Tanzania
Town and Country Planning Act
Amri ya Kupanga Eneo la Babayu ya mwaka, 2023
Tangazo la Serikali 249 ya 2023
- Imechapishwa katika Gazette of the United Republic of Tanzania 10 hadi 24 Machi 2023
- Imeidhinishwa tarehe 6 Februari 2023
- Ilianza tarehe 24 Machi 2023
- [Hili ni toleo la hati hii kutoka 24 Machi 2023.]
- [Kumbuka: Hati asili ya uchapishaji haipatikani na maudhui haya hayakuweza kuthibitishwa.]
1. Jina
Amri hii itajulikana kama Amri ya Kupanga Eneo la Babayu ya mwaka, 20232. Utangazaji wa eneo la upangaji
Eneo lililoainishwa katika Jedwali la Amri hii linatangazwa kuwa eneo la upangaji kwa madhumuni ya Sheria ya Mipango Miji.[sura (355)]3. Mpango wa jumla na kina wa eneo
Mipango ya jumla na kina ya eneo lililoainishwa katika Jedwali itaandaliwa na kuhifadhiwa kwa Mkurugenzi wa Mipango Miji na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba.History of this document
24 March 2023 this version
Published in Gazette of the United Republic of Tanzania 10
Commenced
06 February 2023
Assented to