Notisi ya Uteuzi wa Waendesha Mashtaka ya Mwaka 2023

Government Notice 156 of 2023

Notisi ya Uteuzi wa Waendesha Mashtaka ya Mwaka 2023

Tanzania
National Prosecutions Service Act, 2008

Notisi ya Uteuzi wa Waendesha Mashtaka ya Mwaka 2023

Tangazo la Serikali 156 ya 2023

[Imetengenezwa chini ya kifungu cha 22]

1. Jina

Notisi hii itajulikana kama Notisi ya Uteuzi wa Waendesha Mashtaka ya Mwaka 2023.

2. Uteuzi wa waendesha mashtaka

Watu ambao majina yao yameorodheshwa katika Jedwali wanateuliwa kuwa waendesha mashtaka kwa madhumuni ya kuendesha kesi za jinai kwa niaba ya Mkurugenzi wa Mashtaka.

3. Uhalali wa uteuzi

(1)Mwendesha mashtaka aliyeteuliwa chini ya aya ya 2 atatumikia nafasi hiyo kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia tarehe ya kuanza kutumika kwa Notisi hii.
(2)Bila kujali aya ndogo ya (1), mwendesha mashtaka aliyeteuliwa chini ya Notisi hii anaweza kuendesha mashtaka kwa kipindi kinachopungua miaka mitano pale ambapo ajira ya mtu huyo katika utumishi wa umma itakoma au uteuzi wake utasitishwa na Mkurugenzi wa Mashtaka.

Jedwali (Limetengenezwa chini ya aya ya 2)

Na.Jina
1PF. 21127 A/Insp. Witness Bura
2.G. 5229 Cpl Renifrid William
3.A/Insp. Mweta Samweli
4.Hamis Y. Mattaka
▲ To the top

History of this document

03 March 2023 this version
22 February 2023
Assented to