 1 citation
451. Falesi Benjamin Sanga vs Tanbreed Poultry Ltd (Labour Revision 33 of 2021) [2022] TZHC 10000 (31 May 2022) 1 citation
452. Fbme Bank Tanzania Ltd vs Cristal Resort Ltd (Civil Appeal No. 157 of 2018) [2020] TZCA 4 (3 January 2020) 1 citation
453. Finca Tanzania vs Leonard andrew Karogo (Civil Appeal 16 of 2020) [2020] TZHC 2460 (28 August 2020) 1 citation
454. Frank Gaspar Tarimo vs Global Link General Contractors Ltd & 3 Others (Civil Case 22 of 2017) [2018] TZHC 2577 (13 March 2018) 1 citation
455. Fredrick Anthony Mboma vs The Attorney General (Miscellaneous Civil Cause No. 08 of 2013) [2023] TZHC 20190 (17 August 2023) 1 citation
456. Fredrick Anthony Mboma vs The Attorney General [2023] TZHC 20188 (17 August 2023) 1 citation
457. Gabriel Mwenisongole & 22 Others vs Tanzanite Africa Limited (Misc. Labour Application 48 of 2021) [2022] TZHC 11417 (11 August 2022) 1 citation
458. Gamba Gibe Mondela vs Bamboo Rock Drilling (Labour Revision 2 of 2022) [2022] TZHC 12271 (30 August 2022) 1 citation
459. Gbp Tanzania Limited vs assaa Simba Haroon (Civil Case 55 of 2021) [2022] TZHC 642 (2 March 2022) 1 citation
460. Geofrey Kisha vs Republic (Criminal Appeal No. 69 of 2015) [2016] TZCA 2100 (22 April 2016) 1 citation
461. Geofrey Watson Mwakasege vs Tanganyika Law Society and the Attorney General (Misc. Civil Cause 23 of 2021) [2022] TZHC 11064 (19 July 2022) 1 citation
462. Ghati Nyangi @ Chacha vs Republic (Criminal Appeal 200 of 2020) [2021] TZHC 3089 (5 May 2021) 1 citation
463. Gilbert Katonda vs Tanzania Assemblies of God Kisegese (Revision No. 12 of 2019) [2020] TZHCLD 100 (8 July 2020) 1 citation
464. Gloria Thompson Mwamunyange vs Precision Air Tanzania Limited (Civil Appeal No. 55 of 2021) [2023] TZCA 17907 (7 December 2023) 1 citation
465. Godfrey Melami v. Longututi Metishooki (Misc. Civil Application No. 111 of 2022) [2023] TZHC 22184 (30 October 2023) 1 citation
466. Godwin Edinshen Sanga vs Emmanuel Ilomo (Land Appeal 44 of 2019) [2021] TZHC 3901 (5 May 2021) 1 citation
467. Godyson Steven Ogambi and 2 Others vs Magere Mang'era (Civil Appeal 13 of 2022) [2023] TZHC 17302 (28 April 2023) 1 citation
468. Golden Crescent Assurance vs Yusta Ezekiel Njau (Misc. Civil Application 1 of 2020) [2020] TZHC 1287 (25 June 2020) 1 citation
469. Gomba Estates (gel) Ltd vs Standard Chartered Bank Ltd (Misc. Commercial Application 11 of 2019) [2020] TZHCComD 2013 (8 July 2020) 1 citation
470. Gracious Mwanguya vs Treasury Registrar (official Receiver of Tanzania Tractors Manufacturing Company Limited &Others (Misc. Civil Application 585 of 2020) [2022] TZHC 205 (18 February 2022) 1 citation
471. Halima James Mdee & others vs Job Yustino Ndugai, The Speaker of the National Assembly of the United Republic of Tanzania (Misc. Civil Application No. 27 of 2017) [2017] TZHC 2245 (10 July 2017) 1 citation
472. Hamisi Saidi Kibola vs Anthony Goodluck Shuma & Others (Misc. Civil Appeal 4 of 2021) [2021] TZHC 9404 (14 December 2021) 1 citation
473. Hamza K. Khalifa vs Executive Secretary the Tanzania Commision for Universities (tcu) (Civil Appeal 148 of 2019) [2020] TZHC 1228 (2 June 2020) 1 citation
474. Happy Ibrahim and Others vs Patrick Paulino Mikindo (Land Appeal 11 of 2019) [2020] TZHC 555 (27 March 2020) 1 citation
475. Haroon Mulla vs Phillip Dubeau (Civil Appeal No. 158 of 2018) [2019] TZCA 495 (21 May 2019) 1 citation
476. Hassan Abdallah Banda vs Republic (Misc. Economic Cause 44 of 2018) [2018] TZHC 2893 (26 October 2018) 1 citation
477. Hassan Kibasa vs Angelesia Chang'a (Civil Application 405 of 2018) [2021] TZCA 148 (30 April 2021) 1 citation
478. Helena Mgini Kulimbi vs Revocatus Kuboja (Misc. Appeal 20 of 2022) [2022] TZHC 11766 (17 August 2022) 1 citation
479. Henry Zephryne Kitambwa vs President of the United Republic of Tanzania & Others (Misc. Civil Application 33 of 2018) [2019] TZHC 173 (19 December 2019) 1 citation
480. Hon.Mbwana Salum Kibanda (treasurer) & Another vs Hon. Abdallah Mohamed Khamisi (vice Chairman) & Another (Misc. Civil Application 128 of 2022) [2022] TZHC 12889 (9 September 2022) 1 citation
481. Humphrey Singogo vs Mkombozi Commercial Bank PLC [2023] TZCA 17566 (30 August 2023) 1 citation
482. Hussein Juma @ Mzuzu and 14 Others vs Republic (Criminal Application 29 of 2020) [2020] TZHC 2481 (30 July 2020) 1 citation
483. Hussein Korogwe Chanyugula vs Shaibu Amon Korogwe (Legal Representative of Angelina Haruna Amoni) (Misc. Land Aplication 313 of 2021) [2021] TZHCLandD 471 (22 November 2021) 1 citation
484. Ian Pattieassociattee Ltd vs Well Worth Hotels & Lodges (Misc. Commercial Application 300 of 2017) [2018] TZHCComD 84 (12 June 2018) 1 citation
485. Ibrahim Wambura Wanchoke vs Daniel Paschal Kiusi (Misc. Appeal 17 of 2022) [2022] TZHC 10125 (15 June 2022) 1 citation
486. Ibrahimu Yohana Katanzi vs Helena Ernest Sakawa (Matrimonial Appeal 11 of 2019) [2020] TZHC 1182 (22 May 2020) 1 citation
487. Idrisa Hamimu @ Mwela vs Republic (Criminal Appeal No112 of 2016) [2019] TZCA 589 (30 October 2019) 1 citation
488. In the Matter of Rectification of Register of Members of Buyuni Company Limited. Ashura Said Ndundu and Another vs Buyuni Company Limited (Misc. Civil Cause 508 of 2020) [2020] TZHC 4643 (23 December 2020) 1 citation
489. Isack Lazaro Sikawa & 3 Others V Sarah Mikael (Land Revision No. 11 of 2022) [2023] TZHC 15707 (10 February 2023) 1 citation
490. Isaya Bahabura Gilio vs Nice Catering Co. Ltd (Revision Application 43 of 2020) [2022] TZHC 11419 (11 August 2022) 1 citation
491. Itwa Lugwisha Njenjiwa vs The D.P.P. (Criminal Revision 7 of 2022) [2023] TZHC 16650 (4 April 2023) 1 citation
492. Jayantkumar Chandubhai Patel @ Jeetu Patel & Others vs The Attorney General & Others (Civil Appeal 59 of 2012) [2016] TZCA 796 (15 April 2016) 1 citation
493. Jestina Martin Barabara & 2 Others vs Joseph Keenan Mhahiki (Land Appeal 194 of 2021) [2022] TZHCLandD 498 (23 June 2022) 1 citation
494. Jetendra Kapoorchand Solank vs Machine and Tractors (T) Ltd (Labour Revision No. 389 of 2021) [2022] TZHCLD 909 (28 September 2022) 1 citation
495. Jileka Machiya vs Republic (Criminal Appeal No. 193 of 2021) [2023] TZCA 17700 (3 October 2023) 1 citation
496. Jireys Nestory Mutalemwa vs Ngorongoro Conservation Area Authority (Civil Application No. 570 of 2023) [2024] TZCA 133 (23 February 2024) 1 citation
497. Joel Ntimba Rugano vs Nsezeye Melesiana and 2 Others (Land Case 27 of 2022) [2023] TZHC 13 (28 March 2023) 1 citation
498. John Steven Lubele vs Repblic (Criminal Appeal 36 of 2022) [2022] TZHC 11503 (3 August 2022) 1 citation
499. Johnson Amir Garuma vs Attorney General & Others (Misc. Civil Cause 11 of 2017) [2018] TZHC 123 (22 June 2018) 1 citation
500. Jonas Kanondo vs Yasinta andrea (Misc. Civil Application 90 of 2018) [2021] TZHC 4118 (16 July 2021) 1 citation
501. Jonathan Ernest Mgongoro vs Judicial Officers Ethics Committee & Others (Civil Appeal No. 26 of 2021) [2022] TZCA 397 (21 March 2022) 1 citation
502. Jonathan Omary Kivugo vs Pro Share Capital Limited (Civil Case 10 of 2022) [2022] TZHC 15484 (30 November 2022) 1 citation
503. Jonia Kengeli Makene vs Said Abdallah Mahela & Others (Misc. Land Application 186 of 2017) [2018] TZHC 2855 (1 June 2018) 1 citation
504. Joran Lwehabura Bashange vs the Chairman of National Electoral Commission and Another (Misc. Civil Cause 19 of 2021) [2021] TZHC 6745 (20 October 2021) 1 citation
505. Joseph Jacob Kahungwa vs Rhobi Kikaro and Seven (7) Others (Misc. Application 104 of 2021) [2022] TZHC 9863 (31 May 2022) 1 citation
506. Joseph Raphael Maruma vs Republic (Criminal Appeal 287 of 2015) [2016] TZCA 624 (21 July 2016) 1 citation
507. Joseph Shirima & Another vs Filbertha Kayombo (Civil Appeal No. 76 of 2022) [2023] TZCA 17933 (12 December 2023) 1 citation
508. Judge (rtd) Edward Antony Mwesiumo vs Joel Samumba (DC Civil Appeal 9 of 2021) [2022] TZHC 12176 (15 August 2022) 1 citation
509. Julius Cleopa & Others vs Josia Lengoya Sademaki (Civil Application No. 46 of 2015) [2018] TZCA 618 (13 March 2018) 1 citation
510. Juma Mtungirehe vs The Board of Trustees of the Tanganyika National Parks t/a Tanzania National Park (Civil Application No. 221 of 2020) [2023] TZCA 96 (13 March 2023) 1 citation
511. Juma Omary Mshamu vs Airport Tax Co-perative Society Ltd (atacos) and 2 Others (Misc. Civil Application 185 of 2020) [2021] TZHC 4077 (12 July 2021) 1 citation
512. Kachukura Nshekanabo @ Kakobeka (Criminal Appeal 314 of 2015) [2016] TZCA 666 (24 February 2016) 1 citation
513. Kagera Education Promotion Co-perative Society Limited vs Morities Corporation Ltd and Another (Civil Case 6 of 2019) [2022] TZHC 10921 (30 June 2022) 1 citation
514. Karege Pius Makunda vs John Mabhai Makunja and Nyang'ando John Makunja (Misc. Appeal 95 of 2021) [2022] TZHC 293 (23 February 2022) 1 citation
515. Karunde Mnubi vs Luti Jeje Mnubi (Land Appeal 92 of 2021) [2022] TZHC 10124 (16 June 2022) 1 citation
516. Kasim Selemani Lukwele vs Zaidan Halifa Mwinyishehe (Land Appeal 41 of 2021) [2022] TZHC 15698 (30 November 2022) 1 citation
517. Kharid Bakari vs Ramadhani Mohamed Yusuph (Land Appeal 232 of 2022) [2022] TZHCLandD 12760 (7 December 2022) 1 citation
518. Kuringe Real Estate Co. Ltd vs Bank of Africa T. Ltd and Others (Misc. Commercial Application 81 of 2020) [2020] TZHCComD 2004 (20 July 2020) 1 citation
519. L. R. M Investment Co. Ltd vs Bank of Africa Ltd (Misc. Civil Application 12 of 2020) [2020] TZHC 3429 (22 October 2020) 1 citation
520. Ladislaus S. Ngomela vs The Treasury Registrar & Another (Civil Appeal 66 of 2022) [2022] TZCA 265 (12 May 2022) 1 citation
521. Legal and Human Rights Centre & Others vs Minister for Information, Culture and Sports & Others (Misc. Civil Cause 25 of 2018) [2019] TZHC 2032 (9 January 2019) 1 citation
522. Leighton offshore Pte Ltd Tanzania Branch vs DB Shapriya Co. Ltd (Misc. Commercial Application 153 of 2018) [2019] TZHCComD 158 (12 September 2019) 1 citation
523. Leslie Douglas Omari vs Exim Bank T. Ltd (Misc. Commercial Application 353 of 2017) [2019] TZHCComD 128 (12 April 2019) 1 citation
524. Lewis Mtoi and 3 Others vs Nokia Solution and Networks Tanzania Ltd (Labour Revision 23 of 2019) [2020] TZHC 3549 (1 October 2020) 1 citation
525. Lukondo Luseke vs Shukrani Lusato (PC Civil Appeal 19 of 2019) [2020] TZHC 1765 (11 June 2020) 1 citation
526. Luponya vs Republic (Criminal Appeal 129 of 2015) [2016] TZCA 129 (25 October 2016) 1 citation
527. M.B. Business Limited vs Amos David Kasanda & Others (Civil Application No.429/17 of 2019) [2023] TZCA 17405 (13 July 2023) 1 citation
528. Machumu Waziri Chumu vs Republic (Criminal Revision 9 of 2022) [2022] TZHC 14033 (13 October 2022) 1 citation
529. Mahawi Enterprises Ltd vs Serengeti Breweries Ltd (Misc. Commercial Application 24 of 2020) [2020] TZHCComD 1976 (26 August 2020) 1 citation
530. Maisha Tabu vs Pembele Gombanila (Misc. Land Appeal 8 of 2021) [2021] TZHC 6342 (15 September 2021) 1 citation
531. Makaranga Swea Limbe vs Republic (Misc. Criminal Application 21 of 2021) [2022] TZHC 9969 (6 June 2022) 1 citation
532. Mameck Matagache @ Kigoro and 2 Others vs Republic (Criminal Appeal 19 of 2022) [2022] TZHC 10756 (25 July 2022) 1 citation
533. Mariki and Others vs Republic (Criminal Appeal 289 of 2015) [2016] TZCA 70 (27 October 2016) 1 citation
534. Maruru Zabron vs The Republic (Misc. Criminal Application 24 of 2023) [2023] TZHC 22060 (27 October 2023) 1 citation
535. Mary Barnaba Mushi vs Attorney General (Misc. Cause No. 14 of 2022) [2023] TZHC 18309 (14 June 2023) 1 citation
536. Mary Siril Chuwa vs Minister for Constitutional and Legal Affairs and Ag (Misc. Civil Application 32 of 2019) [2020] TZHC 2227 (14 August 2020) 1 citation
537. Maryam Charles Mbaga & Another vs Anna Charles Mbaga (Civil Appeal 4 of 2021) [2022] TZHC 3046 (7 March 2022) 1 citation
538. Masalu Luponya vs Republic (Criminal Appeal No. 129 of 2015) [2016] TZCA 2097 (26 October 2016) 1 citation
539. Mashaka Juma Ntalula vs Republic (Criminal Appeal 159 of 2015) [2016] TZCA 570 (14 December 2016) 1 citation
540. Maswi Driling Co.Ltd vs Chato District Council and Another (Civil Case 32 of 2022) [2023] TZHC 16555 (5 April 2023) 1 citation
541. Matumaini Saccoss Ltd vs Stanley Ezeli (DC Civil Appeal 24 of 2019) [2021] TZHC 9514 (16 November 2021) 1 citation
542. Mawazo Simon Ngodela vs Republic (Criminal Appeal 48 of 2019) [2019] TZCA 328 (26 September 2019) 1 citation
543. Mediterranean Shipping Co. Ltd vs Emmanuel A. Daudi & Another (Misc. Civil Application 140 of 2019) [2019] TZHC 20 (16 October 2019) 1 citation
544. Menyengwa Tandi vs Republic (Criminal Appeal No. 351 of 2018) [2019] TZCA 661 (2 October 2019) 1 citation
545. Mfaume s/o Daudi Mpoto & Others vs Republic [2023] TZCA 17568 (31 August 2023) 1 citation
546. Michael David Nungu vs Institute of Finance Management (Civil Appeal No. 170 of 2020) [2023] TZCA 17612 (12 September 2023) 1 citation
547. Milikiori Mtei Malandu versus Bertha Patrick (Pc. Civil Appeal No.40 of 2023) [2023] TZHC 20785 (31 August 2023) 1 citation
548. Millenium Logistics vs Africarriers Limited (Civil Case 42 of 2022) [2022] TZHC 11864 (5 August 2022) 1 citation
549. Mohamed Enterprises(Tanzania) Limited vs Adili Auction Mart Limited & 2 Others (Land Case 54 of 2023) [2023] TZHCLandD 16827 (19 June 2023) 1 citation
550. Mohamed Said Hersy vs Ally Hersy (PC Civil Appeal 38 of 2021) [2022] TZHC 10629 (14 July 2022) 1 citation
551. Mohamed Shaban & Others vs Tanzania Electric Supply Co. Ltd (Revision No. 296 of 2017) [2018] TZHCLD 46 (11 May 2018) 1 citation
552. Moremi Mang'ango Moremi vs Suzan Mahimbo and 2 Others (Misc. Appeal 57 of 2021) [2022] TZHC 471 (15 March 2022) 1 citation
553. Msafiri More & 22 others vs. Morogoro District Council & 6 others (Civil Case no. 6 of 2023) [2023] TZHC 19278 (14 July 2023) 1 citation
554. Mselem Ali Mselem & Others vs Attorney General (Misc. Civil Cause 25 of 2017) [2018] TZHC 111 (17 August 2018) 1 citation
555. Mufindi Tea & Coffee Limited vs Valerian Joseph assey (Misc. Labour Application) [2022] TZHC 13592 (7 October 2022) 1 citation
556. Muganda Michael vs. Simon Liduckey (Misc. Civil Application no. 23 of 2023) [2023] TZHC 19960 (21 July 2023) 1 citation
557. Mussa Ali Ramadhan vs Dirtector of Public Prosecutions (Criminal Appeal 426 of 2021) [2022] TZCA 375 (17 June 2022) 1 citation
558. Mwamvita Juma v. Adam Ntiboneka Kivema (Land Case Appeal No. 07 of 2022) [2024] TZHC 487 (28 February 2024) 1 citation
559. Mwidini Hassani Shela and 2 Others vs Asinawi Makutika and 4 Others (Land Appeal 4 of 2019) [2021] TZHCLandD 411 (23 August 2021) 1 citation
560. Nas Hauliers Limited vs Yamuna Petroleum Ltd (Misc. Commercial Application 165 of 2021) [2022] TZHCComD 107 (29 April 2022) 1 citation
561. Nassor Amor Nassor & 5 Others vs assistant Registrar of Tittles & 2 Others (Misc. Civil Application 21 of 2022) [2022] TZHC 10874 (29 July 2022) 1 citation
562. National Bank of Commerce Ltd vs Commissioner General Tanzania, Revenue Authority (Civil Appeal No. 251 of 2018) [2020] TZCA 309 (16 June 2020) 1 citation
563. Ndila Lugata vs Republic (Criminal Appeal No. 207 of 2021) [2023] TZCA 17926 (12 December 2023) 1 citation
564. Nehemia Jacobo vs Murukulazo Village Council (Misc. Land Case Application 48 of 2020) [2021] TZHC 2630 (6 April 2021) 1 citation
565. Nestory Ludovic vs Merina Mahundi (PC. Civil Appeal 95 of 2020) [2021] TZHC 2405 (24 February 2021) 1 citation
566. Nestory Paulo Rugarabamu vs Katty Katega & Another (Land Appeal No. 18 of 2022) [2023] TZHC 23233 (8 December 2023) 1 citation
567. Nixon John Kiwelu vs Benard Maarifa and Another (Misc. Land Case Application 214 of 2020) [2021] TZHCLandD 426 (16 August 2021) 1 citation
568. Nmb Bank Plc vs Hadija Adam Mwinyimatano (Labour Revision 19 of 2019) [2020] TZHC 4666 (24 November 2020) 1 citation
569. Nolasco Kalongola vs Promasidor (T) Pty Ltd (Labour Revision No. 354 of 2019) [2020] TZHCLD 15 (4 September 2020) 1 citation
570. Nusrati Shaban Hanje and 7 Others vs Republic (DC Criminal Appeal 111 of 2020) [2020] TZHC 2208 (26 August 2020) 1 citation
571. Nyachia R. Warucha vs the New forest Company(T)ltd (Revision 8 of 2019) [2020] TZHC 3560 (12 November 2020) 1 citation
572. Obadia Mwakasitu vs Tanzania Local Government Workers Union (talgwuhu) (Misc. Cause 3 of 2021) [2021] TZHC 5845 (27 August 2021) 1 citation
573. Omary Shamte Ngweya vs Rahma Ally Mjie (Misc. Land Application 186 of 2021) [2021] TZHCLandD 432 (31 August 2021) 1 citation
574. Onaukiro Anandumi Ulimi vs Standard Oil Company Limited & others (Civil Appeal No. 252 of 2020) [2023] TZCA 18010 (19 December 2023) 1 citation
575. Onesmo Kamugisha Selestine vs Crdb Bank Plc (Land Case No. 6 of 2022) [2023] TZHC 19157 (21 July 2023) 1 citation
576. Onesmo Olengurumwa vs Attorney General (Misc. Civil Cause 9 of 2021) [2022] TZHC 17011 (15 February 2022) 1 citation
577. Onesmo Olengurumwa vs Minister of State in the President's office, Regional Administration & Local Government & Another (Misc. Civil Cause 24 of 2019) [2019] TZHC 2142 (19 November 2019) 1 citation
578. Pastory Henry & 2 Others vs Wema Gema (Misc. Land Appeal 139 of 2021) [2022] TZHCLandD 12637 (23 November 2022) 1 citation
579. Pathec Limited vs Juma Lukinda Majegelo (Civil Appeal No. 42 of 2022) [2023] TZHC 16274 (3 March 2023) 1 citation
580. Paul Bihema vs Domina Isamya and Jovita Mizimu (Land Revision 5 of 2020) [2022] TZHC 11385 (4 August 2022) 1 citation
581. Paul John Muhozya vs Attorney General (Misc. Criminal Cause 2 of 2023) [2023] TZHC 20355 (18 August 2023) 1 citation
582. Paul Melchiory Mmassy and Another vs Evarist Peter Soka (Misc. Civil Application 614 of 2019) [2020] TZHC 1253 (22 May 2020) 1 citation
583. Paul Revocatus Kaunda vs Attorney General (Misc. Civil Cause 33 of 2019) [2020] TZHC 4587 (14 December 2020) 1 citation
584. Paulina R Mollel vs Victory Support Service (Revision 119 of 2021) [2022] TZHC 14701 (21 November 2022) 1 citation
585. Paulo Masuka vs Juliana Rugasila (Matrimonial Appeal 1 of 2020) [2020] TZHC 4188 (10 November 2020) 1 citation
586. Pendo Joseph Maswi vs Barrick North Mara Gold Mine Ltd (Civil Case No. 17 of 2023) [2023] TZHC 21595 (5 October 2023) 1 citation
587. Pili Kisenga vs Attorney General (Misc. Civil Cause 15 of 2021) [2022] TZHC 14172 (27 October 2022) 1 citation
588. Prisca Nyang'uba Chogero vs The Attorney General of the United Republic of Tanzania (Misc. Civil Cause No.26 of 2021) [2022] TZHC 15880 (24 June 2022) 1 citation
589. Pumziko Philemon Mlelwa & 162 others vs. The Regional Commissioner for Ruvuma & The Attorney General (Misc. Civil Application no. 11 of 2023) [2023] TZHC 22250 (1 November 2023) 1 citation
590. R v Said Adam@Said & 10 Others (Criminal Session Case No. 168 of 2022) [2023] TZHC 16133 (10 March 2023) 1 citation
591. RITHA GOODLUCK MOSHA vs REPUBLIC (Criminal Appeal 49 of 2021) [2021] TZHC 9174 (1 December 2021) 1 citation
592. Ramadhani Hussein vs Imelda Abdallah and Another (Misc. Land Application 1 of 2020) [2020] TZHC 3288 (6 October 2020) 1 citation
593. Ramadhani Kipenya & Others vs St. Joseph University in Tanzania & Others (Misc. Civil Application No.345 of 2022) [2023] TZHC 19878 (28 July 2023) 1 citation
594. Ramadhani Musa Kabadan @ Bonge & Another vs Republic (Misc. Criminal Application 185 of 2019) [2019] TZHC 205 (20 December 2019) 1 citation
595. Ramadhani Said Omary vs Republic (Criminal Application 87 of 2019) [2022] TZCA 459 (21 July 2022) 1 citation
596. Raphael Juma Kasera vs Katibu Dayosisi Ya Mara (Labour Execution 11 of 2020) [2020] TZHC 680 (29 April 2020) 1 citation
597. Rashid Ahmed Kilindo vs Attorney General (Misc. Civil Cause 30 of 2018) [2020] TZHC 3261 (31 August 2020) 1 citation
598. Rashid Ally Kadegereke vs Jumanne Masinde (Misc. Land Case Application 323 of 2019) [2020] TZHCLandD 97 (14 April 2020) 1 citation
599. Rashid Kazimoto & Another vs Republic (Criminal Appeal No. 458 of 2016) [2019] TZCA 464 (6 December 2019) 1 citation
600. Rashid Mohamed Sellungwi vs Republic (Criminal Appeal 456 of 2021) [2023] TZCA 179 (4 April 2023) 1 citation
601. Reg. Trustees of the Kanisa la Wabaptist Tanzania Vs Nicholas Luselele Nzela & 7 Others (Civil Case No. 13 of 2020) [2023] TZHC 18108 (12 May 2023) 1 citation
602. Registered Trustees of Congregation of BrOthers of Charity of Tanzania vs Timoth Kayuni & Another (Civil Appeal 242 of 2019) [2022] TZHC 11796 (13 May 2022) 1 citation
603. Registered Trustees of Khoja Shia Ithua Asheri Jamaat vs Attorney General & 3 Others (Land Case 118 of 2019) [2022] TZHCLandD 712 (27 June 2022) 1 citation
604. Registered Trustees of National Conventon for Constructiom & Reform (NCCR -Mageuze vs James Francis Mbatia (Civil Application No. 512/01 of 2023) [2023] TZCA 17851 (17 November 2023) 1 citation
605. Rehema Kenge vs Aniseti Mayala Nyanda (Land Appeal 75 of 2019) [2020] TZHC 2359 (4 August 2020) 1 citation
606. Reime (T) Limited vs Maski Sons Construction Co. Limited (Civil Appeal 228 of 2018) [2022] TZCA 301 (24 May 2022) 1 citation
607. Republic vs Elias Shida and Others (Criminal Session Case 9 of 2019) [2022] TZHC 11050 (5 July 2022) 1 citation
608. Republic vs G 2573 PC Pacificus S/O Cleophance Simon (Criminal Session Case No. 45 of 2013) [2016] TZHC 2309 (22 June 2016) 1 citation
609. Republic vs Valerian Boniface Massawe (Criminal Session Case No. 55 of 2022) [2024] TZHC 2154 (21 May 2024) 1 citation
610. Rev. Frank Mushi vs Registered Trustees of Avangelistic Assemblies of God (Civil Appeal 134 of 2017) [2018] TZCA 22 (12 December 2018) 1 citation
611. Robert Mapesi vs Tanzania Revenue Authority (Revision No. 813 of 2018) [2020] TZHCLD 205 (4 June 2020) 1 citation
612. Rose Anthony v. Helena Alfred (PC Civil Appeal No. 11 of 2022) [2023] TZHC 21464 (29 September 2023) 1 citation
613. Rose Khalid Salim vs Republic (Criminal Appeal 71 of 2022) [2022] TZHC 12111 (12 July 2022) 1 citation
614. S. Group Security Co. Ltd vs Attorney General & Another (Misc. Civil Cause 30 of 2021) [2022] TZHC 168 (16 February 2022) 1 citation
615. SARAPIA M. VERULI vs MULTICHOICE TANZANIA LIMITED (Civil Case 6 of 2021) [2021] TZHC 12496 (4 November 2021) 1 citation
616. Sabasaba Enosi vs Republic (Criminal Appeal No 135 of 2015) [2016] TZCA 2086 (26 October 2016) 1 citation
617. Said Abdallah Doga vs Rose Fridoline Mwapinga & Another (Civil Revision No. 1 of 2020) [2023] TZCA 17898 (28 November 2023) 1 citation
618. Said Nassor Zahor & Others vs Nassor Zahor Abdallah El Nabahany & Another (Civil Application No 278, 15 of 2016) [2017] TZCA 317 (8 March 2017) 1 citation
619. Saint Goban Lodhia Gypsum Industries vs andrew Johnson Singano (Revision Application 73 of 2020) [2022] TZHC 893 (31 March 2022) 1 citation
620. Salehe Rajabu Ukwaju & Others (As Administrators Of The Estates Of The Late Rajabu Abdallah Ukwaju) vs Marwa Wambura Ogunya & Another (Land Case 1 of 2022) [2024] TZHC 1819 (30 April 2024) 1 citation
621. Salum Muhsin vs Maulid Ramadhani (Land Appeal 48 of 2018) [2020] TZHCLandD 18 (9 March 2020) 1 citation
622. Salvius Francis Matembo & Others vs Republic (Criminal Appeal 95 of 2019) [2019] TZHC 11 (16 October 2019) 1 citation
623. Samwel Gitau Saitoti @ Saimoo & Another vs Republic (Criminal Appeal 5 of 2016) [2019] TZCA 307 (30 August 2019) 1 citation
624. Sarapion Babanzi and 2 Others vs Republic (Criminal Appeal 21 of 2021) [2021] TZHC 5734 (18 August 2021) 1 citation
625. Sauda Muhidin and 2 Others vs Premium Ingredients Limited (Revision No. 113 of 2021) [2022] TZHCLD 825 (31 August 2022) 1 citation
626. Serikali Ya Kijiji Karumo vs Wahalalika Siyonka (Land Appeal 2 of 2021) [2022] TZHC 817 (25 March 2022) 1 citation
627. Shaban Didas Bifandimu @ Bifa & Another vs Republic (Misc. Criminal Application 32 of 2022) [2022] TZHC 10334 (30 June 2022) 1 citation
628. Shadrack Francis Mtimbwa vs Mtimbwa David Mtimbwa (PC Civil Appeal 44 of 2021) [2021] TZHC 9530 (30 November 2021) 1 citation
629. Shaizad Azad Bhanji vs Raju Mwambungu & 161 Others, Group 7 Pty,corporate Security Service (Revs Appl No. 182 of 2022) [2022] TZHCLD 952 (23 September 2022) 1 citation
630. Shileona Mamboleo vsDar Es Salaam International Academy (Revision No. 20 of 2021) [2022] TZHCLD 709 (29 July 2022) 1 citation
631. Sibonike Anyingisye Mwasalemba vs Teofilo Kisanji University (teku) (Misc. Civil Appeal 2 of 2020) [2020] TZHC 4075 (25 November 2020) 1 citation
632. Simon Pius Mwachilo vs Gratian Thadeo Mutashobya & Others (Civil Appeal No.286 of 2021) [2023] TZCA 17495 (11 August 2023) 1 citation
633. Sinde Kimera @ Sinde vs Republic (Criminal Application 39 of 2020) [2020] TZHC 3341 (2 September 2020) 1 citation
634. Sioi Graham Solomon vs ICBC Standard Bank PLC & Others (Misc. Civil Cause No.29 of 2021) [2023] TZHC 19121 (10 July 2023) 1 citation
635. Sprianus Angelo & 6 Others vs Republic (Criminal Appeal 481 of 2019) [2021] TZCA 407 (24 August 2021) 1 citation
636. St. Joseph Kolping Secondary School vs Alvera Kashushura (Revision Application 21 of 2018) [2020] TZHC 4398 (18 December 2020) 1 citation
637. Stephen Mbeba vs Hassan Maulid Mohamed (Civil Revision 2 of 2019) [2020] TZHC 788 (18 May 2020) 1 citation
638. Subira Amon Mwamunyange vs E.Fc Tanzania Microfinance Ltd & 2 Others (Land Case 163 of 2020) [2021] TZHCLandD 6898 (25 November 2021) 1 citation
639. Suleiman Maulid Ramadhani vs Maulid Ramadhani (Misc. Civil Application 599 of 2019) [2020] TZHC 3494 (23 October 2020) 1 citation
640. Sultan Ally Yusuph vs Republic (Criminal Appeal 230 of 2019) [2019] TZHC 200 (20 December 2019) 1 citation
641. Taher H. Muccadam vs Director, Urban and Rural Planning, Ministry of Lands, Housing and Urban Development and Another (Misc. Cause 12 of 2023) [2023] TZHC 17249 (12 May 2023) 1 citation
642. Tanga Cement Public Limited Company vs Fair Competition Commission (Misc. Civil Application 188 of 2017) [2018] TZHC 2666 (4 August 2018) 1 citation
643. Tanzania Breweries Limited vs Herman Bildad Minja (Misc. Labour Application 37 of 2017) [2020] TZHC 3883 (15 October 2020) 1 citation
644. Tanzania Electric Supply Co. Ltd vs Shaffi Nuru (Civil Appeal No. 2 of 2018) [2019] TZCA 84 (12 March 2019) 1 citation
645. Tanzania Electricity Company Ltd (TANESCO) vs Mufungo Leonard Majura & Others (Civil Revision 5 of 2016) [2016] TZCA 933 (30 November 2016) 1 citation
646. Tanzania Ports Authority and Another vs Leighton offshore Pte Limited (Misc. Commercial Application No. 144 of 2020) [2021] TZHCComD 2034 (23 March 2021) 1 citation
647. Tatu Ally Muna & 2 Others vs Chama Cha Walimu Tanzania (Labour Revision Application 13 of 2020) [2021] TZHC 9440 (24 December 2021) 1 citation
648. The Registered Trustees of Masjid Al-Azhal vs Assistant Registrar of Titles (Miscellaneous Land Appeal No. 4278 of 2024) [2024] TZHC 2112 (17 May 2024) 1 citation
649. The Republic vs Abdallah Athuman Labia @Brother Mohamed & 8 Others (Criminal Session 63 of 2022) [2023] TZHC 18161 (19 June 2023) 1 citation
650. Theresia Vicent Rimoy and Another vs Mecktilda Vicent Rimoy and Three Others (8 of 2019) [2022] TZHC 15146 (12 December 2022) 1 citation
651. Thobias Nungu vs Deus Kyabana (Misc. Application 85 of 2021) [2022] TZHC 9571 (23 May 2022) 1 citation
652. Thomas Steven Osaso vs Abraham Mathew (Misc. Civil Application 43 of 2017) [2018] TZHC 2497 (27 February 2018) 1 citation
653. Topqueen Mwasomola v. Novatus Ernest Mpanda (PC Civil Appeal No. 21 of 2022) [2023] TZHC 21 (16 August 2023) 1 citation
654. Tt Investment Limited vs Mar Kim Chemical Limited (Misc. Land Appeal 116 of 2020) [2021] TZHCLandD 396 (13 August 2021) 1 citation
655. Tumpe Thomson Mwakyonde vs Josia Abdul Kulwa (PC Civil Appeal 90 of 2020) [2020] TZHC 4163 (3 December 2020) 1 citation
656. Umaiya Makilagi @ Musoma & Others vs Republic (Criminal Appeal No. 371 of 2020) [2023] TZCA 17654 (26 September 2023) 1 citation
657. Veronica Mbai vs Kikundi Cha Ebeneza and Another (PC Civil Appeal 4 of 2023) [2023] TZHC 17146 (4 May 2023) 1 citation
658. Vicent Damian vs Republic (Criminal Application 1 of 2014) [2016] TZCA 934 (20 May 2016) 1 citation
659. Victoria Real Estate Development Lt vs Tanzania Investment Bank and Others (Misc. Commercial Application 67 of 2020) [2020] TZHCComD 2035 (2 September 2020) 1 citation
660. Yohana Paulo vs Republic (Criminal Appeal No. 281 of 2012) [2019] TZCA 189 (17 May 2019) 1 citation
661. Yusufu Selemani Kileo vs Attorney General (Misc. Cause No. 35 of 2022) [2023] TZHC 15841 (3 March 2023) 1 citation
662. Zacharia Luciano Mbedule & Others vs Republic (Consolidated Criminal Appeals 257 of 2017) [2018] TZHC 2788 (4 May 2018) 1 citation
663. Zainab Mkama Petro vs Laveri Elinaza (Misc. Land Appeal 54 of 2019) [2021] TZHCLandD 503 (9 September 2021) 1 citation
664. Zakayo Aginiwe Sanga vs Republic (Criminal Application 43 of 2022) [2022] TZHC 15355 (21 December 2022) 1 citation
665. Zalia Salmin Jaha vs Hamad Hamad Matonela (Misc. Civil Application 158 of 2017) [2018] TZHC 2843 (7 May 2018) 1 citation
666. andrew Katema vs Simoni Ngalapa (PC Civil Appeal 99 of 2019) [2020] TZHC 3337 (30 October 2020) 1 citation
667. andrew Mseul and Others vs the National Ranching Co. Ltd (Civil Application 35 of 2018) [2020] TZHC 963 (21 May 2020) 1 citation
668. fortunatus Bernard Bundala vs Republic (Criminal Application 115 of 2022) [2022] TZHC 15026 (21 February 2022) 1 citation
669. the Board of Trustees / Executive of Chawata vs Banana Contractors Ltd (Civil Appeal 80 of 2021) [2021] TZHC 6485 (17 September 2021) 1 citation
670. the Board of the Registred Trustee of Magadini Makiwaru Water Supply Trust vs Ruwasa Siha District and 2 Others (Misc. Civil Application 28 of 2021) [2021] TZHC 7581 (11 November 2021) 1 citation
671. ABLA ESTATE DEVELOPERS AND AGENCY COMPANY versus TERRESTRIAL (T) LIMITED (Misc. Land Case Application No. 444 of 2023) [2023] TZHCLandD 17000 (29 September 2023)
672. Abas Nasoro and Others vs Director of Public Prosecutions (Misc. Criminal Application 162 of 2021) [2021] TZHC 7172 (15 October 2021)
673. Abbas Antony Kilumule & Another vs Felomena Peter Mawata @ Taliyamale (Misc. Land Application 14 of 2022) [2022] TZHC 14817 (23 November 2022)
674. Abdallah A. Mohamed & Others vs The Honourable Attorney General & Others (Civil Application 350 of 2022) [2022] TZCA 758 (30 November 2022)
675. Abdallah Athuman Labia @ Brother M @ Ustaadh Abdalah @ Abdala Mang'ola @ Abuu Athuman @ Ustaadh Munna & 5 Others vs Republic (Misc. Criminal Application 57 of 2020) [2022] TZHC 558 (16 March 2022)
676. Abdallah Chuga vs Halima Ismail (Civil Revision 4 of 2020) [2022] TZHC 14857 (18 May 2022)
677. Abdallah Mohamed Ndalanga and another vs Republic (Misc. Economic Cause No. 12 of 2017) [2017] TZHC 2267 (4 May 2017)
678. Abdallah Mohamed Ussi vs Mariam N. Mlila and Another (Land Revision 1 of 2018) [2021] TZHCLandD 584 (9 July 2021)
679. Abdallah Salum Kimbelete vs Dogo Hassan Kapecha (administratrix of the late Said Mohamed Kinuka) and 6 Others (Misc. Land Application No. 309 of 2023) [2023] TZHCLandD 17078 (23 October 2023)
680. Abdallah Yahaya Luhorela vs National Microfinance Bank Plc and Another (Civil Appeal 20 of 2020) [2020] TZHC 1749 (19 June 2020)
681. Abdallah Yahya @ Masjid Hadha & 4 Others vs Registration Insolvency & Trusteeship Agency (RITA) (Land Appeal No.176 of 2023) [2023] TZHCLandD 16927 (27 September 2023)
682. Abdi Omari vs Masinda Ng'arita (Misc. Land Appication 87 of 2021) [2022] TZHC 10272 (27 June 2022)
683. Abdillah Mikidad vs Mohamed Enterprises (Civil Revision 44 of 2016) [2018] TZHC 2760 (10 May 2018)
684. Abdul Hamis vs Josephat Karoli (Land Appeal 75 of 2020) [2022] TZHC 9562 (28 April 2022)
685. Abdul Hamisi vs Josephat Karoli (Land Appeal 75 of 2020) [2022] TZHC 11768 (28 April 2022)
686. Abdul Ramadhan vs Republic (Misc. Appeal 58 of 2021) [2022] TZHC 9570 (19 May 2022)
687. Abdulwahid Abdallah Mohamed & Another vs Nyumba Mussa Nyumba (Land Appeal No. 233 of 2023) [2024] TZHCLandD 145 (28 February 2024)
688. Abeid Abrahim Omary vs Hawa Hassan Msangi and Another (PC Civil Appeal No. 11 of 2023) [2023] TZHC 22985 (16 November 2023)
689. Abel Lohay Slaa vs Simon John Quwanga & Another (Misc. Land Case Application No. 176 of 2022) [2023] TZHC 20468 (25 August 2023)
690. Abraham Israel Shomo Muro vs National Institute for Medical Research and Another (Civil Appeal No. 52 of 2017) [2017] TZCA 280 (8 December 2017)
691. Abri General Traders Limited vs Abro Industries Inc. (Civil Case 41 of 2022) [2022] TZHC 11603 (9 August 2022)
692. Abubakar Said Msawa @ Ustaadh vs Republic (Misc. Criminal Application 198 of 2019) [2019] TZHC 186 (19 December 2019)
693. Abubakary Moshi Makando vs Aisha Abdul Shebe (Misc. Civil Application 633 of 2021) [2022] TZHC 10351 (30 June 2022)
694. Adam Omary & Another vs Republic (Criminal Appeal No. 18 of 2023) [2023] TZHC 23009 (3 November 2023)
695. Adam Said Kawambwa vs Republic (Misc. Criminal Application 106 of 2019) [2019] TZHC 67 (9 October 2019)
696. Adamu Bakari @ Jomo vs Republic (Criminal Application 32 of 2022) [2022] TZHC 13739 (7 October 2022)
697. Addija Ramadhani (Binti Pazi) vs Sylvester W. Mkama (Civil Reference No.10 of 2020) [2023] TZCA 17463 (3 July 2023)
698. Adeck Simbo vs Ghati Otulo Ibecha (Misc. Land Appeal 58 of 2021) [2021] TZHC 9194 (17 December 2021)
699. Adelina Jackson Bashuku & Another vs Gervas Yotham (Misc. Land Application 151 of 2022) [2022] TZHCLandD 447 (2 June 2022)
700. Adelina R. Kitare vs Audax Eustace Kaijage andanother (Land Case Appeal 95 of 2020) [2021] TZHC 3882 (18 June 2021)
701. Adjane Abubakar vs Republic (Criminal Application No.40 of 2021) [2023] TZCA 17457 (26 July 2023)
702. Adoyo Nandori Kakoyo vs Adriano Development Microfinace (Misc. Civil Application 46 of 2022) [2023] TZHC 16635 (12 April 2023)
703. Adriano Chanja vs Hamu Koteki Mwakasola (Reference No. 30 of 2023) [2023] TZHCLandD 17317 (13 November 2023)
704. Adson Biseko Chimasa & 3 Other vs Yapi Merkezi Insaat Ve Sanayi Anonym Sirket (Labour Revision 9 of 2022) [2022] TZHC 14175 (24 October 2022)
705. Africa Flight Services Limited vs The Registrar of Companies & another (Misc. Commercial Cause 81 of 2022) [2022] TZHCComD 251 (31 August 2022)
706. Afriglobal Commodities D.M.C.C vs Nesch Mintech (T) Ltd (Commercial Case No. 112 of 2023) [2024] TZHCComD 87 (3 May 2024)
707. Agness Samwel Samson/Magdalena Ghati vs Daniel Chaina /Daniel Joseph Makolele (Civil Appeal 26253 of 2023) [2024] TZHC 289 (19 February 2024)
708. Agness Samwel Samson/Magdalena Ghati vs Daniel Chaina /Daniel Joseph Makolele (Civil Appeal 26253 of 2023) [2024] TZHC 290 (19 February 2024)
709. Agustino Methew Mbalamwezi vs Mary Petro Mgoloka (Land Appeal 16 of 2022) [2023] TZHC 20274 (21 August 2023)
710. Ahmad Shabani byabhato @ Bharia and 7 Others (Consolidated Misc. Criminal Application 69 of 2020) [2020] TZHC 4453 (28 December 2020)
711. Ahmad Swedy Alali vs Republic (Misc. Criminal Application 20 of 2022) [2022] TZHC 11690 (17 August 2022)
712. Ahmed Ahmed Chitagu v. The Republic (DC Criminal Appeal No. 87 of 2021) [2023] TZHC 20643 (30 March 2023)
713. Ahmed Kindamba vs Wananchi Group Tanzania Limited (Civil Appeal 152 of 2017) [2018] TZHC 2729 (27 June 2018)
714. Ahmed Nassor Kharifa vs Sultan Kondo & 3 Others (Land Appeal 141 of 2021) [2022] TZHCLandD 12442 (20 October 2022)
715. Ahmed Said Kindamba vs Wananchi Group (tz) Limited (Civil Appeal 152 of 2017) [2018] TZHC 2867 (27 June 2018)
716. Aisha Nuru Barie vs. Hamida Nuru Barie & 2 Others (Land Appeal No. 17 of 2023) [2023] TZHC 20568 (29 August 2023)
717. Ajene Donatila Ruambo vs Evans Benson & Another (Land Revision No. 58 of 2021) [2023] TZHCLandD 16578 (23 June 2023)
718. Akhai Siasi vs Ginyai Gisulu (Misc. Land Aplication 151 of 2022) [2022] TZHC 15047 (2 December 2022)
719. Alaf Limited vs Asulwisye Mwalupani (Revision No. 282 of 2014) [2016] TZHC 2299 (29 July 2016)
720. Albert Thomas Mwangama vs Pily Mwakasege (Misc. Land Aplication 507 of 2021) [2022] TZHCLandD 149 (25 March 2022)
721. Alex Loid Mgani (Administrator of the estate of the late Patrick Loid Mgani) vs Jenifa Paul Chambala (Land Appeal 5 of 2021) [2022] TZHC 11141 (19 April 2022)
722. Alex Msama Mwita vs Yusufu Shabani Omary & 3 Others (Misc. Commercial Application 230 of 2022) [2023] TZHCComD 53 (3 February 2023)
723. Alex Saba vs. Joyce Sewando (Land Appeal no. 20 of 2022) [2023] TZHC 18092 (26 May 2023)
724. Alexander Barunguza vs Higher Education Student 's Loan Board & Another (Misc. Civil Appl. 16 of 2021) [2023] TZHC 19975 (8 March 2023)
725. Alexander Benny Jokonia vs MW Rice Millers Ltd (Labor Revision 3 of 2022) [2022] TZHC 11339 (5 August 2022)
726. Alfred M. Malagila& Others vs Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development & Others (Misc. Civil Cause No.13 of 2023) [2023] TZHC 23508 (13 November 2023)
727. Alfred Malagila & Others (Misc. Civil Cause No.13 of 2023) [2023] TZHC 23475 (18 December 2023)
728. Ali Mohamed Ali & 2 Others v Liliani Stephen Kimaro (Misc. Land application 587 of 2023) [2023] TZHCLandD 17096 (8 November 2023)
729. Allen Juma Kasinde vs Bupe Laurence Mwakatenya (Mics. Land Case Appl. 17 of 2022) [2022] TZHCLandD 12351 (4 October 2022)
730. Ally Abdallah Sule vs Mariam Hamis Hussein (Misc. Land Aplication 299 of 2022) [2022] TZHCLandD 677 (15 July 2022)
731. Ally Abdullah Ally Saleh vs Registered Trustees of Federation and Others (Misc. Civil Application 305 of 2021) [2021] TZHC 4209 (16 July 2021)
732. Ally Anguzuu Sharif & Others vs Republic (Misc. Criminal Application 62 of 2022) [2022] TZHC 10082 (16 June 2022)
733. Ally Bakari Mkuki vs Mohamwed Idd Kiburuma (Misc. Land Case 895 of 2016) [2018] TZHCLandD 537 (10 August 2018)
734. Ally Juma Ally and Another vs Republic (Criminal Application 240 of 2021) [2021] TZHC 7668 (16 November 2021)
735. Ally Kassim Salaga vs Mbwana Ilyas Ndundu (Misc. Land Case Appeal 112 of 2019) [2021] TZHCLandD 141 (12 April 2021)
736. Ally Omary Mtoilinge vs Shabani Rajabu Vyale & Another (Revision 53 of 2021) [2022] TZHCLandD 12609 (25 November 2022)
737. Ally Ramadhan vs Utrack Africa Ltd (Revs Appl No. 31 of 2022) [2022] TZHCLD 611 (7 June 2022)
738. Ally Saad (2) vs Peter Leburu Mchau & Another (Civil Appeal No. 171 of 2022) [2023] TZHC 15823 (23 February 2023)
739. Ally Said Ahmed & Others vs Republic (Misc. Economic Cause 3 of 2016) [2016] TZHC 2120 (23 December 2016)
740. Ally Saidi Ahmed & Others vs Republic (Misc. Economic Cause 3 of 2016) [2016] TZHCCED 1 (23 December 2016)
741. Ally Saleh vs Executive Officer, Registration, Insolvency & Trusteeship Agency & Others (Misc. Civil Cause No. 3 of 2017) [2019] TZCA 570 (14 January 2019)
742. Almachius Kilaja vs Chief Court Admininstrator & Others (Misc. Civil Cause 5 of 2018) [2018] TZHC 2701 (31 July 2018)
743. Aloyce Mpole@Kigodoi Vs Republic (Misc. Criminal Application No. 40076 of 2023) [2024] TZHC 62 (23 January 2024)
744. Aloyce P. Lymo vs Regina Reginald Chonjo & Another (Land Appeal No. 438 of 2023) [2024] TZHCLandD 119 (21 March 2024)
745. Aloysius Benedicto Rutaihwa vs Thadeo Revelian and 17 Others (Misc. Land Case Application 107 of 2021) [2022] TZHC 3034 (22 April 2022)
746. Alphonce Kihwele vs Irene Lazaro Mollel (Administratrix of the Estate of the Late Prucheria Meitoris Mollel Suing By Attorney Lazaro Lokaji Mollel) (Misc. Land Aplication 238 of 2022) [2022] TZHCLandD 12290 (8 September 2022)
747. Alphonce Lusako vs Attorney General (Misc. Civil Cause 6 of 2022) [2022] TZHC 15882 (18 August 2022)
748. Alphonce Lusako vs The Controller & Auditor General and The Attorney General (Misc. Civil Cause 16 of 2023) [2024] TZHC 2248 (27 May 2024)
749. Alphonce Mlekia vs Samwel Ligamba (Misc. Civil Application 45 of 2020) [2022] TZHC 10871 (22 July 2022)
750. Amadeus Thadey Massawe vs M/s Panone andco. Ltd (Misc. Civil Application 30 of 2019) [2020] TZHC 4237 (9 July 2020)
751. Amana Omary Mlanga and Another vs Sifuni John Mchome (Misc. Land Application 515 of 2019) [2021] TZHCLandD 69 (12 March 2021)
752. Amandus Kimario vsRepublic (Misc. Criminal Appeal 18 of 2022) [2022] TZHC 10612 (13 July 2022)
753. Amandus Lyimo vs Kudra Idd Mushi (Misc. Criminal Application 12 of 2019) [2020] TZHC 2226 (10 August 2020)
754. Amani Kosmas Muendi vs Republic (DC Criminal Appeal 30 of 2022) [2022] TZHC 10965 (6 July 2022)
755. Amani Nuru Mtiwauzima (formerly Known As Ndele Mwandoje Mbwafu) vs CRDB Bank PLC (Land Case 7 of 2020) [2021] TZHC 4272 (12 July 2021)
756. Amani Vumwe Center vs Furahini Partners for Social Changes (Civil Appeal No. 05 of 2023) [2023] TZHC 23792 (12 December 2023)
757. Amaniel Rwegoshora Bubelwa (Legal Attorney of Peragia Bubelwa) vs Godfrey Bubelwa (Misc. Land Aplication 85 of 2022) [2022] TZHCLandD 370 (31 May 2022)
758. Ambakisye M. Mwakabana vs the Chief Secretary and Another (Misc. Civil Cause 1 of 2020) [2021] TZHC 5589 (13 August 2021)
759. Amida Ibrahim & 2 Others vs opister Felician &another (Land Appeal 48 of 2019) [2022] TZHC 10574 (13 May 2022)
760. Amina Ramadhani vs Athumani Hinga and another (Misc Land Revision No. 26947 of 2023) [2024] TZHC 909 (18 March 2024)
761. Amina Shomari vs Thomas Saleki (Misc. Criminal Application No. 50 of 2023) [2023] TZHC 21206 (26 September 2023)
762. Amney Safari Amney vs. Airtel Tanzania PLC and Five Others (Civil Case No. 21 of 2023) [2024] TZHC 311 (9 February 2024)
763. Amos John and Amon vs Republic. (Criminal Appeal 186 of 2019) [2020] TZHC 1918 (27 July 2020)
764. Amos Lukindo vs Anastela Gerard Mlunga (PC Criminal Appeal 35 of 2021) [2021] TZHC 7531 (8 November 2021)
765. Amos Nyakiha vs Republic (Criminal Appeal 99 of 2020) [2020] TZHC 4213 (7 December 2020)
766. Amosi Mofati vs Republic (Criminal Appeal No. 4 of 2022) [2024] TZHC 1761 (25 April 2024)
767. Amosi Mofati vs Republic (Criminal Appeal No. 4 of 2022) [2024] TZHC 1762 (25 April 2024)
768. Anania Mogiti Matay & 3 others v Lohay Mogiti Matay (land Appeal No. 13 of 2023) [2023] TZHC 19700 (6 June 2023)
769. Anastazia Chacha Mang'era vs Zawadi Elirehema Mchuve (Misc. Land Application 89 of 2020) [2021] TZHCLandD 6824 (3 December 2021)
770. Anatolia J. Mgeni vs Njocoba & Others (Civil Appeal No. 291 of 2021) [2023] TZCA 17987 (15 December 2023)
771. Anderson S, O Njoki vs Republic (Criminal Appeal No 181 of 2016) [2018] TZCA 403 (23 February 2018)
772. Andrew J. M. Kitenge vs Maua Hamis Rai & Another (Land Application 203 of 2022) [2022] TZHCLandD 12384 (5 October 2022)
773. Angela Ivo Mayeka vs Norgaitty Mayeka (Misc. Civil Application 26 of 2022) [2022] TZHC 12878 (24 August 2022)
774. Angela Sostenes vs Sawia John (Land Appeal 28 of 2016) [2018] TZHC 2650 (24 August 2018)
775. Angelina John Mutahiwa and Another vs Haji Ambar Khamis and 9 Others (Civil Case 150 of 2022) [2023] TZHC 17251 (12 May 2023)
776. Angelista Paul Silayo vs Sabas Gerald Mosha (Misc. Land Case Appeal 6 of 2021) [2021] TZHC 7579 (25 November 2021)
777. Anna Alphonce Kasembe vs Dora Kawawa Fusi & Others (Civil Appeal No. 56 of 2021) [2023] TZCA 17783 (31 October 2023)
778. Anna Malima vs. Mapinduzi Gisu (Misc. Land Appeal 39 of 2023) [2023] TZHC 20407 (25 August 2023)
779. Anna Malima vs. Mapinduzi Gisu [2023] TZHC 20406 (25 August 2023)
780. Anna Moises Chissano vs Republic (Criminal Appeal 273 of 2019) [2021] TZCA 484 (14 September 2021)
781. Anold Jifike Nzali & Others vs Republic (Consolidated Misc. Criminal Application No 73, 75 and 76 of 2023) [2023] TZHC 22778 (25 September 2023)
782. Anosisye Mwanjali Mbwiga & 3 Others vs Permanent Secretary Ministry of Education Science, Technology and Vocational Training & Another (Land Case 3 of 2018) [2022] TZHC 10116 (31 May 2022)
783. Anosisye Tubuke Mwamkingsa vs Republic (Criminal Appeal 331 of 2016) [2019] TZCA 269 (29 August 2019)
784. Anthony Robert Mwambinga vs Nelson Michael Mwasalanga (Land Appeal 29 of 2019) [2020] TZHC 1965 (8 July 2020)
785. Antonia Zakaria Wambura & Another vs Republic (Misc. Economic Case 1 of 2018) [2018] TZHCCED 9 (26 February 2018)
786. Anyimike Ngoloke vs Tabu Kanyamale (Misc. Land Appeal 14 of 2020) [2021] TZHC 3371 (25 May 2021)
787. Armand Guehi vs Republic (Criminal Application No.35/05 of 2020) [2023] TZCA 17575 (31 August 2023)
788. Armelindo Anibal Genhane vs Republic (Misc. Criminl Application 6 of 2022) [2022] TZHC 3226 (9 May 2022)
789. Aron Abdi Bakari vs Julius Makala (Land Appeal 37 of 2019) [2021] TZHC 2023 (23 August 2021)
790. Arusha City Council vs Jackson Japhet Mtema & Others (Misc. Land Application 107 of 2017) [2018] TZHC 2193 (13 August 2018)
791. Arusha City Council vs Jackson Japhet Mtema & Others (Misc. Land Application 107 of 2017) [2018] TZHC 2202 (13 August 2018)
792. Arusha United Cargo Carriers Ltd vs Mgen Tanzania Insurance Ltd (Misc. Civil Application No. 191 of 2023) [2023] TZHC 23498 (15 December 2023)
793. Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority Versus Hamza Mushi & 7 Others (Labour Application 15 of 2020) [2022] TZHC 14219 (27 October 2022)
794. Asha Hussein (Administratrix of the Estate of Hussein Maghobo) vs Fintah Edward Chingwile & Another (Land Appeal 41 of 2021) [2022] TZHCLandD 12213 (31 August 2022)
795. Asha Rashid & 12 Others vs Khadija Baraka Ngololo (Land Case 220 of 2021) [2022] TZHCLandD 594 (28 June 2022)
796. Ashura Juma Kiteri vs Prisca Joel Mjema (Misc. Land Application No. 5069 of 2024) [2024] TZHCLandD 318 (24 May 2024)
797. Ashura Masengo vs Selina Sanga (Misc. Land Case Appeal No. 16 of 2015) [2016] TZHC 2242 (12 April 2016)
798. Ashura Said Ndundu and Another vs Buyuni Company Limited (Misc. Civil Application 508 of 2020) [2020] TZHC 4633 (23 December 2020)
799. Asimna Juma Ponela vs Jafari Kayombo (Civil Appeal No. 12 of 2023) [2023] TZHC 21410 (29 September 2023)
800. Atanas Mkaima & Others vs Deogratius Mselele January (PC Civil Appeal 1 of 2023) [2023] TZHC 17371 (24 May 2023)
801. Athman Edward Kitenana and Another vs Republic (Misc. Criminal Application 41 of 2021) [2021] TZHC 7043 (26 October 2021)
802. Athuman Ramadhani Kitambi & 129 Others vs Regional Commissioner for Coast Region & 3 Others (Misc. Civil Appl. No. 20 of 2023) [2023] TZHC 20939 (1 September 2023)
803. Athuman Ramadhani Kitambi & Others Vs The Regional Commissioner for Coast Region & Others (Misc. Civil Cause 5 of 2023) [2023] TZHC 23711 (15 December 2023)
804. Athumani Ally Mussa vs Jogoo Group (DC. Civil Appeal No. 22 of 2022) [2023] TZHC 22292 (27 October 2023)
805. Athumani Mpina & 2 Others vs Nditeenye Kesoi & Another (Misc. Land Application) [2023] TZHC 20769 (6 September 2023)
806. Athumani S. Mshamu & Others vs Aga Khan Health Services Tanzania (Revision No. 146 of 2022) [2022] TZHCLD 1050 (15 November 2022)
807. Atlas Mark Group(TZ) & Others Vs Mwalima Investment General Supply (Misc Civil Application No 315 of 2023) [2023] TZHC 23402 (27 October 2023)
808. Attorney General & Another vs Dhirajilal Walji Ladwa & Others (Civil Application No. 640/16 of 2023) [2023] TZCA 17828 (14 November 2023)
809. Attorney General & Another vs. Ibrahim Msafiri Salehe (Misc. Application No. 20 of 2023) [2023] TZHCLD 1458 (12 October 2023)
810. Attorney General & Others vs Lembusel Mbasha & Others (Civil Application No.124/02 of 2022) [2023] TZCA 17584 (1 September 2023)
811. Attorney General vs Dr Ramadhani Kitwana Dau & 4 Others (Mics. Land Case Appl. 361 of 2021) [2022] TZHCLandD 265 (21 April 2022)
812. Attorney General vs Mwajuma Ngoma( As Administratrix of the Estate of the Late Harub Ngoma, Juma Ngoma , Mwalimu Ally Ngoma & Masudi Ngoma & 2 Others (Land Revision No.18 of 2023) [2023] TZHCLandD 17293 (21 November 2023)
813. Atuwonekye Mwenda vs Hezron Mangula (Land Appeal 12 of 2022) [2023] TZHC 16740 (31 March 2023)
814. Audax John vs Yasin Mohamed (Misc. Criminal Revision 1 of 2020) [2021] TZHC 5660 (6 August 2021)
815. Augustino Christopher @ Ndekeja & Others vs Republic (Misc. Criminal Application 211 of 2019) [2019] TZHC 190 (17 December 2019)
816. Augustino Elias Mdachi and Others vs Ramadhan Omary Ngaleba (Misc. Civil Application 315 of 2019) [2020] TZHC 3492 (9 October 2020)
817. Augustino Elias Sokomo @ Augustino Ubwabwa Ubwabwa &2 Others vs Bilala Seleman Seif (Land Appeal 252 of 2020) [2022] TZHCLandD 14 (31 January 2022)
818. Augustino Mkalimoto vs Cosmas Mdesa (Misc. Land Case Appeal 13 of 2016) [2016] TZHC 2073 (4 November 2016)
819. Avitus Winchlaus @ Dany vs Republic (Misc. Economic Application No. 11456 of 2024) [2024] TZHC 1858 (6 May 2024)
820. Aziza Ibrahim Ahmed vs Hamad Abbas (PC Civil Appeal 48 of 2020) [2020] TZHC 3297 (21 October 2020)
821. Aziza Kitila and Another vs Grace Gyunda (Misc. Land Aplication 22 of 2022) [2022] TZHC 11458 (12 August 2022)
822. Azza Baltazar Ngireu vs National Bank of Commerce Ltd (Consolidated Revision No. 956) [2021] TZHCLD 428 (25 October 2021)
823. Azza Baltazar Ngireu vs National Bank of Commerce Ltd and Others (Consolidated Revision No. 956) [2021] TZHCLD 479 (25 October 2021)
824. Baddi Twaha Ally vs Crdb Bank Plc & Another [2023] TZHCLandD 16922 (25 September 2023)
825. Bageni Okeya Elijah & Others vs Judicial Service Commission & Others (Misc. Civil Cause 15 of 2018) [2019] TZHC 2136 (7 January 2019)
826. Bahati M.Ngowi vs Paul Aidan Ulungi (Misc. Civil Application 11 of 2019) [2020] TZHC 3375 (23 April 2020)
827. Bakari Alli Lusaka & Another vs Republic (Dc Criminsl Appeal No. 3 of 2016) [2016] TZHC 2171 (4 April 2016)
828. Bakari Ally vs Adolf Hamisi (Misc. Labour Application 1 of 2020) [2020] TZHC 1680 (17 July 2020)
829. Bakari Somosomo vs Republic (Misc. Criminal Application 51 of 2021) [2021] TZHC 5856 (19 August 2021)
830. Bakari Somosomo vs Republic (Misc. Criminal Application 51 of 2021) [2021] TZHC 5857 (19 August 2021)
831. Baltazar Gabriel Dionisi vs. Emmanuel Shabadi Mayo (Misc. Land Application No. 52 of 2023) [2023] TZHC 22187 (13 October 2023)
832. Barnabas Thomas & 2 Others vs Registered Trustees of 7th Day Adventist Church & Others (Civil Appeal 314 of 2021) [2022] TZHC 13762 (7 October 2022)
833. Bartazary Wambura Thomas vs Ayubu Joseph (Civil Appeal Case 4 of 2022) [2022] TZHC 14755 (23 November 2022)
834. Barton Samweli and 9 Others vs Kamaka It Solution Co. Ltd (Revision No. 576 of 2019) [2021] TZHCLD 494 (15 October 2021)
835. Bashasha Merchandise Delears Limited & another vs Equity Bank Tanzania Limited & another (Civil Case No.146 of 2023) [2023] TZHC 23202 (29 November 2023)
836. Basil Sanga & 7 Others vs Menrad Kahumba (Land Appeal 219 of 2021) [2022] TZHCLandD 12485 (21 September 2022)
837. Baven Hams & Others vs Republic (Criminal Appeal 99 of 2014) [2016] TZCA 639 (6 June 2016)
838. Beatrice Thomas Langi v Red Earth Ltd (Application for Revision No. 3 of 2023) [2024] TZHC 175 (17 January 2024)
839. Beltida Bengesi & 2 Others vs The Attorney General (Misc. Civil Cause No. 16 of 2022) [2023] TZHC 23997 (16 June 2023)
840. Benard Bigambo vs Republic (Criminal Appeal 20 of 2022) [2022] TZHC 12783 (9 September 2022)
841. Benard S/O Charles @Ndeanka vs Republic (Misc. Criminal Application No. 9 of 2023) [2023] TZHC 20522 (24 August 2023)
842. Benedict Buyobe @ Bene vs Republic (Criminal Appeal 1 of 2019) [2021] TZCA 432 (27 August 2021)
843. Benedict Vintus Kungwa & Others vs Republic (Misc. Economic Cause 12 of 2018) [2018] TZHCCED 25 (21 May 2018)
844. Benedicto Ichulangula vs Johanes Mutayoba and Another (Misc. Land Application 8 of 2018) [2020] TZHC 3291 (30 October 2020)
845. Benedicto Mutachoka Mutungurehi vs Innocent Sebba Bilakwate & Others (Misc. Civil Application 43 of 2015) [2015] TZHC 1 (16 December 2015)
846. Benjamani Kodema vs Charles Kamando (Misc. Land Application 59 of 2020) [2021] TZHC 4160 (6 July 2021)
847. Benjamin Hyera v. Danstan Danny [2023] TZHC 17770 (31 May 2023)
848. Benjamini Kaswaka vs Republic (Misc. Criminal Application 34 of 2021) [2021] TZHC 5639 (3 August 2021)
849. Beno Kasmir Mwambe vs the Registered Trustees of St. Benedict Hospital (Civil Appeal 11 of 2020) [2021] TZHC 6863 (5 October 2021)
850. Benson Ndaro Makulile & Another vs Rose Makenge Ruge (Land Revision 8 of 2023) [2023] TZHC 19138 (21 July 2023)
851. Bernad Sisti Kimario vs Mkumbi Mkalama and Others (Land Appeal 43 of 2019) [2021] TZHC 3097 (5 May 2021)
852. Bernadetha A. Rweyendera vs Eugenia Ruwawa (Land Case 276 of 2017) [2018] TZHCLandD 75 (13 April 2018)
853. Bernard Kiheri Maro and 2 Others vs Verediana Chacha (Misc. Civil Application 26 of 2020) [2022] TZHC 13354 (4 October 2022)
854. Bernard Matutu vs Republic (Criminal Appeal 13 of 2018) [2022] TZCA 410 (11 July 2022)
855. Bertha Israel Behile vs Zakaria Israel Kidava (Matrimonial Appeal No. 2 of 2015) [2016] TZHC 2230 (29 March 2016)
856. Bhoke Chacha Kubyo vs Republic (Criminal Appeal 159 of 2020) [2021] TZHC 5807 (25 August 2021)
857. Bhoke Kitang'ita Chota vs Daniel Mseti & Another (Civil Revision No. 583 of 2022) [2024] TZCA 308 (7 May 2024)
858. Biada Mgeni vs Ezekiel Donald Mlawa (28 of 2022) [2023] TZHC 16662 (24 March 2023)
859. Bidco Oil & Soap Ltd vs. Emmanuel Kimario (Revision No. 145 of 2023) [2023] TZHCLD 1451 (18 September 2023)
860. Bilauri Bughe @ Abdallah Bughe vs Amsi Shauri (DC Civil Appeal 20 of 2017) [2018] TZHC 2083 (3 July 2018)
861. Bishop Dkt. Edward Johnson Mwaikali vs Registered Trustees of Evangelical Lutheran Church In Tanzania (ELCT) & 28 Others (Misc. Civil Application 14 of 2022) [2022] TZHC 9924 (3 June 2022)
862. Bishop Dr. Alexander Werema Marwa & 8 Others vs Registered Trustees of Tanzania Deliverance Church & 4 Others (Land Appeal No. 6 of 2023) [2023] TZHC 20469 (21 August 2023)
863. Bishop John Lupaa vs. Chenaviola Swenya (DC Civil 46 of 2022) [2023] TZHC 22602 (14 November 2023)
864. Bisore Village Council vs Ignatius Shumbusho (Misc. Land Aplication 12 of 2022) [2022] TZHC 1037 (31 March 2022)
865. Blue Line Enterprises vs East African Development Bank (Misc. Civil Application No. 264 of 2020) [2023] TZHC 17476 (5 May 2023)
866. Board of Trustees of Chodawu vs. Shaban H. Baweni (Misc. Land Application no. 6 of 2022) [2023] TZHC 18314 (12 June 2023)
867. Boda Awadh Ahmed vs Zainabu Magela Mayonga & Others (Land Case Revision 3 of 2018) [2021] TZHC 9381 (3 December 2021)
868. Bodi Ya Wadhamini Uru Secondar vs. Laban Masaule Msumanje (Land Appeal 11 of 2020) [2020] TZHC 4578 (14 December 2020)
869. Bogeta Engineering Limited vs. Kampala International University (Civil Case no. 226 of 2018) [2023] TZHC 21672 (28 August 2023)
870. Bombaga Asilile vs Philipo Mwansasu and Another (Land Reference 8 of 2020) [2021] TZHC 6488 (21 September 2021)
871. Bonface Alistedes vs Republic (Criminal Application 6 of 2019) [2022] TZCA 56 (22 February 2022)
872. Boniface Barnaba Kasilalei vs Registered Trustees of Catholic Diocese of Singida and Others (DC Civil Appeal 12 of 2022) [2022] TZHC 14426 (7 November 2022)
873. Boniventura Samwel vs Michael Masatu and 2 Others (Misc. Civil Application 2 of 2021) [2022] TZHC 10638 (15 July 2022)
874. Brigitha Chaila vs SBC Tanzania Limited (Revision Application No. 209 of 2023) [2023] TZHCLD 1464 (19 October 2023)
875. Britam Insurance Tanzania Ltd vs Uda Rapid Transit Public Ltd Company (Commercial Case 6 of 2020) [2021] TZHCComD 3410 (12 November 2021)
876. Bukoba Municipal Director vs New Metro Merchandise (Civil Appeal 15 of 2017) [2022] TZHC 13073 (23 September 2022)
877. Bulyanhulu Gold Mine LTD vs Fortunatus John Nzoih (Cons. Revision Application No. 12 of 2016) [2016] TZHC 2168 (22 March 2016)
878. Bulyanhulu Gold Mined Limited vs Siasa Igoro Mungoka (Civil Appeal 2 of 2021) [2022] TZHC 11920 (15 July 2022)
879. Bura Tahhani vs Catherine Lolo (PC Criminal Appeal 3 of 2021) [2021] TZHC 9495 (3 December 2021)
880. Burkard Kayombo vs Mwanakombo Athuman (Misc. Civil Application 3 of 2019) [2020] TZHC 1676 (16 July 2020)
881. Bushiri Yunus Rajab vs Vision Control and Superintendence Ltd (Labour Revision No. 748 of 2019) [2020] TZHCLD 3843 (24 December 2020)
882. Bwire Mtundi vs Masatu Ekonjo (Misc. Application 12 of 2022) [2022] TZHC 10046 (15 June 2022)
883. CAPT. GASTON AUGUSTINO SHIO Vs THE TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY & THREE OTHERS (Civil Case 226 of 2022) [2023] TZHC 21644 (4 October 2023)
884. CMG Construction Company Limited vs Herfrid Joseph Mgeni & Another (Civil Revision No. 3 of 2023) [2023] TZHC 21311 (18 September 2023)
885. CRDB Bank PLC vs Hadson Muhila & Others (Misc. Labour Application No. 3661 of 2024) [2024] TZHC 1243 (28 March 2024)
886. CRDB Bank Plc vs Deemay Sikay Deemay (Civil Reference 12 of 2022) [2023] TZHC 16795 (21 April 2023)
887. CRDB Bank Plc vs True Color Ltd & Another (Civil Appeal 29 of 2019) [2021] TZCA 184 (7 May 2021)
888. Canuthe Hipolithe Matsindiko & 6 Others vs Republic (Consolidated Criminal Appl. of 2023) [2023] TZHC 20629 (1 September 2023)
889. Capt. Winton Januarius Mwasa vs Chief Secretary and Others (Misc. Cause 64 of 2022) [2023] TZHC 16324 (22 March 2023)
890. Carolina Michael vs Meck Philipo and Another (Land Appeal 16 of 2022) [2022] TZHC 14068 (7 October 2022)
891. Carolina Pemba vs Polyfoam Company Ltd (Revision 60 of 2021) [2022] TZHC 361 (28 February 2022)
892. Catherine John Kipendaroho Luhende vs Raphael Kimba (Miscellaneous Land Application No. 24 of 2023) [2023] TZHC 22695 (16 November 2023)
893. Catherine Michael Mashalla & Others vs Republic (Consolidated Misc. Criminal Application No. 7885, 7886, 7887 & 8038 of 2024) [2024] TZHC 1119 (27 March 2024)
894. Cats Tanzania Limited vs. Savio Fernandes (Revision Application No. 78 of 2023) [2023] TZHCLD 1518 (10 October 2023)
895. Celestine Mathew Dominic Ta Celesine Fish Supplies vs Commercial Bank of Africa (Commercial Case 3 of 2018) [2018] TZHCComD 70 (6 June 2018)
896. Chacha Marwa @ Matiko vs The Republic (Criminal Appeal No. 125 of 2022) [2023] TZHC 18322 (22 June 2023)
897. Chacha Marwa @ Samwel vs Republic (Criminal Appeal 34 of 2020) [2020] TZHC 2156 (8 July 2020)
898. Chacha Silas Maisa (administrator of the Estate of the Late Silas Nyamhanga Maisa)and 2 Others vs Komarera Heritage Goldmine Co. Ltd (Misc. Commercial Cause 1 of 2020) [2021] TZHCComD 3287 (29 July 2021)
899. Chalinze Cement CO. Ltd & Another vs Registrar of Companies & Another (Misc. Cause No.46 of 2023) [2023] TZHC 22890 (20 November 2023)
900. Chama Cha Kutetea Haki Na Maslahi Ya Walimu Tanzania (chakamwata) vs the Registrar of Organization (Misc. Labour Application 3 of 2020) [2020] TZHC 4410 (14 December 2020)
901. Chama Cha Mazao Cha Mkata Amcos & 5 Others vs Zuberi Mchungulike Mhindi (DC Civil Appeal 5 of 2021) [2022] TZHC 10877 (14 July 2022)
902. Chama Cha Walimu Tanzania(CWT) vs National Microfinance Bank PLC (Civil Case No. 25 of 2023) [2024] TZHC 2061 (25 April 2024)
903. Chama cha Wafanyakazi wa Malori Tanzania (CHAWAMATA) vs. Might Logistics Ltd (Labour Complaint No. 6 of 2023) [2023] TZHCLD 1484 (10 November 2023)
904. Chandrakant Vrajlal Kanabar vs Rupesh Vrajlal Kanabar & Two Others (Misc. Civil Application No. 215 of 2023) [2023] TZHC 23776 (9 November 2023)
905. Change Tanzania Ltd vs Registrar, Business Registration and Licencing Agency (Misc. Commercial Case 27 of 2020) [2020] TZHCComD 41 (21 May 2020)
906. Charles Barnabas vs Republic (Criminal Application No. 55 of 2017) [2020] TZCA 1937 (16 September 2020)
907. Charles Christopher Humfrey Kombe vs Kinondoni Municipal Council (107 of 2007) [2020] TZHCLandD 3840 (19 October 2020)
908. Charles G. Jabu & Others vs Umoja wa Matibabu Sekta Isiyo Rasmi Dar es Salaam Tanzania (Umasida/Umasita) (Revision No.308 of 2022) [2023] TZHCLD 1363 (22 February 2023)
909. Charles Jackson & Others vs S.H. Amon Enterprises Co. Ltd (Land Appeal 70 of 2021) [2022] TZHC 10581 (27 May 2022)
910. Charles Kiaruzi & 7 Others vs Joseph Nestory Isack & 2 Others (Land Case 221 of 2021) [2022] TZHCLandD 441 (2 June 2022)
911. Charles Lufurano Domician vs Randa Holdings Ltd (Civil Appeal 26 of 2020) [2020] TZHC 4312 (17 December 2020)
912. Charles Oden Mwaihola vs Finca Microfinance Bank & Another (Misc. Civil Application 703 of 2018) [2019] TZHC 227 (31 December 2019)
913. Charles P Zoka a.k.a Omary Rashidi vs Dr.Florian Mathias Kessy (Land Appeal No.381 of 2023) [2024] TZHCLandD 20 (16 February 2024)
914. Charles Semwenda vs Azania Bank Limited & Others (Land Case 151 of 2021) [2022] TZHCLandD 303 (27 April 2022)
915. Chief Court Administrator & another vs Johnson Joliga Tanda (Revision No. 52 of 2016) [2016] TZHC 2197 (25 November 2016)
916. China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) vs Bunda Town Council & Another (Misc. Civil Application No. 15 of 2023) [2023] TZHC 20467 (21 August 2023)
917. China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) vs Bunda Town Council & Another (Misc. Civil Application No. 24 of 2022) [2024] TZHC 640 (4 March 2024)
918. China Henan International Cooperation Group Co Ltd vs Isaya Yacobo Gwimbugwa (Misc. Labour Application 31 of 2021) [2021] TZHC 12577 (29 November 2021)
919. China Henan International Cooperation Group Company Limited vs Hezron Msigala (Labour Revision 10 of 2020) [2022] TZHC 14610 (14 November 2022)
920. China Henan International Group Company Limited vs. Isaya Yacobo Limited19 (Misc Labour Application 4 of 2022) [2023] TZHC 18708 (19 May 2023)
921. China Henan International GroupnComapny Limited vs. Isaya Yacobo Limited19 (Misc. Labor Application 4 of 2022; Misc. Labor Application 4 of 2022) [2023] TZHC 18699 (19 May 2023)
922. Chitegetse Monica Migembe vs Akiba Commercial Bank PLC (Misc. Application No. 388 of 2022) [2023] TZHCLD 1299 (2 June 2023)
923. Chongquing Foreign Trade & Economic Cooperation Co. Ltd vs Zakayo M. Msengi (Misc. Land Aplication 17 of 2016) [2016] TZHC 2071 (12 March 2016)
924. Chrisant Mwanisawa and 4 Others vs Vio and Company Ltd (PC Criminal Appeal 9 of 2020) [2020] TZHC 4182 (25 November 2020)
925. Christina Hassani & Others vs Sulagu S.B Bishenya (Land Appeal 238 of 2017) [2018] TZHCLandD 16 (7 February 2018)
926. Christmas Elimikia Swai and Others vs Tanzania Electric Supply Co. Limited and Another (Civil Application 447 of 2019) [2023] TZCA 187 (11 April 2023)
927. Christrian Golden Mwalukomo vs Republic (Criminal Appeal No. 177 of 2022) [2023] TZHC 15827 (28 February 2023)
928. Clemence Ruben vs Abdallah Omary (Criminal Application 11 of 2021) [2023] TZHC 17457 (26 May 2023)
929. Cleophas M. Manyangu vs Association of Local Authorities of Tanzania (Revision No. 436 of 2022) [2023] TZHCLD 1306 (1 June 2023)
930. Coast Textiles Limeted vs Fbme Bank Limeted & 2 Others (Execution 63 of 2021) [2022] TZHC 9768 (20 May 2022)
931. Colman Mushi vs Thomas Rugimbana (Misc. Civil Application 368 of 2022) [2022] TZHC 12810 (13 September 2022)
932. Commissoner General (TRA) vs Pan African Energy (T) Limited (Civil Application No. 277/20 of 2017) [2018] TZCA 455 (5 February 2018)
933. Cosmas Kimario vs Shufaa Kisumo Msangi (Misc. Land Appeal 26 of 2022) [2023] TZHC 16316 (16 March 2023)
934. Crdb Bank Plc vs. Dina Phip (Revision Application No. 159 of 2023) [2023] TZHCLD 1468 (13 October 2023)
935. Cyridion Rweyendera Mpambo vs Rodrick Rudengera Tryphone (Probate and Administration Appeal 10 of 2020) [2021] TZHC 3878 (16 June 2021)
936. D 7762 Sgt Mtuli Ndege @ Mgonya vs Republic (Criminal Application 126 of 2021) [2022] TZHC 11005 (3 August 2022)
937. DPP vs Francise Izayas@francise (Criminal Application 84 of 2020) [2022] TZHC 11773 (9 March 2022)
938. DPP vs Yusuph Ally Huta & 5 Others (Misc. Crim Appl. 26 of 2022) [2022] TZHC 9600 (5 May 2022)
939. Dal Forwardings (T) Limited Vs. Sakas International (T) Limited (Misc. Civil Application 277 of 2023) [2023] TZHC 18867 (12 July 2023)
940. Damian Kahamba and Another vs Ashura Abdallah and Another (Land Case Appeal 68 of 2018) [2020] TZHC 3292 (30 October 2020)
941. Damiano Qwade vs Republic (Criminal Appeal No 317 of 2016) [2019] TZCA 581 (12 April 2019)
942. Daniel Lameck vs Edward Charles Dotto (Administrator of the Estate of the Late) Charles Dotto Siyaki & Four Others (Revision Application No. 08 of 2023) [2023] TZHC 21708 (6 October 2023)
943. Daniel Mshana vs Republic (Criminal Revision 11 of 2021) [2022] TZHC 9750 (20 May 2022)
944. Daniel Muhendi & another vs Balagi Hhando (Land Appeal No. 129 of 2022) [2023] TZHC 18052 (9 June 2023)
945. Daniel Thomas @ Yusuph @ Ngeni & Another vs Republic (Criminal Appeal No. 120 of 2022) [2024] TZCA 103 (23 February 2024)
946. Danland Temu vs Thomas Temu (Misc. Land Application 29 of 2021) [2021] TZHC 7563 (24 November 2021)
947. Daremi Lilo Salehe vs The D.P.P (Criminal Appeal No. 102 of 2022) [2023] TZHC 18473 (15 June 2023)
948. Daud Bura vs Yustina Safari (Misc. Land Application 30 of 2020) [2021] TZHC 3446 (28 May 2021)
949. Daudi Mpagama vs Enesia Kasuga (Land Appeal 7 of 2021) [2021] TZHC 9221 (7 December 2021)
950. Daudi Petro Kasambula (The Administrator of Estate of the Late Petro Michael Kalago) vs Vasta Andrea (The Administrator of the Estate of the Late Joash Mpende) and Another (Land Appeal No. 4 of 2023) [2023] TZHC 18984 (9 June 2023)
951. Davi John Maveja vs Director of Public Prosecutions & Another (DC. Criminal Appeal No. 172 of 2023) [2024] TZHC 2339 (27 May 2024)
952. David Fulgence Mchuma vs Republic (Misc. Criminal Application 5 of 2020) [2020] TZHC 607 (6 March 2020)
953. David Joseph Mlayo (Civil Reference 5 of 2021) [2022] TZHC 10150 (30 May 2022)
954. David Malogo vs Milka Machite (Land Appeal No. 60 of 2023) [2024] TZHC 2049 (3 May 2024)
955. David Mwisa vs. Alban Mkwawa (Land Appeal Case 17 of 2023) [2023] TZHC 20359 (18 August 2023)
956. David Peter Msuya vs Inchcape Shipping (Revision No. 391 of 2018) [2020] TZHCLD 200 (26 June 2020)
957. David S/O Denis @ Kazee & 2 Others vs The Republic (Criminal Appeal No. 37 of 2023) [2023] TZHC 21222 (1 September 2023)
958. David Swai Kitoti Vs. Insurance Group of Tanzania Limited & another (Misc. Civil Application No. 161 of 2022) [2023] TZHC 21764 (10 October 2023)
959. David Wilfrem Mwakitwange (The deceased next of kin) vs Administrator General as a legal personal representative of the Estate of the Late Wilfrem Robert Mwakitwange (Misc. Civil Application 427 of 2022) [2023] TZHC 19604 (28 July 2023)
960. Db Shapriya & Company Limited vs Amarachi Investment Company Limited (Misc. Civil Application 226 of 2022) [2022] TZHC 11097 (29 July 2022)
961. Demetria Beda vs Yusta Mkwai (Land Case Revision 2 of 2021) [2022] TZHC 896 (22 March 2022)
962. Denis Juma @ Denis Ephrem Maunga & Denis Ephrem Shayo vs Ephrem Juma Shayo (Appeal 261 of 2021) [2022] TZHCLandD 12313 (9 September 2022)
963. Deograsia Komba vs Kandidus Miti (Land Case Appeal No. 42 of 2023) [2023] TZHC 20789 (7 September 2023)
964. Deogratias Belian Lema vs Adam Assey & 3 Others (Land Revision 37 of 2022) [2022] TZHCLandD 12704 (13 December 2022)
965. Deogratias Mlowe vs Republic (Criminal Appeal No 19 of 2016) [2019] TZCA 584 (9 May 2019)
966. Deus Gracewell Seif and Another vs Chama Cha Walimu Tanzania (cwt) (Misc. Labour Application 2 of 2023) [2023] TZHC 16565 (16 March 2023)
967. Deus Sam vs Jumuiya ya Watumishi Maji Uchira (Labour Revision Nio. 20 of 2022) [2023] TZHC 18952 (12 July 2023)
968. Deusdedith Katwale Bulamire & Others vs Republic (Misc. Economic Cause 62 of 2018) [2018] TZHCCED 55 (9 November 2018)
969. Deusdedith Katwale Bulamire & Others vs Republic (Misc. Economic Cause 62 of 2018) [2018] TZHCCED 77 (9 January 2018)
970. Dickson Mwaiteleke vs Republic (Criminal Appeal 173 of 2020) [2021] TZHC 5854 (24 August 2021)
971. Didace Clestine Kanyambo and Another vs Kadawi Lucas Limbu (Misc. Civil Application 354 of 2021) [2021] TZHC 7222 (25 August 2021)
972. Director of Public Prosecution vs Magembe S/O Mbunda @ Malongo & Another (Criminal Appeal No. 101 of 2023) [2023] TZHC 22448 (9 November 2023)
973. Director of Public Prosecutions vs Abashari Hassan Omary & 9 Others (Misc. Application 24 of 2022) [2022] TZHC 962 (12 April 2022)
974. Director of Public Prosecutions vs Abdallah Athuman Labia @ Brother Mohamed & 8 Others (Misc. Application 23 of 2022) [2022] TZHC 961 (12 April 2022)
975. Director of Public Prosecutions vs Abdallah Sauzi & Others (Criminal Appeal No 113 of 2016) [2017] TZCA 276 (19 September 2017)
976. Director of Public Prosecutions vs Al-Halil Omar Kombo (Criminal Appeal No. 66 of 2023) [2024] TZCA 292 (2 May 2024)
977. Director of Public Prosecutions vs Fadhili Athumani Juma & Others (Criminal Appeal No. 226 of 2020) [2020] TZCA 316 (18 June 2020)
978. Director of Public Prosecutions vs Ibrahim Hamis @ Mulula & Others (Criminal Appeal No. 569 of 2020) [2021] TZCA 326 (28 July 2021)
979. Director of Public Prosecutions vs Mateso Albano Kasian@chupi (Criminal Appeal 29 of 2020) [2020] TZHC 4205 (18 November 2020)
980. Director of Public Prosecutions vs Mohamed Mussa Ussi & Others (Criminal Appeal No. 561 of 2023) [2024] TZCA 328 (8 May 2024)
981. Director of Public Prosecutions vs Said Abashari Hassan Omary and 8 Others (Misc. Criminal Application 89 of 2021) [2021] TZHC 7406 (1 December 2021)
982. Director of Public Prosecutions vs Shaban Mmasa @ Jamal and 7 Others (Misc. Criminal Application 90 of 2021) [2021] TZHC 7404 (1 December 2021)
983. Director of Public Prosecutions vs Yahya Twahiru Mpemba & 12 Others (Misc. Crim Appl. 22 of 2022) [2022] TZHC 9601 (5 May 2022)
984. Director, Mkuranga District Council vs Issa Baradya and Another (Misc. Land Application 304 of 2019) [2020] TZHCLandD 93 (27 April 2020)
985. Ditram Raymond Mkoma vs Mwani Mariculture Limited (Labour Revision No.4 of 2022) [2023] TZHC 17439 (30 May 2023)
986. Dominick Kitego Kifigo (As Administrator of the Late Simon Joseph) vs Dadick Msangi & Another (Misc. Land Appeal 199 of 2022) [2022] TZHCLandD 489 (16 June 2022)
987. Donald s/o Kaswiza vs Director of Public Prosecutions (Criminal Appeal No. 367 of 2013) [2019] TZCA 489 (15 October 2019)
988. Donatha Peter Kassola & Another vs Republic (Misc. Economic Cause 16 of 2016) [2019] TZHC 123 (24 October 2019)
989. Dora Mwakikosa vs Erasto Chusi (Mics. Land Case Appl. 28 of 2021) [2022] TZHCLandD 549 (24 June 2022)
990. Dorika S.Singilimo vs Yusto Bura Sule (Misc. Land Application 560 of 2020) [2021] TZHCLandD 241 (28 June 2021)
991. Doris Martin Minja vs Diamond Trust Bank Tanzania Ltd (Land Appeal 74 of 2019) [2021] TZHC 7407 (29 November 2021)
992. Dorisia Morris vs Raphael Nzomuvura Rwasa & Others (Civil Application No. 772/01 of 2022) [2023] TZCA 17865 (21 November 2023)
993. Dotto Hamza Mwinyimvua vs Mohamed Hassan Mtonga (Misc. Land Application 549 of 2020) [2021] TZHCLandD 445 (11 August 2021)
994. Dotto Hassan and 3 others vs Mohamed Shabani (Land Appeal No. 23 of 2023) [2023] TZHC 22693 (16 November 2023)
995. Dotto Mohamed vs Republic (Misc. Economic Cause No. 14 of 2017) [2017] TZHC 2275 (16 November 2017)
996. Dotto Mohamed vs Republic (Misc. Economic Cause No. 14 of 2017) [2017] TZHC 2279 (16 November 2017)
997. Dotto Silon Salandi vs Republic (Criminal Appeal 73 of 2021) [2021] TZHC 7416 (15 November 2021)
998. Dr. Hellen Shangali Kussaga vs Joseph M. Kussaga and Another (Misc. Civil Application 434 of 2022) [2022] TZHC 15672 (1 March 2022)
999. Dr. Khamis Kibola vs Anthony Goodluck Shuma & 2 Others (Misc. Civil Cause 14 of 2022) [2022] TZHC 14589 (11 November 2022)
1000. Dr.Kandore Musika vs Managing Director Optimum Travel & tours Company Limited (Misc. Civil Application 646 of 2020) [2022] TZHC 210 (18 February 2022)
1001. Drtc Co. Ltd vs Mary G. Musira & Another (Misc. Civil Application 739 of 2017) [2019] TZHC 89 (31 October 2019)
1002. Dubley Gabriel Mawala and Another vs Republic (Misc. Criminal Application 85 of 2021) [2021] TZHC 7101 (8 November 2021)
1003. Duma Ilindilo Pangarasi vs Republic (Criminal Appeal No. 470 of 2019) [2022] TZCA 74 (25 February 2022)
1004. Duncani Shilly Nkya and Another vs Oysterbay Hospital Co.Ltd (Misc. Land Application 534 of 2020) [2021] TZHCLandD 316 (2 July 2021)
1005. EFC Tanzania Microfinance Ltd vs. Fatuma Mwaimu (Revision Application No. 4065 of 2024) [2024] TZHCLD 60 (3 May 2024)
1006. EX. F - 8347 D/C Magnus Machona Nkomola vs The Inspector General of Police & Another (Civil Case No. 440 of 2024) [2024] TZHC 672 (7 March 2024)
1007. EXIM Bank (Tanzania) Limited vs Abeed M. Manji (Civil Application No. 677/08 of 2020) [2024] TZCA 87 (22 February 2024)
1008. East African Development Bank vs Nyakirang'ani Construction Limited (Misc. Application 118 of 2022) [2022] TZHCComD 379 (10 November 2022)
1009. Edgar Elias @ Sharo vs Republic (DC Criminal Appeal 16 of 2022) [2022] TZHC 15049 (5 December 2022)
1010. Edgar Mugisha Augustine vs Domina Projestus (Misc. Land Case Appeal 29 of 2020) [2021] TZHC 3879 (29 June 2021)
1011. Ediphonce Rusenene & 3 Others vs Zebadia Zakayo (Land Case Appeal No. 65 of 2022) [2023] TZHC 19488 (28 July 2023)
1012. Editha Muday vs Teddy Magacha Kikuro & Another (PC Civil Appeal 22 of 2022) [2022] TZHC 14140 (13 October 2022)
1013. Edna Yusuph Victor vs Willbruga Hillary Daffi (Land Case 8 of 2018) [2018] TZHC 2356 (25 October 2018)
1014. Edo Mwamalala vs Tazara (Labour Revision No. 249 of 2021) [2022] TZHCLD 814 (24 August 2022)
1015. Edson Kilatu vs the Attorney General of the United Republic of Tanzania and Another (Misc. Civil Cause 8 of 2021) [2021] TZHC 6309 (29 September 2021)
1016. Edson Mchomba vs Prasavvajjo Tanzania Ltd (Labour Revision 36 of 2021) [2022] TZHC 12454 (10 August 2022)
1017. Edward Mnyamagola vs Grace Mpali (Land Appeal 44 of 2019) [2022] TZHC 14669 (18 November 2022)
1018. Edward Msago vs Drgon Security (Civil Application 433 of 2020) [2020] TZCA 1867 (25 November 2020)
1019. Edward Msengi v Cosmas Lwambano (Miscellaneous Land Application 11 of 2023) [2023] TZHC 22036 (11 September 2023)
1020. Edwin Denge and 3 Others vs Republic (Criminal Session Case 107 of 2022) [2022] TZHC 11006 (3 August 2022)
1021. Efrasia Mfugale vs Andrew J. Ndimbo & Another (Civil Application No. 609/10 of 2021) [2023] TZCA 17893 (8 September 2023)
1022. Egidius Cronel (estate Administrator) for Cronel Rugeiyamu vs Joseph Matinde (Land Appeal 2 of 2022) [2023] TZHCLandD 15719 (20 March 2023)
1023. Electrical Transmission and Distribution Construction and Maintenance Company Limited (etdco) vs Isamilo Supplies Limited (DC Civil Appeal 20 of 2022) [2022] TZHC 15403 (19 December 2022)
1024. Elia Fredrick Ulomi & 66 Others vs Severen Stanley & 10 Others (Misc. application No.819 of 2022) [2023] TZHCLandD 16888 (7 September 2023)
1025. Elias Robert Ndosi Vs Republic (Criminal Appeal No 59 of 2023) [2023] TZHC 22851 (14 November 2023)
1026. Elibariki Lorry vs Ndovu Adventure Ltd (Misc. Civil Application 48 of 2020) [2021] TZHC 5404 (20 July 2021)
1027. Elieshi Ndelilio vs. Gonzaga Mushi (Land Appeal No. 66 of 2023) [2023] TZHC 23525 (17 November 2023)
1028. Elikana Charles Magubu and another vs. Julias Maliganya, (Misc. Civil Application No. 54 of 2023) [2023] TZHC 18591 (30 June 2023)
1029. Elimeleck Francis Mchallo (as Administrator of Estate of The Late Janeth Francis Mchalo) vs Lawrence Simon Mchallo and 4 Others (Land Case 10 of 2023) [2023] TZHC 16830 (24 April 2023)
1030. Eliminata Masinda & Another vs Maswet Masinda & Another (PC Civil Appeal 47 of 2020) [2021] TZHC 2005 (8 June 2021)
1031. Elisaria Elia vs Abdala Kaloko (Land Appeal 13 of 2020) [2021] TZHC 5356 (16 June 2021)
1032. Elizabeth Donald Magazi & 3 Others vs Cosmas John Mdongo (PC Civil Appeal 53 of 2021) [2022] TZHC 10368 (30 June 2022)
1033. Elizabeth Kintu vs William Francis (PC Civil Appeal 1 of 2020) [2021] TZHC 4154 (6 July 2021)
1034. Elmeleck Hezron Lova vs Inspector General of Police & Others (Misc. Cause 18 of 2021) [2021] TZHC 9054 (8 December 2021)
1035. Emerging Market Power (T) Ltd vs Public Procurement Appeals Authority and Another (Misc. Civil Cause 22 of 2020) [2021] TZHC 6716 (28 October 2021)
1036. Emerging Power (T) Ltd vs the Public Procurement Appeal Authority and Another (Misc. Civil Cause 22 of 2020) [2021] TZHC 6715 (28 October 2021)
1037. Emilly Paremena Massawe vs The Republic (CRIMINAL APPEAL NO. 4 OF 2023) [2023] TZHC 19223 (26 July 2023)
1038. Emmanual Kayanda Hosea and Another vs Sophia Ernest Rintenge and Two Others (3 of 2022) [2022] TZHC 14363 (27 October 2022)
1039. Emmanuel William Mwakyusa t/a Royal Emmerine Investment vs. Equity Bank (T) Ltd (Misc Civil Application No. 49 of 2022) [2023] TZHC 19261 (21 July 2023)
1040. Emmanuel Chindoma vs Phares Mchali (PC Criminal Appeal 12 of 2016) [2016] TZHC 2101 (12 August 2016)
1041. Emmanuel George Munisi & Another vs Republic (Misc. Economic Case 5 of 2018) [2018] TZHCCED 4 (28 February 2018)
1042. Emmanuel John Mollel Vs The Republic (Criminal Appeal No 57 of 2023) [2023] TZHC 22849 (17 November 2023)
1043. Emmanuel Kerioth Luvanda vs Republic (Misc. Criminal Application No. 84 of 2023) [2024] TZHC 2236 (29 April 2024)
1044. Emmanuel Makamba vs Bodi Ya Wadhamini Jimbo Kuu Mwanza (Misc. Land Application 68 of 2020) [2020] TZHC 3394 (30 October 2020)
1045. Emmanuel Masonga & Others vs Inspector General of Police & Another (Misc. Civil Cause 7 of 2022) [2022] TZHC 12339 (31 August 2022)
1046. Emmanuel Mbeyela vs Sokowatch Limited (Labour Revision No. 186 of 2023) [2023] TZHCLD 1436 (10 October 2023)
1047. Emmanuel Michael @ Wambura , Makori Masaho @ Makori and Paul Antony @mwita vs Republic (Consolidated Criminal Appeals 86 of 2020) [2020] TZHC 4610 (21 December 2020)
1048. Emmanuel Shabala Ndie vs. Republic (Civil Case No. 30 of 2023) [2023] TZHC 22470 (22 September 2023)
1049. Emmanuel Shabala Ndie vs. Republic [2023] TZHC 22316 (22 September 2023)
1050. Emmanuel s/o andrew @ Kanengo vs Republic (Criminal Appeal 113 of 2019) [2020] TZHC 1197 (6 May 2020)
1051. Endevile International (tz) Ltd vs Peter Josephat Jimbo & 15 Others (Misc. Labour Application No. 3 of 2021) [2022] TZHCLD 1082 (12 December 2022)
1052. Enock Jacob Samboto & Others vs Jesca Henock Akyoo (Misc. Land Application 125 of 2018) [2018] TZHC 2453 (16 November 2018)
1053. Ephraim Mwakititu & 2 Others vs Republic (Criminal Appeal No. 31 of 2023) [2024] TZHC 400 (21 February 2024)
1054. Erick Chanafi vs Republic (RM Criminal Appeal 58 of 2021) [2022] TZHC 11088 (25 July 2022)
1055. Erick Daniel @ Amosi vs Republic (Crminal Appeal 1 of 2021) [2022] TZHC 14323 (2 November 2022)
1056. Erick John Mollel vs Brwnwyn Lisa Winchester (Civil Appeal No. 8 of 2022) [2023] TZHC 17505 (30 May 2023)
1057. Erick Osena versus Jambo Food Products Co. Ltd (Civil Case No.17 of 2023) [2023] TZHC 21843 (13 October 2023)
1058. Ernest Bernard Mkolela & Another vs Tuico& Another (Misc. Application No. 305 of 2021) [2022] TZHCLD 679 (17 June 2022)
1059. Ernest Hatari Mtesigwa vs Leticia Mababe Majige (PC Matrimonial Appeal 51 of 2022) [2022] TZHC 14231 (27 October 2022)
1060. Ernest Mtokoma vs Azania Bank Limited (Revision No. 251 of 2020) [2021] TZHCLD 328 (19 August 2021)
1061. Ernest Ojode Amuom vs Ezekiel Mosso Nelson (Land Appeal No. 35 of 2022) [2023] TZHC 15713 (28 February 2023)
1062. Ernest Salehe Vs. Paulo Siliyo (Misc. Civil Application No 07 of 2023) [2023] TZHC 23355 (12 December 2023)
1063. Eshe Shebe vs Asac Care Unit Ltd and Others (Misc. Civil Application 133 of 2019) [2020] TZHCComD 1869 (10 June 2020)
1064. Ester Dambai vs Samwel Laida (Land Appeal 56 of 2019) [2021] TZHC 2890 (27 April 2021)
1065. Ester Dambay vs Samwel Laida (Land Appeal 56 of 2019) [2021] TZHC 2886 (27 April 2021)
1066. Ester Dambay vs Samwel Laida (Land Appeal 56 of 2019) [2021] TZHC 9511 (27 April 2021)
1067. Estone Eliza vs Nason Rugemalira (Land Case Revision 10 of 2019) [2021] TZHC 2643 (12 March 2021)
1068. Eustace Matilya vs Robert Zangi Masungwa & Another (Misc. Land Application 1004 of 2017) [2018] TZHCLandD 405 (13 July 2018)
1069. Eva Kondorat Tweve vs Eveline Kyando (Land Appeal 54 of 2021) [2021] TZHCLandD 6940 (26 November 2021)
1070. Evance Betram Ilimba vs Edgar Mpelela (PC Civil Appeal 15 of 2021) [2022] TZHC 10036 (10 June 2022)
1071. Evans Benson vs Ajane Donatila Ruambo & Another (Misc. Land Appication 2 of 2022) [2022] TZHC 10731 (13 July 2022)
1072. Evarist S/O Elias @ Basoro vs The D.P.P (Criminal Appeal No. 73 of 2022) [2023] TZHC 18477 (23 June 2023)
1073. Evod Malikawa vs Peter Kalangula (Land Appeal No. 09 of 2023) [2024] TZHC 1062 (20 March 2024)
1074. Evodius M. Henerico vs Chama Cha Walimu Tanzania and Another (Misc. Civil Application 7 of 2021) [2021] TZHC 7618 (10 December 2021)
1075. Exhaud Augustino Kwayu vs CRDBPLC (Misc. Civil Application 117 of 2021) [2021] TZHC 7447 (12 November 2021)
1076. Exim Bank (T) Limited vs Nuru Benedict Senga (Misc. Civil Application 5 of 2018) [2018] TZHC 2227 (25 September 2018)
1077. Export Trading Commodities Limited vs Mohamed Enterprises (Tanzania) Limited (Civil Appeal 58 of 2022) [2022] TZHC 15703 (19 December 2022)
1078. Ezekia Kalonge vs Schola Kinunda (PC Civil Appeal 34 of 2019) [2020] TZHC 4073 (26 November 2020)
1079. Ezekiah T. Oluoch vs Permanent Secretary, President's office Public Service Managent (Misc. Civil Case 18 of 2017) [2018] TZHC 2521 (12 April 2018)
1080. Ezekiah T. Oluoch vs The Permanent Secretary, President's office Public Service Management & 4 Others (Misc. Civil Case 18 of 2017) [2018] TZHC 1465 (12 April 2018)
1081. Ezrom Mnyonge vs Omary Abdallah Zahoro & Another (Land Revision 61 of 2022) [2022] TZHCLandD 12429 (7 October 2022)
1082. FUZZY INTERNATIONAL COMPANY LIMITED vs vMKURANGA 2013 SECURITY AND GENERAL SERVICES CO. LTD s (Civil Appeal 52 of 2023) [2023] TZHC 23907 (6 November 2023)
1083. Fabiano Luhangano @ Mpwaga vs Republic (RM Criminal Appeal 71 of 2021) [2022] TZHC 14505 (7 November 2022)
1084. Faid Musa Munisi vs Republic (RM Criminal Appeal 24 of 2022) [2023] TZHC 17151 (3 May 2023)
1085. Faizi Iddi Faizi and Patrick Marcus Punda (as administrators of the Estate of the late Marcus Punda vs Esther Lubanga Reuben & Another (Misc. Land Application No. 83 of 2018) [2023] TZHC 21883 (11 September 2023)
1086. Fanuel Nkesani Ngalawa vs Republic (DC Criminal Appeal 55 of 2021) [2022] TZHC 13356 (3 October 2022)
1087. Faraji Miraji Seif vs. Abraham Christian Tarimo & Another (Civil Case 213 of 2022) [2023] TZHC 17591 (12 Mei 2023)
1088. Farija Athumani Mugaye vs Manager of National Microfinance Bank Ltd (nmb) Bukoba Branch (Land Case Appeal 17 of 2018) [2020] TZHC 957 (21 May 2020)
1089. Fatma Alphany Shamsi vs. Gadafi Khalfan Shamsi (PC. Civil Appeal NO. 34 OF 2023) [2024] TZHC 1872 (2 May 2024)
1090. Fatuma Ally Mgwami & 2 Others vs Republic (Criminal Application No 40520 of 2023) [2024] TZHC 1839 (2 May 2024)
1091. Faustin Sungura vs. Dar es Salaam City Council (Civil Appeal 50 of 2022) [2023] TZHC 17479 (29 May 2023)
1092. Faustina Mwakapangala vs Daniel Lucas Mabula (PC Civil Appeal 8 of 2021) [2022] TZHC 9724 (19 May 2022)
1093. Faustina Mwakapangala vs Daniel Lucas Mabula (PC Civil Appeal 9 of 2021) [2022] TZHC 9725 (19 May 2022)
1094. Faustine Sungura vs Managing Director Lozandu Auction Mart, Court/tribunalbroker and Others (DC Civil Application 13 of 2017) [2020] TZHC 438 (25 March 2020)
1095. Fayaz Shamji vs the Registered Trustees of Khoja Shia Ithna- Asheri Jamaat Mwanza (Application for Review 2 of 2021) [2021] TZHC 6429 (28 September 2021)
1096. Felicia Valerian Masao vs Selina Marcelian Masao (Criminal Appeal 37 of 2021) [2021] TZHC 6400 (23 September 2021)
1097. Felician Cyril Tabuya vs Republic (Criminal Application 60 of 2022) [2022] TZHC 10340 (3 June 2022)
1098. Felister Samwel Lukumay vs Agness Njabili (Civil Appeal No. 308 of 2020) [2023] TZHC 16290 (2 March 2023)
1099. Ferdinand Gilgo Lulu vs Magreth Basso (Land Revision 4 of 2020) [2022] TZHC 9737 (27 May 2022)
1100. Feruz Abeid Msambichaka and Another vs the Registered Trustees of Democratic Party (dp) and 2 Others (Civil Case 155 of 2019) [2020] TZHC 3865 (9 November 2020)
1101. Festo Andrea v. The Republic (Misc. Criminal Application No.43 of 2023) [2023] TZHC 17935 (15 June 2023)
1102. Festo Mkwasama Peter vs Yusto Ngambie (Land Appeal No. 15 of 2022) [2024] TZHC 1214 (28 March 2024)
1103. Festus Mahendeka & 15 Others vs Arusha Modern School Limited (Labour Revision No. 30 of 2022) [2023] TZHC 318 (16 February 2023)
1104. Fikiri Katunge vs Republic (Criminal Appeal No 552 of 2016) [2020] TZCA 1941 (14 May 2020)
1105. Filemon Godfrey vs Maua Juma (Land Application 368 of 2022) [2022] TZHCLandD 859 (31 August 2022)
1106. Finca Microfinance Bank & Another vs Said Nzera Chasama & Another (Misc. Land Aplication 108 of 2021) [2022] TZHC 15598 (4 November 2022)
1107. Finca Microfinance Bank Ltd v Jalala Hussein (Labour Revision No. 28234 of 2023) [2024] TZHC 1086 (26 March 2024)
1108. Flora Mashine Bakula v. Magaka Masele Masunga (PC Probate Appeal No. 62 of 2023) [2023] TZHC 21468 (29 September 2023)
1109. Flora W. Kyara & 4 Others vs His Hearing Hands Africa (Labour Revision 104 of 2020) [2022] TZHC 12277 (11 August 2022)
1110. France Tibenda vs Adija Simon and Others (Misc. Land Application 34 of 2019) [2021] TZHC 3655 (15 June 2021)
1111. Francis Alex vs Republic (Criminal Appeal 374 of 2013) [2016] TZCA 188 (29 June 2016)
1112. Francis Alex vs Republic (Criminal Appeal 374 of 2013) [2016] TZCA 822 (11 July 2016)
1113. Francis Minja vs Magreth Abihu Kileo (Misc. Land Appeal No. 4 of 2022) [2023] TZHC 19095 (20 July 2023)
1114. Francis Muhingira Garatwa and Others vs the Attorney General (Consolidated Misc. Civil Cause 4 of 2018) [2020] TZHC 362 (18 March 2020)
1115. Francis Placid Mzaga vs Republic (Criminal Appeal 69 of 2021) [2022] TZHC 3051 (27 April 2022)
1116. Frank Hanja vs Victoria Ernest (PC Civil Appeal 7 of 2022) [2023] TZHC 20272 (31 July 2023)
1117. Frank Muneja and Athumani Sabuni vs Republic (Misc. Criminal Economic Application 17 of 2020) [2020] TZHC 968 (11 May 2020)
1118. Fredrick Tlway Sumaye vs The Executive Director Dira ya Mtanzania Newspaper & 3 Others (Misc. Civil Application No. 127 of 2022) [2023] TZHC 23555 (4 September 2023)
1119. Fredy Jovin @ Sibiye Ngoti vs Republic (Criminal Session Case 47 of 2022) [2022] TZHC 11007 (3 August 2022)
1120. Frola Mkonda vs Abed Amani Mbelengo (Misc. Land Application 20 of 2020) [2021] TZHC 2883 (5 March 2021)
1121. Frolian Chogo Simon & Another v Finca Microfinance & 2 Others (Land Appeal No.353 of 2023) [2023] TZHCLandD 17201 (16 November 2023)
1122. Fulgency B. Kitigwa vs Kiparang'anda Hand Craft Group and 6 Others (Land Appeal 221 of 2020) [2021] TZHCLandD 6713 (8 November 2021)
1123. Fungwe Mbasa (Administrator of Estate of The Late Fungwe Shija) vs Goi Manweki Ntuzu (Administrator of Estate of The Late Manweki Ntuzu) and Another (Misc. Land Case Application 27 of 2022) [2023] TZHC 16781 (31 March 2023)
1124. G4s Secure Solutions (T) Ltd vs Muumini Adam Mtabazi (Revs Appl No. 14 of 2022) [2022] TZHCLD 671 (15 July 2022)
1125. GA Insurance Tanzania Limited vs Cecilia Antony and Philemon Joseph Mollel (Civil Appeal 35 of 2022) [2022] TZHC 13080 (2 September 2022)
1126. GAIL HILLARY MOLLEL VS PETRO SMITH JESHI (Civil Appeal No.42 of 2022) [2023] TZHC 18023 (29 May 2023)
1127. GM Cross Africa Limited vs First National Bank Tanzania Limited & Others (Civil Application 284 of 2019) [2022] TZCA 532 (31 August 2022)
1128. Gabriel Aplinaly vs. The Republic (Criminal appeal No. 36 0f 2022) [2023] TZHC 17800 (2 June 2023)
1129. Ganga Mtemi @ Lutandula vs Republic (Misc. Application 6 of 2022) [2022] TZHC 360 (1 March 2022)
1130. Gapco Tanzania Limited vs Tanzania Railways Corporation (Land Case 111 of 2019) [2021] TZHCLandD 6753 (1 March 2021)
1131. Gasaya Bwana @ Chacha vs Republic (Misc. Criminal Application 54 of 2022) [2022] TZHC 9970 (6 June 2022)
1132. Gaudensi George Milanzi & 19 Others vs Masasi District Council & 2 Others (Land Case No.1 of 2021) [2023] TZHC 21541 (29 September 2023)
1133. Gaudin Vicent & 2 Others vs Kikundi Tuinuane Kamuli (Civil Application No. 50 of 2022) [2023] TZHC 18410 (20 June 2023)
1134. Geita Gold Mining Limited vs Damian Butage (Labour Revision 67 of 2020) [2021] TZHC 3010 (27 April 2021)
1135. Geita Gold Mining Ltd vs Samson Rwechungura Fulgence (Consolidated Labour Revisions 68 of 2020) [2021] TZHC 5291 (12 July 2021)
1136. Genoveva Kiliba t/a Dage School of Hair Dressing and Decoration vs Abdullah Rashid Abdallah (Land Case 233 of 2021) [2022] TZHCLandD 360 (5 May 2022)
1137. Geofrey Kabaka Vs. Farida Hamza & Another (Misc. Land Application No. 104 of 2023) [2023] TZHC 23072 (22 November 2023)
1138. Geofrey Kabaka vs Farida Hamza and Another (Civil Application 215 of 2019) [2023] TZCA 210 (28 April 2023)
1139. Geofrey Kibira Vs. ezekiel Mchele (Land Appeal No 213 of 2022) [2023] TZHC 23455 (20 December 2023)
1140. George Fedrick @ George vs The Republic (DC Criminal Appeal No. 51 of 2023) [2024] TZHC 690 (6 March 2024)
1141. George Jonas Lesilwa vs Republic (DC Criminal Appeal 3 of 2020) [2020] TZHC 4239 (30 July 2020)
1142. George Lufulwalunja & Others vs Amos Luzari (Misc. Land Application No. 7743 of 2024) [2024] TZHC 1919 (10 May 2024)
1143. Gerida Egino Kapinga vs Lusekelo Nelson Mwakatika (Civil Review 16 of 2020) [2021] TZHC 4181 (26 July 2021)
1144. Gervas John vs Leonce Leringo & Others (Civil Case 10 of 2015) [2016] TZHC 2128 (20 June 2016)
1145. Gibson Weston Kachingwe & 620 Others vs Unitrans (T) Ltd (Misc. Application No. 7 of 2022) [2022] TZHCLD 589 (27 May 2022)
1146. Gidamnyenye Bajuta vs. Gaspar Mwakanyamale & another (Land Appeal no. 130 of 2021) [2022] TZHC 15851 (19 December 2022)
1147. Gideon Mwautenzi and 4 Others vs Maurus Msigwa (Land Appeal 15 of 2020) [2022] TZHC 1126 (8 April 2022)
1148. Gidion Mandesi vs Charles John Mkanga (Misc. Land Application 354 of 2021) [2021] TZHCLandD 857 (23 November 2021)
1149. Gidion Meyan Makara vs Elke Rose Marie Znk (Misc. Civil Application 125 of 2022) [2022] TZHC 14840 (15 November 2022)
1150. Gina Reinford Kaonja vs Alvina Lipingu and John Swagala (Land Appeal 105 of 2020) [2021] TZHCLandD 262 (22 June 2021)
1151. Ginai Bangiri vs. Kisibiri Warioba & Another (Land Appeal 63 of 2022) [2023] TZHC 17668 (1 June 2023)
1152. Ginche Kisase vs National Bank of Commerce & Others (Land Appeal No.184 of 2020) [2023] TZHCLandD 16483 (12 May 2023)
1153. Gisaba Chombo and 4 Others vs Republic (Consolidated Misc. Criminal Applications 15 of 2021) [2021] TZHC 6049 (18 August 2021)
1154. Gisaba Chombo and 4 Others vs Republic (Consolidated Misc. Criminal Applications 15 of 2021) [2021] TZHC 6051 (18 August 2021)
1155. Gl Josue &jb Joel Limited Vs.Shanta Mining Company (DC Civil Appeal No. 40 of 2022) [2023] TZHC 15752 (10 February 2023)
1156. Godfrey Francis Marwa and 10 Others vs Regional Manager Tunroad Mara (Application for Revision 13 of 2020) [2021] TZHC 5342 (29 July 2021)
1157. Godfrey Joseph Marwa vs Josephine Mwita Chorwa (Misc. Civil Application 404 of 2021) [2022] TZHC 11812 (30 June 2022)
1158. Godfrey Kilota Wangai and Six Others vs the Registered Trustees of Pentecost Evangel Mission (Misc. Land Application 114 of 2020) [2021] TZHC 5279 (1 July 2021)
1159. Godfrey Kimpokile Mwakyoma vs Administrator General (Misc. Civil Application No. 229 of 2023) [2023] TZHC 23087 (29 November 2023)
1160. Godfrey Malassy & Another vs Prosper Rweyendera (Misc. Land Application 433 of 2016) [2016] TZHCLandD 2 (27 June 2016)
1161. Godfrey Ndoshi Sosthenes vs. Bank of Tanzania (Labour Application No. 15 of 2022) [2023] TZHC 23235 (8 December 2023)
1162. Godfrey Orango vs Dani Lisubi (Misc Civil Application 43 of 2022) [2023] TZHC 18028 (16 June 2023)
1163. Godgift Slaa Mbora vs Republic (Misc. Economic Cause 1 of 2021) [2021] TZHC 2219 (10 February 2021)
1164. Godlizen s/o andrea vs Republic (Misc. Criminal Application 68 of 2022) [2022] TZHC 15360 (22 December 2022)
1165. Godrej Consumer Products Ltd vs HB Worldwide Target Limited and Another (Civil Appeal No. 147 of 2019) [2023] TZHC 16291 (10 March 2023)
1166. Godson Daniel Kileo vs Republic (Criminal Application 117 of 2022) [2022] TZHC 12924 (16 September 2022)
1167. Godwin Alfredy Vs. The DPP (Criminal Appeal No 66 of 2023) [2023] TZHC 22850 (14 November 2023)
1168. Golden Globe International Services Ltd & Another vs Millcom Tanzania N.V & Others (Civil Application 441 of 2018) [2020] TZCA 348 (9 July 2020)
1169. Gondo Enterprises Limited vs Asha Said Awadhi and Another (Civil Appeal 108 of 2022) [2023] TZHC 16686 (12 April 2023)
1170. Goodluck Mandes vs University of Dodoma and Others (Misc. Civil Cause 10 of 2021) [2021] TZHC 5555 (2 August 2021)
1171. Gozbert Henerico vs Republic (Criminal Appeal 114 of 2015) [2016] TZCA 659 (26 February 2016)
1172. Gozbert Kamuhabwa v. Joanes Njunwa Audax (PC Civil Appeal 52 of 2022) [2023] TZHC 20912 (11 September 2023)
1173. Grace Hamis versus Mwenyekiti wa kikundi cha Elimisha and another (Pc. Civil Appeal No.30 of 2021) [2023] TZHC 20001 (4 August 2023)
1174. Grace Lobulu & 5 Others vs National Health Insurance Fund & Another (Revision No. 163 of 2020) [2022] TZHCLD 860 (2 September 2022)
1175. Grand Regency Hotel Limited vs Pazi Ally (Civil Application 368 of 2019) [2022] TZCA 539 (6 September 2022)
1176. Guardian Ltd & Another vs Justin Nyari (Civil Application 2 of 2015) [2016] TZCA 917 (24 May 2016)
1177. Gumari Kimelezi vs Matyoko John Manyasi (Administrator of the estates of the late Juma Kakwaya Kisanya) (PC Probate Appeal 9 of 2022) [2022] TZHC 9980 (7 June 2022)
1178. Gumba Adamu Kasomo and Another vs Lucka Mlagala (Land Appeal 32 of 2020) [2021] TZHC 9213 (16 November 2021)
1179. Gungutala Mkoromi (Administrator of the Late Mkoromi Mangalyuma Mkamalachaka) vs Nick Itunga & 4 Others (Land Case 57 of 2020) [2022] TZHCLandD 768 (12 July 2022)
1180. HUSSEIN JUMA HASSAN versus PHILEMON MWENDA & 2 OTHERS (Land Appeal No. 254 of 2023) [2023] TZHCLandD 16997 (26 September 2023)
1181. Habiba Athumani Mataula vs. Zuberi Athumani Mataula (Misc. Land application No. 54 of 2023.) [2023] TZHC 18362 (14 June 2023)
1182. Habiba Hamza Tamimu (Administrator for The Estate of the Late Latifa Shabani Mwiga) vs Magretth John Kiago & Another (Revision 38 of 2022) [2023] TZHCLandD 38 (30 January 2023)
1183. Haeshi Kassimu Issa vs Republic (Misc. Criminal Application No.42 of 2023) [2023] TZHC 19496 (31 July 2023)
1184. Haji Yusufu Namanjoya and 13 Others vs Republic (Misc. Criminal Application 44 of 2020) [2020] TZHC 4553 (21 December 2020)
1185. Hakili Chassama vs Mbeya University of Science and Technology & Another (Misc. Civil Cause No. 3 of 2023) [2024] TZHC 134 (5 January 2024)
1186. Halid Maulid vs Republic (Criminal Appeal No. 94 of 2011) [2021] TZCA 225 (4 June 2021)
1187. Halima Hassan Mitihawendi ( Administratrix of the estate of the late Zena Hussein Nyakihema) vs. George Saliel Minja Mzee @ Minja (Misc. Civil application No. 46 of 2022) [2023] TZHC 18236 (16 June 2023)
1188. Hamadi s/o Amri vs Republic (Misc. Criminal Application 34 of 2021) [2022] TZHC 334 (28 February 2022)
1189. Hamial Jamal (Administrator of Estate of Late Sikitiko Swedi) vs Ally Swedi Sabour (Land Appeal 236 of 2019) [2020] TZHCLandD 3996 (11 December 2020)
1190. Hamidu Mkumbi Seifu vs Republic (Criminal Appeal 71 of 2022) [2022] TZHC 14088 (7 October 2022)
1191. Hamisi Nkindwa and another Versus Kisarage Elias Nyaga (Land Application No. 27 of 2023) [2023] TZHC 23056 (24 November 2023)
1192. Hamza Fikiri Mshamu @ Kumbuka vs Republic (Misc. Criminal Application 29 of 2022) [2022] TZHC 13717 (5 October 2022)
1193. Hamza Hussein Mpongolela and Others vs Republic (Criminal Appeal 30 of 2020) [2020] TZHC 392 (23 March 2020)
1194. Hamza Said vs Long'idu Kamande (Misc. Land Appeal 14 of 2019) [2021] TZHC 9275 (13 August 2021)
1195. Hance Charles Macha vs Alliance Insurance Corporation Ltd (Civil Case 9 of 2021) [2022] TZHC 11109 (29 July 2022)
1196. Harry Amulike Mwambene & Another vs Republic (Misc. Criminal Application 240 of 2019) [2019] TZHC 194 (19 December 2019)
1197. Harry Paul @sanga vs Republic (Misc. Economic Cause 64 of 2018) [2018] TZHCCED 1 (27 November 2018)
1198. Hasani Said Chonga vs Yasini Mohamedi Mnengelea (Application for Labour Revision 5 of 2016) [2020] TZHC 2094 (30 June 2020)
1199. Hashim Ally vs Pauline Philipo Gekul (Criminal Appeal No. 577 of 2024) [2024] TZHC 1474 (15 April 2024)
1200. Hashim Ally vs Pauline Philipo Gekul (Criminal Appeal No. 577 of 2024) [2024] TZHC 1488 (15 April 2024)
1201. Hashimu Hussein Mushi & 9 Others vs Onesmo Invocavity Mushi & 7 Others (Misc. Land Case Appeal 42 of 2021) [2022] TZHC 14259 (21 October 2022)
1202. Hassain Seif Mtungakoa & Others v Kuruthumu Yusuph (As Administrator of the Estate of the Late Sugra Safari) (Reference No.22 of 2023) [2023] TZHCLandD 17095 (6 November 2023)
1203. Hassan Abdallah Banda vs Republic (Misc. Economic Cause 44 of 2018) [2018] TZHCCED 42 (26 October 2018)
1204. Hassan Abdallah Kitingi and 3 Others vs Temeke Municipal Council (Misc. Civil Application 484 of 2020) [2021] TZHC 7639 (30 November 2021)
1205. Hassan Hussein Mussa & Another vs Jambo Foods Products Co. Limited (Civil Case 84 of 2020) [2022] TZHC 9809 (11 March 2022)
1206. Hassan Juma Mtungi vs North Mara Gold Mine (Labour Revision 12 of 2023) [2023] TZHC 22419 (8 November 2023)
1207. Hassan Juma vs Hindu Pastory Maloda (PC Civil Appeal No. 2502 of 2024) [2024] TZHC 1581 (23 April 2024)
1208. Hassan Mohamed Ausi & 2 Others vs Uda Management Agency Limited (Revision No. 356 of 2020) [2021] TZHCLD 374 (24 September 2021)
1209. Hassan Mohamed Ausi and 2 Others vs Uda Management Agency Limited (Revision No. 356 of 2020) [2021] TZHCLD 526 (24 September 2021)
1210. Hassan s/o Juma vs Republic (Misc. Economic Cause No. 07 of 2017) [2017] TZHC 2258 (17 November 2017)
1211. Hatibu Adamu Vs. The Republic (Criminal Application No. 52 of 2022) [2023] TZHC 21711 (6 October 2023)
1212. Headmaster, Atlas Secondary School vs Stephen Mathias Mahende (Civil Appeal 359 of 2021) [2022] TZHC 12248 (19 August 2022)
1213. Hellen Lucas (Mrs Memir) Mollel vs K.K.K.T Dayosisi Ya Kaskazini Kati (Labour Revision 53 of 2019) [2021] TZHC 7199 (27 October 2021)
1214. Hellen Shangali Kussaga vs. Joseph M. Kussaga & Another (Misc. Civil Application 434 of 2022) [2023] TZHC 19827 (1 March 2023)
1215. Heneri Mwadupi and 2 Others vs The Minister of Land, Housing, Human Settelement and Development and 2 Others (Misc. Civil Cause 11 of 2022) [2023] TZHC 16656 (10 February 2023)
1216. Henry Kaozya vs Zakia Mselemo (Land Appeal 24 of 2021) [2022] TZHC 15702 (12 December 2022)
1217. Heri Microfinance Limited & Another vs CRDB Bank Plc (Civil Reference No. 1 of 2020) [2022] TZCA 65 (24 February 2022)
1218. Heritage Insurance Company (T) Ltd vs Sabians Mchau & Others (Civil Appeal No. 57 of 2019) [2023] TZCA 17634 (22 September 2023)
1219. Hilal Ahmad Mbaraka vs Mohamed Ahmed Mbarak (Civil Appeal 12 of 2022) [2022] TZHC 13894 (4 October 2022)
1220. Hilda Haule vs Ramadhani Hassan Majaliwa (Misc. Civil Appl. 28 of 2020) [2022] TZHC 731 (4 March 2022)
1221. Honoratha Stephano Nkuwi vs Albino Theodory Ghumpi (Land Appeal No. 32 of 2023) [2024] TZHC 446 (26 February 2024)
1222. Hosea Obedi vs Kikundi Cha Nzengo Halwego (Civil Appeal 14 of 2020) [2021] TZHC 3885 (30 June 2021)
1223. Humphrey Simon Malenga vs The Hon. Attorney General (Misc. Civil Cause No. 7 of 2023) [2023] TZHC 21147 (22 September 2023)
1224. Hunja Suzo vs Kipea Shabani & Others (Wananchi wa Mtaa wa Kwihara) (Misc. Land Case Appeal No. 3 of 2023) [2023] TZHC 20890 (11 September 2023)
1225. Husna Hasani Vs. Wilson John Mangida (Land Appeal No 61 of 2022) [2023] TZHC 19352 (27 May 2023)
1226. Hussein M Magotta vs Ramadhani Mnyonge & Another (Appeal 139 of 2021) [2022] TZHCLandD 397 (23 May 2022)
1227. ISANA NILAVERSUS MAKINGO ROKET (Land Appeal No. 3 of 2022) [2023] TZHC 16130 (7 March 2023)
1228. Ibrahim Hote Gadafi and Another vs Republic (Misc. Criminal Application 55 of 2020) [2021] TZHC 2813 (22 April 2021)
1229. Idd Seif & 5 Others vs Simon Wolfgang Ndauka (Civil Revision 2 of 2021) [2022] TZHC 12072 (5 August 2022)
1230. Iddi Haruni vs The Permanent Secretary President's Office Public Service Management and Good Governance and 3 Others (Miscellaneous Cause No. 23 of 2023) [2023] TZHC 22319 (1 November 2023)
1231. Iddi Saidi Angovi vs Salimini Saidi Angovi (Misc. Land Case Appeal No. 6 of 2023) [2023] TZHC 23322 (13 December 2023)
1232. Iddi Seif and 5 Others vs Simon Wolfugang Ndauka (Misc. Civil Application No. 30 of 2023) [2023] TZHC 21030 (18 September 2023)
1233. Idrisa Hamimu @ Mwela vs Republic (Criminal Appeal No. 112 of 2017) [2019] TZCA 353 (30 October 2019)
1234. Ike Geofrey @mariki and Another vs Republic (Misc. Criminal Application 199 of 2021) [2021] TZHC 7393 (13 October 2021)
1235. Ikonyo Kashuma @ Noah vs Republic (Criminal Appeal 6 of 2022) [2022] TZHC 13205 (28 September 2022)
1236. Imperial Media Agencies Ltd and Another vs Jcdecaux Tanzania Ltd (Misc. Commercial Application 262 of 2018) [2020] TZHCComD 2003 (14 July 2020)
1237. In the Matter of An Application for the Prerogative Order of Certiorari Between M/s Olam (T) Ltd vs Leonard Magesa and Others (Misc. Civil Cause 6 of 2019) [2020] TZHC 1712 (14 July 2020)
1238. In the Matter of an Application for Orders of Certiorali, Mandamus and Prohibition by Halima James Mdee & 18 Others and In the Matter of the Decision of CHADEMA Expelling the Applicants from Being Members of CHADEMA between Halima James Mdee & 18 Others and The Registered Trustees of CHADEMA & 2 Others (Miscellaneous Cause No. 36 of 2022) [2023] TZHC 23309 (14 December 2023)
1239. Independent Power Tanzania Limited Vs Diamond Trust Bank Tanzania LTD (Misc Civil Application 419 of 2023) [2023] TZHC 23662 (5 December 2023)
1240. Independent Television Limited vs Tanzania Communication Regulatory Authority (Civil Application 79 of 2018) [2021] TZCA 110 (14 April 2021)
1241. Institute for Orkonerei Pastoralists Advancement Ltd vs Dutch Orkonerei Social Investment Ltd and 2 Others (Land Application 72 of 2022) [2022] TZHC 13780 (7 October 2022)
1242. International Livestock Research Institute and Another vs Dr. Guiseppe Di Giulio (Misc. Civil Application 121 of 2022) [2022] TZHC 14837 (25 November 2022)
1243. International Tax Consultants Limited vs. Macdonald Justus Rweyemamu (Labour Revision No. 199 of 2023) [2023] TZHCLD 1483 (10 November 2023)
1244. Interstate offices Ltd & Another vs Silent Hotedl Ltd (Misc. Civil Application 363 of 2016) [2018] TZHC 2933 (20 July 2018)
1245. Ipyana Mwambete vs Republic (Criminal Appeal 103 of 2020) [2021] TZHC 2249 (15 February 2021)
1246. Isaack and Sons Co. Ltd vs North Mara Goldmine Ltd (Commercial Case 3 of 2020) [2021] TZHCComD 3291 (28 July 2021)
1247. Isak Tito Zumba vs Charles Aloyce Mallya (Land Appeal 25 of 2017) [2018] TZHC 2275 (7 September 2018)
1248. Isaka Daglas Vs Republic (Criminal Appeal No 40803 of 2023) [2024] TZHC 1275 (27 March 2024)
1249. Isaya Rojas @Erigi vs Republic (DC Criminal Appeal No. 81 of 2022) [2023] TZHC 22549 (1 November 2023)
1250. Ismail Abel vs The Republic (Criminal Appeal No. 51 of 2022) [2023] TZHC 16025 (15 March 2023)
1251. Ismail Ramadhani Fundikira vs Neema Isaac Mwakabonga (PC. Civil Appeal No.1 of 2023) [2023] TZHC 19250 (27 July 2023)
1252. Ison Bpo (T) Ltd vs Godwin Assenga and Another (Misc. Labour Application No. 377 of 2020) [2021] TZHCLD 331 (30 July 2021)
1253. Israel Sangiwa Msingi vs Sbc Tanzania Ltd (Misc. Labour Application 15 of 2021) [2022] TZHC 15499 (28 October 2022)
1254. Issa Omary Mapesa vs Mohamed Mussa Mkwata (Misc. Land Application 42 of 2020) [2021] TZHC 5874 (23 August 2021)
1255. Issa Omary Sombi and Another v. Emmanuel Kalebi ( Administrator of estates of the late Kalebi Mpuku) and Another (Land Appeal No. 52 of 2022) [2023] TZHC 17782 (13 March 2023)
1256. Italfood Limited vs Attorney General Zanzibar & others (Civil Case No. 66 of 2014) [2016] TZHC 2280 (23 August 2016)
1257. Ivanna Felix Teri vs Mohamed Enterprises Limited (Civil Case 120 of 2019) [2022] TZHC 12243 (19 August 2022)
1258. JUMA RAMADHANI NJIKU vs ANNA LEONARD KIPPA (Civil Appeal 190 of 2022) [2023] TZHC 23910 (30 October 2023)
1259. Jackob Abner Ntupwa vs Tanzania Electric Supply Company Ltd (Review No. 759 of 2019) [2021] TZHCLD 224 (18 June 2021)
1260. Jackson Ernest Mbwille (Administrator of the Estate of the Late Judith Jakcson Mbwille) vs Felix Kessy & Another (Land Revision 34 of 2022) [2022] TZHCLandD 12553 (7 November 2022)
1261. Jackson Godwin vs Republic (Criminal Application No. 1/04 of 2023) [2024] TZCA 273 (9 April 2024)
1262. Jackson Mwaipopo vs Abdul Berege (Land Appeal 36 of 2022) [2022] TZHC 15502 (19 December 2022)
1263. Jackson W. Mahali vs Peter Wagesi Chacha (PC Civil Appeal 11 of 2022) [2023] TZHC 17636 (26 May 2023)
1264. Jacob Joseph Kotoroi vs Naki Security Company Limited (Rev. 54 of 2021) [2022] TZHC 9631 (26 May 2022)
1265. Jacob Joshua Okuku vs Elly Ezekiel Joshua (Civil Reference No. 25 of 2023) [2023] TZHC 22684 (16 November 2023)
1266. Jacob Joshua Okuku vs Elly Ezekiel Joshua (Civil Reference No.25 of 2023) [2023] TZHC 23157 (16 November 2023)
1267. Jacob Shija vs M/S Regent Food & Drinks Limited & Another (Civil Reference No.20 of 2019) [2023] TZCA 17425 (19 July 2023)
1268. Jacquline Westring & Others vs The Attorney General & Another (Misc. Civil Cause No.13 of 2022) [2023] TZHC 19122 (11 July 2023)
1269. Jafari Abdul vs Silvana Chungu (Misc. Land Case Appeal 28 of 2015) [2021] TZHC 5783 (27 August 2021)
1270. Jafari Lazima Binamu vs Hassan Chionda & Others (Land Appeal 16 of 2015) [2016] TZHC 14 (28 July 2016)
1271. Jafari Shoo Mwakadi vs Omari Ramadhani Jambia (Misc. Land Case Application 355 of 2021) [2022] TZHCLandD 108 (28 February 2022)
1272. Jaffer Noah vs Charles Cintika (Land Appeal 42 of 2021) [2022] TZHC 15405 (7 November 2022)
1273. Jairos Enea Mtindya vs Catherine E. Sunga & Another (PC Civil Appeal 44 of 2022) [2022] TZHC 13439 (3 October 2022)
1274. Jaku Hashim Ayoub vs Executive Secretary Commission of Land ZanzibarZanzibar (Civil Appeal No. 22 of 2016) [2016] TZHC 2166 (15 August 2016)
1275. Jamal Said & 3 Others vs Karmal Aziz Msuya (Misc. Land Aplication 635 of 2022) [2022] TZHCLandD 12767 (21 December 2022)
1276. James Abiud Nyakisagane vs Tanzania Electrick Supply Company (TANESCO) (Land Case 144 of 2017) [2022] TZHCLandD 120 (28 February 2022)
1277. James Burchard Rugemalira vs Republic (Misc. Economic Cause No. 21 of 2017) [2017] TZHC 2284 (30 August 2017)
1278. James Francis Mbatia vs Registered Trustees of National Convention for Construction and Reform MAGEUZI(NCCR- MAGEUZI) (Misc. Cause No. 4 of 2023) [2023] TZHC 16219 (21 March 2023)
1279. James Francis Mbatia vs The Registered Trustees of National Convention for Construction and Reform Mageuzi (NCCR Mageuzi) (Miscellaneous Cause No. 23 of 2023) [2023] TZHC 18534 (27 June 2023)
1280. James Joseph Kasusu vs. Republic (Criminal Appeal no. 90 of 2022) [2023] TZHC 17831 (26 May 2023)
1281. James Joseph Lissu vs Jenipher Mussa Kilaka (Civil Appeal 40 of 2022) [2022] TZHC 13109 (12 September 2022)
1282. James Lugmebe vs Deposit Insurance Board (D.I.B) Liquidators of FBME Bank Ltd (Commercial Case No. 145 of 2023) [2024] TZHCComD 48 (19 April 2024)
1283. James s/o Heren @ Mfangavo vs Republic (Misc. Criminal Application 48 of 2020) [2020] TZHC 3996 (25 November 2020)
1284. Jamila Mbaraka Gosi vs Grace Millanzi & Others (Civil Case 167 of 2022) [2022] TZHC 11687 (12 July 2022)
1285. Jamillah Almansa vs The Kigamboni Municipal Director & The Attorney General of the United Republic of Tanzania (Miscellaneous Application) [2023] TZHCLandD 16778 (22 August 2023)
1286. Jane Claude Mihanji vs The Registered Trustees of Researchers & Others (Misc. Civil Application No. 216 of 2023) [2024] TZHC 1450 (30 January 2024)
1287. Jane Dismas Ndosi and 5 Others vs Rajabu Hamisi and 9 Others (Land Revision 10 of 2020) [2021] TZHC 6778 (25 October 2021)
1288. Janeth David Humphrey vs Muccobs (Labour Revision 20 of 2021) [2021] TZHC 7569 (30 November 2021)
1289. Janeth Godfrey vs Joseph Bukwimba (Misc. Civil Application 37 of 2020) [2022] TZHC 3238 (8 April 2022)
1290. Janeth Joseph Kileo & Another vs Mercy Joachim Msofe (Misc. Land Appeal 215 of 2020) [2022] TZHCLandD 422 (30 May 2022)
1291. Jasiri Evarist vs. The Republic (DC Criminal Appeal 42 of 2022) [2024] TZHC 2280 (25 March 2024)
1292. Jason s/o Mubirigi vs Republic (Misc. Economic Application 3 of 2022) [2022] TZHC 113 (31 January 2022)
1293. Jasson Mutagahywa Kagisa vs Helmelinda Benedicto Kahatano and Another (PC Civil Appeal No. 41 of 2022) [2023] TZHC 18078 (16 June 2023)
1294. Jaswinder Pal Singh vs Clavery Mayango & Others (Land Case 10 of 2019) [2022] TZHC 10583 (3 June 2022)
1295. Jayantukumar Chandubhai Patel @ Jeetu Patel & Others vs The Attorney General & Others (Civil Appeal No. 160 of 2016) [2019] TZCA 232 (28 May 2019)
1296. Jembe Media Limited vs Gabriel Raymond (Labour Dispute 42 of 2020) [2021] TZHC 3480 (11 February 2021)
1297. Jephutar Musa Gumbala & Another vs Tanzoz Minerals Ltd (Civil Appeal 29 of 2022) [2022] TZHC 14977 (1 December 2022)
1298. Jeremiah Issangaya and 2 Others vs Malaki Longosua (Misc. Land Application 17 of 2020) [2021] TZHC 2791 (5 March 2021)
1299. Jeremiah Mtobesya vs The Attorney General of the United Republic of Tanzania & Another (Misc. Civil Cause No. 14 of 2023) [2024] TZHC 1784 (24 April 2024)
1300. Jiori Samson Yamungu & 2 Others vs Husein Said Upinde & 7 Others (Land Appeal 18 of 2023) [2023] TZHCLandD 16402 (11 April 2023)
1301. Jitu Joram Maiga vs Labani Masatu Mafuru (Misc. Land Appeal 81 of 2022) [2023] TZHC 20210 (14 August 2023)
1302. Joakim Joram Mwakyolo vs Kibole Village Council & 22 Others (Land Case 8 of 2018) [2021] TZHC 9255 (13 December 2021)
1303. Joas Otieno vs Republic (Criminal Appeal 81 of 2020) [2021] TZHC 3459 (4 May 2021)
1304. Job Moses @Makassy vs Republic (DC Criminal Appeal No. 6 of 2017) [2017] TZHC 2234 (28 June 2017)
1305. Joel Emmanuel Malugu and Others vs DPP (Misc. Criminal Application 179 of 2020) [2021] TZHC 3991 (4 May 2021)
1306. Joel Runda Marivei vs Commissioner General of Prisons & Another (Misc. Cause No. 27556 of 2023) [2024] TZHC 2095 (17 May 2024)
1307. Jofrey Damian Mwani & 18 Others Vs Kilombero Plantantions(Under Receivership) (Labour Revision No 1 of 2023) [2024] TZHC 1833 (29 April 2024)
1308. Jofrey Sembe Rajabu vs Mayaya Shilinde Pole (Misc. Land Case Application 44 of 2022) [2023] TZHCLandD 15787 (29 March 2023)
1309. Johari Ibrahim vs Mpanda Municipal Council & 2 Others (Land Case 4 of 2021) [2022] TZHCLandD 29 (23 February 2022)
1310. John Boniface Kilawe & Another vs Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo & 4 Others (Land Case No. 203 of 2023) [2023] TZHCLandD 16606 (27 June 2023)
1311. John Amaniel Urio vs Hyness Francis Mdole (Civil Appeal 99 of 2022) [2023] TZHC 16787 (21 April 2023)
1312. John Arbogast Silayo vsTanzania Electric Supply Company Limited (Land Case 8 of 2017) [2021] TZHCLandD 45 (15 March 2021)
1313. John Christian Metzeger vs Dr. Jean Christopher Richard Le Gall & Another (Civil Case 73 of 2022) [2022] TZHC 12581 (6 September 2022)
1314. John Emmanuel Gadie vs Petro Meta Slaa (Misc. Land Application No. 157 of 2022) [2023] TZHC 21182 (1 September 2023)
1315. John Kirongochi Marwa vs Bunda Town Council & Another (Misc. Civil Application 6253 of 2024) [2024] TZHC 2350 (29 May 2024)
1316. John Lazaro vs Republic (Criminal Application 80 of 2019) [2021] TZCA 426 (27 August 2021)
1317. John Manson Kayombo vs Prime Minister's Labour, Youth , Employment and Persons with Disability & Another (Application for Revision No. 225 of 2023) [2023] TZHCLD 1503 (30 November 2023)
1318. John Mgogwe vs Boniface Microfinance Company Limited Chang'ombe (PC Civil Appeal Case 20 of 2021) [2022] TZHC 12793 (31 August 2022)
1319. John Mkumbo Mkumbo vs Sinohydro Corporation Limited (Revision Application No. 65 of 2022) [2023] TZHC 21185 (15 September 2023)
1320. John Mwita @marwa and Steven Mkoyi @ Gagiri vs Republic (Consolidated Criminal Appeals 101 of 2020) [2020] TZHC 4613 (21 December 2020)
1321. John Paul Shibuda & Others vs Nordox Industries (Civil Application 171 of 2015) [2015] TZCA 359 (23 December 2015)
1322. John Petro Malima vs Joseph Mataruma Makuri (Land Appeal No. 8 of 2023) [2023] TZHC 15924 (9 March 2023)
1323. John Salehe @ Manee vs Republic (Criminal Appeal 78 of 2021) [2022] TZHC 11932 (27 May 2022)
1324. John Sarya Machage vs Sido Mara and Others (Land Appeal 41 of 2019) [2020] TZHC 1128 (19 May 2020)
1325. John Simon Maganyala Principle Commissioner of Prison and Another (Civil Case 140 of 2019) [2020] TZHC 1276 (29 May 2020)
1326. John s/o Boniface Tulla vs Republic (Criminal Appeal 150 of 2020) [2022] TZHC 9753 (27 May 2022)
1327. Johnson Katunzi vs Hyspec (afica) Tz Limited (Labour Revision 8 of 2021) [2021] TZHC 5868 (31 August 2021)
1328. Jonathan Aron Lugaimukamu vs Murshid Mutalemwa Mustapha (Misc. Land Aplication 99 of 2021) [2022] TZHC 1043 (11 March 2022)
1329. Jonathan Shedrack Lyimo vs Alex Makombo (Misc. Land Case Application No. 45 of 2023) [2024] TZHC 268 (12 February 2024)
1330. Jonester Traseus Rwabigendela@jonester Jones vs Elizabeth Nelson (Misc. Civil Application 1 of 2023) [2023] TZHC 17271 (15 May 2023)
1331. Joran Lwehabura Bashange vs The Chairman of National Electoral Commission and Another (Misc. Civil Cause 19 of 2021) [2023] TZHC 16367 (29 March 2023)
1332. Joseph Jonas Tilya vs Chief Secretary & Others (Misc. Cause No. 11 of 2023) [2023] TZHC 17757 (15 May 2023)
1333. Joseph Mataro @ Kibure and Others vs Republic (Consolidated Criminal Appeals 139 of 2020) [2021] TZHC 3584 (3 June 2021)
1334. Joseph Ndimila and Others vs the Permanent Secretary Ministry of Works and Others (Civil Case 265 of 2013) [2020] TZHC 1225 (19 May 2020)
1335. Joseph Ntogwisangu & Others vs The Minister Secretary Ministry of Finance & Another (Consolidated Civil Appeals 82 of 2015) [2016] TZCA 926 (5 December 2016)
1336. Joseph Nyakiha Daud vs Republic (Criminal Application No. 70 of 2020) [2021] TZCA 309 (16 July 2021)
1337. Joseph Osmund Mbilinyi & Another vs Commissioner General Tanzania Prison Service & Another (Misc. Civil Cause 13 of 2021) [2022] TZHC 15340 (19 December 2022)
1338. Joseph Roman Selasini vs James Francis Mbatia (Misc Civil Application 541 of 2022) [2023] TZHC 19540 (10 February 2023)
1339. Joseph Roman Selasini vs James Francis Mbatia (Misc. Civil Application 541 of 2022) [2022] TZHC 15582 (10 February 2022)
1340. Joseph Steven Gwaza vs Republic (Criminal Appeal 225 of 2019) [2021] TZCA 452 (7 September 2021)
1341. Joseph Sylivester Mariangwe vs Paulina Samson Ndawavya (Misc. Land Application 63 of 2021) [2021] TZHC 4217 (22 July 2021)
1342. Joseph Tigusaine vs Furgence Ichuchuza and Another (Land Case Revision 4 of 2019) [2021] TZHC 2377 (11 March 2021)
1343. Joseph Tweve and Others vs Constantine P.Kimaro (Land Application 31 of 2020) [2021] TZHC 9214 (9 November 2021)
1344. Joseph Yona vs Bai Sultani (PC Civil Appeal No. 13 of 2023) [2024] TZHC 1335 (8 February 2024)
1345. Josephat Ludago (as Administrator of the estate of the late Francis Ludago) vs Evaristo Mwipopo (as Administrator of the estate of the late Sadiki Kihalaga) (Land Appeal 9 of 2022) [2022] TZHC 13085 (21 September 2022)
1346. Josephina Paulo Mnzava vs Meck Lazaro & Another (Misc. Land Aplication 26 of 2021) [2022] TZHC 11171 (21 July 2022)
1347. Josiah Nsangira vs Anesius K. Stewart and2 Others (Civil Revision 20 of 2021) [2021] TZHC 2384 (11 March 2021)
1348. Jovina Damian James & Another vs Republic (Criminal Application No. 73/01 of 2022) [2024] TZCA 86 (22 February 2024)
1349. Joyce Andrew Nyumayo & Another vs Edwin Damancen Rweikiza & 5 Others (Misc. Land Application No. 700 of 2023) [2024] TZHCLandD 247 (15 March 2024)
1350. Joyce B. Massawe (as an Administrix of the estate of the Deceased Bartholomeo Massawe) vs Jimy Lema and Another (Land Appeal 40 of 2021) [2022] TZHC 13015 (9 September 2022)
1351. Joyce Batholomeo Massawe vs Jimi Lema and Another (Misc. Land Case Application No. 52 of 2022) [2023] TZHC 21638 (5 October 2023)
1352. Joyce Buriga & James Mang'erere vs Bwire Nyamwero (PC Civil Appeal 28 of 2021) [2022] TZHC 9622 (25 March 2022)
1353. Joyce Chacha vs Bwana Kiggi Buzzana (Civil Appeal 17 of 2019) [2020] TZHC 2461 (26 August 2020)
1354. Joyce Joshua Baru vs Kelvin William Nkungu (Misc. Civil Application 796 of 2017) [2018] TZHC 2556 (13 April 2018)
1355. Joyce Ndaiga vs National Bank of Commerce (Labour Application 27 of 2021) [2021] TZHC 9434 (21 December 2021)
1356. Juliana Lujuo (suing As The Administrix of The Late Patrick Mahuna) vs Sabinus Mwanjombe and Another (Application for Review 1 of 2022) [2023] TZHC 17280 (7 February 2023)
1357. Juliana Seki Mwakatagwe vs Republic (Criminal Application 59 of 2022) [2022] TZHC 15241 (8 December 2022)
1358. Julias Machota vs Nyabusa Mahemba (Land Appeal 43 of 2022) [2022] TZHC 15062 (21 November 2022)
1359. Julias Yapwana Mwapule vs Selfina Co. Ltd (said Hamis) (PC. Civil Appeal 11 of 2019) [2021] TZHC 2245 (10 February 2021)
1360. Julius Cleopa & Others vs Josia Lengoya Sademaki (Misc. Land Application 56 of 2018) [2018] TZHC 2478 (16 November 2018)
1361. Julius Daniel Makombe V Lucy Daniel Mpiluk & Another (Land Appeal 30 of 2021) [2021] TZHC 9 (15 October 2021)
1362. Julius Matogolo vs Henrico Lugayila (Misc. Land Appeal 53 of 2019) [2020] TZHC 849 (21 April 2020)
1363. Julius Meshileki Mollel and 17 Others vs Sengo 2000 Tanzania Ltd (Labor Revision 51 of 2021) [2022] TZHC 54 (28 January 2022)
1364. Julius Michael vs Republic (Criminal Appeal No. 45 of 2022) [2023] TZHC 20853 (18 August 2023)
1365. Julius Robert Chipalamoto vs Euro Nhotel & Apartment (Revision Application No. 411 of 2022) [2023] TZHCLD 1185 (24 March 2023)
1366. Julius Zakaria vs Lucy Zakaria Filipo (PC. Civil Appeal No. 8 of 2023) [2023] TZHC 23727 (22 December 2023)
1367. Juma Hamisi Athumani vs. The Republic (Misc. Criminal Application No. 13 of 2023) [2023] TZHC 20821 (11 August 2023)
1368. Juma Hussein vs Republic (Criminal Appeal 19 of 2021) [2022] TZHC 17000 (19 July 2022)
1369. Juma Kumogola vs CRDB Bank Plc (Civil Appeal No. 10 of 2022) [2023] TZHC 19645 (1 August 2023)
1370. Juma Kumugola vs Crdb bank PLC (Civil Appeal Case 10 of 2022) [2023] TZHC 19583 (1 August 2023)
1371. Juma Makoti Msheriela vs Managing Director of Tanesco (Civil Appeal 280 of 2020) [2023] TZHC 16621 (24 March 2023)
1372. Juma Ntemi @ Seni vs Republic (Misc. Criminal Application 43 of 2020) [2020] TZHC 3916 (27 November 2020)
1373. Juma Nyika Mnandi vs Same Kaya Saccos (Land Appeal 17 of 2022) [2022] TZHC 14776 (10 November 2022)
1374. Juma Rajabu Hashimu vs Republic (Misc. Criminal Application 21 of 2022) [2022] TZHC 10942 (1 August 2022)
1375. Juma Said Ally @ Kalamani - Moja Bila vs Republic (Misc. Economic Case 4 of 2018) [2018] TZHC 2070 (5 April 2018)
1376. Juma Said Kasanzu (An administrator of the estate of the late Said Kasanzu) vs Athanas Ikale & 4 Others (Misc. Land Application No. 15 of 2022) [2023] TZHC 18768 (4 July 2023)
1377. Juma Said Kasanzu (as administrator of the estate of the late Said Kasanzu) vs Athanas Ikale & 4 others (Misc. Land Application No. 34 of 2023) [2023] TZHC 22392 (13 October 2023)
1378. Juma Said Mrisho @ Igwe vs The Republic (DC Criminal Appeal No. 87179 of 2023) [2024] TZHC 950 (20 March 2024)
1379. Juma Said(adminstrator of the Estate of the Late Said Juma) vs Sophia Chuwa Ntanti (adminstratrix of the Estate of the Late Catherine Piyangu) &3 Others (Land Appeal 78 of 2021) [2021] TZHCLandD 6979 (10 December 2021)
1380. Juma Sanga vs Matrida Sannsupa (Land Reference 7 of 2019) [2020] TZHC 1849 (18 June 2020)
1381. Juma Sanga vs Matrida Sansupa (Misc. Land Reference 10 of 2018) [2020] TZHC 1219 (13 May 2020)
1382. Juma Wambura vs Republic (Criminal Appeal 30 of 2020) [2020] TZHC 1740 (24 July 2020)
1383. Juma Wambura vs Republic (Criminal Appeal 30 of 2020) [2020] TZHC 2445 (24 July 2020)
1384. Juma Yusuph Myela vs Linda Abdul Manu(guardian of Raila Rashid) (Misc. Application 672 of 2021) [2022] TZHCLandD 748 (25 July 2022)
1385. Jumatatu Elias @ Mngare and 2 Others vs Republic (Criminal Appeal 136 of 2020) [2021] TZHC 2811 (21 April 2021)
1386. Justin Wambali v Pantaleo Bashasha (Land Appeal No.284 of 2023; Land Appeal No.284 of 2023) [2024] TZHCLandD 46 (21 February 2024)
1387. Justus Masengo & 41 Others vs Tanzania Portland Cement Ltd (Revision Application No. 338 of 2022) [2023] TZHCLD 1143 (6 March 2023)
1388. Kadushi Edward vs Republic (Criminal Appeal No. 72 of 2021) [2023] TZCA 17722 (4 October 2023)
1389. Kagwa Luoga and Others vs Attorney General and Another (Misc. Civil Cause 14 of 2020) [2021] TZHC 2620 (19 March 2021)
1390. Kalray Patel & Another vs Republic (Misc. Economic Cause No. 17 of 2017) [2017] TZHC 2282 (16 June 2017)
1391. Kampala International University vs James S. Simumba & Otghers (Revision Appl. No. 270 of 2019) [2020] TZHCLD 74 (3 April 2020)
1392. Karatu Awtu vs Matle Awtu &3 Others (Land Appeal 46 of 2022) [2023] TZHC 18196 (19 June 2023)
1393. Kassim Hassan Said @BEDUI vs Republic (Misc. Economic Cause 6 of 2016) [2016] TZHCCED 4 (3 January 2016)
1394. Kassim Mwinshehe Mayoli vs Dar es salaam Water Sewarage Authority and 3 Others (Misc. Civil Application No. 15 of 2023) [2023] TZHC 17568 (31 May 2023)
1395. Kassimu Mkumbaru Likweiye & Others vs Dar Es Salaam Small Industries Cooperative Society Ltd (dasico) & Others (Misc. Civil Application 22 of 2021) [2022] TZHC 326 (28 February 2022)
1396. Kasta Manyama vs Neema Robert & 2 Others (Land Revision 10 of 2022) [2022] TZHC 14577 (9 November 2022)
1397. Kastan Mining Plc vs Colom Investment (T) Ltd (Civil Application 95 of 2019) [2019] TZCA 550 (19 July 2019)
1398. Kastan Mining Plc vs Colom Investment T. Ltd (Civil Application 95 of 2019) [2019] TZCA 202 (19 July 2019)
1399. Katherina Makore vs Onjack Sospiter (Land Appeal 79 of 2021) [2022] TZHC 9864 (1 June 2022)
1400. Kaundime Shabani Chalamila As Administrator and Legal Representative of the Deceased Salima Aizuru Majaliwa vs Principal Secretary, Ministry of Infrastructure Building and Communication and 11 Others (Land Case 3 of 2019) [2020] TZHC 4535 (17 December 2020)
1401. Kcb Bank Tanzania Limited vs Exim Bank Tanzania Limited & Another (Civil Application 331 of 2018) [2022] TZCA 480 (26 July 2022)
1402. Kelvin Elias Maganda vs Mariamu Ramadhani Omari and 3 Others (Land Case Revision 7 of 2021) [2022] TZHC 10337 (29 June 2022)
1403. Kelvin Mwita Joseph vs Republic (Misc. Criminal Application 8 of 2022) [2022] TZHC 11478 (10 August 2022)
1404. Kelvin Rajabu Ungele & Others vs Republic (Consolidated Misc. Economic Crimes Applications 1 of 2017) [2017] TZHC 2034 (6 March 2017)
1405. Kelvin Sillimu Milanzi vs Republic (Misc. Criminal Application 6 of 2020) [2020] TZHC 458 (27 March 2020)
1406. Kelvin William Olenasha and Another v. Asha Mlekwa (Misc. Civil Application No. 11 of 2023) [2023] TZHC 18038 (5 June 2023)
1407. Kennedy Mugalula vs Symbert Kabingawa (Land Case Appeal 32 of 2018) [2021] TZHC 6365 (10 September 2021)
1408. Kephuleni Lubimbi vs Buhinu Ng'waje and Another (Land Revision 9 of 2020) [2021] TZHC 6027 (16 August 2021)
1409. Kerem Benjamin @ Jasasu vs Republic (Criminal Appeal 389 of 2015) [2016] TZCA 716 (29 June 2016)
1410. Khalid Hussein Muccadam vs Ngulo Mtiga & Others (Civil Reference No. 12 of 2022) [2024] TZCA 271 (17 April 2024)
1411. Khalid Langson vs Republic (Criminal Appeal No 30 of 2015) [2017] TZCA 368 (2 October 2017)
1412. Khalid Sulaiman Galitano vs Kagera Farmers Co-operative Bank Ltd and Another (Land Appeal 12 of 2018) [2020] TZHC 945 (29 May 2020)
1413. Khalid Zaid Said vs Republic (Misc. Criminal Application 203 of 2019) [2019] TZHC 33 (21 October 2019)
1414. Kibaigwa Flour Supplies Ltd and Two Others vs CRDB Bank Plc and Two Others (Misc. Land Aplication 52 of 2022) [2022] TZHC 14023 (24 October 2022)
1415. Kibibi Waziri Salumu Vs Juma Salum Kondo (PC Probate Appeal No 9 of 2022) [2022] TZHC 17248 (25 March 2022)
1416. Kibibi Waziri Salumu Vs Juma Salum Kondo (PC Probate Appeal No 9 of 2022) [2022] TZHC 17249 (25 March 2022)
1417. Kidenya Ngalu and Another Versus Maduhu Mpemba (Misc. Land Application No. 15 of 2023) [2024] TZHC 151 (2 February 2024)
1418. Kigemu Security Group vs Ngosha Bulabo Mihemu (Labour Revision 15 of 2021) [2021] TZHC 7524 (22 November 2021)
1419. Kirandora Muhere Vs. Amosi Bhoke (Miscellaneous Land Application No. 88 of 2023) [2023] TZHC 22245 (30 October 2023)
1420. Kishegena Transport Ltd vs Azania Bank and Others (Civil Case No 2 of 2023) [2024] TZHC 234 (12 February 2024)
1421. Kolman Msoka vs Aun Said Msangi and Another (Land Case Revision 2 of 2018) [2020] TZHC 3438 (15 October 2020)
1422. Komanya Erick Kitwala And Permanent Secretary,Public Service Management &Good Government & Another (Misc.Cause No. 24 of 2023) [2024] TZHC 162 (8 February 2024)
1423. Komba S/o Magabanya vs Republic (Criminal Appeal 96 of 2016) [2018] TZHC 2044 (5 December 2018)
1424. Koto Paulo @ Sawanga Vs. The D.P.P (Criminal Appeal No 169 of 2022) [2023] TZHC 22946 (14 November 2023)
1425. Kulwa Kulya vs Isaack Mlela (Misc. Land Application 37 of 2017) [2020] TZHC 708 (24 April 2020)
1426. Kulwa Lutambi vs Irene Sayi Goreshi (Civil Appeal No. 346 of 2020) [2024] TZCA 60 (20 February 2024)
1427. Kulwa Soya vs Republic (Misc. Criminal Application 13 of 2021) [2021] TZHC 5481 (9 August 2021)
1428. Kumary Shadrack and Another vs Shadrack Kitangóni (Misc. Land Appeal 97 of 2020) [2021] TZHC 3235 (21 May 2021)
1429. Kuruthum Omary Kahiba and Another vs Mwajuma Omary Kahiba (Misc. Civil Cause 4 of 2018) [2020] TZHC 3597 (29 September 2020)
1430. Kurwa Julius vs Mwita Chacha and Six Others (PC Probate Appeal 1 of 2020) [2020] TZHC 2474 (7 August 2020)
1431. Laban Airo vs Olwero Obonyo (Misc. Appeal 107 of 2021) [2022] TZHC 393 (7 March 2022)
1432. Laibon @ askofu vs Lemomo Mollel (Civil Appeal 42 of 2020) [2022] TZHC 3005 (28 April 2022)
1433. Larsen and Toubro Ltd vs Raymond Richard (Revs No. 56 of 2021) [2022] TZHCLD 150 (8 April 2022)
1434. Lawrence Sulumbu Tara vs Richard Mwaisemba & 2 Others Others (Civil Case 16 of 2023) [2024] TZHC 2052 (9 May 2024)
1435. Lazaro Titus Massay vs Ag and Another (Misc. Land Application 21 of 2020) [2021] TZHC 2915 (20 April 2021)
1436. Legal and Human Right Cetre vs The Minister of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children & Others (Misc. Civil Cause No. 1 of 2019) [2024] TZHC 2083 (16 May 2024)
1437. Lemi Dhandi @ Makindi vs Republic (Misc. Application 13 of 2022) [2022] TZHC 356 (4 March 2022)
1438. Lemindi Njuda vs the Regional Commissioner of Arusha and 2 Others (Land Case 16 of 2020) [2021] TZHC 7504 (16 July 2021)
1439. Lengai Ole Sabaya & 2 Others vs Director of Public Prosecution (Criminal Appeal 129 of 2021) [2022] TZHC 3036 (6 May 2022)
1440. Lengai Ole Sabaya & Others vs The Director of Public Prosecutions (Criminal Application No. 3/02 of 2023) [2024] TZCA 72 (20 February 2024)
1441. Leokadia Ng'wendesha and Others vs Nyakato Enterprises and Others (Civil Review 9 of 2020) [2020] TZHC 1803 (30 June 2020)
1442. Leonard Mstarehe & Others vs Group Six International Co. Ltd (Labour Revision 17 of 2019) [2022] TZHC 11560 (19 July 2022)
1443. Leonard Savel @ Tweve vs Republic (Criminal Appeal 153 of 2012) [2016] TZCA 690 (5 August 2016)
1444. Leonia w/o Hotay Ami Xwastal vs Paskali Qalway Gwangaway & Another (Misc. Civil Application 18 of 2023) [2023] TZHC 22260 (30 October 2023)
1445. Lepi Juma Mcheni vs Wadhamini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kusini Mashariki (Land Appeal No.23 of 2023) [2023] TZHC 22909 (31 October 2023)
1446. Letika K. Felix vs Boneventure Midala (Misc. Civil Application 136 of 2017) [2018] TZHC 14 (14 March 2018)
1447. Letshego Bank (T) Ltd & Another vs Dickson Ngonyani (Civil Appeal No. 39 of 2022) [2024] TZHC 2336 (27 May 2024)
1448. Letshego Bank (T) Ltd vs Ahmed Mohamed Ndoka (Labour Revision No. 14 of 2022) [2023] TZHC 22710 (1 November 2023)
1449. Li Cheng and Another vs Amos Jiji and Another (Civil Revision 11 of 2022) [2023] TZHC 16759 (5 April 2023)
1450. Liberty Nelson Moshi vs Commissioner for Lands & Attorney General (Misc. Land Application 818 of 2017) [2018] TZHCLandD 366 (22 June 2018)
1451. Lightness Mlay vs. Sandra Weiller (Misc. Land Application 35 of 2020) [2020] TZHC 4570 (11 December 2020)
1452. Lilian Adam Mambosho vs Stephen Mtui (Misc. Civil Application 575 of 2021) [2022] TZHC 11863 (12 August 2022)
1453. Lindi District Council vs Macro Tech Company Limited (DC Civil Appeal 2 of 2021) [2022] TZHC 15708 (8 December 2022)
1454. Liucas Joseph Miremi vs. Joseph John Massawe (Land Appeal No. 7 of 2023) [2023] TZHC 23338 (15 December 2023)
1455. Livingstone Michael Mushi vs Asha Magoti Magere& Others (Civil Application No. 247/08 of 2022) [2023] TZCA 17809 (9 November 2023)
1456. Lobikieki Sairiau Vs. Said Seif (Land Appeal No 80 of 2022) [2023] TZHC 23448 (20 December 2023)
1457. Loy Job Mbwilo vs Richard Mwera Matiku & Another (Civil Appeal 7 of 2018) [2020] TZHC 9851 (14 February 2020)
1458. Loy Job Mbwilo vs Richard Mwera Matiku and Another (Civil Appeal 7 of 2018) [2020] TZHC 36 (14 February 2020)
1459. Lucas Daniel ( Adminisrator of the estates of the late Daniel Mtongwe) vs Tito Daniel Mtongwe( Administrator of the estate of the late Mariam Jumbe) (Misc Land Appeal 35 of 2022) [2023] TZHC 19953 (4 August 2023)
1460. Lucas Marwa @ Chama and Another vs Republic (Consolidated Criminal Appeals 128 of 2020) [2021] TZHC 2825 (21 April 2021)
1461. Lucas Singoyi vs Enea Reuben Mwankusye (Misc. Civil Application 9 of 2022) [2022] TZHC 14643 (28 October 2022)
1462. Lucia Benedicto vs Salvatory Benedicto and2 Others (Land Case Appeal 106 of 2020) [2021] TZHC 3892 (28 June 2021)
1463. Lucia Daud Ngayamba vs Fred Beda Chulu (Administrator of the Estate of Beda Leo Chulu) & Another (Misc. Land Application 107 of 2017) [2018] TZHCLandD 148 (31 May 2018)
1464. Lucia Ludelengeja vs Jeremiah Nsulwa (Pc. Civil Appeal No.55 of 2023) [2023] TZHC 22493 (6 November 2023)
1465. Lucia Maria @ Mboje v. Republic (Misc. Criminal Application No. 34 of 2023) [2023] TZHC 23783 (4 December 2023)
1466. Lucia Mboje vs Chilomwa Mwitond Bitulo (Matrimonial Appeal 106 of 2021) [2021] TZHC 9106 (28 December 2021)
1467. Lucia Philipo vs Julian Jems Sarwat (Misc. Land Application No 110 of 2023) [2024] TZHC 2235 (24 May 2024)
1468. Lucy Bismark vs Octavian Rwechungura (PC Criminal Appeal 4 of 2020) [2021] TZHC 3269 (26 May 2021)
1469. Lucy Kileo and Another vs Victoria Hangali (Civil Appeal 8 of 2020) [2022] TZHC 3111 (6 May 2022)
1470. Lucy Nyagawa vs Nelson Mhoka & 9 Others (Land Appeal 23 of 2020) [2022] TZHC 14609 (14 November 2022)
1471. Lucy Wilbard Anthony vs Anna Crispine Kilawe @ Anna Pantaleo Kilawe (Civil Appeal 11 of 2023) [2023] TZHC 17456 (26 May 2023)
1472. Ludovick Pastory vs William Bwabo (Misc. Land Case Application 23 of 2017) [2020] TZHC 277 (27 March 2020)
1473. Lugano Alfred Mwakasungula vs Stephania Roeleme Rami and Two Others (Civil Revision 17 of 2021) [2022] TZHC 10064 (10 June 2022)
1474. Luka J. Luwanda & 22 Others vs Smh Rail Sdn.Bhd-moro (Misc. Application 19 of 2021) [2022] TZHC 786 (14 February 2022)
1475. Lukolo Company Limited vs Songea Municipal Council and Another (Civil Case 116 of 2022) [2023] TZHC 16708 (18 April 2023)
1476. Lukololo Kilosa & Another vs Attorney General & Another (Civil Case 14 of 2015) [2016] TZHC 2165 (27 September 2016)
1477. Lulu Gwandu Marmo Vs Silvin Akonay Bura gwaltu (Civil Appeal No 22 of 2022) [2023] TZHC 22843 (20 November 2023)
1478. Lupakisyo Mwakibingwa & Another vs Registered Trustees of assemblies of God & 2 Others (Land Appeal 80 of 2021) [2022] TZHC 13048 (12 September 2022)
1479. Luquman Nyambo Maloto vs The Director Of Criminal Investigations & Another (Misc. Criminal Cause No. 5 of 2023) [2023] TZHC 16171 (22 March 2023)
1480. Lussia K. Msokwa vs Judith T. Kahes (Misc. Land Appeal 6 of 2022) [2022] TZHCLandD 225 (30 March 2022)
1481. Lustick Likonoka & Others vs Republic (Misc. Economic Cause 50 of 2017) [2018] TZHCCED 59 (11 January 2018)
1482. Lwidiko Ramadhani Mbembati vs Mafinga Town Council & 2 Others (Land Case 4 of 2021) [2021] TZHC 9252 (16 December 2021)
1483. Lydia Yosia Payovela (Administrator of the Estate of Ayoub Payovela) & Another vs Bumaco Insurance Co. Ltd (Misc. Civil Application No. 319 of 23) [2023] TZHC 20808 (1 September 2023)
1484. M/s Jandu Plumbers Limited vs M/s Hodi (hotel Management) Company Limited (Misc. Civil Cause 3 of 2020) [2021] TZHC 5903 (20 August 2021)
1485. MBAYO ATHUMAN BULUBA versus THOMAS NGENDELA (Land Appeal No 278 of 2023) [2023] TZHCLandD 17304 (30 October 2023)
1486. MMC LTD vs. Norbert Fastus Masebe (Consolidated Labour Revision no. 3 & 4 of 2023) [2023] TZHC 22748 (3 November 2023)
1487. MT. 25624 CPL Samson Chigulu (Retired) vs. Tanzania Peoples's Defence Forces and Three Others (Misc. Civil Application No. 23 of 2023) [2023] TZHC 22599 (14 November 2023)
1488. MT. 84355 PTE Charles Emmanuel Mwampale vs Chief of Tanzania Peoples Defence Forces & Another (Civil Case No. 174 of 2023) [2024] TZHC 935 (21 February 2024)
1489. Mafuru Mwesa vs Wandaga Keya and Another (Civil Appeal 17 of 2021) [2021] TZHC 5846 (31 August 2021)
1490. Magambo J. Masato & Others vs Ester Amos Bulaya & Others (Civil Appeal 49 of 2016) [2016] TZCA 823 (12 July 2016)
1491. Magdalena Aminiel Koka vs.Galila Ramadhani Wabanhu (Civil Appeal No. 04 of 2023) [2023] TZHC 4 (3 August 2023)
1492. Magdalena theresia Ngondo vs Avor Ngonyani (Land Appeal 12 of 2020) [2021] TZHC 3132 (18 March 2021)
1493. Magesa Mwita Maisa vs Republic (Misc. Economic Application 28 of 2022) [2022] TZHC 14223 (21 September 2022)
1494. Magreth Master Bebi (Administratrix of the estate of late Saada Katema) vs Safia Ally (Land Case No. 05 of 2022) [2023] TZHC 22582 (13 November 2023)
1495. Magreth Qamara Xhiffi vs. Threresia Evarist Qamara Xhiffi & 2 Others (Misc. Civil Application No. 8 of 2023) [2023] TZHC 21401 (8 September 2023)
1496. Mahadh Mohamed @ Nahoda Mt.2106 vs Republic (Misc. Economic Cause 19 of 2018) [2018] TZHCCED 26 (22 June 2018)
1497. Mahadhy Mmoto,ahamdad Issa Bilal,ramadhani Mohamed Chikawe,fadhil Slim Akram,rashid Said Kaukutu,martin David Kanangu,marko Makoye Mpina,salum Mohamed Jabu,salum Mohamed Pahi,ally Salum Liomenge and Shaban Sylvestor Mkane vs Republic (Misc. Criminal Application 43 of 2020) [2020] TZHC 4445 (10 December 2020)
1498. Mahmudu Mohamed Mbilu vs J.S. Khambhaita Ltd (Labour Revision No. 16 of 2022) [2023] TZHC 21486 (29 September 2023)
1499. Maimuna Abdallah Mpanda vs Tanzania Postal Bank Limited and Another (Misc. Land Case Application 387 of 2020) [2021] TZHCLandD 55 (15 March 2021)
1500. Majulisho s/o Makombe vs Republic (DC Criminal Appeal 27 of 2022) [2022] TZHC 15051 (5 December 2022)
1501. Makoye Kintoki vs Amos Maganga (Misc. Civil Application No. 64 of 2014) [2016] TZHC 2274 (21 June 2016)
1502. Makoye Kintonki Versus Amos Maganga and 2 others (Misc. Civil Application No.27/2022) [2023] TZHC 19469 (28 July 2023)
1503. Maliki Nyimbi Makame (adminitrator of the Estate of the Late Asia Ayubu vs Omari Adamu Dimwe (Land Revision 1 of 2021) [2021] TZHCLandD 529 (8 September 2021)
1504. Malyango Malima vs Japhet Gamba (Misc. Civil Application 13 of 2022) [2022] TZHC 12702 (24 August 2022)
1505. Maneno William vs Republic (DC Criminal Appeal 26 of 2020) [2020] TZHC 3915 (27 November 2020)
1506. Mange Sengerema vs R (Misc. Criminal Application 58 of 2020) [2021] TZHC 6314 (15 September 2021)
1507. Mansour Nassor Juma vs Fatuma Nassor Juma (Civil Application 22 of 2021) [2021] TZHC 9112 (28 June 2021)
1508. Mantrac Tanzania Ltd vs Goodwill Ceramics Tanzania Ltd (Commercial Case 16 of 2018) [2020] TZHCComD 2061 (20 February 2020)
1509. Marchedes Kalemela and Others vs National Executive Committee of Scout Council. (Civil Appeal 135 of 2017) [2020] TZHC 2032 (13 February 2020)
1510. Maria F.E Mwakitwangwe vs Jonathan Kain Mwakitwangwe (Probate Appeal 13 of 2022) [2023] TZHC 17278 (5 May 2023)
1511. Maria Kazi vs Republic (Misc. Criminal Application 24 of 2021) [2021] TZHC 6055 (27 August 2021)
1512. Mariam Charles vs Kampuni ya Mabasi ya Zakaria (Civil Reference No. 05 of 2023) [2023] TZHC 20831 (6 September 2023)
1513. Mariam Dawson Aswile vs Amani Aswile Mlimba & Others (Misc. Civil Cause No. 18 of 2021) [2023] TZHC 316 (20 February 2023)
1514. Mariam Hoza vs Mustapha Said Msemo @ Musa Machorongo & Others (Land Appeal No. 60 of 2023) [2024] TZHC 1613 (25 April 2024)
1515. Mariam Kaijage vs Rhobi Chacha (Misc. Land Aplication 541 of 2021) [2022] TZHCLandD 327 (19 May 2022)
1516. Mariam Mussa Shaban vs Mapinda Nsabi (Misc. Land Application 6 of 2020) [2021] TZHC 6915 (3 September 2021)
1517. Mariam Nyika vs Apolonia Ivo (Misc. Land Appeal 34 of 2020) [2021] TZHC 4155 (6 July 2021)
1518. Marko Dwangai vs Mathayo Dwangai (PC Criminal Appeal 17 of 2022) [2023] TZHC 16923 (21 April 2023)
1519. Martha Kitembele vs Papaa Lepapa (Land Case Appeal No. 54 of 2022) [2022] TZHCLD 1145 (16 November 2022)
1520. Martin Kenani Kapolesya & Another vs Sbc (T) Ltd (Revision No. 625 of 2018) [2020] TZHCLD 203 (12 June 2020)
1521. Martine Athanas vs Nandi Kiberenge & Another (PC. Civil Appeal 55 of 2021) [2022] TZHC 1165 (12 April 2022)
1522. Marwa s/o Gitiano and Three Others Versus Republic (Consolidated Appeals 11 of 2021) [2021] TZHC 9024 (30 November 2021)
1523. Mary Barnaba Mushi vs Attorney General (Miscellaneous Civil Cause No. 03 of 2023) [2023] TZHC 17410 (15 May 2023)
1524. Mary Malai vs. Emmanuel Marimari & 9 Others (Misc Land Application No. 12 0f 2023) [2023] TZHC 21481 (15 September 2023)
1525. Mary Siril Chuwa and Others vs Uru Shimbwe Rural Primary Co-operative Society (Misc. Civil Application 1 of 2019) [2020] TZHC 2249 (13 August 2020)
1526. Maryam Charles Mbaga & Another vs Anna Charles Mbaga (Civil Appeal 4 of 2021) [2022] TZHC 3106 (7 March 2022)
1527. Masalu Luponya vs Republic (Criminal Appeal 129 of 2015) [2016] TZCA 273 (20 October 2016)
1528. Masanja James Musingi vs Republic (Misc. Criminal Application 3 of 2021) [2021] TZHC 2264 (5 February 2021)
1529. Masanla Peter vs Republic (Misc. Criminal Application 2 of 2021) [2021] TZHC 2556 (18 March 2021)
1530. Masesa Mafaja Mashauri vs the Law School of Tanzania (Misc. Civil Application 86 of 2020) [2021] TZHC 7351 (9 July 2021)
1531. Mashauri Msabila vs Felista Bunzari (Civil Appeal No. 7 of 2022) [2023] TZHC 22893 (18 August 2023)
1532. Masinda Ng'arita vs Abdi Omari (Land Appeal 35 of 2021) [2023] TZHCLandD 146 (17 March 2023)
1533. Masoud Said Omar & Others vs Republic (Misc. Economic Cause 40 of 2018) [2018] TZHCCED 51 (11 October 2018)
1534. Masunga Charles @ Mulelema @ Nyamatoke vs The Republic (Criminal Revision No. 05 of 2023) [2023] TZHC 18710 (30 June 2023)
1535. Masunga Kichuri @ Masunga vs Republic (Criminal Appeal 199 of 2020) [2021] TZHC 2829 (28 April 2021)
1536. Masunga Masanja Kiyumbi vs Constantine Kilangi (Land Appeal 22 of 2021) [2021] TZHC 2026 (28 September 2021)
1537. Masunga Mbegeta & Others vs The Honourable Attorney General & Another (Civil Application No. 173 of 2019) [2022] TZCA 211 (22 April 2022)
1538. Mathao Wilfred & Others vs Republic (Criminal Appeal No 294 of 2016) [2018] TZCA 531 (1 October 2018)
1539. Mathias Njile Bubinza vs Agricultural Imputes Trust Fund & Others (Civil Case 7 of 2013) [2016] TZHC 2046 (23 June 2016)
1540. Mathias Tangawizi @ Lushinde vs Republic (Criminal Appeal 220 of 2016) [2019] TZCA 60 (4 April 2019)
1541. Mathiasi Njile Bubinza vs Agricultural Imputes Trust Fund & others (Civil Case No. 7 of 2013) [2016] TZHC 2316 (23 June 2016)
1542. Matiko Tugara vs Tanzania Electric Supply Company Limite (Land Case No. 328 of 2023) [2024] TZHCLandD 181 (29 February 2024)
1543. Matongo Luvanga Songoi vs Republic (Misc. Economic Cause Application 76 of 2021) [2021] TZHC 7048 (27 October 2021)
1544. Matrida Grinyo Mwanahanji vs Zuhura Hussein Kilambo (Misc. Civil Application No. 31 of 2022) [2023] TZHC 15698 (3 February 2023)
1545. Matrida S. Madenge (as Administrator Of The Estate Of The Late Martin J. Madenge (Civil Appeal No. 64 of 2022) [2023] TZHC 15801 (3 March 2023)
1546. Maua Seleman Chileu & Others vs Halmashauri Ya Manispaa Ya Temeke (Revision No. 821 of 2018) [2020] TZHCLD 57 (22 May 2020)
1547. Maunda Fadhili Mshana & Another vs Republic (Misc. Criminal Application 14 of 2022) [2022] TZHC 959 (31 March 2022)
1548. Maynard Lugenja vs Michael Lema Bathromeo (Land Revision No. 02 of 2023) [2023] TZHCLandD 16762 (9 August 2023)
1549. Mbaraka Miraji and 2 Others vs Omary Hamisi Ungaunga (Misc. Land Application 140 of 2021) [2021] TZHCLandD 423 (23 August 2021)
1550. Mbaraka Mussa Jafari vs Republic (Misc. Criminal Application 19 of 2021) [2021] TZHC 3599 (11 June 2021)
1551. Mbaraka Mussa Mayya v. Bashiru Abdallah Kabyemela (Civil Reference 2 of 2023) [2023] TZHC 21624 (5 October 2023)
1552. Mbaraka Waziri vs Refco Company Limited (Misc. Civil Application 16 of 2022) [2022] TZHC 15046 (5 December 2022)
1553. Mbasa Chitata vs Mosi Waryoba (Misc. Appeal 86 of 2021) [2022] TZHC 491 (16 March 2022)
1554. Mbeya City Council vs James Kasa Mwakalindile & Another (Land Appeal 77 of 2021) [2022] TZHC 15242 (18 November 2022)
1555. Meckzedeck Maganya vs Ministry of Estate, President's Office Regional Administration and Local Government and Attorney General (Miscellaneous Cause No. 10 of 2023) [2023] TZHC 23416 (15 December 2023)
1556. Meczedeck Maganya vs Minister of State, President's Office, Regional Administration and Local Government & Others (Misc. Civil Cause No. 10 of 2023) [2024] TZHC 2081 (6 May 2024)
1557. Meczedeck Maganya vs the Attorney General & Others (Miscellaneous Civil Cause No. 09 of 2023) [2023] TZHC 21704 (2 October 2023)
1558. Medard Mukulasi Byakugila vs Attorney General & Another (Land Case 13 of 2022) [2022] TZHC 12090 (5 August 2022)
1559. Melami Mesarieki Lemnjere (msimamizi Wa Mirathi Ya Marehemu Mesarieki Lemnjere vs Saigurani Lemnjere Magie Sakaya Kivuyo (Land Appeal 21 of 2022) [2022] TZHC 13985 (20 October 2022)
1560. Melina Mihwela and Others vs Mashaka Kabogo (Misc. Land Application 1 of 2020) [2020] TZHC 1075 (15 May 2020)
1561. Meng Qi International Ltd vs Corporate Security Services Ltd (Commercial Case 49 of 2016) [2018] TZHCComD 60 (9 May 2018)
1562. Mercedes M. Masawe vs Sophia Raymond Mmbaga (Pc Probate Appeal No. 7 of 2022) [2023] TZHC 20186 (14 August 2023)
1563. Merchardes Mugishagwe vs Republic (Criminal Appeal 99 of 2021) [2022] TZHC 12736 (2 September 2022)
1564. Mericksedeki Edward vs Agnes Neckemia (Misc. Land Case Appeal 24 of 2019) [2020] TZHC 4264 (11 December 2020)
1565. Mericky Samson Mangula and Another vs Samwel Amani Makundi and Another (Civil Case 120 of 2022) [2023] TZHC 16750 (17 March 2023)
1566. Mexons energy Ltd vs NMB bank plc (Commercial Case 104 of 2021) [2022] TZHCComD 310 (30 September 2022)
1567. Meydan 2 Co Limited (ndiege Angila Mbwana) vs Hanif Adam Ahmed (PC Civil Appeal 110 of 2021) [2022] TZHC 10099 (23 May 2022)
1568. Mgore Miraji Kigera vs Chuki Mussa (Civil Case 20 of 2023) [2023] TZHC 21265 (29 September 2023)
1569. Mgweno Mnyagato & Others vs Republic (Misc. Criminal Application 174 of 2019) [2019] TZHC 22 (16 October 2019)
1570. Michael Ashley vs Anthony Pius Njau Ltd & Another (Civil Appeal 68 of 2017) [2018] TZHC 2397 (6 April 2018)
1571. Michael David Nungu vs the Institute of Finance Management (Misc. Civil Cause 16 of 2019) [2020] TZHC 355 (23 March 2020)
1572. Michael Kabume vs Knauf Gypsum Tanzania Ltd. (Revision Application No. 41 of 2020) [2021] TZHCLD 392 (29 September 2021)
1573. Michael Kiyango Buholo & Others vs Republic (Misc. Economic Application 236 of 2019) [2019] TZHC 210 (24 December 2019)
1574. Michael Kondeki Laizer vs Melau N. Lukumay and another (Consolidated Land Case Appeal No. 49 and 55 of 2022) [2023] TZHC 19214 (26 July 2023)
1575. Michael Nolelo vs Cartrack (T) Ltd (Labour Revision No. 609 of 2019) [2020] TZHCLD 415 (9 October 2020)
1576. Michael Richard Wambura vs Tanzania Football Federation (Misc. Civil Cause 20 of 2018) [2018] TZHC 110 (18 May 2018)
1577. Michael Rimbani and Another vs John Tobiko (PC Criminal Appeal 14 of 2020) [2021] TZHC 9098 (20 August 2021)
1578. Michael s/o Chaula vs Republic. (Criminal Appeal 81 of 2019) [2020] TZHC 1865 (2 June 2020)
1579. Mika Mtweve vs Republic (Criminal Appeal 133 of 2020) [2021] TZHC 2248 (22 February 2021)
1580. Mikidadi Mohamed Kiambwe(Administrator of the Estate of the Late Mariam Amir Mkangama) vs Ally Mohamed Salim (Land Appeal 220 of 2022) [2023] TZHCLandD 56 (28 February 2023)
1581. Millicent Mrema vs ZANTEL (Civil Appeal No.289 of 2020) [2023] TZCA 17466 (30 June 2023)
1582. Minnah Saibull vs. Prevention and Combating of Corruption Bureau (Misc. Application No. 111 of 2023) [2023] TZHCLD 1445 (6 September 2023)
1583. Miza Bakari Haji & 9 Others vs Registered Trustees of the Civic United Front (cuf) & 11 Others (Civil Case 143 of 2017) [2022] TZHC 11599 (12 August 2022)
1584. Miza Bakari Haji and 9 Others vs Registered Trustees of the Civil United Front (cuf) and 14 Others (Civil Case 143 of 2017) [2022] TZHC 12757 (12 August 2022)
1585. Mkulima African Telecommunications Public Company vs Universal Communication Sevice Access Fund Company (Misc. Civil Application 99 of 2019) [2019] TZHC 31 (31 October 2019)
1586. Mohamed Abdallah Mkuwili vs Republic (Criminal Appeal 235 of 2012) [2016] TZCA 765 (1 March 2016)
1587. Mohamed Hussein Mtagwa vs Bernad Paulo Tarimo (PC. Civil Appeal 2 of 2023) [2023] TZHC 20545 (30 August 2023)
1588. Mohamed Issa Mbelwa vs Martin Mohamed Kaduma (Misc. Land Application No. 456 of 2023) [2023] TZHCLandD 17054 (26 October 2023)
1589. Mohamed Makarani vs Umara Makarani (Land Appeal 155 of 2021) [2021] TZHCLandD 761 (25 October 2021)
1590. Mohamed Makarani vs Umara Makarani (Land Appeal No. 155 of 2021) [2021] TZHCLD 415 (25 October 2021)
1591. Mohamed Omari Mwinyi v. Romani Doo (Misc. Land Application 119 of 2022) [2023] TZHC 17776 (10 March 2023)
1592. Mohamed Rashid Mlongola vs Kipoi Jagu Palori (PC Criminal Appeal 4 of 2021) [2021] TZHC 5763 (13 August 2021)
1593. Mohamed S. Gambo vs Chande Chingwile (Misc. Land Application 46 of 2019) [2021] TZHC 2635 (19 March 2021)
1594. Mohamed Salahe Abri & Another vs Fatuma Shabani Saidi Dololo (Land Appeal No.249) [2023] TZHCLandD 16828 (30 August 2023)
1595. Mohamed Yahya Mohamed vs Republic (Criminal Application 71 of 2020) [2020] TZHC 1237 (8 May 2020)
1596. Mohammadi Woodworks Ltd vs Honest Logistics Ltd (Misc. Commercial Cause No. 159 of 2023) [2024] TZHCComD 35 (22 March 2024)
1597. Mohan's Osterbay Drinks Limited vs Ritish v American Tobacco Kenya Limited (Civil Application No. 70/01 of 2022) [2024] TZCA 159 (5 March 2024)
1598. Momiru Company Limited and Another vs Rajabu Mussa Hashim (PC Civil Appeal 118 of 2020) [2021] TZHC 7244 (7 July 2021)
1599. Monica Serafini vs Richard C. Silayo (Matrimonial Appeal 6 of 2022) [2022] TZHC 14780 (14 November 2022)
1600. Mordikae Moseti Phanuel vs Republic (Criminal Appeal Case 28 of 2022) [2022] TZHC 14387 (4 November 2022)
1601. Morisi Joseph Bunde Ochieng' and Another vs Republic (Misc. Criminal Application 13 of 2020) [2020] TZHC 1956 (24 July 2020)
1602. Morities Corporation Limited vs Crdb Plc & Another (Land Case No. 12 of 2023) [2023] TZHC 23380 (1 December 2023)
1603. Moses Gilbert Kitiime & 4 Others vs The Registered Trustees of EAGT (Revision No. 07 of 2023) [2023] TZHCLD 1378 (17 July 2023)
1604. Moses Mlawa vs Republic (Criminal Appeal 396 of 2016) [2018] TZHC 2326 (14 February 2018)
1605. Moshi Emmanuel Gaspar vs Halima Jonas Nyandu (Misc. Civil Application 341 of 2017) [2018] TZHC 2554 (13 April 2018)
1606. Motti Gupta vs Faiton Ndesanjo Mandari (Land Appeal No. 08 of 2023) [2023] TZHC 20185 (9 August 2023)
1607. Moza Gilbert Mushi and Another vs Loyce John Mkeu(suing Through Power of Attorney by Billionaire John Mkeu) (Civil Appeal 227 of 2020) [2021] TZHC 5812 (26 August 2021)
1608. Mpale Kaba Mpoki vs Attorney General (Misc. Civil Cause 12 of 2022) [2022] TZHC 15676 (1 December 2022)
1609. Mpale Kaba Mpoki vs The Honourable Attorney General & Another (Civil Cause No. 11 of 2023) [2023] TZHC 22374 (17 October 2023)
1610. Mpemba Mashenene vs Republic (Criminal Appeal No 577 of 2015) [2018] TZCA 568 (11 July 2018)
1611. Mr. Mohsin Gulamhussein Somji vs the Hon.Attorney General and Another (Land Appeal 30 of 2017) [2020] TZHC 4224 (23 July 2020)
1612. Mrs. Jamila Surendra vs Mr. Surendra Dharamshi Jutha @ Mohamed Dharamshi Jutha (Matrimonial Appeal No. 2 of 2022) [2023] TZHC 21749 (13 October 2023)
1613. Msafiri Abdalah Mwalongo vs Anastasius Mbogolo and 5 Others (Land Case 1 of 2022) [2022] TZHC 1123 (20 April 2022)
1614. Msafiri Antony @ Kabusuro vs Republic (Misc. Criminal Application 31 of 2021) [2021] TZHC 3693 (23 June 2021)
1615. Msafiri Itununu vs Yamala Matandiko (Land Appeal No. HC/GTA/LND/APP/3518/2024) [2024] TZHC 874 (18 March 2024)
1616. Msafiri Mwalongo (Adminstrator of the Estate of the Late Ramadhan Mwalongo) vs. Anastasius Mbogoro (Application for Reference 1 of 2023) [2023] TZHC 20358 (18 August 2023)
1617. Mt 25624 CPT (Retired) Philip Samson Chigulu vs Tanzania People's Defense Forces & Others (2 of 2021) [2021] TZHC 9247 (12 October 2021)
1618. Mt 92665 Cpl Shaban Yusuph Mkondya vs Republic (Criminal Appeal 58 of 2020) [2020] TZHC 4416 (2 December 2020)
1619. Mt. 60850 Ex Cpl Ally Mohamed Ng'ombo vs The Judge Advocate General (Criminal Application 20 of 2021) [2023] TZCA 164 (30 March 2023)
1620. Mtemi Sapi @ Terelaka vs. The Republic (Criminal Appeal No. 10 of 2023) [2023] TZHC 20563 (28 August 2023)
1621. Mufindi Paper Mills Lmited vs Ibatu Village Council & Others (Civil Revision 555 of 2019) [2022] TZCA 597 (29 September 2022)
1622. Muganda Michael vs Simon Liduckey (Land Appeal 29 of 2022) [2022] TZHC 15185 (13 December 2022)
1623. Mugisha Enterprises Limited vs Consolidated Investment (T) Limited (Misc. Civil Application 323 of 2021) [2022] TZHC 9885 (25 May 2022)
1624. Muhidin Rashidi Kidugilike vs Republic (Misc. Criminal Appl. 15 of 2022) [2022] TZHC 11344 (25 January 2022)
1625. Muhidin Salumu Farahani vs Registrar of Titles (Land Appeal No. 28270 of 2023) [2024] TZHCLandD 179 (17 April 2024)
1626. Multichoice (T) Ltd vs Alphonce Felix Simbu & 2 Others (Commercial Appeal No. 01 of 2023) [2023] TZHCComD 363 (13 October 2023)
1627. Munguatosha John vs Peter John Mganga & Another (Civil Appeal 180 of 2020) [2022] TZHC 10174 (25 March 2022)
1628. Munguatosha John vs Peter John Mganga & Another (Civil Appeal No. 180 of 2020) [2022] TZHC 15870 (25 March 2022)
1629. Muse Zongori Kisere vs Richard Kisika Mugendi & Others (Civil Application No. 376 of 2017) [2019] TZCA 136 (3 May 2019)
1630. Mussa Ndoloma Ndulamiye vs The Regional Manager of Tanesco Rukwa (Land Appeal 16 of 2021) [2023] TZHC 17790 (2 June 2023)
1631. Mussa s/o Marwa vs Republic (Criminal Appeal 47 of 2020) [2020] TZHC 1124 (20 May 2020)
1632. Mustafa Juma Changwa & Others vs Mwenyekiti Serikali ya Mtaa Kilimahewa Temeke Municipality & Others (Misc. Cause No.16 of 2023) [2023] TZHC 20376 (24 August 2023)
1633. Mustapha Khalfani vs Cashewnut Board of Tanzania (Labour Revision 18 of 2021) [2022] TZHC 11359 (29 April 2022)
1634. Muzzammil Mussa Kalokola vs The Minister of Justice & Constitutional Affairs & Another (Civil Application No.567/01 of 2018) [2023] TZCA 17491 (10 August 2023)
1635. Mwa3uma Ally Abdallah & 21 Others vs Elizabeth Josephat Kyakula (Misc. Application 468 of 2022) [2022] TZHCLandD 12478 (27 September 2022)
1636. Mwajuma Ally Abdallah & 21 Others vs Elizabeth Josephat Kyakula (Misc. Land Application 468 of 2022) [2022] TZHCLandD 12370 (27 September 2022)
1637. Mwajuma Mohamed Mganga vs. Mohamed Said Mohamed (Misc. Civil Application No. 65 of 2022) [2023] TZHC 18059 (22 May 2023)
1638. Mwalimu Songo vs. Mataji Lessi Muhangara (PC Criminal Appeal No.20 of 2022) [2023] TZHC 22764 (10 November 2023)
1639. Mwamvita Juma v. Adam Ntiboneka Kivema (Land Case Appeal No. 07 of 2022) [2024] TZHC 486 (28 February 2024)
1640. Mwanahamisi Salehe V Said Hamis & 3 Others (Land Application No.283 of 2022) [2023] TZHCLandD 16567 (1 June 2023)
1641. Mwanahamisi Salehe vs Said Hamis & 3 Others [2023] TZHCLandD 283 (1 June 2023)
1642. Mwanaidi Abdallah Juma vs Damian Kimaro (Land Case 64 of 2022) [2022] TZHCLandD 529 (21 June 2022)
1643. Mwanne Hassan Suleiman Vs Akiba Commercial Bank Limited & Another (Land Case No. 192 of 2022) [2023] TZHCLandD 16519 (6 June 2023)
1644. Mwanza City Radiators City Company Limited vs Bunda Town Council & Another (Misc. Civil Application 4715 of 2024) [2024] TZHC 2348 (30 May 2024)
1645. Mwanzi Kitati @ Marwa vs Republic (Criminal Appeal 52 of 2020) [2020] TZHC 3751 (7 October 2020)
1646. Mwapi Erasto Sanga vs R (Misc. Criminal Application 13 of 2021) [2021] TZHC 2693 (16 March 2021)
1647. Mwasa Jeremiah Jingi & 5 Others vs The Tanzania Railway Corporation & The Attorney General (Land Case No.205 of 2017) [2023] TZHCLandD 16877 (28 April 2023)
1648. Mweha Hamis vs The Permanent Secretary, Mimistry of Infrastructure and Development & Others (Civil Appeal No. 442 of 2020) [2024] TZCA 141 (29 February 2024)
1649. Mwesigwa Zaidi Siraji vs Mara Textile Limited (Civil Case 53 of 2021) [2021] TZHC 12590 (17 March 2021)
1650. Mwesigwa Zaidi Siraji vs Mara Textile Limited (Civil Case 53 of 2021) [2023] TZHC 16355 (17 March 2023)
1651. Mwesigwa Zaidi Siraji vs Mara Textile Limited (Civil Case 53 of 2021) [2023] TZHC 16899 (21 April 2023)
1652. Mwidewe Madafu vs Elizabeth Barehemana (Application for Reference 2 of 2021) [2022] TZHC 14821 (23 November 2022)
1653. Mwigamba Fidson Sosthenes vs National Microfinance Bank (NMB) (Civil Case No. 9 of 2014) [2016] TZHC 2279 (17 June 2016)
1654. Mwile Mugisha Mgallah (Administrator of the Estate of the Late Daniel G. Mgallah) vs Bertha J. Wandi & Another (PC Civil Appeal 16 of 2020) [2021] TZHC 9416 (17 December 2021)
1655. Mwinyi Sosyo @ Katawa vs The Republic (Misc Criminal Application No. 37905 of 2023) [2024] TZHC 534 (28 February 2024)
1656. Mwita Marwa @ Segeno vs Republic (Criminal Appeal 34 of 2021) [2021] TZHC 5827 (31 August 2021)
1657. Mwita Masero Mangure vs Enock Isack Mwita (Land Appeal 9 of 2022) [2022] TZHC 13511 (16 September 2022)
1658. Mwl. Ezekiah Tom Oluoch vs Chief Secretary & Another (Misc. Cause No. 34 of 2022) [2023] TZHC 261 (17 February 2023)
1659. N & J Investment Limited vs International Commercial Bank (Tanzania) Limited & Another (Land Case) [2023] TZHCLandD 16666 (18 July 2023)
1660. NBC Ltd vs Mongateko Makongoro Mongateko (Commercial Case No. 48 of 2023) [2023] TZHCComD 366 (3 November 2023)
1661. Naiman Olemkoro vs Michael Lazaro Lengere and Another (Misc. Land Application No. 29 of 2023) [2023] TZHC 23323 (4 December 2023)
1662. Nandj Investment vs International Commercial Bank(Tanzania) Ltd. andanother (Civil Case 186 of 2022) [2023] TZHC 16667 (24 March 2023)
1663. Nashon Andrea Mosha & Others vs Zena Abdallah & Others (Land Case Appeal No. 12 of 2022) [2024] TZHC 1498 (17 April 2024)
1664. National Bank of Commerce Limited vs Alfred Enzi (Revision Application No. 430 of 2022) [2023] TZHCLD 1316 (7 June 2023)
1665. National Bank of Commerce Limited vs Millo Construction Company Limited & Others (Misc. Commercial Application 102 of 2015) [2016] TZHCComD 2058 (16 December 2016)
1666. National Bank of Commerce Limited vs Millo Construction Company Limited & Others (Misc. Commercial Application 102 of 2015) [2016] TZHCComD 25 (16 December 2016)
1667. National Bank of Commerce Ltd vs The Commissioner General Tanzania Revenue Authority (Civil Appeal No. 109 of 2020) [2022] TZCA 143 (24 March 2022)
1668. National Bank of Commerce vs Ballast Construction Company Limite (Civil Application No. 445/01 of 2022) [2023] TZCA 17798 (8 November 2023)
1669. National Bank of Commerce vs Mongateko Makongoro Mongateko (Commercial Case No. 48 of 2028) [2023] TZHC 22365 (3 November 2023)
1670. National Bankl Copmmerce Limited vs Pav Investment Limited and 3 Others (Commercial Case 59 of 2011) [2016] TZHCComD 2019 (16 December 2016)
1671. National Insurance Corporation of Tanzania Limited vs Otieno Michael Oliech (the Personal Legal Representative of Nikusubial John Brown) & Two Others (Civil Appeal 31 of 2021) [2022] TZHC 10253 (21 June 2022)
1672. National Microfinance Bank PLC vs. Ismail Said Mpambahi & Two Others (Land Appeal No. 12 of 2023) [2023] TZHC 23977 (24 November 2023)
1673. National Microfinance Bank Plc vs Lameck Matemba (Revision No. 950 of 2018) [2020] TZHCLD 137 (17 July 2020)
1674. National Ranching Co. Limited vs Interland Surveyors (Misc. Civil Application 775 of 2016) [2018] TZHC 20 (16 February 2018)
1675. National Ranching Company Ltd vs Interland Surveyors (Misc. Civil Application 775 of 2016) [2018] TZHC 2482 (16 February 2018)
1676. Nautilus Limited vs Ametan Contractors Limited (Misc. Commercial Cause 11 of 2013) [2016] TZHCComD 2030 (17 October 2016)
1677. Nazareno Kihaga vs Republic (Criminal Appeal 12 of 2012) [2016] TZCA 696 (4 August 2016)
1678. Ndoro Kili Meru Maountain Lodge & Campsiteltd vs Twiga Bancorp Ltd & Another (Misc. Land Application 333 of 2017) [2018] TZHCLandD 58 (29 March 2018)
1679. Neema Alfael Nnko vs. Frank Charles Msaki (Civil Revision No. 08 of 2023) [2023] TZHC 21375 (26 September 2023)
1680. Neema Amon vs Aitafoo Onael Silaa (PC Civil Appeal 68 of 2019) [2020] TZHC 4297 (21 December 2020)
1681. Nehemia Kyando Mchechu vs Mwananchi Communication Limited And Another (Civil Case No. 48 of 2021) [2023] TZHC 15873 (3 March 2023)
1682. Nelson Elifalet Mmari vs Verynice Jackson Kimambo (Misc. Civil Application No. 5 of 2022) [2023] TZHC 15792 (24 February 2023)
1683. Nestory Paulo Rugarabamu vs Lageka Company Limited and 4 Others (Land Case Appeal 55 of 2019) [2021] TZHC 3873 (28 June 2021)
1684. New Hope Initiative vs Amina Mhina (Labor Revision 53 of 2020) [2021] TZHC 9142 (13 December 2021)
1685. Ng'osha Manghu @John vs Republic (Misc. Criminal Application 10 of 2023) [2023] TZHC 20451 (28 August 2023)
1686. Ng'osha Manghu @John vs Republic (Misc. Criminal Application 10 of 2023) [2023] TZHC 20452 (28 August 2023)
1687. Ng'weina Matare vs Masyaga Marwa (Misc. Land Appeal Case No. 118 of 2021) [2023] TZHC 19662 (17 January 2023)
1688. Ngalesony Keleja vs Elinami Mlay (Land Appeal 5 of 2021) [2021] TZHC 6123 (17 August 2021)
1689. Ngiroriti Sakinoi Kessenge Suing as Administrator of the estate of the late SAKINOI KESSENGE Vs. Sanare Matupoi & 5 others (Misc. Land Application No 75 of 2022) [2023] TZHC 19334 (17 July 2023)
1690. Ngorongoro Conservation Area Authority & another vs Joseph Michael Marisely Mallya (Labour Revision) [2024] TZHC 171 (17 January 2024)
1691. Nico Amanyise Kayange & 3 Others vs Republic (Misc. Economic Cause No. 33 of 2023) [2023] TZHC 22305 (31 October 2023)
1692. Nicolathar Ramadhani vs Azizi Mohamed Mbamba (PC Civil Appeal 118 of 2021) [2022] TZHC 13482 (16 September 2022)
1693. Njiti Mansuri vs Sijali Mansuri (Misc. Civil Application 9 of 2019) [2020] TZHC 1288 (23 June 2020)
1694. Nkwabi Shing’oma Lume vs Secretary General, Chama Cha Mapinduzi (Civil Appeal No. 59 of 2022) [2023] TZHC 18579 (30 June 2023)
1695. Nmb Bank Plc vs Hadija Adam Mwinyimatano (Labour Revision 19 of 2019) [2020] TZHC 4456 (24 November 2020)
1696. Nobert Mbowe vs Issack Mwamasika (Civil Case 204 of 2019) [2020] TZHC 1978 (20 August 2020)
1697. Noela Medard Wambura vs Juma Masagati Mabere (Civil Revision 86814 of 2023) [2024] TZHC 1323 (8 April 2024)
1698. Noela Medard Wambura vs Juma Masagati Mabere (Civil Revision 86814 of 2023) [2024] TZHC 380 (22 February 2024)
1699. Norbert Ngorongoro vs. Onesta Exaveli Ntaontuye1 (Matrimonial Appeal No. 01 of 2023) [2023] TZHC 21583 (1 September 2023)
1700. Noreen Lionel Mawalla vs Steve Lionel Mawalla (Probate And Administration Cause No. 59 of 2020) [2024] TZHC 2268 (14 March 2024)
1701. North Mara Gold Mine Limited vs Commissioner General (TRA) (Civil Appeal 78 of 2015) [2016] TZCA 751 (1 March 2016)
1702. North Mara Gold Mine Limited vs Jidayi Donald Elikieza (Labour Revision No. 16 of 2023) [2024] TZHC 2271 (28 May 2024)
1703. North Mara Gold Mine Limited vs. Minister of State, Vice President's Office (Union Environmenta and Another (Misc. Cause No. 31 of 2023) [2024] TZHC 742 (7 March 2024)
1704. North Mara Gold Mine vs John Milindi Makoko (Labor Revision 14 of 2023) [2023] TZHC 20526 (31 August 2023)
1705. Novat theonest vs Adventina Petro and Another (Misc. Land Application 84 of 2020) [2021] TZHC 2286 (23 February 2021)
1706. Nsajigwa Kabenga Kaisi vs Timoth Shauri and Others (Misc. Civil Application 89 of 2017) [2020] TZHC 50 (20 February 2020)
1707. Numet - North Mara Gold Mine Branch vs North Mara Gold Mine Ltd (Labour Application 28 of 2021) [2022] TZHC 10122 (16 June 2022)
1708. Nurdin Issa Nambilanje vs Elicius Emmanuel Lukamba (PC Criminal Appeal No.4 of 2022) [2023] TZHC 18375 (26 June 2023)
1709. Nuru Mapunda vs Ally Abbasi (Land Case Appeal 154 of 2018) [2020] TZHCLandD 128 (7 May 2020)
1710. Nuru Mohamed Hassan vs Republic (Misc. Criminal Application 146 of 2020) [2020] TZHC 4615 (16 November 2020)
1711. Nururdin Issa Yusuph vs Mwalimu Nemes Sultan (Land Revision 5 of 2022) [2023] TZHC 19104 (14 July 2023)
1712. Nushfath Amri v. Jamiru Adamu (PC Probate Appeal No. 6 of 2023) [2023] TZHC 19230 (24 July 2023)
1713. Nusura Mnungu vs Zerafi Mayenja (PC Civil Appeal 44 of 2019) [2022] TZHC 14932 (16 June 2022)
1714. Nyagwisi Charles Marwa and 3 Others vs Republic (Misc. Criminal Application 56 of 2021) [2021] TZHC 7359 (24 November 2021)
1715. Nyaimano Ghati Marwa vs. Republic (Misc. Criminal Application 11 of 2023) [2023] TZHC 17436 (26 May 2023)
1716. Nyamhanga Mrimi @ Limo and Merry Onyango @omuga @ Mugesi Mwita @ Magoyo vs Republic (Criminal Appeal 18 of 2022) [2022] TZHC 10754 (25 July 2022)
1717. Nyangu Masunga vs Republic (Misc. Civil Application 25 of 2020) [2021] TZHC 5584 (13 August 2021)
1718. Nyanza Elias Koroto vs Godfrey Msuguri (Misc. Civil Application 23 of 2020) [2020] TZHC 4584 (17 December 2020)
1719. Nyanza Road Works Limited vs Festo Adam (Labour Revision 38 of 2020) [2021] TZHC 2566 (9 April 2021)
1720. Nyanza Road Works Ltd vs Juma Abdallah (Labour Revision 50 of 2020) [2021] TZHC 5290 (20 July 2021)
1721. Nyarufunjo Kirongo vs Nyanyama Magesa Mafure (Misc. Appeal) [2022] TZHC 467 (9 March 2022)
1722. Nyerere Kabora vs Rasuli Mbwambo (Land Appeal No. 32 of 2022) [2023] TZHC 19366 (27 July 2023)
1723. Nzobarinda Salivatory and 4 Others vs Republic (Criminal Appeal 14 of 2022) [2022] TZHC 12836 (14 September 2022)
1724. Obadia Mjarifu vs Charles Kigonga & Another (PC Civil Appeal 32 of 2017) [2018] TZHC 2532 (18 April 2018)
1725. Octavian Mbungani (Ex. E 8648 CPL) versus Inspector General of Police and The Attorney General (Misc. Civil Application 42 of 2020) [2021] TZHC 9378 (14 December 2021)
1726. Odera Charles Odero vs Director of Public Prosecutions and Another (Misc. Civil Cause 20 of 2021) [2021] TZHC 7388 (17 November 2021)
1727. Odero Charles Odero vs Attorney General of Tanzania & Another (Misc Civil cause No 15 of 2023) [2024] TZHC 698 (4 March 2024)
1728. Odero Charles Odero vs Director of Public Prosecution (Misc. Civil Application No. 36 of 2023) [2023] TZHC 23203 (11 December 2023)
1729. Oloomu Kursas & 3 Others vs Director of Public Prosecutions & Another (Criminal Revision No. 08 of 2023) [2023] TZHC 22491 (10 November 2023)
1730. Omar Ali Omar vs Registrars of Titles & Another (Misc. Land Appeal 92 of 2015) [2018] TZHCLandD 502 (24 August 2018)
1731. Omary Bakari Liyanga & 2 Others vs Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi na Waajiri & 2 Others (Miscellaneous Labour Application No. 87 of 2023) [2023] TZHCLD 1322 (15 June 2023)
1732. Omary Rashid @ Makoti vs Republic (Criminal Appeal 67 of 2015) [2016] TZCA 235 (12 April 2016)
1733. Omary Shaaban Nyambu vs Permanent Secretary Ministry of Defence and Others (Misc. Civil Application 29 of 2019) [2020] TZHC 354 (31 March 2020)
1734. Omary Waziri @ Mohamed vs Republic (Misc. Criminal Application 22 of 2020) [2021] TZHC 3443 (21 May 2021)
1735. Onala H. Services Limited vs Simba Oil Company Limited (Civil Appeal No. 182 of 2023) [2024] TZHC 31 (11 January 2024)
1736. Onesmo Mpinzile vs Tanganyika Law Society & Another (Misc. Civil Cause 3 of 2017) [2017] TZHC 2038 (16 March 2017)
1737. Onesmo Olengurumwa vs Attorney General (Misc. Civil Cause 36 of 2019) [2020] TZHC 3363 (21 October 2020)
1738. Onyango Marucha Mwita @ Orya & 2 Others vs The Republic (Criminal Appeal No. 79 of 2022) [2023] TZHC 19010 (17 July 2023)
1739. Oryx Oil Company Limited & Another vs Seth Fuel Limited (Civil Revision 40 of 2021) [2022] TZHC 10177 (24 February 2022)
1740. Oryx Oil Company Limited & Another vs Seth Fuel Limited (Civil Revision No. 40 of 2021) [2022] TZHC 15872 (24 February 2022)
1741. Oscar Josiah vs Republic (Criminal Appeal 441 of 2015) [2016] TZCA 671 (26 February 2016)
1742. Otieno Oselo Mangasa @Japunda vs The Republic (Misc. Criminal Application 18 of 2023) [2023] TZHC 20313 (21 August 2023)
1743. PATRICK PAUL ITULE VERSUS JANETH ISACK WAITHAKA (Land Appeal No. 552 of 2024) [2024] TZHCLandD 267 (29 April 2024)
1744. Pamela Robert @ Raphael vs Republic (Misc. Economic Cause 18 of 2022) [2022] TZHC 9596 (25 May 2022)
1745. Pande John vs Republic (Criminal Appeal No 97 of 2016) [2018] TZCA 512 (13 July 2018)
1746. Pascal Bandiho vs Jandu Plumbers Ltd (Labour Rev. Application 11 of 2021) [2022] TZHC 10370 (26 May 2022)
1747. Paschal Joseph vs Paschalina Sarea Ami (Civil Appeal 1 of 2023) [2023] TZHC 17168 (8 May 2023)
1748. Paschal Maelele and Another vs Nyang'ubha Sibora (Land Revision 9 of 2022) [2022] TZHC 14375 (31 October 2022)
1749. Paschal Nyamizi @ Kulwa vs Republic (Misc. Criminal Confirmation 5 of 2022) [2022] TZHC 12040 (9 June 2022)
1750. Paskali Tsere vs Serkali ya Kijiji cha Chemchem (Civil Appeal No. 521 of 2020) [2024] TZCA 112 (23 February 2024)
1751. Pastory Henry and 2 Others vs Wema Gema (Misc. Land Application 420 of 2020) [2021] TZHCLandD 860 (27 October 2021)
1752. Pastory Henry and 2 Others vs Wema Gema (Misc. Land Case Application 420 of 2020) [2021] TZHCLandD 637 (27 October 2021)
1753. Patson Shungu vs Castonea Jimson (Civil Appeal 10 of 2019) [2020] TZHC 3562 (30 October 2020)
1754. Paul Dioniz vs Republic (Criminal Application No.386 of 2020) [2023] TZCA 17436 (18 July 2023)
1755. Paul Emmanuel Kilasa Kisabo vs Attorney General (Misc. Cause 9 of 2022) [2022] TZHC 12605 (7 September 2022)
1756. Paul Emmanuel Kilasa Kisabo vs The Attorney General (Misc. Cause No. 9 of 2022) [2023] TZHC 15914 (7 March 2023)
1757. Paul F. Mzigo vs Permanent Secretary Ministry of Finance and Planning (Labour Revision No. 65 of 2017) [2020] TZHCLD 3570 (30 October 2020)
1758. Paul Kisabo vs Minister of Information, Communication and Information Technology & Others (Misc. Civil Cause No. 27860 of 2024) [2024] TZHC 1970 (3 May 2024)
1759. Paul Magege vs Elijah Alexander and Others (Reference 1 of 2019) [2020] TZHC 1767 (10 June 2020)
1760. Paula David Kifaru vs Karim Shahbudin Ally (Misc. Civil Application 212 of 2021) [2021] TZHC 5848 (30 August 2021)
1761. Paulo Alfony Mefruda vs Paulo Amnaay Boamo (Misc. Land Aplication 137 of 2022) [2023] TZHC 16365 (10 March 2023)
1762. Paulo Kitaida Mandira vs Mashaka Masanja Mabula (Misc. Civil Application 54 of 2020) [2021] TZHC 5644 (16 August 2021)
1763. Paulo Lucas Zakayo @ Dox vs Republic (Criminal Revision 20 of 2019) [2022] TZHC 14812 (13 October 2022)
1764. Paulo Rweyemamu vs Akiba Commercial Bank & Another (Appeal 111 of 2021) [2022] TZHCLandD 12604 (28 November 2022)
1765. Paulos Naftar Sambay & Others vs Said Bakari Mazoea & Others (Civil Appeal No.167 of 2020) [2023] TZCA 17450 (20 March 2023)
1766. Pendo Fulgence Nkwenge vs Dr. Wahida Shangali (Civil Application No. 394/01 of 2022) [2023] TZCA 17913 (7 December 2023)
1767. Permanent Secretary Ministry of Water Band Irrigation vs Mega Builders Ltd (Misc. Commercial Application 207 of 2018) [2020] TZHCComD 2069 (25 February 2020)
1768. Peter Bura Tlehhemma & 3 Others vs Republic (Misc. Criminal Application 79 of 2017) [2018] TZHC 2583 (23 March 2018)
1769. Peter Calist Sachore vs Republic (Criminal Appeal No. 15 of 2023) [2023] TZHC 20328 (18 August 2023)
1770. Peter Erick Mrina vs The Attorney General and 2 Others (Misc Criminal Application No. 134 of 2022) [2023] TZHC 19394 (31 May 2023)
1771. Peter John Mollel & Another vs Republic (Criminal Appeal 89 of 2017) [2018] TZHC 2169 (29 May 2018)
1772. Peter Joseph Kwai vs Emmanuel Mzee Chuwa (Land Appeal 91 of 2021) [2022] TZHCLandD 352 (17 May 2022)
1773. Peter Kisobare @ Mahucha (Misc. Criminal Application 25 of 2020) [2020] TZHC 2412 (23 July 2020)
1774. Peter Kisobare @ Mahucha vs Republic (Misc. Criminal Application 25 of 2020) [2020] TZHC 2149 (23 July 2020)
1775. Peter Kunambi @ Mkude vs Republic (Criminal Appeal 424 of 2019) [2021] TZCA 691 (25 November 2021)
1776. Peter Mgogo vs Neema Chagonja (Pc Matrimonial Appeal No. 6 of 2023) [2023] TZHC 21573 (29 September 2023)
1777. Peter Michael Madeleka vs Republic (Criminal Appeal No. 263 of 2022) [2024] TZCA 356 (14 May 2024)
1778. Peter Michael Madeleka vs Republic (Criminal Appeal 160 of 2022) [2023] TZHC 19103 (17 July 2023)
1779. Peter Michael Madeleka vs Republic (Criminal Appeal No.87 of 2023) [2023] TZHC 20838 (8 September 2023)
1780. Peter Michael vs. The Republic (Criminal Appeal No. 6 of 2023) [2023] TZHC 20562 (18 August 2023)
1781. Peter Onesmo vs Republic (DC Criminal Appeal 64 of 2016) [2016] TZHC 2052 (18 November 2016)
1782. Peter Paulo vs Republic (Criminal Appeal No 134 of 2016) [2017] TZCA 326 (14 July 2017)
1783. Petro Chacha @kichere vs Republic (Criminal Appeal 145 of 2021) [2022] TZHC 1132 (11 April 2022)
1784. Petro Moshi vs Republic (Criminal Appeal No. 173 of 2022) [2023] TZHC 18054 (9 June 2023)
1785. Petro Robert Mnyavilwa vs Abel Mwalibeti & Others (Civil Application No. 640 of 2021) [2024] TZCA 108 (23 February 2024)
1786. Phanuel Kisota (suing as the Legal Representative of the late Syra Mburumburu) vs Joseph Mungaya and 2 Others (Land Appeal 13 of 2020) [2022] TZHC 3097 (29 April 2022)
1787. Philipo Pamphili Isangu @ Ammy & another Vs The Republic (Criminal Appeal No 137 of 2022) [2023] TZHC 22847 (14 November 2023)
1788. Phinas Abamwesiga Kalokola vs His His Excellence the President of the United Republic of Tanzania and 2 Others (Misc. Civil Cause 6 of 2020) [2021] TZHC 5520 (29 July 2021)
1789. Pick Trading Company Limited vs Cretus vs Kato (Misc. Labour Application No. 188 of 2020) [2021] TZHCLD 410 (20 September 2021)
1790. Pili Hamisi vs Mtumwa Hamisi & Another (PC Civil Appeal 5 of 2017) [2018] TZHC 12 (8 March 2018)
1791. Pili Hamisi vs Mtumwa Hamisi & Another (PC Civil Appeal 5 of 2017) [2018] TZHC 2378 (8 March 2018)
1792. Pili Kisenga vs the Hon Attorney General (Misc. Civil Cause 15 of 2021) [2021] TZHC 7513 (3 December 2021)
1793. Pili Saiba Mwakipwete vs Eliud Mwalupeta (Misc. Land Appeal 6 of 2020) [2020] TZHC 4077 (12 November 2020)
1794. Pius Mtengwa and 4 Others vs The Registered Trustee of Seventh Day Adventist Church of Tanzania (Misc. Land Application 737 of 2018) [2021] TZHCLandD 773 (25 October 2021)
1795. Pius Mtengwa and 4 Others vs The Registered Trustees of Seventhday Adventist Church of Tanzania (Misc. Land Application 737 of 2018) [2021] TZHCLandD 6729 (25 October 2021)
1796. Pius Paulo Mbaruku vs. Frank Ramadhani Nyaki (Civil Case 9 of 2018) [2020] TZHC 4543 (14 December 2020)
1797. Pm Group Ltd vs Zongo A. Zongo (Misc. Application No. 5 of 2022) [2022] TZHCLD 226 (11 May 2022)
1798. Poketi Kicharoda Kambawaida vs District Commissioner of Tunduru and 4 Others (Misc. Civil Application No. 14 of 2023) [2023] TZHC 20402 (28 August 2023)
1799. Power and Network Back Up Ltd vs Faraji Iddi (Labour Revision 2 of 2020) [2022] TZHC 11140 (25 April 2022)
1800. Pride Tanzania Limited vs Mwanzani Kasatu Kasamia (Misc. Commercial Cause 230 of 2015) [2016] TZHCComD 30 (30 June 2016)
1801. Pride Tanzania Limited vs Mwanzani Sakatu Kasamia (Misc. Commercial Cause No. 230 of 2015) [2016] TZHC 2269 (30 June 2016)
1802. Prisca Masatu Wajere vs Madaraka Mnada & Another (PC Civil Appeal Case 36 of 2021) [2022] TZHC 9920 (2 June 2022)
1803. Priscah Mathias vs Rusalina On'wen (Misc. Appeal 70 of 2021) [2022] TZHC 175 (15 February 2022)
1804. Prudence Jeremia vs Modesti Kamakalwe (PC Civil Appeal 5 of 2022) [2022] TZHC 11349 (22 July 2022)
1805. Public Procurement Regulatory Authority vs Raymondi J. Mbishi (Revision No. 562 of 2016) [2018] TZHCLD 12 (24 August 2018)
1806. Pusindawa Losilo vs Republic (Criminal Appeal No. 313 of 2021) [2024] TZCA 183 (18 March 2024)
1807. R vs Peter S/O Mangong’o Awanahuruma @ Destration Honest Shayo @ Destroton Honest @ Deo Stratone Honest Shayo @ Stratone Honest @Ombeni (Criminal Session Case No. 35 of 2020) [2023] TZHC 20762 (28 August 2023)
1808. Rabieth Mpembeni & Another vs Bonitha Mlyelye (Misc. Land Application 8 of 2022) [2022] TZHC 15054 (5 December 2022)
1809. Rafael Kinyina vs Joshua Ntimba (Land Appeal 9 of 2018) [2020] TZHC 263 (16 March 2020)
1810. Rahma Nyamisango Muzigaba vs Allan Abubakar Makame (Civil Appeal 189 of 2020) [2022] TZHC 11794 (3 June 2022)
1811. Rajabu Chande Mkename vs Republic (Economic Crimes Application 41 of 2019) [2020] TZHC 85 (12 February 2020)
1812. Rajabu Hamsi vs Werengo Maharusi (PC Civil Appeal 41 of 2021) [2021] TZHC 7282 (16 November 2021)
1813. Rajabu Kassimu vs Republic (Misc. Criminal Application 12 of 2021) [2021] TZHC 4195 (23 July 2021)
1814. Rajabu Waziri vs Republic (Criminal Appeal No. 167 of 2023) [2023] TZHC 23126 (30 October 2023)
1815. Ramadhani Ally Mahege (Administrator of the Estate of the Late Mzee Salum Mahenge) vs Said Athumani Ndambasi (Mics. Land Case Appl. 454 of 2021) [2022] TZHCLandD 551 (17 June 2022)
1816. Ramadhani Bakari & 95 Others vs Aga Khan Hospital (Misc. Civil Application 294 of 2021) [2021] TZHC 12520 (26 November 2021)
1817. Ramadhani Hussein vs Imelda Abdallah (Land Case Revision 1 of 2018) [2021] TZHC 2383 (11 March 2021)
1818. Ramadhani Mbwana Kilo vs Samwel Odaa Otieno (PC Criminal Appeal 8 of 2022) [2022] TZHC 10677 (18 July 2022)
1819. Ramadhani Myolele Vs Hamad Ali Islam [2023] TZHC 23517 (15 December 2023)
1820. Ramadhani Nassoro Mayugumbi vs Niko Samweli Asaph (Application 177 of 2022) [2022] TZHCLandD 12260 (5 September 2022)
1821. Ramadhani Umaru vs Abdu Mussa (Misc. Civil Application 39 of 2015) [2018] TZHC 2439 (23 February 2018)
1822. Raphael D. Sindano & Others vs Mtande Amcos Ltd (PC. Civil Appeal 1 of 2023) [2023] TZHC 17744 (7 June 2023)
1823. Raphael James Mwinuka & 4 Others vs Republic (Misc. Criminal Application 154 of 2015) [2018] TZHC 2560 (13 April 2018)
1824. Raphael Matiko Makolom vs Merengo Gesewani (Misc. Land Appeal 15 of 2023) [2024] TZHC 332 (21 February 2024)
1825. Raphael Mtalima and Another vs Remina Auction Mart and Company Limited and 7 Others And (Land Case 190 of 2020) [2021] TZHCLandD 6794 (3 December 2021)
1826. Rashid Awami Njowoka vs Fatuma Mustapha (Misc. Civil Application 136 of 2021) [2022] TZHC 15023 (21 February 2022)
1827. Rashid Faini Alfan vs Republic (Misc. Criminal Application 15 of 2022) [2022] TZHC 3053 (21 April 2022)
1828. Rashid Mbedule & Others vs Republic (Consolidate Criminal Appeals 12 of 2022) [2022] TZHC 13087 (21 September 2022)
1829. Rashid Musa Mchomba vs Siri Nassir Hussein Siri and Another (Criminal Appeal 5 of 2023; Misc. Civil Application None of None) [2023] TZHC 18218 (6 June 2023)
1830. Rashid Ramadhan & 3 Others vs Utalii Food Caterers (Revs Appl No. 308 of 2021) [2022] TZHCLD 191 (22 April 2022)
1831. Rashid S. Mwisongo vs Charles Mapima (Revision 20 of 2022) [2022] TZHCLandD 12515 (31 October 2022)
1832. Rashid Said Matembo vs Fadhil Juma Kondo (PC Criminal Appeal 1 of 2021) [2022] TZHC 14936 (16 March 2022)
1833. Rashid Salim(on Behalf of Dr. Pili) vs Subina Sumari (Misc. Land Case Appeal 51 of 2019) [2021] TZHCLandD 617 (28 August 2021)
1834. Rashid Salum Adiy vs Minister of Constitution and Legal Affairs and Another (Misc. Civil Cause 30 of 2015) [2017] TZHC 2028 (3 February 2017)
1835. Regina Herman vs Ando Roofing Products Ltd (Civil Appeal 146 of 2020) [2023] TZCA 17275 (13 April 2023)
1836. Regina Ishemwabura V Nassoro Hamisi Nasoro& 2 Others [2023] TZHCLandD 47 (8 June 2023)
1837. Registered Trustees of Bakwata vs The Registered Trustees of Dodoma General Muslim Association (Civil Appeal No. 239 of 2020) [2023] TZCA 18013 (20 December 2023)
1838. Registered Trustees of Chamazi Ismalic Center & Another vs Mohamed Cheki Guni & Others (Civil Appeal No. 123 of 2022) [2023] TZCA 17911 (7 December 2023)
1839. Registered Trustees of Congregation of BrOthers of Charity of Tanzania vs Timoth Kayuni & Another (Civil Appeal Case 242 of 2019) [2022] TZHC 9813 (13 May 2022)
1840. Registered Trustees of Democratic Party (DP) vs Registrar of Political Parties & Another (Misc. Civil Cause 28 of 2018) [2019] TZHC 2 (22 July 2019)
1841. Registered Trustees of International Gospel of God vs John Masebo & Another (Land Appeal 24 of 2021) [2022] TZHC 11586 (11 February 2022)
1842. Registered Trustees of Khoja Shia Ithna asher Jammat vs Aliasgher Muktar Saajan (Misc. Land Aplication 9 of 2022) [2022] TZHC 14783 (10 November 2022)
1843. Registered Trustees of Khoja Shia Ithua Asheri Jamaat vs Àttorney General & 3 Others (Land Case 118 of 2019) [2022] TZHCLandD 636 (27 June 2022)
1844. Registered Trustees of Masjid Istiqamal vs Registered Trustees of Baraza Kuu La Waislam (bakwata) (Civil Case 83 of 2021) [2022] TZHC 14827 (25 November 2022)
1845. Registered Trustees of Masjid Mwinyi vs Pius Kipengele & Others (Civil Revision 2 of 2020) [2022] TZCA 736 (23 November 2022)
1846. Registered Trustees of Moshi Sports Club and 12 Others vs Rashidi Bushiri and 3 Others (Civil Case 8 of 2020) [2022] TZHC 3168 (12 April 2022)
1847. Registered Trustees of Redeemed Assembles of God in Tanzania (RAGT) vs Obed Heziron Sichembe & Another (Misc. Land Aplication 20 of 2015) [2016] TZHC 2149 (9 May 2016)
1848. Registered Trustees of the Anglican Church of Tanzania vs Reverend Canon Dr. Mecka Okoth Ogunde (Labor Revision 14 of 2022) [2022] TZHC 15431 (27 December 2022)
1849. Registered Trustees of the Avengelistic Assemblies of God vs Ibrahim Said Ibrahim and Others (Land Appeal 51 of 2017) [2020] TZHCLandD 32 (11 March 2020)
1850. Registered Trustees of the Evangelistic assemblies of God Tanzania vs Revs asumwisye Mwafongo Mwaisabila & 3 Others. (Civil Case 19 of 2021) [2022] TZHC 9853 (27 May 2022)
1851. Registered Trustees of the Evangelistic assemblies of God Tanzania vs Revs asumwisye Mwafongo Mwaisabila and Three Others (Civil Case 19 of 2021) [2022] TZHC 10171 (27 May 2022)
1852. Registrar of Organizations & Another vs Chama Cha Kutetea Haki Na Maslahi Ya Walimu Tanzania (chakamwata) (Labour Application No. 13 of 2022) [2022] TZHCLD 1138 (11 November 2022)
1853. Rehema Hassan Athuman vs. Mackdonald A. Magoha (Civil Appeal No. 16 of 2022) [2023] TZHC 16 (27 September 2023)
1854. Rehema Omari Nkuu vs Ardhi University (Revision No. 585 of 2019) [2020] TZHCLD 163 (3 July 2020)
1855. Rejoice Ndalima vs The Board of Trustee Pentecostal Holiness Mission (187 of 2021) [2022] TZHCLandD 189 (31 March 2022)
1856. Rejoice Ndalina vs The Board of Pentecostal Holiness Mission (Misc. Land Application 301 of 2022) [2022] TZHCLandD 704 (15 July 2022)
1857. Renold Semu Kombe vs Tumaini Wilfred Munisi (PC Matrimonial Appeal 38 of 2019) [2019] TZHC 60 (15 October 2019)
1858. Republic vs Ahazi Kilowoko (Criminal Session Case 102 of 2016) [2022] TZHC 14470 (4 November 2022)
1859. Republic vs Amos Mathias @ Masibuka @ Dr. Amos (Criminal Session Case 56 of 2023) [2023] TZHC 20070 (14 August 2023)
1860. Republic vs Bahati Melitano (Economic Case No. 2 of 2023) [2023] TZHC 19168 (24 July 2023)
1861. Republic vs Farid Hadi Ahmed and Others (Criminal Appeal 18 of 2019) [2020] TZHC 1272 (29 May 2020)
1862. Republic vs Idrisa Bomu Baltazari @ Kausha (Criminal Session Case No.34 of 2021) [2023] TZHC 21214 (22 September 2023)
1863. Republic vs Khalid Almas Mwinyi @ Banyata & 17 Others (Criminal Session Case 13 of 2021) [2022] TZHC 13059 (12 August 2022)
1864. Republic vs Khalid Almas Mwinyi and 17 Others (Criminal Session Case 13 of 2021) [2022] TZHC 14965 (2 December 2022)
1865. Republic vs Media Boastice Mwale & Others (Criminal Appeal 2 of 2016) [2016] TZCA 677 (15 September 2016)
1866. Republic vs Mohamed Hassan Omary Juma (Criminal Session Case 48 of 2016) [2022] TZHC 15789 (29 November 2022)
1867. Republic vs Mt 101694 Paschal Yustin @ Lipita (Criminal Jurisdiction Session Case 55 of 2020) [2022] TZHC 10381 (16 June 2022)
1868. Republic vs Mwita Koroso Mwita Johanes and Others (Criminal Session Case 28 of 2019) [2020] TZHC 462 (6 March 2020)
1869. Republic vs Niima Kwaslema (Criminal Session Case 22 of 2023) [2024] TZHC 1326 (8 April 2024)
1870. Republic vs Omary Salum Hamisi Sadiki (Criminal Session Case 41 of 2020) [2022] TZHC 14546 (7 November 2022)
1871. Republic vs Revelian Constantine and Another (Criminal Session Case 55 of 2017) [2021] TZHC 3175 (17 May 2021)
1872. Republic vs Saasaba S/O Malembo Matage & 6 Others (Criminal Appeal No. 26 of 2022) [2023] TZHC 17980 (3 February 2023)
1873. Republic vs Shadrack Kapanga (Criminal Session Case No. 111 Of 2022) [2023] TZHC 23775 (5 December 2023)
1874. Republic vs Sijaona Duruma and Two Others (Misc. Criminal Application 4 of 2021) [2021] TZHC 2104 (24 February 2021)
1875. Returning officer Mvomero District Council and Others vs Pius Ally Mhehe and Others (Civil Appeal 104 of 2019) [2020] TZHC 4486 (21 February 2020)
1876. Returning officer Mvomero District Council and Others vs Pius Ally Mhehe and Others. (Civil Appeal 104 of 2019) [2020] TZHC 2024 (21 February 2020)
1877. Rev. Benson John Kitonka Vs. Amina N. Makilagi @ The District Commissioner of Nyamagana & Another (Miscellaneous Civil Application No. 68 of 2023) [2024] TZHC 163 (5 February 2024)
1878. Rev. Dr. John Mahene & Others vs Registered Trustees of the Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) & Others (Misc. Civil Cause 22 of 2017) [2018] TZHC 124 (29 May 2018)
1879. Rev. Isack Richaed vs. Bishop Solomo Rukumaye & 3 Others (Civil Appeal 31 of 2022) [2023] TZHC 18372 (22 May 2023)
1880. Rev. Isack Richard vs. Bishop Solomon Rukumaye & 3 Others (Civil Appeal 31 of 2022) [2023] TZHC 18371 (22 May 2023)
1881. Rev. Ronilick Eli Kasambala Mchami versus Brighton B. L. Kilawa (Labour Complaint No. 04 OF 2023) [2023] TZHC 23871 (27 November 2023)
1882. Revina Raphael Bigambe vs Dangote Industries Ltd and Another (Application for Labour Revision 14 of 2019) [2020] TZHC 1970 (2 June 2020)
1883. Reza Company vs Tanzania Ports Authority (Civil Review 7 of 2021) [2022] TZHC 9522 (9 May 2022)
1884. Rhobi Isaya Ryoba vs Isaya Ryoba (Misc Civil Application 5 of 2023) [2024] TZHC 812 (14 March 2024)
1885. Rhoda Anthony vs Severian X-avery andOthers (Misc. Land Case Appeal 49 of 2019) [2021] TZHC 3654 (18 June 2021)
1886. Richard Changei Ng'ombe vs Republic (Criminal Appeal 40809 of 2023) [2024] TZHC 1585 (24 April 2024)
1887. Richard Chidogowe vs Robert Magazi (Land Appeal No. 95 of 2022) [2023] TZHC 21915 (17 October 2023)
1888. Richard Kasagota Kibili vs Raphael Kurubone Milimo and 8 Others (PC. Civil Appeal 12 of 2020) [2021] TZHC 2100 (19 February 2021)
1889. Richard Masanika and 2 Others vs Yeremiah Yesaya Ibadu (Misc. Land Aplication 4 of 2021) [2022] TZHC 12144 (9 August 2022)
1890. Rilash Kalaiya vs Ngano Ltd (Revision 89 of 2021) [2022] TZHC 10260 (23 June 2022)
1891. Rita Alex Maro vs Emmanuel Alex Maro & 2 Others (Misc. Civil Application 101 of 2021) [2022] TZHC 11384 (2 August 2022)
1892. Rita Alex Maro vs Emmanuel Alex Maro and 2 Others (Misc. Civil Application 102 of 2022) [2023] TZHC 17142 (3 May 2023)
1893. Ritha D. Byabato vs Helena Daniel Lunyangi (Misc. Appeal 13 of 2022) [2022] TZHC 13521 (19 September 2022)
1894. Robert Jeremia Marandu (suing As Administrator Of The Estate Of The Late Seprina Makimoso) vs Samwel Mkindi Lyimo @ Mkindi S. Lyimo (Land Appeal No. 82 of 2021) [2023] TZHC 284 (13 February 2023)
1895. Robert John Maitland vs Republic & Others (Criminal Revision 13 of 2010) [2016] TZCA 673 (12 February 2016)
1896. Robert Malimi and 31 others vs Terezia Heneriko Gwape and another (Land Revision No. 6 of 2023) [2023] TZHC 23483 (12 December 2023)
1897. Robert Malisa vs CRDB Bank Plc (Civil Case 99 of 2022) [2022] TZHC 13889 (7 October 2022)
1898. Robert Sibora Mwita vs Said Abdallah Abdi and Others (Land Case Appeal 145 of 2018) [2020] TZHCLandD 38 (6 March 2020)
1899. Roda Nkaba vs Daud Ntumiligwa (Civil Appeal No. 59 of 2021) [2023] TZCA 17664 (27 September 2023)
1900. Roda Onyango vs Kikundi Cha Umoja Wa Madereva Na Ufundi Shirati (PC Civil Appeal 8 of 2021) [2021] TZHC 5645 (16 August 2021)
1901. Rogers Adrian vs Family Planning Association of Tanzania (Misc. Labour Revision No. 4 of 2024) [2024] TZHC 2012 (13 May 2024)
1902. Roman Swai vs Wimana Deogratius (Land Revision No. 41 of 2022) [2023] TZHCLandD 16579 (6 April 2023)
1903. Romwald William vs Republic (Criminal Appeal 315 of 2015) [2016] TZCA 674 (26 February 2016)
1904. Ronilick Kasambara Mchami vs Brighton B. L. Kilewa & 3 Others (Labour Complaint No. 04 of 2023) [2023] TZHC 23503 (29 December 2023)
1905. Roseline Achachi Lilian Wandera Vs The Republic (Misc. Criminal Appl. 107 of 2023) [2023] TZHC 21788 (1 September 2023)
1906. Roseline Achechi Wandera vs The Republic (Misc Economic Cause No. 156 of 2023) [2023] TZHC 23008 (27 November 2023)
1907. Rozalia Charles vs Charles Kahutu (Misc. Civil Application 25 of 2020) [2021] TZHC 4153 (6 July 2021)
1908. Rutanjaga Mathias and Another vs Elias Emmanuel (Criminal Appeal 12 of 2019) [2020] TZHC 944 (11 May 2020)
1909. Ruth Ibrahim vs Lusekelo Mwakalukwa (Misc. Civil Application 55 of 2022) [2022] TZHC 13042 (22 September 2022)
1910. Rwagasole Nzengo vs Thomas Selestin (PC Civil Appeal 42 of 2022) [2022] TZHC 13708 (27 September 2022)
1911. SGT.Anthony Lesule vs Republic (Misc. Criminal Application 238 of 2021) [2021] TZHC 9037 (23 December 2021)
1912. SIL International - Tanzania Branch vs Eliud Mwakalasya (Labour Revision No. 11 of 2023) [2023] TZHC 19254 (26 July 2023)
1913. SURAFA SOSPITA vsYAHYA MUSSA IBUMA. and another (MISC. CIVIL REVISION NO. 31 OF 2022) [2022] TZHC 17251 (5 March 2022)
1914. SUTAYI NTAMBI KAZUNGU vs. FRANK KAPERA VENUS (Civil Appeal No. 23 of 2021) [2023] TZHC 17934 (20 February 2023)
1915. Saada Ahmed Uledi & Others vs Republic (Misc. Criminal Application 100 of 2019) [2019] TZHC 122 (17 October 2019)
1916. Saasaba Malembo Matage vs Elias Joshua Mganda (PC Probate Appeal 10 of 2022) [2022] TZHC 3236 (18 May 2022)
1917. Sada Jumanne Said Vs. Sawa Hamisi Kazuba (Misc. Civil Application No. 36 of 2023) [2023] TZHC 22833 (3 November 2023)
1918. Sadam Ramadhani vs. The Republic (DC Criminal Appeal No. 80 of 2023) [2023] TZHC 22598 (10 November 2023)
1919. Sadick Japhary @ Masunzu vs Republic (Criminal Appeal 44 of 2019) [2022] TZCA 675 (7 November 2022)
1920. Sadock Paul Barwongeza vs Muleba District Council & Another (Misc. Civil Cause No. 2 of 2023) [2024] TZHC 1270 (28 March 2024)
1921. Sagati Wanjara vs Republic (Misc. Criminal Application 39176 of 2023) [2024] TZHC 1317 (8 April 2024)
1922. Sahara Media Group Ltd and 2 others vs KCB Bank Tanzania Ltd (Misc. Civil Application No. 3639 of 2023) [2024] TZHC 1043 (18 March 2024)
1923. Sahara Media Group vs SIMBANET Tanzania Limited (Civil Appeal No.65 of 2020) [2023] TZCA 17479 (9 August 2023)
1924. Saibulu Melau Sindamwe @ Mollel vs Republic (Criminal Application 19 of 2018) [2018] TZHC 2177 (8 June 2018)
1925. Said Ally Omary and Another vs Mbaraka Ally Mkola (Misc. Land Case Appeal 19 of 2019) [2020] TZHC 569 (13 March 2020)
1926. Said Athuman Issa vs Republic (Criminal Appeal No. 34 of 2022) [2023] TZHC 16139 (13 March 2023)
1927. Said H. Msulwa & 56 others vs. District Commissioner of Morogoro District & 2 others (Misc. Land Application no. 73 of 2023) [2023] TZHC 22003 (13 October 2023)
1928. Said Selemani Mgata vs Republic (Misc. Economic Cause 48 of 2018) [2018] TZHCCED 40 (28 September 2018)
1929. Said s/o Shabani vs Republic (Criminal Appeal No. 175 of 2011) [2019] TZCA 535 (15 August 2019)
1930. Salaaman Health Services vs Tanzania Insurance Regulatory Authority & Others (Civil Reference No. 21 of 2023) [2023] TZHC 20974 (13 September 2023)
1931. Salaaman Health Services vs Tanzania Insurance Regulatory Authority & Others (Misc. Cause 29 of 2022) [2022] TZHC 11573 (12 August 2022)
1932. Salehe Hassan Mjinja vs Kizuka Tpdf High School (Revision Application No. 428 of 2019) [2021] TZHCLD 274 (1 July 2021)
1933. Salehe Shabani Tangila vs Johari Mabruki (20 of 2021) [2022] TZHC 116 (4 February 2022)
1934. Salimu Omari Salim & Another vs Ally Mohamed Haniu (Civil Appeal No. 300 of 2020) [2023] TZHC 15886 (17 February 2023)
1935. Salmin Mbarak Salim t/a East Africa Investment vs Ras Investment (Misc. Land Case Application 331 of 2021) [2021] TZHCLandD 641 (25 October 2021)
1936. Salome Masanja Masala vs. Jackson Sumuni t/a JesheHardware & 2 others (Land Appeal No 126 of 2022) [2024] TZHC 72 (29 January 2024)
1937. Salum Athuman Jongo & Others vs Halfan Abdallah (Misc. Land Application 382 of 2017) [2018] TZHCLandD 6 (28 February 2018)
1938. Salum Kayanda Kakulu and 1 Another vs Republic (Misc. Criminal Application 40 of 2020) [2020] TZHC 4318 (15 December 2020)
1939. Salum Ngwembe vs Hadija Rashid Msusa (Misc. Land Appeal 70 of 2021) [2021] TZHCLandD 802 (18 November 2021)
1940. Salum Ramadhani vs Amina Ramadhani (PC Civil Appeal 53 of 2021) [2022] TZHC 11988 (12 May 2022)
1941. Salum Shamte vs The Republic (Criminal Appeal No. 21 of 2023) [2023] TZHC 22080 (8 September 2023)
1942. Salum Yasin Mutani & Others vs Republic (Misc. Economic Cause 65 of 2018) [2018] TZHCCED 57 (10 December 2018)
1943. Sameer Abdulmajid Juneja vs Yasmin Kassu Mohamed (Civil Appeal 241 of 2020) [2021] TZHC 3031 (15 April 2021)
1944. Samna(t)investment Ltd vs Mbozi Coffee Cring Co.Ltd &another (PC Civil Appeal No. 15 of 2021) [2023] TZHC 15861 (3 March 2023)
1945. Samson Enocs Kameeta vs Pentecoste Christian Church Buza & 3 Others (Misc. Application 278 of 2019) [2022] TZHCLandD 7 (21 January 2022)
1946. Samson Enos Kameeta vs Pentecost Christian Church of Buza and 3 Others (Misc. Land Case Application 278 of 2019) [2021] TZHCLandD 586 (18 June 2021)
1947. Samson K. Mkotya vs Dodoma Municipal Director and Another (Misc. Cause 66 of 2017) [2021] TZHC 5983 (16 August 2021)
1948. Samson Zablon Masija vs Joyce Seleman Kisunda (PC Matrimonial Appeal 5 of 2021) [2021] TZHC 7361 (24 November 2021)
1949. Samwel Apollo Odiero vs Temeke Municipal Council (Misc. Land Application 87 of 2017) [2018] TZHCLandD 83 (13 April 2018)
1950. Samwel Chacha @ Nkori vs Republic (Criminal Appeal 72 of 2021) [2021] TZHC 5731 (25 August 2021)
1951. Samwel Gitau Saitoti @ Saimoo & Another vs Republic (Criminal Appeal No 5 of 2016) [2019] TZCA 611 (30 August 2019)
1952. Samwel Muhulo vs. Zebio Real Estate (Application for Revision no. 9 of 2023) [2023] TZHC 17802 (19 May 2023)
1953. Samwel andrea vs Richard andrea and Another (Misc. Land Appeal 8 of 2019) [2020] TZHC 3850 (2 October 2020)
1954. Sangito Kaaya vs Victor Kisamo (Criminal Appeal 24 of 2020) [2022] TZHC 705 (29 March 2022)
1955. Santana Investment Limited vs DB Shapriya & Company Limited, Sogea Satom Company and Barclays Tanzania Limited (Misc. Civil Application No. 104 of 2022) [2023] TZHC 16238 (24 March 2023)
1956. Sapphire Float Glass (T) Ltd vs Aymak Attorney (Misc. Commercial Application No. 1 of 2023) [2024] TZHCComD 41 (2 April 2024)
1957. Sarah Monyo vs Exim Bank (T) Limited (Revision Application No. 6934 of 2024) [2024] TZHCLD 84 (21 May 2024)
1958. Saraphina Mbinge vs Salehe Juma and 7 Others (Land Case 123 of 2019) [2021] TZHCLandD 795 (2 November 2021)
1959. Satiel s/o Duguda and Another vs Manyovu Amcos Ltd (PC Civil Appeal 2 of 2020) [2020] TZHC 1427 (22 June 2020)
1960. Savorgnan William Sosoma & 18 Others vs Mkurugenzi Orion Tabora Hotel (Labour Revision 23 of 2020) [2022] TZHC 15264 (14 December 2022)
1961. Sayi Maduhu Manjale & Another vs Republic (Misc. Criminal Application No. 31 of 2023) [2023] TZHC 21834 (1 September 2023)
1962. Sayi s/o Msingi @ Kiranga and Another vs Republic (Criminal Appeal 137 of 2020) [2021] TZHC 2828 (28 April 2021)
1963. Sayida Daud Masanja Versus Vodacom T. Public L.t.d Co. (Civil Case No. 06 of 2023) [2024] TZHC 1240 (15 March 2024)
1964. Sebastian Lukasi Chindandi vs Elkusi Gabulyeli Ngapulila (Land Appeal No 690 of 2024) [2024] TZHC 1644 (25 April 2024)
1965. Secretary General, Researchers, Academicians & Allied Workers Union vs Chairman (Labour Dispute No. 3 of 2019) [2020] TZHCLD 96 (28 April 2020)
1966. Segorina P. Kiwango and 2 Others vs Daniel Materu and Another (Misc. Land Application 535 of 2020) [2021] TZHCLandD 425 (30 August 2021)
1967. Sele Madinda vs Mawazo Katobora (Matrimonial Appeal 4 of 2020) [2020] TZHC 1973 (5 October 2020)
1968. Selemani David @ Shaban & Others vs The Republic (Criminal Revision No. 03 of 2022) [2023] TZHC 19235 (21 July 2023)
1969. Selemani Mustafa Mtipa vs Republic (Criminal Appeal No.19 of 2023) [2023] TZHC 22603 (29 September 2023)
1970. Selemani Said Kuwi vs Loren Ramadhani (Land Appeal 248 of 2020) [2021] TZHCLandD 767 (25 October 2021)
1971. Senzighe Twamzihirwa Gidion and Another vs Mukidoma Scholl Company Limited and Two Others (Revision Application 103 of 2020) [2022] TZHC 9758 (31 May 2022)
1972. Serengeti District Council vs Monica Alex (Consolidated Criminal Appeal 4 of 2020) [2020] TZHC 2463 (24 August 2020)
1973. Serikali Ya Kijiji Cha Yaratonic vs Lukas Hariya (Land Appeal 21 of 2020) [2022] TZHC 169 (18 February 2022)
1974. Shaaban Fundi & 5 others vs Attorney General (Misc. Civil Cause 18 of 2022) [2023] TZHC 19068 (20 July 2023)
1975. Shaabani Fundi & Others vs The Attorney General (Misc. Civil Cause No.18 of 2022) [2023] TZHC 19120 (20 July 2023)
1976. Shaban Hamad & Another vs Geita town Council (Misc. Land Appeal 27 of 2022) [2022] TZHC 13295 (3 October 2022)
1977. Shabani Haji vs Butiama Lodge Company (Misc. Land Case Application 208 of 2021) [2021] TZHCLandD 866 (4 November 2021)
1978. Shabani Juma Ramadhan & Another vs Republic (Misc. Economic Cause No. 33 of 2017) [2017] TZHCCED 14 (20 November 2017)
1979. Shaga Maziba vs Mugendi Bega (Misc. Land Appeal 133 of 2020) [2021] TZHC 2826 (22 April 2021)
1980. Shana General Stores Limited vs Commissioner General (TRA) (Civil Appeal No. 369 of 2020) [2021] TZCA 643 (4 November 2021)
1981. Shared Interest Society Ltd vs Kilimanjaro Native Co- Operative Union (1984) Ltd (Civil Case No. 5 of 2023) [2023] TZHC 22068 (18 October 2023)
1982. Sharifa Aloyce Mshana vs Exim Bank (T) Limited & 2 Others (Misc. Land Application No. 501 of 2023) [2023] TZHCLandD 17146 (16 November 2023)
1983. Sharriff Chacha vs Dr. Christian Kudila and Another (Land Appeal 27 of 2020) [2021] TZHC 2876 (16 April 2021)
1984. Shija Abeli Malimi vs Enos Hangi Masaju (PC Civil Appeal 49 of 2019) [2020] TZHC 850 (28 April 2020)
1985. Shija Ndali Matango vs Republic (DC Criminal Appeal 14 of 2020) [2020] TZHC 4305 (4 December 2020)
1986. Shija s/o Malale @ Kasenga vs The Republic (Misc Criminal Application 21 of 2023) [2023] TZHC 18649 (19 June 2023)
1987. Shimalangwada Estate Company vs NMB Bank PLC (Misc. Land Application 32 of 2023) [2023] TZHC 18806 (11 July 2023)
1988. Shishi Mwigulu vs Republic (Criminal Appeal 61 of 2020) [2021] TZHC 2548 (19 March 2021)
1989. Shukuru Elias Nyaringa @Shukuru Elias vs Haidary Hemed Sumry & 2 Others (Land Case No. 06 of 2023) [2024] TZHC 14 (11 January 2024)
1990. Sida Madirisha vs Republic (Criminal Appeal 62 of 2021) [2021] TZHC 6513 (16 September 2021)
1991. Sijali Msumbwa vs Jacob Bihemo Lukonge (Land Appeal No. 43 of 2022) [2023] TZHC 15718 (23 February 2023)
1992. Sikunjema Mgaya & 3 Others vs Jumanne R. Mahenge & 2 Others (PC Probate and Administration Appeal 2 of 2022) [2022] TZHC 14822 (23 November 2022)
1993. Sila Obel vs Clementina Kanga (Misc. Land Appeal 40 of 2021) [2021] TZHC 6296 (16 September 2021)
1994. Silas Sasi Tugara@jacob Tugara vs Republic (Misc. Criminal Application 36 of 2021) [2022] TZHC 990 (11 April 2022)
1995. Silverious Mgaiza & Another vs Republic (Misc. Economic Cause 53 of 2017) [2018] TZHCCED 3 (11 January 2018)
1996. Silverius Komba vs Leonard Nkana (Misc. Land Application 5 of 2019) [2020] TZHCLandD 171 (17 August 2020)
1997. Simbinda Kasimbili vs Joseph Mwasibula (Misc. Land Application 37 of 2019) [2020] TZHC 3574 (1 October 2020)
1998. Simon Masasi vs Mwashona Village Council and 2 Others (Misc. Land Application 11 of 2020) [2020] TZHC 4412 (14 December 2020)
1999. Simon Peter Kimiti vs Joseph Baltazar Kameka, Alfred Manyika, Paul J. Kimiti and George Sing'ombe (Land Revision 3 of 2020) [2022] TZHC 9 (19 January 2022)
2000. Simpli Safe Security Group Co Ltd vs Ramadhani Juma Msanja (Revision No. 371 of 2020) [2021] TZHCLD 484 (5 November 2021)
2001. Sinjore Ngeseyan Laizer and Another vs DPP and Another (Criminal Revision 1 of 2022) [2022] TZHC 11111 (22 July 2022)
2002. Siwema Hemed Mikongo vs Dhahiri and Hussein (Application for Revision No. 39 of 2022) [2022] TZHCLD 1066 (16 November 2022)
2003. Siyoi Eliata vs The D.P.P (Criminal Appeal No. 25 of 2023) [2023] TZHC 23651 (23 November 2023)
2004. Sofia Mrisho Madenge (administratix of the Estate of the Late Omary Madenge) vs Hamis Mwinyimbegu (Misc. Land Case Application 563 of 2020) [2021] TZHCLandD 281 (9 July 2021)
2005. Sokoine University of Agriculture vs. Ramani Consultants Limited (Misc. Civil application No. 27 of 2023) [2023] TZHC 20076 (14 August 2023)
2006. Solomon Makuru Mtenya@kuhembe & Another vs Republic (Misc. Criminal Application 268 of 2021) [2022] TZHC 991 (7 February 2022)
2007. Solomon Samson Mganga vs The DPP (Criminal Appeal 135 of 2022) [2023] TZHC 18190 (20 June 2023)
2008. Songa Irus Loma and Another vs Republic (Misc. Criminal Application 98 of 2021) [2021] TZHC 7352 (12 November 2021)
2009. Sophia Andrew Ngalawa vs Teddy Aizack Mefyuzi (Matrimonial Appeal No. 15 of 2022) [2023] TZHC 17440 (25 May 2023)
2010. Sophia Chitundi vs Frednand A. Chami (Misc. Land Aplication 266 of 2022) [2022] TZHCLandD 12796 (23 February 2022)
2011. Sophia Chitundi vs Frednand A. Chami (Misc. Land Appeal 266 of 2022) [2022] TZHCLandD 12797 (23 February 2022)
2012. Sophia Chitundi vs Frednand A. Chami (Misc. Land Appeal 266 of 2022) [2023] TZHCLandD 103 (23 February 2023)
2013. Sophia Chitundi vs Frednand A. Chami (Misc. Land Application 266 of 2022) [2022] TZHCLandD 12798 (23 February 2022)
2014. Sophia Joackim Mganya vs Philipo Gasper Kilenga (Consolidated Civil Appeal No. 36 of 2022) [2023] TZHC 16295 (22 March 2023)
2015. Sophia Mohamed Juma vs NMB & 2 Others (Misc. Application No. 469 of 2023) [2023] TZHCLandD 17128 (16 November 2023)
2016. Sospeter Ramadhani and Two others vs. Mchiwa Chedego (Misc. Land Appeal No. 37 of 2023) [2023] TZHC 22767 (20 November 2023)
2017. Southern Sun Hotels Tanzania Ltd vs The Labour Commission (Labour Dispute 1 of 2021) [2021] TZHC 10715 (10 December 2021)
2018. Spedito Pascal Twange vs Republic (DC Criminal Appeal 66 of 2021) [2022] TZHC 11055 (25 July 2022)
2019. Spencon Services (T) Ltd vs Gradiators Investment Co. Ltd and Another (Civil Appeal 21 of 2018) [2020] TZHC 1690 (2 July 2020)
2020. St. Augustine University of Tanzania (SAUT) v. 94 Security Co. Ltd (DC Civil Appeal No. 03 of 2023) [2023] TZHC 19218 (26 July 2023)
2021. St. Thresa of the Child Jesus Secondary School vs Edwin George & 4 Others (Labour Revision 84 of 2020) [2022] TZHC 12333 (10 August 2022)
2022. Stanbic Bank (T) Ltd vs Amiri Daudi Maliki (Revision No. 222 of 2019) [2021] TZHCLD 260 (16 July 2021)
2023. Stanbic Bank Tanzania Ltd vs Salvatory Kazoneye Segwenda (Civil Appeal No. 202 of 2019) [2022] TZCA 140 (24 March 2022)
2024. Stanslaus M.N. Njau vs Highland Veternary Co. Ltd and Another (Revision 96 of 2019) [2020] TZHC 1083 (4 May 2020)
2025. Star General Insurance (T) Ltd vs Rai Suleiman and Another (Civil Appeal 18 of 2019) [2021] TZHC 3359 (17 May 2021)
2026. Stella Egidio vs Tanzania Standards News Paper Ltd (Revision No. 442 of 2016) [2018] TZHCLD 9 (24 August 2018)
2027. Stephano Abel Sapi and 7 Others vs Tanzania Red Cross Society (Misc. Civil Cause 578 of 2022) [2022] TZHC 15515 (28 December 2022)
2028. Stephano Bhoke Mathube vs Barrick North Mara Gold Mine (Civil Appeal No. 18 of 2023) [2023] TZHC 21596 (5 October 2023)
2029. Stephen Denis Chuwa vs Flora Denis Chuwa (PC Probate Appeal 9 of 2022) [2022] TZHC 14998 (7 December 2022)
2030. Steven Amandus Ngonyani vs Amos Ruben (Land Appeal 25 of 2022) [2022] TZHCLandD 12394 (4 October 2022)
2031. Steven Kibwana vs Banc Abc Ltd (Land Case 174 of 2014) [2018] TZHCLandD 47 (21 March 2018)
2032. Stick s/o Kinzaand Another vs Republic. (Criminal Appeal 106 of 2019) [2020] TZHC 1866 (5 June 2020)
2033. Stivin Clemens vs Julius Pendakazi Nkwazi (Misc. Land Appeal 15 of 2020) [2022] TZHCLandD 22 (28 January 2022)
2034. Subira Amon Mwamunyange vs E.F.C Tanzania Microfinance Ltd and Others (Misc. Land Application 163 of 2020) [2021] TZHCLandD 6699 (25 November 2021)
2035. Sulbesto Minango vs Sevarino Mpatwa (Misc. Land Case Appeal No. 01 of 2023) [2024] TZHC 1215 (28 March 2024)
2036. Suleji Hassani Mwanya vs. The Republic (Criminal Appeal No. 37572 of 2023) [2024] TZHC 2087 (22 March 2024)
2037. Sunford Aminiel Urio (Administrator of the Estate of the late Aminiel Theofilo Urio) vs Rombo District Council and Two Others (Land Case No. 4 of 2023) [2023] TZHC 20184 (11 August 2023)
2038. Sungura Nyangarya vs Moshi Makuru ((PC) Civil Appeal 1082 of 2024) [2024] TZHC 1908 (8 May 2024)
2039. Sunkist Bakery Limited vs George Mkilindi (Application for Revision 41 of 2019) [2021] TZHC 7060 (11 November 2021)
2040. Swamila Kitaraga vs Kibirimo Tabori (Land Appeal No. 69 of 2022) [2023] TZHC 17659 (29 May 2023)
2041. Sylivia Bahame vs National Bank of Commerce Limited (Miscellaneous Labour Application No. 68 of 2023) [2023] TZHCLD 1315 (13 June 2023)
2042. Symbion Power Tanzania Limited vs CITIBANK Tanzania Limited & Another (Civil Application No. 287/16 of 2022) [2024] TZCA 354 (9 May 2024)
2043. TACAS LTD VS COMMERCIAL BANK OF AFRICA (T) (Mics. Civil Appl. No. 588 of 2023) [2023] TZHC 16070 (17 March 2023)
2044. THE BOARD OF TRUSTEE OF TANZANIA MISSION REVIVAL CHURCH V]S THE BOARD OF TRUSTEE OF PENTECOSTAL EVAGEL (LAND APPEAL NO. 53/2021) [2024] TZHC 2179 (12 February 2024)
2045. TRIACT East Africa Ltd vs Labour Commissioner (Labour Revision No. 03 of 2023) [2023] TZHC 18143 (16 June 2023)
2046. Tabani Banosi @ Mataro and Mwita Chacha Bwiri vs Republic (Criminal Appeal 55 of 2021) [2021] TZHC 6329 (28 September 2021)
2047. Tanga Cement Public Limited Company vs Fair Competition Commission (Misc. Civil Application 188 of 2017) [2017] TZHCComD 2018 (4 August 2017)
2048. Tanzania Women Lawyers Associatiojn vs Hon. Minister for Legal & Constituion Affairs & Another (Misc. Civil Application No. 32 of 2023.) [2024] TZHC 1246 (2 April 2024)
2049. Tanzania Audio Visual Disributors Association & Others vs Honourable Attorney General & Others (Constitution Petition 10 of 2015) [2018] TZHC 2937 (27 March 2018)
2050. Tanzania Audio Visual Distributors Association & Others vs Honourable Attorney General & Others (Constitution Petition 10 of 2014) [2018] TZHC 2938 (27 March 2018)
2051. Tanzania Breweries Limited v. Andrew Lucas Shayo and 2 Others (Revision Application No. 21 of 2023) [2024] TZHC 429 (21 February 2024)
2052. Tanzania Breweries Public Limited Company ( Formerly Known as Tanzania Breweries Limited) v Alexander Calist Kundy (Labour Revision No. 38 of 2022) [2024] TZHC 419 (7 February 2024)
2053. Tanzania Cigaratte Public Limited Company vs Bakari Salehe, Upendo Mbughu & Others (Civil Appeal No. 80 of 2021) [2024] TZCA 145 (1 March 2024)
2054. Tanzania Cigarette Company Limited vs Elizabeth Kipuyo (Revision No. 326 of 2015) [2016] TZHC 2243 (28 October 2016)
2055. Tanzania Cigarette Plc vs Benjamin Nyange (Labor Revision No. 5 of 2022) [2023] TZHC 15963 (2 March 2023)
2056. Tanzania Electric Supply Co. Ltd. vs Ruth F. Tunzo (Civil Appeal 3 of 2021) [2022] TZHC 15822 (27 October 2022)
2057. Tanzania Electric Supply Company Limited vs. Frank Kasinde and Others (Miscellaneous Labour Application No. 13 of 2023) [2024] TZHC 1364 (5 April 2024)
2058. Tanzania Game Trackers Limited vs Bryan Priestley (Civil Application No.17/02 of 2019) [2023] TZCA 17569 (31 August 2023)
2059. Tanzania Portland cement public limited company vs Christopher Eliud Chambo & 3 others (Civil Appeal No. 85 of 2023) [2024] TZHC 1913 (9 May 2024)
2060. Tanzania Railways Corporation vs. Silvester Mwantela (Revision Application No. 140 of 2023) [2023] TZHCLD 1453 (25 September 2023)
2061. Tanzania Rent A Car Ltd vs Peter Kimuhu (Civil Application No. 210 of 2019) [2019] TZCA 560 (7 August 2019)
2062. Tanzania Rent A Car vs Peter Kimuhu (Civil Application No. 210 of 2019) [2019] TZCA 212 (8 August 2019)
2063. Tanzania Revenue Authority vs Mulamuzi Byabusha (Revision No. 312 of 2021) [2022] TZHCLD 597 (27 May 2022)
2064. Tanzania Women Lawyers' Association vs Hon. Minister for Constitutional and Legal Affairs & Another (Misc. Cause No.61 of 2022) [2023] TZHC 19134 (18 July 2023)
2065. Tanzania Zambia Authority & Another vs Mary Executive Restaurant Alias Mary Executive Lodge Railway (Land Case No. 29 of 2023) [2023] TZHCLandD 16587 (26 June 2023)
2066. Tanzania Zambia Railway Authority & Another vs Mary Executive Restaurant Alias Mary Executive Lodge (Land Case No. 29 of 2023) [2024] TZHCLandD 155 (26 March 2024)
2067. Taqabbal Ayoub Mwasha vs Republic (Misc. Criminal Application 72 of 2022) [2022] TZHC 14101 (10 October 2022)
2068. Tausi Korongo vs. Nassoro Korongo (Land Appeal no. 13 of 2023) [2024] TZHC 578 (29 February 2024)
2069. Tauta Mbuyu @ Kimani and Another vs Republic (Misc. Criminal Application 59 of 2021) [2021] TZHC 7124 (20 August 2021)
2070. Tegnas E. Pulapula vs Agunela Z. Swedi (Misc. Civil Appl. 342 of 2020) [2021] TZHC 3076 (9 April 2021)
2071. Teritula Lyimo vs Michael Christopher Moshi (Land Appeal 22 of 2022) [2022] TZHC 15017 (5 December 2022)
2072. Thadei Hamisi Mtandika vs Republic (Misc. Criminal Application 61 of 2018) [2019] TZHC 2023 (28 January 2019)
2073. The Director of Public Prosecutions (Criminal Application 8 of 2023) [2023] TZHC 19946 (7 August 2023)
2074. The Registered Trust Of Masjidul Istiqamah Mzambzrauni vs The Registered Trustees Of Baraza Kuu La Waislam Tanzania (BAKWATA) And 7 others (Civil Case 83 of 2021) [2023] TZHC 18151 (16 June 2023)
2075. The Registered Trustee of Masjid Al-Azhal and Madrasat Al-Hayatil Islamia vs Assistant Registrar of Titles (Miscellaneous Land Appeal No. 4279 of 2024) [2024] TZHC 2158 (17 May 2024)
2076. The Registered Trustees of Calvary Assemblies of God (cag) vs Tanzania Steel Pipes Ltd & 2 Others (Application 579 of 2022) [2022] TZHCLandD 12619 (14 November 2022)
2077. The Registered Trustees of National Convention for Construction and Reform (NCCR MAGEUZI) vs James Francis Mbatia (Misc. Civil Application No. 17 of 2023) [2023] TZHC 17795 (12 June 2023)
2078. The Registered Trustees of Roman Catholic Diocese of Kigoma vs Registered Trustees of the chama cha Mapinduzi and 3 Others. (Land Case No 10 of 2023) [2023] TZHC 21856 (29 September 2023)
2079. The Registered Trustees of the Kituo chaElimu na Maendeleo Matemenga (KIUMMA) Trust Fund vs The Registered Trustees of Kanisa la Upendo wa Kristo (KIUMA) and 2 Others (Civil Case No. 05 of 2022) [2023] TZHC 18616 (30 June 2023)
2080. The Republic Vs. Emmanuel Naasi @ Wasiwasi (Criminal Session No.76 of 2022) [2023] TZHC 18063 (14 June 2023)
2081. The Republic vs Elija Thomas @Patrice Anthony Patrick (Criminal Sessions Case 163 of 2022) [2023] TZHC 23172 (24 November 2023)
2082. The Republic vs John Simon @Kadaso and Another (Criminal Session Case No.87 of 2022) [2024] TZHC 1789 (30 April 2024)
2083. The Republic vs Mgwasi Jumanne @ Wapori & Another (Criminal Sessions Case 24 of 2023) [2023] TZHC 21950 (17 October 2023)
2084. The Republic vs Mkome Edward @Mwita (Criminal Sessions Case 70 of 2023) [2024] TZHC 867 (5 March 2024)
2085. The Republic vs Sabore Mbili @ Sabore William (Criminal Session Case No. 157 of 2023) [2023] TZHC 18458 (23 June 2023)
2086. The Republic vs. Shaibu Saidi Hatibu (Criminal Session No. 45 of 2022) [2024] TZHC 659 (5 March 2024)
2087. Theresia Pantaleo Asenga vs. Thomas Asara Asenga (Civil Revision Application No. 4 of 2022) [2023] TZHC 21422 (2 October 2023)
2088. Theresia Vicent Rimoy and Another vs Mecktilda Vicent Rimoy and Three Others (Civil Case 8 of 2019) [2022] TZHC 15381 (12 December 2022)
2089. Thomas Bilal @ Thoma and 2 Others vs Republic (Misc. Criminal Application 4 of 2021) [2021] TZHC 2268 (19 February 2021)
2090. Thomas D. Kirumbuyo & Another vs Tanzania Telecommunications T. Ltd (Civil Reference 1 of 2016) [2019] TZCA 187 (16 June 2019)
2091. Thomas Kimbari Florent Nguma and 2 Others vs Martha Raphael Chiomba and 8 Others (Civil Case 191 of 2022) [2023] TZHC 17254 (12 May 2023)
2092. Thomas Lengiyeu vs Emmanuel S. Motika (Misc. Land Appeal 27 of 2019) [2020] TZHC 3851 (16 October 2020)
2093. Thomas Mwita Marwa vs Republic (Misc. Criminal Application 10 of 2020) [2020] TZHC 2426 (3 August 2020)
2094. Thomas Sabai vs Tamico (Miscellaneous Labour Application No. 49 of 2023) [2023] TZHCLD 1323 (15 June 2023)
2095. Tib Development Bank Limited vs Space & Development Company Limited and 4 Others (Civil Case 167 of 2018) [2022] TZHC 13488 (22 March 2022)
2096. Tiluhumula Pima vs Malogoi Muhoyi Hc. Land Revision No. 168 0f 2021 (Land Case Revision 168 of 2021) [2022] TZHC 695 (25 March 2022)
2097. Tito Elia Magoti & Another vs National Electoral Commission & 3 Others (Misc. Civil Cause 3 of 2022) [2022] TZHC 15383 (19 December 2022)
2098. Tito Magoti vs Hon. Attorney General (Misc. Civil Cause No. 18 of 2023) [2024] TZHC 1939 (8 May 2024)
2099. Tito Michael Mwabe & Others Vs Republic (Misc Criminal Application No 80 of 2023) [2023] TZHC 20103 (14 July 2023)
2100. Tom Morio vs Athuman Hassan (Administrator of the Estate of the Late Hassan Mohamed Siara) & Others (Misc. Land Application 146 of 201) [2018] TZHC 2585 (23 October 2018)
2101. Transworld Civil Aviation Limited vs Tanzania Civil Aviation Limited & Another. (Misc. Cause No. 1 of 2023) [2023] TZHCLD 1207 (16 March 2023)
2102. Trezia Mwashinga vs Hamis Maisha (PC Civil Appeal No. 5 of 2014) [2016] TZHC 2250 (16 February 2016)
2103. Trustees of Jamaat Answar Sunna Tanzania vs Adam Yusufu Mwinyipingu (Civil Appeal 212 of 2020) [2022] TZHC 1139 (29 April 2022)
2104. Tt Investment Limited vs Markim Chemicals Limited (Misc. Land Appeal 116 of 2020) [2021] TZHCLandD 616 (13 August 2021)
2105. Tumaini John Mark vs Obed John Mark & Another (Civil Appeal No. 60 of 2015) [2018] TZCA 578 (25 October 2018)
2106. Tumaini Miners Group (TMG) V. Mihambo Seleli Masunga &January Constantine Laurent (DC. Civil Appeal No. 01 of 2023) [2023] TZHC 20434 (28 July 2023)
2107. Tumo Majaba vs Masunga Sayi (PC Civil Appeal 5 of 2019) [2020] TZHC 2345 (14 August 2020)
2108. Tumpe Thomson Mwakyonde vs Josia Abdul Kulwa (PC Civil Appeal 90 of 2020) [2020] TZHC 3958 (3 December 2020)
2109. Twaha Said Massawe vs Theresia Damian ( As Administratix of The Estate of The Late Hamisi Rashid Mnunduma and Another (Civil Appeal 63 of 2022) [2023] TZHC 16352 (17 March 2023)
2110. Twaibu Abdalla Maghembe & Another v Monica Lyayuka & 2 Others (Land Appeal No. 401 of 2023) [2024] TZHCLandD 314 (30 April 2024)
2111. Twalaha Ally Hassan vs Republic (Criminal Application 31 of 2021) [2022] TZCA 617 (7 October 2022)
2112. Twalib Omary Seleman vs Republic (Criminal Application 73 of 2020) [2022] TZHC 12394 (30 March 2022)
2113. Twarha Makupete vs. Fatuma Bakari Hassan (Civil Appeal No. 105 of 2023) [2023] TZHC 23487 (21 December 2023)
2114. Uap Insurance (T) Ltd vs Yuda Shayo and 6 Others (Labour Revision No. 740 of 2019) [2020] TZHCLD 3815 (18 December 2020)
2115. Ulricky Stambuli Moshy vs Yustina Antony Ng'oja & Others (PC. Probate Appeal No. 18 of 2023) [2024] TZHC 1721 (30 April 2024)
2116. Umaiya Makilagi Musoma and Two Others vs Republic (Consolidated Criminal Appeal 137 of 2018) [2020] TZHC 1574 (10 July 2020)
2117. Unilever Tea Tanzania Limited vs Commissioner General, Tanzania Revenue Authority (TRA) (Civil Appeal No. 401 of 2020) [2021] TZCA 623 (1 November 2021)
2118. VICTOR LAURENT MUSHI VS. REPUBLIC (Misc. Criminal Application No. 6 of 2023) [2023] TZHC 16007 (13 March 2023)
2119. Valentine Evarist vs. Jofarin Eneriko (Civil appeal No. 2 of 2022) [2023] TZHC 19812 (31 July 2023)
2120. Valerian Mlay vs Nathan Alex (Civil Appeal 39 of 2016) [2018] TZHC 2692 (10 August 2018)
2121. Vedasto Protace vs Joseph Herman (Misc. Land Application 95 of 2016) [2018] TZHC 2705 (13 July 2018)
2122. Veronica John Singano and 34 Others vs Samweli Elis Kwabu and Another (Misc. Land Case Application 423 of 2021) [2021] TZHCLandD 876 (17 November 2021)
2123. Veronica Singano & 35 Others vs Samwel Lewis Kwabu & Another (Misc. Land Application No. 765 of 2022) [2023] TZHCLandD 17142 (14 November 2023)
2124. Victor M. Batule & 17 Others vs John Wambura Bina t/a John W. Bina Gold Mine (Civil Review No. 2 of 2023) [2023] TZHC 21435 (29 September 2023)
2125. Victor Nestory Ndabagoye vs Sinda Geteba (Commercial Case 5 of 2022) [2022] TZHCComD 360 (18 November 2022)
2126. Victoria Gadiel Maeda vs Kairuki Hospital (Civil Case No. 154 of 2023) [2024] TZHC 158 (9 February 2024)
2127. Victoria Lucia Chiwangu vs Elinami Rumishael Temu & Another (Land Appeal 19 of 2023) [2023] TZHC 18962 (17 July 2023)
2128. Victoria Rweikiza vs Alex Msama Mwita & 2 Others (Land Application 8 of 2022) [2022] TZHCLandD 12283 (19 September 2022)
2129. Vietel Tanzania PLC vs Republic (Criminal Appeal 55 of 2021) [2021] TZHC 3610 (17 May 2021)
2130. Virginia Rukunda Mafuko vs the Commissioner General of Immigration and Another (Misc. Civil Cause 1 of 2020) [2021] TZHC 4036 (5 July 2021)
2131. Vitus Yamola and 10 Others vs Republic (Consolidated Misc. Criminal Economic Application 2 of 2020) [2021] TZHC 2937 (12 April 2021)
2132. Vodacom Tanzania Public Co. Ltd vs Planetel Communications Ltd (Civil Appeal 43 of 2018) [2019] TZCA 239 (17 June 2019)
2133. Vodacom Tanzania Public Co. T. Ltd vs Planetel Communications Ltd (Misc. Commercial Application 251 of 2018) [2020] TZHCComD 10 (18 March 2020)
2134. Vumilia Producers and Shopping Center Ltd vs Town Director Kahama Town Council and Another (Misc. Land Application 27 of 2019) [2021] TZHC 2325 (19 February 2021)
2135. W.D.R. McDonald Kimambo @ Aden vs Republic (Civil Application 36 of 2019) [2021] TZCA 106 (13 April 2021)
2136. Wambu Wambu vs Stanbic Bank Tanzania Limited (Revision No. 74 of 2022) [2022] TZHCLD 1042 (28 October 2022)
2137. Wambura Sawa and Two Others vs Kagina Noti Zongori and Another (PC Civil Appeal 41 of 2021) [2022] TZHC 10746 (21 April 2022)
2138. Watere Waryoba vs Republic (Criminal Application No 64,01 of 2016) [2020] TZCA 1943 (16 March 2020)
2139. Wazir Edward Mzinga & Others vs Republic (Misc. Criminal Application 213 of 2019) [2019] TZHC 191 (19 December 2019)
2140. Wikama Nyabusani vs Robert Kituho Waing'ari (Land Appeal 60 of 2021) [2022] TZHC 3014 (27 April 2022)
2141. Wilfred John vs Paulo Kazungu (Misc. Civil Application 152 of 2019) [2020] TZHC 1708 (6 July 2020)
2142. William Benjamin Kahale vs Attorney General (Civil Cause 23 of 2016) [2020] TZHC 2896 (16 June 2020)
2143. William Daudi Mosha vs Bulyanhulu Gold Mine Ltd. (Labour Revision 23 of 2018) [2020] TZHC 2003 (23 April 2020)
2144. William Kisanga vs Republic (Criminal Appeal No. 90 of 2017) [2020] TZCA 279 (28 May 2020)
2145. William Memuruti & Another vs Longishu Memuruti (Misc. Civil Application 74 of 2017) [2018] TZHC 2195 (27 July 2018)
2146. William Michael Chaula vs Republic (117 of 2022) [2023] TZHC 16436 (31 March 2023)
2147. William Onesmo Sanga vs Ramadhani Mohamed Nondo (Misc. Land Aplication 80 of 2020) [2022] TZHC 10971 (2 June 2022)
2148. Willie J.O.E Mrema vs Abdillah Ally Msaki (Land Appeal 13 of 2022) [2022] TZHC 13013 (6 September 2022)
2149. Willium James@ Kashato and Another vs Republic (Consolidated Misc. Criminal Applications 23 of 2021) [2021] TZHC 6060 (27 August 2021)
2150. Winfred Ng'itu vs Kimani Minerals Ltd (Revision Application No. 47 of 2023) [2023] TZHCLD 1330 (16 June 2023)
2151. Winifrida Mague & Others vs Martin Nassoni Ogwari & Others (Land Application 9 of 2022) [2022] TZHC 10675 (1 July 2022)
2152. Wuzhou Investment Company Ltd vs Paul Sondole Jumal (Labour Revision No. 127 of 2021) [2022] TZHCLD 691 (19 July 2022)
2153. Xavery Katwe vs Tanesco Electric Supply Co. Ltd (Civil Appeal 7 of 2020) [2021] TZHC 7283 (27 September 2021)
2154. Xiao Long Zhan vs Chinese Hotel (Revision 5 of 2023) [2023] TZHCLD 1239 (28 April 2023)
2155. Yahaya Sharif vs Republic (Criminal Application 1 of 2015) [2015] TZCA 473 (16 December 2015)
2156. Yahaya Sharif vs Republic (Criminal Application 1 of 2015) [2016] TZCA 745 (16 December 2016)
2157. Yamai Matle vs Elizabeth Aqwesso (Misc. Land Application 19 of 2020) [2021] TZHC 2878 (9 April 2021)
2158. Yara T. Ltd vs Leonard Dominc Rubuye & 2 Others (Commercial Case 29 of 2016) [2018] TZHCComD 15 (19 February 2018)
2159. Yara Tanzania Ltd vs D.B Shapriya & Co. Ltd (Commercial Reference 8 of 2022) [2022] TZHCComD 341 (28 October 2022)
2160. Yasini Jumanne Abeid vs Shakira Abdallah (PC Civil Appeal 156 of 2020) [2021] TZHC 12533 (18 June 2021)
2161. Yasinta Cassiani Mchilo vs. Mwanahamisi Ramadhani (Land appeal No. 38 of 2022) [2023] TZHC 21127 (31 August 2023)
2162. Yasinta Peter Lyimo vs Thomas Victor Lyimo (Misc. Civil Application No. 137 of 2023) [2023] TZHC 21881 (4 September 2023)
2163. Yona Mwakyoma and 8 Others vs Alfred Mwandali (Misc. Land Application 33 of 2021) [2021] TZHC 5792 (20 August 2021)
2164. Young Jai Primary School vs Emmanuel Makulasi David (Labour Revision 28 of 2021) [2022] TZHC 15290 (27 September 2022)
2165. Yunus Twaibu @ Mchunguzi and Another vs Republic (Misc. Economic Application No. 12241 of 2024) [2024] TZHC 2008 (10 May 2024)
2166. Yustina Lenni vs Leah John & 2 Others (Misc. Land Application 416 of 2020) [2021] TZHCLandD 11 (6 July 2021)
2167. Yusuf Hamisi Mushi & Another vs Abubakar Khalid Hajj & Others (Civil Application No. 575/01 of 2021) [2023] TZCA 17600 (6 September 2023)
2168. Yusufu Juma Risasi vs Anderson Julius Bicha (Civil Application No. 176/ 11 of 2017) [2018] TZCA 606 (19 February 2018)
2169. Yusufu Kassim Yusuf (mohamed Mafanya) vs Mohamed Eidha Awadh & 5 Others (Land Application 459 of 2022) [2022] TZHCLandD 12393 (26 September 2022)
2170. Yusuph Ally Mtutuma vs Mwena Group (Clemence) (PC Civil Appeal 33 of 2019) [2019] TZHC 106 (18 October 2019)
2171. Yusuph Bakari Nyahoro @ Yusuph Matienyi Nyahori vs Yana Joseph and Three Others (Civil Revision 2 of 2020) [2020] TZHC 2406 (3 August 2020)
2172. Yusuph Mohamed Kastel vs Republic (Misc. Civil Application No. 9 of 2016) [2016] TZHC 2203 (20 Aprili 2016)
2173. Yusuph Omary Ngogo vs Trix Furnitures (Revision Application No. 28541 of 2023) [2024] TZHCLD 34 (28 February 2024)
2174. Yuves Malima Nyakina vs Republic (Misc. Criminal Application 37 of 2022) [2022] TZHC 14549 (24 October 2022)
2175. ZEM DEVELOPMENT (T) LTD VERSUS ZELLAFON MUKAMA (Labour Revision No.25 of 2021) [2023] TZHC 21492 (12 September 2023)
2176. ZULFIKA HAJI & NUREEN HAJI vs MARIA DE'SOUZA (Misc Criminal Application 93 of 2023) [2023] TZHC 21280 (29 August 2023)
2177. Zacharia Francis Mbata vs CRDB Bank Plc and 2 Others (Misc. Land Aplication 98 of 2020) [2022] TZHC 9762 (31 May 2022)
2178. Zaina Musa vs Pili Selemani (Misc. Land Case Appeal No. 01 of 2023) [2023] TZHC 21635 (3 October 2023)
2179. Zainab Malale vs The Registered Board of Trustees of Muslim Society (Misc. Land Application 40 of 2023) [2023] TZHC 22645 (15 November 2023)
2180. Zakaria s/o Sari @matiko vs Republic (Consolidated Criminal Appeal 153 of 2019) [2020] TZHC 487 (6 March 2020)
2181. Zakayo Shadrack Matiga vs Ephraim Edward Ngole (PC. Civil Appeal No. 2 of 2023) [2023] TZHC 21640 (29 September 2023)
2182. Zawiya (T) Traders Ltd vs Coca-Cola Kwanza Ltd (Misc. Commercial Cause No. 69 of 2023) [2024] TZHCComD 58 (29 April 2024)
2183. Zelida Charles v. Steven Kanyankole (Land Case Appeal 85 of 2022) [2023] TZHC 23318 (14 December 2023)
2184. Zephania Onyango Adina vs GPH Industries Limited (Labour Revision Application 44 of 2021) [2021] TZHC 12567 (26 October 2021)
2185. Zilipa Makondoro v Republic (Criminal Sessions Case 63 of 2023) [2023] TZHC 22865 (24 November 2023)
2186. Zitto Zuberi Kabwe vs President of the United Republic of Tanzania (Misc. Civil Cause 8 of 2022) [2022] TZHC 15339 (5 December 2022)
2187. Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe vs Job Ndugai Speaker of the National Assembly & Another (Misc. Civil Cause 1 of 2019) [2021] TZHC 9535 (7 October 2021)
2188. Zohari Hamisi Salum vs Republic (Criminal Appeal 174 of 2021) [2022] TZHC 11791 (5 August 2022)
2189. Zuberi Rajabu Bilangoye and Another Vs Officer Commanding District of Kaliua (OCD) and 5 Others (Misc. Criminal Application No. 11063 of 2024) [2024] TZHC 2375 (29 April 2024)
2190. andrea Pakomi and Another vs Daniel Geay (Misc. Land Appeal 52 of 2019) [2020] TZHC 3818 (16 October 2020)
2191. andrew Michael Ulungi and Another vs Registrar of Cooperatives and Others (Misc. Civil Application 31 of 2020) [2022] TZHC 11094 (26 July 2022)
2192. andrew s/o Maunga @ Kilenga and 10 Others (Misc. Criminal Application 70 of 2020) [2020] TZHC 4454 (28 December 2020)
2193. asina Mastani Mussa Ngulukuru vs Republic (Misc. Criminal Application 30 of 2022) [2022] TZHC 11692 (17 August 2022)
2194. astonvilla Twikasyge Kaminyonge vs Sengo 2000 Limited (Labour Revision 28 of 2022) [2022] TZHC 14787 (17 November 2022)
2195. asumini Mohamed Mkiwa vs Mzee Issa Athumani & Another (Misc. Civil Application 17 of 2022) [2022] TZHC 14553 (25 October 2022)
2196. qD Consult Tanzania Limited Vs. The Board of Trustees of Public Service Social Security Fund (PSSF) & Other (Commercial case No 97 of 1998) [2023] TZHCComD 246 (3 July 2023)
2197. the Bishop Seventh Day Adventist Church (sda) South Nyanza Conference Ltd vs Mpazi Albert Elias Boaz (Civil Revision Application 12 of 2020) [2021] TZHC 5389 (21 July 2021)
JOT Documents and Guidelines 10
1. Bail Guidelines
2. Comprehensive Performance Report of the Judicial Functions - 2021
3. Comprehensive Performance Report of the Judicial Functions - 2022
4. Comprehensive Performance Report of the Judicial Functions 2020
5. Court of Appeal Journal Volume 1
6. Gender Bench Book On Women’s Rights
7. Guidelines for Court Brokers and Court Process Servers
8. Standard Operational Guide For Magistrates On Managing Children Cases In Tanzania, Feb-2023
9. The 19th East African Magistrates' and Judges' Association
10. The Tanzania Sentencing Guidelines, 2023
Legislation 10
1. Public Finance Act 11 citations
2. Local Authorities (Elections) Act, 1979 1 citation
3. Public Officers (Salaries and Allowances) Act 1 citation
4. Disqualification (National Assembly and Miscellaneous Offices) Act
5. Election Complaints Rules, 1990
6. Joint Finance Commission Act
7. Law Reform (Fatal Accidents and Miscellaneous Provisions) Act
8. Parliamentary Services Commission Act
9. Tanzania Court of Appeal Rules, 1979
10. Tanzania Intelligence and Security Service Act
Gazette 5
1. Tanzania Government Gazette dated 2016-01-22 number 4
2. Tanzania Government Gazette dated 2016-04-22 number 17
3. Tanzania Government Gazette dated 2021-11-26 number 48
4. Tanzania Government Gazette supplement number 15 dated 2017-02-09 number 6
5. Tanzania Government Gazette supplement number 15 dated 2018-02-09 number 6
Guidelines 2
1. Asset Forfeiture, Recovery and Management Guidelines
2. Guidelines to Prosecutors and Competent Authorities for Making and Executing Mutual Legal Assistance and Extradition Request
Case summary 1
1. Case Summary: Joseph Osmund Mbilinyi & Another vs The Commissioner General Tanzania Prison Service & Another (Misc. Civil Cause No. 13 of 2021) [2022] TZHC 15340 (19 December 2022)
Law Reform Report 1
1. Report on the Review of the Legal Framework on Social Welfare Services in Mainland Tanzania
Manual 1
1. Criminal Prosecutions Case Manual
Speech 1
1. Press Release: Launch of Pocket Law – An Innovative Digital Legal Tool for Tanzania and Beyond-AfricanLII-30th January, 2024-Dodoma-Nyerere Squire