Tanzania Government Gazette dated 2022-07-01 number 26

ISSN 0856 - 0323

MWAKA WA 103 1 Julai, 2022

TOLEO NA. 26 GAZETI
LA DODOMA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
O
Linatolewa kwa Idhini ya Serikali na
Kuandikishwa Posta kama
Gazeti

YALIYOMO
Taarifa ya Kawaida Uk. Taarifa ya Kawaida Uk.

Kuajiriwa na Kukabidhiwa Uthibitisho wa Usimamizi wa Mirathi ....Na. 2660/3 14/5
Madaraka ........................................... Na. 2623 1 Probate and Administration ........... Na. 2664/72 15/8
Notice re Supplements ....................... Na.2624 2 Deed Poll ...................... Na. 2673/2760 18/54
Kupotea kwa Hati ya Kumiliki Ardhi .... Na. 2625/36 2/5 Affidavit ................................Na. 2761/2 55
Kupotea kwa Barua ya toleo ........... Na.2637/9 5 Kiapo ........................................ Na. 2763 55/6
Caveat Notice ................................ Na. 2640 5/6 Usajili wa Wahasibu na Wakaguzi
Loss Report ............................... Na. 2641/5 6/7 wa Hesabu ........................................ Na. 2757 53
Special Resolution ............... Na. 2646/7 7/8
Resolution ............... Na. 2648/51 8/11
Winding Up ........................... Na. 2652/4 11/2
Business Registration ................ Na. 2655/9 12/4

KUAJIRIWA NA KUKABIDHIWA MADARAKA
TAARIFA YA KAWAIDA NA. 2623

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI Fortunatus Ewald Massawe

Kuwa Stafu Sajini kuanzia tarehe 27/05/2021 Abdul Haruna Qadiry

Arnold Thomas Mnguli Boniface Maruru Hitra

Kuwa Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji kuanzia tarehe Asha Abdi Mcharo
31/05/2021

Spelancia Simon Chahe
Linaendelea Ukurasa wa 68
Emmanuel E. Mboya
Matangazo yahusuyo mali za watu waliofariki, kuvunja mikataba ya ushirikiano na mengineyo, yakiwa ya manufaa
kwa umma yaweza kuchapishwa katika Gazeti. Yapelekwe kwa Mhariri, Ofisi ya Rais --- Menejimenti ya Utumishi wa
Umma, S. L. P. 670. 40404 Dodoma, Simu za Ofisi: +255(026)2963630. Kabla ya Jumamosi ya kila Juma.

Limepigwa Chapa na Mpigachapa Mkuu wa Serikali, Dodoma --- Tanzania