Tanzania
Town and Country Planning Act
Amri ya Kupanga Eneo la Kasamwa na Kanyela ya Mwaka 2023
Tangazo la Serikali 299 ya 2023
- Imechapishwa katika Gazette of the United Republic of Tanzania 11 hadi 7 Aprili 2023
- Imeidhinishwa tarehe 17 Machi 2023
- Ilianza tarehe 7 Aprili 2023
- [Hili ni toleo la hati hii kutoka 7 Aprili 2023.]
1. Jina
Amri hii itajulikana kama Amri ya Kupanga Eneo la Kasamwa na Kanyela ya Mwaka 2023.2. Utangazaji wa eneo la upangaji
Eneo lililoainishwa katika Jedwali la Amri hii linatangazwa kuwa eneo la upangaji kwa madhumuni ya Sheria ya Mipangomiji.[Sura ya 355]3. Mpango wa jumla na kina wa eneo
Mipango ya Jumla na kina ya eneo lililoainishwa katika Jedwali inaandaliwa na kuhifadhiwa kwa Mkurugenzi wa Mipangomiji na Mkurugenzi wa Mji wa Geita.History of this document
07 April 2023 this version
17 March 2023
Assented to