Tanzania
Employment and Labour Relations Act, 2004
Kanuni za Ada za Tume ya Usuluhishi na Uamuzi za Mwaka, 2025
Tangazo la Serikali 60 ya 2025
- Imechapishwa katika Tanzania Government Gazette 5 hadi 31 Januari 2025
- Imeidhinishwa tarehe 21 Januari 2025
- Ilianza tarehe 31 Januari 2025
- [Hili ni toleo la hati hii kutoka 31 Januari 2025.]
1. Jina
Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Ada za Tume ya Usuluhishi na Uamuzi za Mwaka 2025.2. Tafsiri
Katika Kanuni hizi, isipokuwa kama muktadha utahitaji vinginevyo—“Ada” maana yake ni malipo kwenda kwa Tume kwa ajili ya kupata huduma zilizoainishwa katika Jedwali la Kanuni hizi; na“Tume” maana yake ni Tume ya Usuluhishi na Uamuzi iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Taasisi za Kazi.[Sura ya 300]3. Adza na Tume
Ada zilizoainishwa katika Jedwali la Kanuni hizi zitalipwa kwa Tume kulingana na huduma zilizoainishwa kwenye Jedwali hilo.4. Msamaha wa kutokulipa ada
History of this document
31 January 2025 this version
21 January 2025
Assented to