Tanzania
National Prosecutions Service Act, 2008
Notisi ya Uteuzi wa Mwendesha Mashitaka ya mwaka 2023
Tangazo la Serikali 40 ya 2023
- Imechapishwa katika Gazette of the United Republic of Tanzania 5 hadi 10 Februari 2023
- Imeidhinishwa tarehe 2 Februari 2023
- Ilianza tarehe 10 Februari 2023
- [Hili ni toleo la hati hii kutoka 10 Februari 2023.]
1. Jina
Notisi hii itaitwa Notisi ya Uteuzi wa Mwendesha Mashitaka ya mwaka 2023.2. Uteuzi wa waendesha mashitaka
Mtu ambaye jina lake limetajwa kwenye Jedwali la Notisi hii ameteuliwa kuwa mwendesha mashitaka kwa madhumuni ya kuendesha mashauri ya jinai kwa niaba ya Mkurugenzi wa Mashitaka kwa masuala yaliyoainishwa kwenye Sheria ya Usajili wa Wasanifu na Wapima Majengo.[Sura ya 269]3. Uhalali wauteuzi
History of this document
10 February 2023 this version
02 February 2023
Assented to