Tanzania
Factories Act
Kanuni za Vifaa Kinga za Mwaka 2023
Tangazo la Serikali 292 ya 2023
- Imechapishwa katika Gazette of the United Republic of Tanzania 11 hadi 7 Aprili 2023
- Imeidhinishwa tarehe 3 Aprili 2023
- Ilianza tarehe 7 Aprili 2023
- [Hili ni toleo la hati hii kutoka 7 Aprili 2023.]
1. Jina
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Vifaa Kinga za Mwaka 2023.2. Tafsiri
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo—“egonomia” maana yake ni muingiliano sahihi unaozingatia mahitaji ya kimaumbile na kiutambuzi ya mtu na mazingira anayoishi au kufanyia kazi;“kifaa kinga” maana yake ni kifaa chochote kilichotengenezwa kwa ajili ya kuvaliwa au kutumika na mtu kwa ajili ya kumlinda dhidi ya kihatarishi kimoja au zaidi cha afya na usalama, ambacho—3. Matumizi
4. Utoaji wa vifaa kinga
5. Tathmini ya kifaa kinga
6. Tathmini ya kifaa kinga
7. Utunzaji na ubadilishaji wa kifaa kinga
8. Uhifadhi wa kifaa kinga
Pale ambapo mwajiri au mtu aliyejiajiri anahitajika, kwa mujibu wa kanuni ya 4, atahakikisha anatoa au anatumia vifaa kinga, pia atahakikisha uhifadhi unaofaa wa vifaa hivyo wakati havitumiki.9. Taarifa, maelekezo na mafunzo
10. Matumizi ya kifaa kinga
11. Utoaji wa taarifa ya upotevu au uharibifu
Mfanyakazi ambaye amepewa kifaa kinga kwa mujibu wa kanuni ya 4(1) atatoa taarifa ya upotevu au uharibifu wa kifaa hicho mara moja kwa mwajiri wake mara baada ya kupotea au kuharibika.12. Uthibitisho wa ubora wa vifaa kinga
13. Vifaa kinga dhidi ya kemikali na visababishi vya muwasho
Itakuwa ni wajibu wa mwajiri kuwapatia wafanyakazi—History of this document
07 April 2023 this version
03 April 2023
Assented to