Tanzania
Factories Act
Kanuni za Matumizi ya Madini ya Risasi za Mwaka 2023
Tangazo la Serikali 287 ya 2023
- Imechapishwa katika Gazette of the United Republic of Tanzania 11 hadi 7 Aprili 2023
- Imeidhinishwa tarehe 3 Aprili 2023
- Ilianza tarehe 7 Aprili 2023
- [Hili ni toleo la hati hii kutoka 7 Aprili 2023.]
1. Jina
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Matumizi ya Madini ya Risasi za Mwaka 2023.2. Tafsiri
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo—"madini ya risasi" maana yake ni madini ya risasi, mchanganyiko wa vitu na madini ya risasi na viambata vya madini ya risasi ambavyo vinaweza kufyonzwa kwa njia yeyote na binadamu;"Mamlaka ya Ukaguzi iliyoidhinishwa" maana yake ni Mamlaka ya Ukaguzi iliyoidhinishwa kwa ajili ya—3. Matumizi
Kanuni hizi zitatumika kwa kila mwajiri na mtu aliyejiajiri ambapo madini ya risasi yanazalishwa, yanachakatwa, yanatumiwa, yanashikwa au kuhifadhiwa katika hali ambayo inaweza kuvutwa, kumezwa au kufyonzwa na mtu yeyote katika sehemu hiyo ya kazi.4. Taarifa kuhusu mafunzo
5. Wajibu wa watu wanaoweza kukumbwa na madini ya risasi
Mtu yeyote ambaye amekumbwa au anayeweza kukumbwa na madini ya risasi mahali pa kazi, atatii maagizo yoyote halali yanayotolewa na mwajiri au mwakilishi wake au mtu aliyejiajiri, kuhusu—6. Tathmini ya uwezekano wa kukumbwa na madini ya risasi
7. Ufuatiliaji wa afya
8. Ukanda wa kuvaa kifaa kinga cha kupumulia
Mwajiri au mtu aliyejiajiri atahakikisha kwamba—9. Kumbukumbu
Mwajiri atatakiwa—10. Udhibiti wa kukumbwa na madini ya risasi
11. Vifaa kinga
12. Usafi wa majengo na mitambo
Kila mwajiri au mtu aliyejiajiri atahakikisha—13. Kudumisha hatua za udhibiti
Mwajiri au mtu aliyejiajiri atahakikisha kwamba—14. Kuweka lebo, ufungaji, usafiri na uhifadhi
Mwajiri au mtu aliyejiajiri, ili kuzuia usambaaji wa madini ya risasi atahakikisha kwamba—15. Mazuio
History of this document
07 April 2023 this version
03 April 2023
Assented to