Tanzania
Factories Act
Kanuni za Uondoaji wa Asbestosi za Mwaka 2023
Tangazo la Serikali 291 ya 2023
- Imechapishwa katika Gazette of the United Republic of Tanzania 11 hadi 7 Aprili 2023
- Imeidhinishwa tarehe 3 Aprili 2023
- Ilianza tarehe 7 Aprili 2023
- [Hili ni toleo la hati hii kutoka 7 Aprili 2023.]
1. Jina
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Uondoaji wa Asbestosi za Mwaka 2023.2. Tafsiri
Katika Kanuni hizi isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo—"asbestosi" maana yake ni nyuzi za aina yoyote za madini ya silika zinazoweza kuingia kwenye mapafu kwa kupitia mfumo wa hewa na zisizoweza kuvunjwavunjwa, kumeng’enywa au kutolewa ndani ya mwili;“kazi inayohusiana na asbestosi” maana yake ni kazi yoyote inayohusu kubomoa, kuondoa vitu au bidhaa zenye asbestosi;“kifaa kinga cha kupumulia” maana yake ni kifaa ambacho huvaliwa angalau mdomoni na puani ili kuzuia kuvuta hewa yenye asbestosi;"kikomo cha kukumbwa na asbestosi kazini" maana yake ni kikomo cha kukumbwa na asbestosi kazini cha nyuzi 0.2 za asbestosi kwa kila mililita ya hewa;"kikomo cha muda mfupi cha kukumbwa na asbestosi " maana yake ni kiwango ambacho mfanyakazi anaweza kukumbwa na asbestosi kwa wastani wa muda usiozidi dakika kumi na tano ambacho hakipaswi kuzidishwa wakati wowote kwa siku, hata kama wastani wa kukumbwa wa masaa manne uko ndani ya kikomo cha kukumbwa kazini;"mahali penye asbestosi" inajumuisha asbestosi yoyote iliyopo katika eneo la kazi, ikijumuisha bidhaa ya saruji ya asbestosi, ufunikaji uliotumia asbestosi, nyenzo zenye asbestosi, vumbi lenye asbestosi, bidhaa zilizofunikwa kwa asbestosi, na taka za asbestosi;“mamlaka ya ukaguzi wa asbestosi iliyoidhinishwa” maana yake ni mtu au mkandarasi aliyeidhinishwa na Mkaguzi Mkuu kufanya kazi za asbestosi ambaye ana elimu, ujuzi na vifaa maalumu;“mtu mwenye uwezo” maana yake ni mtu mwenye ujuzi, mafunzo na uzoefu unaohitajika kuhusiana na kazi za asbestosi na anatambuliwa na Mamlaka;"Sheria" maana yake ni Sheria ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi;“uzuiaji kwa kutumia asbestosi” maana yake ni bidhaa yoyote ambayo ina asbestosi kwa ajili ya kuzuia joto, sauti, umeme au madhumuni mengine ikijumuisha kuzia moto isipokuwa—(a)saruji ya asbestosi, ufunikaji kwa kutumia asbestosi;(b)bidhaa yoyote ya lami, plastiki, au mpira ambayo ina asbestosi na sifa ya kuhimili joto au sauti tofauti na madhumuni yake kuu.[Sura ya 297]3. Matumizi
Kanuni hizi zitatumika kwa kila mwajiri, mtu aliyejiajiri na ana mfanyakazi au mtu yeyote katika eneo lenye vumbi la asbestosi.4. Utambuzi wa uwepo wa asbestosi
Mwajiri au mtu aliyejiajiri atahakikisha kuwa—5. Orodha ya asbestosi iliyotambuliwa
6. Tathmini ya uwezekano wa kukumbwa na asbestosi
7. Mpango wa usimamizi wa asbestosi
8. Taarifa na mafunzo
9. Uanishaji wa kazi za asbestosi
10. Wajibu wa watu wanaoweza kukumbwa na asbestosi
11. Udhibiti wa kukumbwa na asbestosi
12. Kutoa taarifa ya kazi za asbestosi
13. Majukumu ya mkandarasi aliyeidhinishwa kwa kazi ya asbestosi
14. Majukumu ya mamlaka ya usimamizi wa kazi za asbestosi
Mamlaka ya usimamizi wa kazi za asbestosi itahakikisha kwamba—15. Mahitaji ya mpango kazi wa asbestosi
Mpango kazi wa asbestosi unapaswa kuwa na—16. Eneo la asbestosi lililodhibitiwa
Mwajiri au mtu aliyejiajiri ambaye anafanya kazi yoyote ya asbestosi—17. Ufuatiliaji wa afya
18. Vifaa kinga
19. Kuweka lebo na alama
20. Kumbukumbu
Mwajiri atatakiwa—21. Mazuio
Mtu hataruhusiwa—History of this document
07 April 2023 this version
03 April 2023
Assented to