Tanzania
Town and Country Planning Act
Amri ya Kupanga Eneo la Nshinde ya Mwaka 2023
Government Notice 325 of 2023
- Published in Gazette of the United Republic of Tanzania 15 on 28 April 2023
- Assented to on 17 March 2023
- Commenced on 28 April 2023
- [This is the version of this document from 28 April 2023.]
1. Jina
Amri hii itajulikana kama Amri ya Kupanga Eneo la Nshinde ya Mwaka 2023.2. Utangazaji wa eneo la upangaji
Eneo lililoainishwa katika Jedwali la Amri hii linatangazwa kuwa eneo la upangaji kwa madhumuni ya Sheria ya Mipangomiji.[Sura ya 355]3. Mpango wa jumla na kina wa eneo
Mipango ya jumla na kina ya eneo lililoainishwa katika Jedwali inaandaliwa na kuhifadhiwa kwa Mkurugenzi wa Mipangomiji na Mkurugenzi wa Mji wa Geita.History of this document
28 April 2023 this version
17 March 2023
Assented to