Tanzania
Town and Country Planning Act
Amri ya Kurasimisha Makazi Yasiyopangwa Eneo la Nyamigota ya mwaka 2023
Tangazo la Serikali 312 ya 2023
- Imechapishwa katika Gazette of the United Republic of Tanzania 15 hadi 28 Aprili 2023
- Imeidhinishwa tarehe 17 Machi 2023
- Ilianza tarehe 28 Aprili 2023
- [Hili ni toleo la hati hii kutoka 28 Aprili 2023.]
- [Kumbuka: Hati asili ya uchapishaji haipatikani na maudhui haya hayakuweza kuthibitishwa.]
1. Jina
Amri hii itajulikana kama Amri ya Kurasimisha Makazi Yasiyopangwa Eneo la Nyamigota ya mwaka 2023.2. Utangazaji wa eneo la upangaji
Eneo lililoainishwa katika Jedwali la Amri hii linatangazwa kuwa eneo la upangaji la mpango wa urasimishaji kwa madhumuni ya Sheria ya Mipangomiji.[sura ya 355]3. Mpangokina wa eneo
Mipangokina ya eneo lililoainishwa katika Jedwali inaandaliwa na kuhifadhiwa kwa Mkurugenzi wa Mipangomiji na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita.History of this document
28 April 2023 this version
Published in Gazette of the United Republic of Tanzania 15
Commenced
17 March 2023
Assented to